DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Nipo nje ya jiji la dar lakini nimebahatika kupata habari kuwa kunawatu hapo dar wameandaa show za bure ili watu wakose fulsa ya kumuona na kumsikisiza Dr slaa. Kwan hali ipo wazi kabisa kuwa slaa anaugwa mkono na vijana waliowengi ambao weng wao wanapenda mziki. Kama kuna mtu ana habari zaidi atupatie taarifa.