Elections 2010 Nawasilisha hoja kikwete hatufai kwa miaka5 ijayo!

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Nikiwa mtanzania mwenye haki yakikatiba napinga kwa nguvu zote uteuzi wa Kikwete kuliongoza taifa hili kwa miaka mitano tena. Najuwa wengi mtasema sijielewi ila hata katiba haimkubali tena Kikwete.

Sababu ya kwanza nimuongo, utakubaliana na mimi ahadi yake ya maisha bora kwa kila mtanzania ni maisha ya dhiki kwa kila mtanzani.

2. Siku zake za Urais wake serikali yake imeongoza kwa majungu na umbea kiasi ilifika mahali baraza lake kuvunjika, acha hilo ikulu ndio hapafai.

3. Ndie rais alie kaa kimya huku Zanzibar ikijing'oa ktk Muungano huku Watanganyika wakilipa gharama kubwa za Muungano. Nijambo lisiloingia kichwani Rais wa nchi kucheka na nyani na taifa kuteketea. "RAIS ASIE WEZA KULINDA KATIBA YA NCHI HATUFAI" J. K . Nyerere.

4. Afya yake pia nisababu yakutosha kumpa nafasi akapumzike. Unajuwa watu wengi hawajuwi hathari za afya ya Rais kuwa mbaya.

A. Atakuwa muda wote kwenda ulaya kwa matibabu.

B. Atatumia ma milion ya walipa kodi masikin kujitibia huku uchumi ukidorola.

C. Atapoteza Muda ambao ni wa thaman sana kwa watanzania. Katiba ya Tanzania inazungumzia kwa undani afya ya Rais LAKINI TAIFA HILI LENYE VIONGOZ VIPOFU NA WENYE KUPENDA RUSHWA WATAMTETEA KWA MASILAI YAO NA B'LV ME PINDI RAIS MGONJWA MENGI MABAYA HUPITISHWA KINYEMELA. Mim najiuliza hivi hawa watu wamelogwa? Au nani kawapa sumu Wa Tz. Hivi kweli watu wanashindwa kusimama kwa pamoja nakulijuwa hili? Hivi kweli idara za ndani za usalama wa taifa zinakosa wataalamu waku perspect kile kitaikumba Tanzania kwakuwa nahuyu Rais? Oo God help Tanzanian. Tumechoka tumechoka na Rushwa iliokithiri mpaka wanao kamatwa nikama sio wenyewe. Maana ndio kwanza Rushwa imeota mizizi. I love my country with all i have. Amen
 
Ingekuwa UWT ni taasisi huru hapo ingekuwa vingine. Ilitakiwa iwe huru kama mahakama inavyotakiwa kuwa huru.

Wengi wa UWT wanajua taifa litazidi kudorora (politically, morally and economically) kama JK ataendelea kwa miaka mingine mitano. Lakini mkuu wao ni mtu wa Rais. Ataweka JK mbele ya taifa. Na hao hao UWT wataweza kuambiwa hata wapange mikakati ya kuiba kura.

Ila usikate tamaa. kipindi hiki naona wananchi hawataki kuchezewa. Stay tuned.
 
ni kweli hatufai kabisa. huyu jamaa ameprove failure nyingi sana kama rais.

so hatufai kabisa narudia tena hatufai.
dr slaa ndo mbadala wake
 
naunga mkono hoja, hila nazani imefika wakati nguvu ya umma itumike kuwaunganisha hawa wapinzani hili waung'oe huu uhuni unajihita uongozi wa CCM,huku kwetu kawe hatu taki CCM hila kuna Mdee wa CHADEMA na Mbatia wa NCCR, kutakuwa na mgawanyiko wa kura ambao utatoa mwanya kwa huyo Kizigha wa CCM kupita hivi hivi,kwa wangwana mlio karibu na viongozi wa kambi ya upinzani tungeomba mwashauri waweke maslahi ya taifa kwanza katika kipindi hiki kigumu,asante
 
Jk.nyerere.."kwa mtu mwaminifu kabisa kabisa,ikulu ni mzigo, mtu yeyote anayeng'ang'ania na kukimbilia ikulu mwogopeni km ukoma"................ikulu imekuwa mzigo kwa kikwete lakini bado anang'ang'ania,angesema kwa uungwana kabisa ikulu imekuwa mzigo na afya yangu imedorora sna hivyo naomba nipumzike..........angeheshimika kwa kuitii katiba......
 
Jk.nyerere.."kwa mtu mwaminifu kabisa kabisa,ikulu ni mzigo, mtu yeyote anayeng'ang'ania na kukimbilia ikulu mwogopeni km ukoma"................ikulu imekuwa mzigo kwa kikwete lakini bado anang'ang'ania,angesema kwa uungwana kabisa ikulu imekuwa mzigo na afya yangu imedorora sna hivyo naomba nipumzike..........angeheshimika kwa kuitii katiba......
Huyu ndie Nyerere aliyekuwa akimuongelea, maana pale imekuwa ni kama anataka sifa na sio kuwatumikia wananchi!
 
Hivi hao usalama wa Taifa wapo kweli? Mbona hii nchi sasa hivi inakwenda kama vile hakuna kitu kinaitwa usalama wa Taifa? Anyway najua jambo moja kwamba usalama wa taifa walio wengi ni mtoto wa mjomba, mdogo mtu na vitu kama hivyo. Akiwa huko hatekelezi wajibu wake kwa kuwa aliyemweka pale ni kakake au babake na anajua kwamba kazi yake haina kustaafu kwahiyo haoni shida.

Mara nyingi najiuliza, ni kwa vipi usalama wa taifa walishindwa kumjulisha JK kuhusu kufungua ile hoteli ambayo siku ya pili ilivunjwa, usalama wa taifa walikuwa wapi pale JK alipofungua bwawa lenye mgogoro huko Longido, usalama wa taifa walikuwa wapi pale alipokuja kupokea gari la wagonjwa mtu asiyehusika? Haya mambo hayakuwahi kutokea hata wakati wa Mwinyi ambapo serikali ilikuwa ipo kama haipo. Napata hofu kabisa kama kuna hiki kitu kinaitwa usalama wa Taifa. Na kama kipo basi kitakuwa ni usalama wa watu fulani ndani ya system na si usalama wa Taifa. Sioni kama wanaweza kumwambia chochote JK kwa maslahi ya Taifa.
 
Unajua Mungu anatupenda watanzania of all the days Kikwete alianguka siku ya uzinduzi wa kampeni.
Ingekuwa enzi zile za manabii wa kweli wangeliweza kutupa tafsiri yake iyo ie akina Elia,Isaya,Hosea,Elisha.
Mungu bado analipenda taifa letu na ndo maana mara kwa mara huwa anatupa ishara ya matukio muhimu nchi zingine hawapati iyo bahati
 
nani anatufaa?

Hakuna,ila kidogo Dr Slaa anaweza.
ha..ha..haaaa!!!!!!!!!!
Kwani hii nchi si inaongozwa na Rostam Aziz?Kikwete wanamlazimisha tuu maskini ya mungu.wala hana shida na mtu,kimbilio la mafisadi maana ana huruma sana.he..he..heeeeeee???????siumwi kitu chochote niko fiti kama mbwa wa police wa Ultimate security..nabweka masaa 24
 
mungu analipenda taifa na ndiyo maana katufungulia na kutuonesha mambo ya ajabu ya rais wetu kuanguka ........kwa maana nyingine Mungu alikuwa anatutahadharisha kuwa mnaongozwa na rais mgonjwa ambaye hafai.....sisi wengine tumekubali wito huu na hatuko tayari kuendelea kumwamini rais mgonjwa na dhaifu kiuongozi....
Unajua Mungu anatupenda watanzania of all the days Kikwete alianguka siku ya uzinduzi wa kampeni.
Ingekuwa enzi zile za manabii wa kweli wangeliweza kutupa tafsiri yake iyo ie akina Elia,Isaya,Hosea,Elisha.
Mungu bado analipenda taifa letu na ndo maana mara kwa mara huwa anatupa ishara ya matukio muhimu nchi zingine hawapati iyo bahati
 
nikiwa mtanzania mwenye haki yakikatiba napinga kwa nguvu zote uteuzi wa kikwete kuliongoza taifa hili kwa miaka mitano tena. Najuwa wengi mtasema sijielewi ila hata katiba haimkubali tena kikwete.

Sababu ya kwanza nimuongo, utakubaliana na mimi ahadi yake ya maisha bora kwa kila mtanzania ni maisha ya dhiki kwa kila mtanzani.

2. Siku zake za urais wake serikali yake imeongoza kwa majungu na umbea kiasi ilifika mahali baraza lake kuvunjika, acha hilo ikulu ndio hapafai.

3. Ndie rais alie kaa kimya huku zanzibar ikijing'oa ktk muungano huku watanganyika wakilipa gharama kubwa za muungano. Nijambo lisiloingia kichwani rais wa nchi kucheka na nyani na taifa kuteketea. "rais asie weza kulinda katiba ya nchi hatufai" j. K . Nyerere.

4. Afya yake pia nisababu yakutosha kumpa nafasi akapumzike. Unajuwa watu wengi hawajuwi hathari za afya ya rais kuwa mbaya.

A. Atakuwa muda wote kwenda ulaya kwa matibabu.

B. Atatumia ma milion ya walipa kodi masikin kujitibia huku uchumi ukidorola.

C. Atapoteza muda ambao ni wa thaman sana kwa watanzania. Katiba ya tanzania inazungumzia kwa undani afya ya rais lakini taifa hili lenye viongoz vipofu na wenye kupenda rushwa watamtetea kwa masilai yao na b'lv me pindi rais mgonjwa mengi mabaya hupitishwa kinyemela. Mim najiuliza hivi hawa watu wamelogwa? Au nani kawapa sumu wa tz. Hivi kweli watu wanashindwa kusimama kwa pamoja nakulijuwa hili? Hivi kweli idara za ndani za usalama wa taifa zinakosa wataalamu waku perspect kile kitaikumba tanzania kwakuwa nahuyu rais? Oo god help tanzanian. Tumechoka tumechoka na rushwa iliokithiri mpaka wanao kamatwa nikama sio wenyewe. Maana ndio kwanza rushwa imeota mizizi. I love my country with all i have. Amen

sema anifai sio atufai

kuna wahanga wanaomba asitoke mpaka 2030
 
Back
Top Bottom