Sijui kwa nini waandishi wanakubali kudanganya wananchi, rais anahutubia mkutano utaona ktk picha watu wamekaa mkutano wa ndani, hii ni nini kama sio kudanganya au siku hizi wanahutubia mikutano...
Hapa ningependa kuzungumzia kutengenezwa kwa Database kwa ajili ya wapiga kura.
Kwa mawazo yangu kwa wale ambao wako nje ya vituo vyao vya kupiga kura ingetengenezwa Database ambayo...
Wale ambao hawakupata kusikiliza jana leo pia inarudiwa hapa
Bongo Radio--Tanzania Best Radio for Bongo Flava, Zilipendwa, Muziki Wa Dansi and African Music
iko hewani muda huu
ningependa kuona ahadi hizi zinasisitizwa kutoka kwa wagombea
1. ku explore new opportunities zaidi.
nchi kama Tanzania ni kubwa sana na ina maliasili nyingi sana. Mf. kuhusu madini huenda...
Baada ya mdahalo wa siku ya ijumaa tarehe 29/11/2010 kati ya wananchi wa Tanzania na mgombea wa CUF kundi fulani ambalo lilikuwa LIMPIGIE kura mgombea wa CCM litazigawa kura hizo na kumpa mgombea...
Roho inaniuma mno kuona ni jinsi gani baadhi ya watanzania wenzetu especially walioko madarakani wanavyotufanya wananchi wajinga na tusio na uelewa wowote.
- Hivi ni kweli bado week 2 kabla ya...
Eee Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi. Pokea heshima na utukufu, tunaliinua jina na enzi yako ya milele yote.
Asante kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania ambao umepita salama bila machafuko yoyote...
Nipo nje ya jiji la dar lakini nimebahatika kupata habari kuwa kunawatu hapo dar wameandaa show za bure ili watu wakose fulsa ya kumuona na kumsikisiza Dr slaa. Kwan hali ipo wazi kabisa kuwa...
Huyu Jamaa ni kweli anachokisema? anauliza kwa nini CCm wanamlazimishia mawazo
Link YouTube - "CCM WANITISHIA MAISHA" PASTOR FAUSTIN MUNISHI ON FACE BOOK
Dk.Slaa aandaa Mawaziri
WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) kikitamba kunyakua zaidi ya majimbo 47 Tanzania Bara, mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod...
hivi kwanini mikoa inayoikumbatia ccm hapa tz ni masikini ya kutupwa?mimi ninayoijua ni singida,lindi,mtwara na tabora,jf plz,ni serious ishu haswa tunapoelekea kwenye uchaguzi,tuisaidie wafanye...
Mimi nina maswali yafuatayo ambayo ningependa nimuulize
1. Ningependa kujua kuhusu hao vijana wake wa kazi mashushushu wanaompa taarifa mbali mbali anazokuwa anadai ni mabomu analipuwa, kwa...
Dr. Slaa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA anafafanua masuala mengi ikiwemo:
Comparative advantage
Stimulus package ya uchumi (kinga dhini ya mdororo wa kiuchumi duniani)
Stabilization Fund...
Katika Hali ya kushangaza na kushtusha. Membe ameenda mkoani Mwanza kwa nia ya kukanusha "uvumi" anaosema unaenezwa na walioshindwa kupata urais ndani ya CCM.
Uvumi aliosema unaenezwa na...
Utafiti wangu wa kina umebaini yakuwa CCM ina ajenda za siri ambazo utekelezaji wake utazua mgawanyiko mkubwa wa utaifa wetu na ndiyo maana hawapo tayari kuzizungumzia hadharani wakati huu wa...
Mpendwa sana dada Rose, na Team yako yote (Mh Ulimwengu, na Tanzania Foundation for Civil Society) iliyoandaa kazi ambayo ni exceptional Tanzania, yaani Debate ya jana Usiku kwa Dr Slaa (mgombea...
Nimepata habari kwamba jana mchana kumetokea mapigano kiasi cha waumini kukimbia ovyo katika msikiti mmoja mjini Bukoba. Msikiti huu maarufu kama msikiti wa waarabu uliopo katika eneo la...
Be part of a national election monitoring exercise for #UchaguziTZ
Ushahidi comes to Tanzania! It comes in the form of uchaguzi.or.tz, implemented by TACCEO, a group of 16 Tanzanian civil...
Nimetoka mazoezini sasa hivi. Nilipitia kibanda cha magazeti kununua machache. Kulikuwa na watu 8 niliokadiria umri wao kuwa Kati ya miaka 25 hadi 40. Mjadala ulikuwepo wenye hisia mchanganyiko...
Siri za CCM, CUF zavuja
MAKUBALIANO kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) kuhusiana na mwendo kuelekea uchaguzi mkuu yamevuja, MwanaHALISI linaweza kuripoti. Taarifa...