Leo wakati nakuja, nilikuwa napitia kumbukumbu za Bunge lililomalizika, nikaona hiyo ahadi ya Kikwete ya kununua Bajaj, ilikuwa kwenye kumbukumbu za Bunge wakati akihutubia Bunge mjini Dodoma, leo miaka minne baadae anatoa ahadi hiyo hiyo. Sijui kama Rais Kikwete huwa anasoma, hiyo ahadi alishatoa na leo anaitoa tena kwenu! Alisema Dr. Slaa hook Meatu jana
Source: Tanzania Daima
Source: Tanzania Daima