Serikali yetu na ikulu wanaabudu ushirikina na uchawi

PhD

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
4,599
3,673
nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara kauli zinazotolewa na mnajimu Sheikh yahaya kuhusu Rais wetu na kudhihirisha wazi kuwa JK ni mshrikina wa kutupwa na hata siku moja serikali wala ikulu haijawahi kukanusha madai haya hivyo nalazimika kuhitimisha kwa kusema Taifa hili limepotea kimaadili kwa kuruhusu ushirikina kushika hatamu za utawal, watanzania wenye maadili na dini zao fanyeni mabadliko ya uongozi kwa kumchagua mtu anayemuogopa mungu.
 
Rais mshirikina, mgonjwa , mwongo, anayedanganywa hovyo , asiye na vision, msafiri,( Vasco Dagama wa TZ) mtembeza bakuli (omba omba) , asiyepima kauli zake kabla ya kuongea na Wazee wa Darisalaam etc etc

ETI Bado anaomba kura! Nasema na aondokeeeeeeeeeeeeeeeee ...................
 
Lakini usisahu ushirikina tulikuwa nao tokea jadi. Kwa hiyo hatujapotea bali tunatakiwa tutoke huku hasa katika zama hizi za sayansi...
 
nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara kauli zinazotolewa na mnajimu Sheikh yahaya kuhusu Rais wetu na kudhihirisha wazi kuwa JK ni mshrikina wa kutupwa na hata siku moja serikali wala ikulu haijawahi kukanusha madai haya hivyo nalazimika kuhitimisha kwa kusema Taifa hili limepotea kimaadili kwa kuruhusu ushirikina kushika hatamu za utawal, watanzania wenye maadili na dini zao fanyeni mabadliko ya uongozi kwa kumchagua mtu anayemuogopa mungu.

Hakika,nchi inahitaji mabadiliko ya haraka na Mungu atusaidie Watanzania wote kuelewa hilo. Nchi haiwezi kuendelea katika mfumo huu wa kishirikiana. Serikali haiamini uchawi na ushirikina lakini leo Mnajimu anajinafasi kwa umma kwamba anamlinda Jk kwa ulinzi usionekana. Hii hatari sana. Tunahitaji mabadiliko ili nchi hii ikabidhiwe kwa MUNGU na sio majini ya mnajimu. Uchumi wetu hauhitaji unajimu ili kufanikiwa unahitaji umakini na maono ya wapi Taifa linahitaji kwenda.
 
Rais+Kikwete.jpg


Ukijua maana ya hiyo pete ndo utajua
 
Hata kama uchawi ulikuwepo lakin si karne hii si wa kuuendekeza kaka upo
 
Huyo shehe Yahya naona anatumika sana na serikali maana mpaka sasa ikulu haijatoa msimamo wake kuhusiana na kauli zake ambazo zinatuchanganya hasa wale wasioamini mambo ya ushirikina.
 
PhD,

Aksante kwa kuanzisha topic hii.

  • Kama kuna jambo linalo nikera kwa sasa hivi ni hii habari ya SHEIKH YAYHYA kujihusisha na Kampeni za Kikwete kwa kuwatishia watu na UCHAWI.
  • Haingii akilini hata kidogo Serikali ya CCM iendeshwe na Kigagula Sheikh Yahya kwa Remote Control.
  • Alianza kuwatisha watu kabla hata ya Mchakato wa kuwapata wagombea wa Urais na Ubunge kwa kusema atakayempinga Kikwete atakufa kifo cha ghafla.
  • Baadaye akaja na nyingine kuwa Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010 hautafanyika badala yake utaahirishwa kutokana na mmoja wa Wagombea nafasi ya Urais kufa.
  • Pale Jangwani baada ya Kikwete kuanguka ghafla alipoulizwa sababu za Kikwete kuanguka Sheikh Yahya akasema kuwa ni DALILI ZA USHINDI wa kishindo!!!!Hapa ameshasahau kuwa alisema kuwa Uchaguzi hautakuwepo.
  • Juzi akaja na mpya tena kuwa KUANGUKA KWA KIKWETE ILIKUWA NI MAMBO YA KISHIRIKINA kwa hiyo yeye ameamua KUMLINDA KIKWETE KWA NGUVU NYINGINE ISIYOONEKANA!!!!!UCHAWI(KAMA NI HIRIZI,KAMA NI MIFUPA YA ALBINO) wanajua Sheikh na Kikwete
Ukiangalia bulltes zote hapo juu utagundua kuwa Sheikh Yahya anatumiwa na IKULU au KIKWETE mwenyewe ili aingie madarakani kwa kutumia NGUVU ZA GIZA.

Hapa ndipo penye matatizo makubwa! Kama KIKWETE anajua kuwa anaitawala nchi hii kwa nguvu za giza kuna haja gani ya kufanya uchaguzi????

Hivi vitisho vinavyotolewa na Sheikh Yahya na wao CCM na Serikali yao wanataka kutuambia nini Watanzania????Kweli kwamba sasa tumefikia mahali Tanzania inaongonzwa na mpiga ramli anayesoma Nyota na kututabiria nani agombee au asigombee?Nani awe Rais na nani asiwe Rais.

Kwa hili mimi nasema NO kwa herufi kubwa kabisa. Nataka CCM wanisikie na wanisome huko waliko. Nataka Kikwete kama M/Kiti wa CCM,Mshambaa Makamba kama Katibu Mkuu wa CCM na Kinana kama Meneja wa Kampeni za Kikwete wajitokeze na wautangazie umma wa Wadanaganyika kuwa KWA SASA TANZANIA INAONGOZWA NA NGUVU ZA GIZA KUPITIA REMOTE CONTROL NA KIGAGULA SHEIKH YAYHA
Nahitimisha kwa kusema kwamba kwa SERIKALI YA CCM KUANZA KUTUINGIZA KWENYE MAMBO YA USHIRIKINA ADHABU YAO NI KUWANYIMA KURA NA KUWAPA vyama vingine vya SIASA ikiwemo CHADEMA,CUF,UDP,TLP,NCCR-Mageuzi n.k

Dk.Slaa nilimsikia juzi akisema kuwa Mungu aepushe mbali na mambo ya USHIRIKINA katika nchi hii.
 
Nakubaliana na mtoa hoja kuwa huyu kigagula ana ushirika na ikulu,Mheshimiwa atakuwa mteja wake na ndio maana hajakanusha yote ayasemayo sheikh yahya.Akikanusha tu itakula kwake,majini ya sheikh yahya yatakula naye sahani moja,hivyo hawezi kanusha
 
Hakika,nchi inahitaji mabadiliko ya haraka na Mungu atusaidie Watanzania wote kuelewa hilo. Nchi haiwezi kuendelea katika mfumo huu wa kishirikiana. Serikali haiamini uchawi na ushirikina lakini leo Mnajimu anajinafasi kwa umma kwamba anamlinda Jk kwa ulinzi usionekana. Hii hatari sana. Tunahitaji mabadiliko ili nchi hii ikabidhiwe kwa MUNGU na sio majini ya mnajimu. Uchumi wetu hauhitaji unajimu ili kufanikiwa unahitaji umakini na maono ya wapi Taifa linahitaji kwenda.

nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara kauli zinazotolewa na mnajimu Sheikh yahaya kuhusu Rais wetu na kudhihirisha wazi kuwa JK ni mshrikina wa kutupwa na hata siku moja serikali wala ikulu haijawahi kukanusha madai haya hivyo nalazimika kuhitimisha kwa kusema Taifa hili limepotea kimaadili kwa kuruhusu ushirikina kushika hatamu za utawal, watanzania wenye maadili na dini zao fanyeni mabadliko ya uongozi kwa kumchagua mtu anayemuogopa mungu.

Rais mshirikina, mgonjwa , mwongo, anayedanganywa hovyo , asiye na vision, msafiri,( Vasco Dagama wa TZ) mtembeza bakuli (omba omba) , asiyepima kauli zake kabla ya kuongea na Wazee wa Darisalaam etc etc

ETI Bado anaomba kura! Nasema na aondokeeeeeeeeeeeeeeeee ...................

Rais+Kikwete.jpg


Ukijua maana ya hiyo pete ndo utajua

:confused2:

Hata kama uchawi ulikuwepo lakin si karne hii si wa kuuendekeza kaka upo

pleeeease
naomba kujua maana pls

kaka tufunue macho maana pete hizo !

Huyo shehe Yahya naona anatumika sana na serikali maana mpaka sasa ikulu haijatoa msimamo wake kuhusiana na kauli zake ambazo zinatuchanganya hasa wale wasioamini mambo ya ushirikina.

PhD,

Aksante kwa kuanzisha topic hii.

  • Kama kuna jambo linalo nikera kwa sasa hivi ni hii habari ya SHEIKH YAYHYA kujihusisha na Kampeni za Kikwete kwa kuwatishia watu na UCHAWI.
  • Haingii akilini hata kidogo Serikali ya CCM iendeshwe na Kigagula Sheikh Yahya kwa Remote Control.
  • Alianza kuwatisha watu kabla hata ya Mchakato wa kuwapata wagombea wa Urais na Ubunge kwa kusema atakayempinga Kikwete atakufa kifo cha ghafla.
  • Baadaye akaja na nyingine kuwa Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010 hautafanyika badala yake utaahirishwa kutokana na mmoja wa Wagombea nafasi ya Urais kufa.
  • Pale Jangwani baada ya Kikwete kuanguka ghafla alipoulizwa sababu za Kikwete kuanguka Sheikh Yahya akasema kuwa ni DALILI ZA USHINDI wa kishindo!!!!Hapa ameshasahau kuwa alisema kuwa Uchaguzi hautakuwepo.
  • Juzi akaja na mpya tena kuwa KUANGUKA KWA KIKWETE ILIKUWA NI MAMBO YA KISHIRIKINA kwa hiyo yeye ameamua KUMLINDA KIKWETE KWA NGUVU NYINGINE ISIYOONEKANA!!!!!UCHAWI(KAMA NI HIRIZI,KAMA NI MIFUPA YA ALBINO) wanajua Sheikh na Kikwete
Ukiangalia bulltes zote hapo juu utagundua kuwa Sheikh Yahya anatumiwa na IKULU au KIKWETE mwenyewe ili aingie madarakani kwa kutumia NGUVU ZA GIZA.

Hapa ndipo penye matatizo makubwa! Kama KIKWETE anajua kuwa anaitawala nchi hii kwa nguvu za giza kuna haja gani ya kufanya uchaguzi????

Hivi vitisho vinavyotolewa na Sheikh Yahya na wao CCM na Serikali yao wanataka kutuambia nini Watanzania????Kweli kwamba sasa tumefikia mahali Tanzania inaongonzwa na mpiga ramli anayesoma Nyota na kututabiria nani agombee au asigombee?Nani awe Rais na nani asiwe Rais.

Kwa hili mimi nasema NO kwa herufi kubwa kabisa. Nataka CCM wanisikie na wanisome huko waliko. Nataka Kikwete kama M/Kiti wa CCM,Mshambaa Makamba kama Katibu Mkuu wa CCM na Kinana kama Meneja wa Kampeni za Kikwete wajitokeze na wautangazie umma wa Wadanaganyika kuwa KWA SASA TANZANIA INAONGOZWA NA NGUVU ZA GIZA KUPITIA REMOTE CONTROL NA KIGAGULA SHEIKH YAYHA
Nahitimisha kwa kusema kwamba kwa SERIKALI YA CCM KUANZA KUTUINGIZA KWENYE MAMBO YA USHIRIKINA ADHABU YAO NI KUWANYIMA KURA NA KUWAPA vyama vingine vya SIASA ikiwemo CHADEMA,CUF,UDP,TLP,NCCR-Mageuzi n.k

Dk.Slaa nilimsikia juzi akisema kuwa Mungu aepushe mbali na mambo ya USHIRIKINA katika nchi hii.

Mh! mi chichemi!

Nakubaliana na mtoa hoja kuwa huyu kigagula ana ushirika na ikulu,Mheshimiwa atakuwa mteja wake na ndio maana hajakanusha yote ayasemayo sheikh yahya.Akikanusha tu itakula kwake,majini ya sheikh yahya yatakula naye sahani moja,hivyo hawezi kanusha

jamani hizi ni propaganda za serikali ili kuweza kuwapunguza nguvu waleta mabadiliko......huyu mchawi mzee hana lolote zaidi ya kuwapagawisha watu!!!!! kwanza naye afya yake imezorota sana siku za hivi karibuni!!!! Ni sawa na wakati wa vita mataifa yanapopigana utasikia redio mbao mara ooh vikosi vimeuteka mji fulani na wameua watu kadhaa......lakini ukifika sehemu hiyo si ajabu kukuta wao ndio wameelemewa ile mbaya ...
 
pleeeease
naomba kujua maana pls
hiyo aliyovaa kidole cha mkono wa kushoto ni ya ndoa.
hiyo ya mkono mwin gine sijui ni ya nini!
Na kwa mujibu wa dini ya kiislamu mwanaume huwa havai gold, sasa sijui itakuwa ni pete ya nini!!
 
Nashangaa bado watu wanaendelea kuleta hii thread ya kipuuzi humu. Nilisema tangia jana kuwa mzee yahya hajaanza kipindi cha kikwete. hivi mmesahau kipindi cha mkapa alisema kuwa mtu mwenye upara ndo atakaeshinda? Mbona watu hawakumwambia mkapa ajitokeza uau mang'ula au m/kiti wa kampeni wake? Au kwa sababu huyu si mwenzetu? Tuache unafiki.
 
Back
Top Bottom