Ahadi hizi zisisitizwe na wagombea

Ahadi hizi zisisitizwe na wagombea

Ng'azagala

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2008
Posts
1,288
Reaction score
222
ningependa kuona ahadi hizi zinasisitizwa kutoka kwa wagombea
1. ku explore new opportunities zaidi.
nchi kama Tanzania ni kubwa sana na ina maliasili nyingi sana. Mf. kuhusu madini huenda yanayochimbwa ni kiasi kidogo sana ukifananisha na yaliyopo - hivyo tungeweza kuelekeza nguvu nyingi katika kutafuta hayo maeneo mengine na tuyachimbe wenyewe. Pia katika mafuta, nk.
tunapaswa kujifunza kuhusu maliasilli zetu, tuzijue, tuzitafiti, tuchimbe wenyewe. ikiwa tutabaki kusubili wawekezaji watafute wenyewe kama inavyofanyika sasa ndiyo mwazo wa mikataba tunayoilalamikia

2. kuweka mipango kabambe ya kuhakikisha watu wanafanya kazi kwa bidii na maarifa. lazima tujue ni waTZ wangapi wanafanya kazi ya uzalishaji.
wakati ule kulikuwa na nguvukazi - kuhakikisha watu wenye nguvu za kufanya kazi hawakai vijiweni.
 
ningependa kuona ahadi hizi zinasisitizwa kutoka kwa wagombea
1. ku explore new opportunities zaidi.
nchi kama Tanzania ni kubwa sana na ina maliasili nyingi sana. Mf. kuhusu madini huenda yanayochimbwa ni kiasi kidogo sana ukifananisha na yaliyopo - hivyo tungeweza kuelekeza nguvu nyingi katika kutafuta hayo maeneo mengine na tuyachimbe wenyewe. Pia katika mafuta, nk.
tunapaswa kujifunza kuhusu maliasilli zetu, tuzijue, tuzitafiti, tuchimbe wenyewe. ikiwa tutabaki kusubili wawekezaji watafute wenyewe kama inavyofanyika sasa ndiyo mwazo wa mikataba tunayoilalamikia

2. kuweka mipango kabambe ya kuhakikisha watu wanafanya kazi kwa bidii na maarifa. lazima tujue ni waTZ wangapi wanafanya kazi ya uzalishaji.
wakati ule kulikuwa na nguvukazi - kuhakikisha watu wenye nguvu za kufanya kazi hawakai vijiweni.

Wewe upo Tanzania au ndiyo umeamka leo???? Mbona Dr Slaa kaeleza hayo yote au umetumwaaaaaa! Pata habari zote za majibu ya hivyo unavyotaka vitekelezwe Chirbit ( mambo ) - Record, Upload and Share Audio Easily - Micro Podcast - Audio Sound Bites
 
Wewe upo Tanzania au ndiyo umeamka leo???? Mbona Dr Slaa kaeleza hayo yote au umetumwaaaaaa! Pata habari zote za majibu ya hivyo unavyotaka vitekelezwe Chirbit ( mambo ) - Record, Upload and Share Audio Easily - Micro Podcast - Audio Sound Bites

acha ushabiki ndugu yangu jana nimeona LIVE hotuba yote - ndiyo maana nasema haya yasisitizwe
mambo mengi yaliyoongelewa ni kurekebisha makosa yaliyopo kama mikataba nk.

unamaanisha nini unavvyosema nimetumwa? shame on you
 
Back
Top Bottom