KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Najiuliza maswali juu ya mstakabali wa nchi hii na siasa zake nakoswa jibu, maana nikikumbuka tangu 1977 CCM ilizaliwa lakini kila miaka ikienda nilitegemea kitakuwa chama chakuwatoa wananchi katika lindi la umaasikini!
La kushangaza ni kwamba kimekuwa akikumbatia mafisadi nchi nzima hata rais anayekuwa madarakani hanakuwa hana sauti yakuwaweka kizuizini walewote wanaobainika na rushwa na mbaya zaidi rais wanchi anatamka wazi kwamba
"Wala rushwa tunawajua na tutawafunga"
Hivikweli rais wanchi unajua yote unakubali kuyumbishwa? Kwanini usiwatie ndani kwanza then sheria ije ichukue mkondo wake na idhihirishe kwamba rais anachukia rushwa!
Nashindwa kuelewa anahitajika rais wa aina gani anaye weza kukemea walarushwa kwa kuanzia kwa viongozi serikalini hadi nje ya serikali!
Wewe kama mtanzania, unadhani hapa Tanzania panahitajika rais wa aina gani wakuwezakuleta maendeleo ya nchi yako?
La kushangaza ni kwamba kimekuwa akikumbatia mafisadi nchi nzima hata rais anayekuwa madarakani hanakuwa hana sauti yakuwaweka kizuizini walewote wanaobainika na rushwa na mbaya zaidi rais wanchi anatamka wazi kwamba
"Wala rushwa tunawajua na tutawafunga"
Hivikweli rais wanchi unajua yote unakubali kuyumbishwa? Kwanini usiwatie ndani kwanza then sheria ije ichukue mkondo wake na idhihirishe kwamba rais anachukia rushwa!
Nashindwa kuelewa anahitajika rais wa aina gani anaye weza kukemea walarushwa kwa kuanzia kwa viongozi serikalini hadi nje ya serikali!
Wewe kama mtanzania, unadhani hapa Tanzania panahitajika rais wa aina gani wakuwezakuleta maendeleo ya nchi yako?