nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara kauli zinazotolewa na mnajimu Sheikh yahaya kuhusu Rais wetu na kudhihirisha wazi kuwa JK ni mshrikina wa kutupwa na hata siku moja serikali wala ikulu haijawahi kukanusha madai haya hivyo nalazimika kuhitimisha kwa kusema Taifa hili limepotea kimaadili kwa kuruhusu ushirikina kushika hatamu za utawal, watanzania wenye maadili na dini zao fanyeni mabadliko ya uongozi kwa kumchagua mtu anayemuogopa mungu.