Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wana-JF:
Gazeti moja liitwalo Tahmini leo lina stori kuu ukurasa wa mbele kwamba marais wastahafu -- Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa wamekacha kumkampenia JK, kwa sababu wanaogopa kuumbuliwa na masuala ya ufisadi.
Hili gazeti, ambaloi hutoka kila Jumatatu nimelipenda sana na linakuja juu sana siku hizi kwani haliko katika class ya HOJA, TAZAMA, SAUTI YA UMMA, MTANZANIA, CHANGAMOTO, RAI au TAIFA TANZANIA yanayomilikwa au kufadhiliwa na mafisadi. TATHMINI ni gazeti linaloandika mambo objectively ambayo yanareflect hali halisi ya kisiasa ya nchi hii, siyo majungu au kupakana matope.
Gazeti moja liitwalo Tahmini leo lina stori kuu ukurasa wa mbele kwamba marais wastahafu -- Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa wamekacha kumkampenia JK, kwa sababu wanaogopa kuumbuliwa na masuala ya ufisadi.
Hili gazeti, ambaloi hutoka kila Jumatatu nimelipenda sana na linakuja juu sana siku hizi kwani haliko katika class ya HOJA, TAZAMA, SAUTI YA UMMA, MTANZANIA, CHANGAMOTO, RAI au TAIFA TANZANIA yanayomilikwa au kufadhiliwa na mafisadi. TATHMINI ni gazeti linaloandika mambo objectively ambayo yanareflect hali halisi ya kisiasa ya nchi hii, siyo majungu au kupakana matope.