Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sijui kwa nini waandishi wanakubali kudanganya wananchi, rais anahutubia mkutano utaona ktk picha watu wamekaa mkutano wa ndani, hii ni nini kama sio kudanganya au siku hizi wanahutubia mikutano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapa ningependa kuzungumzia kutengenezwa kwa Database kwa ajili ya wapiga kura. Kwa mawazo yangu kwa wale ambao wako nje ya vituo vyao vya kupiga kura ingetengenezwa Database ambayo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wale ambao hawakupata kusikiliza jana leo pia inarudiwa hapa Bongo Radio--Tanzania Best Radio for Bongo Flava, Zilipendwa, Muziki Wa Dansi and African Music iko hewani muda huu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ningependa kuona ahadi hizi zinasisitizwa kutoka kwa wagombea 1. ku explore new opportunities zaidi. nchi kama Tanzania ni kubwa sana na ina maliasili nyingi sana. Mf. kuhusu madini huenda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya mdahalo wa siku ya ijumaa tarehe 29/11/2010 kati ya wananchi wa Tanzania na mgombea wa CUF kundi fulani ambalo lilikuwa LIMPIGIE kura mgombea wa CCM litazigawa kura hizo na kumpa mgombea...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Roho inaniuma mno kuona ni jinsi gani baadhi ya watanzania wenzetu especially walioko madarakani wanavyotufanya wananchi wajinga na tusio na uelewa wowote. - Hivi ni kweli bado week 2 kabla ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Eee Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi. Pokea heshima na utukufu, tunaliinua jina na enzi yako ya milele yote. Asante kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania ambao umepita salama bila machafuko yoyote...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nipo nje ya jiji la dar lakini nimebahatika kupata habari kuwa kunawatu hapo dar wameandaa show za bure ili watu wakose fulsa ya kumuona na kumsikisiza Dr slaa. Kwan hali ipo wazi kabisa kuwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Huyu Jamaa ni kweli anachokisema? anauliza kwa nini CCm wanamlazimishia mawazo Link YouTube - "CCM WANITISHIA MAISHA" PASTOR FAUSTIN MUNISHI ON FACE BOOK
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Dk.Slaa aandaa Mawaziri WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) kikitamba kunyakua zaidi ya majimbo 47 Tanzania Bara, mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
hivi kwanini mikoa inayoikumbatia ccm hapa tz ni masikini ya kutupwa?mimi ninayoijua ni singida,lindi,mtwara na tabora,jf plz,ni serious ishu haswa tunapoelekea kwenye uchaguzi,tuisaidie wafanye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi nina maswali yafuatayo ambayo ningependa nimuulize 1. Ningependa kujua kuhusu hao vijana wake wa kazi mashushushu wanaompa taarifa mbali mbali anazokuwa anadai ni mabomu analipuwa, kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dr. Slaa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA anafafanua masuala mengi ikiwemo: Comparative advantage Stimulus package ya uchumi (kinga dhini ya mdororo wa kiuchumi duniani) Stabilization Fund...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika Hali ya kushangaza na kushtusha. Membe ameenda mkoani Mwanza kwa nia ya kukanusha "uvumi" anaosema unaenezwa na walioshindwa kupata urais ndani ya CCM. Uvumi aliosema unaenezwa na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Utafiti wangu wa kina umebaini yakuwa CCM ina ajenda za siri ambazo utekelezaji wake utazua mgawanyiko mkubwa wa utaifa wetu na ndiyo maana hawapo tayari kuzizungumzia hadharani wakati huu wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mpendwa sana dada Rose, na Team yako yote (Mh Ulimwengu, na Tanzania Foundation for Civil Society) iliyoandaa kazi ambayo ni exceptional Tanzania, yaani Debate ya jana Usiku kwa Dr Slaa (mgombea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimepata habari kwamba jana mchana kumetokea mapigano kiasi cha waumini kukimbia ovyo katika msikiti mmoja mjini Bukoba. Msikiti huu maarufu kama msikiti wa waarabu uliopo katika eneo la...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Be part of a national election monitoring exercise for #UchaguziTZ Ushahidi comes to Tanzania! It comes in the form of uchaguzi.or.tz, implemented by TACCEO, a group of 16 Tanzanian civil...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimetoka mazoezini sasa hivi. Nilipitia kibanda cha magazeti kununua machache. Kulikuwa na watu 8 niliokadiria umri wao kuwa Kati ya miaka 25 hadi 40. Mjadala ulikuwepo wenye hisia mchanganyiko...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Siri za CCM, CUF zavuja MAKUBALIANO kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) kuhusiana na mwendo kuelekea uchaguzi mkuu yamevuja, MwanaHALISI linaweza kuripoti. Taarifa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…