Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,288
- 222
ningependa kuona ahadi hizi zinasisitizwa kutoka kwa wagombea
1. ku explore new opportunities zaidi.
nchi kama Tanzania ni kubwa sana na ina maliasili nyingi sana. Mf. kuhusu madini huenda yanayochimbwa ni kiasi kidogo sana ukifananisha na yaliyopo - hivyo tungeweza kuelekeza nguvu nyingi katika kutafuta hayo maeneo mengine na tuyachimbe wenyewe. Pia katika mafuta, nk.
tunapaswa kujifunza kuhusu maliasilli zetu, tuzijue, tuzitafiti, tuchimbe wenyewe. ikiwa tutabaki kusubili wawekezaji watafute wenyewe kama inavyofanyika sasa ndiyo mwazo wa mikataba tunayoilalamikia
2. kuweka mipango kabambe ya kuhakikisha watu wanafanya kazi kwa bidii na maarifa. lazima tujue ni waTZ wangapi wanafanya kazi ya uzalishaji.
wakati ule kulikuwa na nguvukazi - kuhakikisha watu wenye nguvu za kufanya kazi hawakai vijiweni.
1. ku explore new opportunities zaidi.
nchi kama Tanzania ni kubwa sana na ina maliasili nyingi sana. Mf. kuhusu madini huenda yanayochimbwa ni kiasi kidogo sana ukifananisha na yaliyopo - hivyo tungeweza kuelekeza nguvu nyingi katika kutafuta hayo maeneo mengine na tuyachimbe wenyewe. Pia katika mafuta, nk.
tunapaswa kujifunza kuhusu maliasilli zetu, tuzijue, tuzitafiti, tuchimbe wenyewe. ikiwa tutabaki kusubili wawekezaji watafute wenyewe kama inavyofanyika sasa ndiyo mwazo wa mikataba tunayoilalamikia
2. kuweka mipango kabambe ya kuhakikisha watu wanafanya kazi kwa bidii na maarifa. lazima tujue ni waTZ wangapi wanafanya kazi ya uzalishaji.
wakati ule kulikuwa na nguvukazi - kuhakikisha watu wenye nguvu za kufanya kazi hawakai vijiweni.