Elections 2010 Show za bure zaandaliwa kuharibu kampeni za Dr Slaa

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,269
473
Nipo nje ya jiji la dar lakini nimebahatika kupata habari kuwa kunawatu hapo dar wameandaa show za bure ili watu wakose fulsa ya kumuona na kumsikisiza Dr slaa. Kwan hali ipo wazi kabisa kuwa slaa anaugwa mkono na vijana waliowengi ambao weng wao wanapenda mziki. Kama kuna mtu ana habari zaidi atupatie taarifa.
 
watu hawadanganyiki tena, sidhani kama kuna show inayopendwa Tanzania kama English Premier League, lakini jana maeneo mengi watu waliswitch ITV kumwona Mkombozi, kwa hilo wamechemsha
 
Watanzania hawataki tena fiesta wanataka kuboresha maisha yao, na kama jana waliweza kuweka mpira pembeni na kumwangalia dr Slaa kw masaa 2, hizo fiesta hazisaidi..
 
Ni kweli naungana na hoja yako.
hapa jirani kwangu umeme ulileta matatizo na kwenye social hall pekee yenye generator kuliandaliwa free show na mshehereshaji alikuwa anajisahau na kusema ccm juuuuu!!! Ukumbi unaitwa LULU pub maeneo ya kigamboni.
show ilikuwa inakiuka sheria kwa kupiga sauti kubwa hata kuharibu usikivu kwa walio jirani. na iliisha muda mchache baada ya hotuba.

Dawa ni kuappeal kwa ITV warejeshe hicho kipindi maalumu marudio siku ya jumamosi ili kuwaweka sawa watu. hata leo jioni.
 
mkuu hata show gani iandaliwe haitajaa kabla ya mikutano ya huyu jamaa... waulize simba mwanza ilikuaje mechi ya jumatano??

utasikia na utaniambia
 
mkuu hata show gani iandaliwe haitajaa kabla ya mikutano ya huyu jamaa... waulize simba mwanza ilikuaje mechi ya jumatano??

utasikia na utaniambia
ni kwamba umeme ulikatwa na watu tulipokimbilia kwenye hizi kumbi tukakuta shows za bure zinaendelea. mie nikaamua kurejea home kufuatilia mdahalo kupitia kwa member aliyekuwa anasikiliza bongo radio.
 
watz hatudanganyiki tena jaman, mie jana nlikuwa na party ya harusi ya kaka yangu, amini usiamnini watu waliwahi sana eneo la karibu na ukumi but baa za jirani zilizokuwa zinarusha mdahalo ungedhani ndo kumbi zenyewe, harusi ilianza saa nne kasoro, hakuna watu ndani wanataka kujihakikishia je jpili iayo kura zao wanazicast kihalali au laa? kila mtu alikuali kwel tunae kiongozi mwenye vision, asieogopa kukemea! vote for Slaa and Chadema Mps next sunday
 
Sisi hapa tukisema kuwa kikwete ni bingwa wa hoax mnasema sisi ni pro chadema. haya angalia na yeye anavyoelemewa kwenye facebook page yake.
Watanzania bila uoga wanamtolea uvivu huku wakiwa hawana uoga. na wanaomtetea hawajui hata sababu ya kumtetea wanabaki kutukana tu
cheki hapo chini

Jakaya Kikwete




Mikutano na wananchi
By:JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010
Photos:99



Wednesday at 12:10pm · Comment · LikeUnlike · Share · Flag


  • 30 people like this.
  • 50 of 61

    • Kasille Wilbert Mh, ucjali; najua hofu unayo tena kwa sana tu...ila nakuomba upunguze iyo hofu na ufanye kuwaachiwa wananchi kazi yao ili demokrasia ifanye kazi yake.
      (kiti, bado nichako - nakutakia mfanikio mema Mh, JK)Wednesday at 12:27pm · LikeUnlike ·

    • Chidodolao Tighter ccm lazima tushnde mheshimiwa usiwe na shaka yangu kura umepata bila ya shaka sijaona sera kama sera za ccm wapizani wamedoda Wednesday at 12:28pm · LikeUnlike ·

    • George Porgie Wapinzani hawana sera za kuishinda CCM. Mpaka sasa JK yuko juu! nani anabisha! Jk utamfananisha na nani sasa! Wednesday at 12:33pm · LikeUnlike ·

    • Rehema Issaay Good luck manWednesday at 12:34pm · LikeUnlike ·

    • Salome Musa ‎@mathias!hakuna haja ya kuiba ukwel uko pale pale CCM # 1,ushindi kama kawaidaWednesday at 12:35pm · LikeUnlike ·

    • Shabani Selemani Kaza buti muheshimiwa... Bado 2na hitaji maendeleo Tz....Wednesday at 12:40pm · LikeUnlike ·

    • Glory William Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Amani itawale katika jina la Yesu. Ameeeen!Wednesday at 12:41pm · LikeUnlike · 2 peopleLoading... ·

    • Collins Jonathan Mböna injulikana,kuiba kwa chama cha mafisadi kama kawa,si mungekubali tutumie electronic voting?kwa nini hamkukubali? Ila hata mkiiba,aibu itawabakia.chama cha mafisadi.yaani hayati mwl. Nyerere angekuepo,angewapa bakora nyinyi,si uliambiwa we mtoto jk,au hukumbuki?yaani umegeuza chama cha mapinduzi kuwa cha mafisadi,si bora ungefanya maendeleo kiitwe chama cha maendeleo.Wednesday at 12:42pm · LikeUnlike ·

    • Mathias Joseph ‎@nazir ushindi lazima na ukicheza kura yako 2naichakachua Wednesday at 12:47pm · LikeUnlike ·

    • Erick Kilawe mnyonge mnyongeni haki yake mpeni J umefanya mengi watu wanaktlia Fitna tu NA majungu.madua ya kuku hayo hayampati mwewe!!kampeni zikiisha wote watasahau na uwasamehe! Wednesday at 12:47pm · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Agatha Ndile Chadema oyeeeee!Wednesday at 12:48pm · LikeUnlike ·

    • Rosca Bugingo We safisha ikulu Dr on z way coming 2 ikulu, mwaka ukianguka unakufa 1kwa1. Wednesday at 12:50pm · LikeUnlike ·

    • Odili Samalu ‎@agatha, oyeee... Wednesday at 12:50pm · LikeUnlike ·

    • Mathias Joseph ‎@salome musa ushindi kwa jk lazima kuliko ccm isishindi bora amri ya 7 tuvunjeWednesday at 12:52pm · LikeUnlike ·

    • Ismail Kalawa Mwaka huu umechemka hulali kwa mawazo wapizani wapo juu,Ni bora urudi bagamoyo ukafanye mambo ya kinyumbani ili Slaa asikusumbuwe au ulishaenda mkuu?Wednesday at 12:53pm · LikeUnlike ·

    • Odili Samalu CCM RUDISHENI STADIUM ZETU.Wednesday at 12:54pm · LikeUnlike ·

    • Salome Musa ‎@mathias nshakwambia hakuna haja ya kuvunja amri za Mungu especial when we r sure ushindi ni wa CCMWednesday at 12:57pm · LikeUnlike ·

    • Hafidh Abdallah Nassir mwaka huu ni wetu.mheshimwa kikwete utapita kwa kishindo.hasa korogwe kura zote kwako naubunge kwa yusuph nassir aka Obama.inshaallah kila la kheri.Wednesday at 1:00pm · LikeUnlike ·

    • Emm Chr Mwkb Duh!
      Enyi wadanganyika, mtakuja kula maneno yenu, mnaongea kiushabiki hoja za maana mwaziacha kando. Haya subirini muone, akiingia madarakani huyo jah wenu, mutaiona nchi itakavyokuwa.
      Ubinafsi na Woga ndiyo style zenu wadanganyika mtadangan...ywa mpaka lini yailali?
      Me i dont support him cmply because, alivyoviahidi back then hajatekeleza, na mbaya zaidi anaonekana kutetea wala rushwa na mafisadi!
      So mtakaompa, mpeni ila ukweli mwaujua, na alipoteleza cyo atakapoangukia.
      Just be careful oct 31st, remember the truth will set us free!
      20102010 tarehe ya leo nasema, HATUDANGANYIKI, HATUCHAKACHULIWI.
      See More
      Wednesday at 1:02pm · LikeUnlike · 2 peopleLoading... ·

    • Agatha Ndile Ten 2najua mnamikakat ya kuib kur bt ukwel utajulikan c mnamjua dr slaa mzee wa kaz ukwel atausema mwaka huu unalo!Wednesday at 1:03pm · LikeUnlike ·

    • George Emmanuel I discove one thing unatumia mikutano yako ya 2005 sasa hivi kurusha kwenye vyombo vya habari kutukatisha tamaa ati bado watuwanakukubali uwongo mtupu hatukutaki mtetea mafisadi unamtoa uwaziri mkuu alaf eti mbunge ,katumiwa kuiba fedha zetu eti kafariki anazikwa Amerika mmeshindwa kuuleta mwili uwongo hajafa mpeni kura Dr Slaa atamleta arudishe fedha Wednesday at 1:03pm · LikeUnlike · 2 peopleLoading... ·

    • Mathias Joseph ‎@salome musa ushindi kwa jk lazima kuliko ccm isishindi bora amri ya 7 tuvunjeWednesday at 1:03pm · LikeUnlike ·

    • Mathias Joseph ‎@salome musa kwa tadhimin yako.kwann vijana wengi hawa pendi ccm wakat ni ya wazee 2.Wednesday at 1:10pm · LikeUnlike ·

    • Desmond Mgombela ‎@Odili hapo umenena,kwa mi mpenda michezo ccm ndo walipokosa kura yangu..babangu mi si mwanasiasa na wala hana chama lakn mchango wake ulijenga uwanja wa A.A.MWINYI.. Sasa ccm kung'ang'ania c kumnyima hak yake kama mTz acye mwanaccmWednesday at 1:17pm · LikeUnlike ·

    • Salome Musa ‎@ mathias vijana c kwel kwamba vijana wengi hawapend ccm,wanapenda sana na watachagua ccm sema kwamba wanafarij upinzan ili kuleta challenges in politics!na wazee wanapenda ccm vl wanajua ilipowatoa tena wanatushangaa sana vijana vl tunataka kupotoka Wednesday at 1:26pm · LikeUnlike ·

    • Desmond Mgombela ‎@mathias,, c vjana ila walioelimika ndo hawapend ccm ndo mana hata kikwete akagundua ndo mana wanvyuo hawapg kula,.kwa vjana ni weng lakn c wote kwan kuna baadh elim ndogo wanashndwa pambanua mambo wanadanganywa tuWednesday at 1:29pm · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Emm Chr Mwkb Whew!Wednesday at 1:37pm · LikeUnlike ·

    • Rogasian Cecilia Jaman mnatuonea leo mme 2mwagia maji kweli.yaku2washa uwanjani.Wednesday at 1:44pm · LikeUnlike ·

    • Salome Musa ‎@desimond!poor!kama kweli kijana mwanachuo ni mkereketwa wa chama chake na anania ya kupiga kura,vituo vya kupigia kura vyuon vipo havitafungwa so waende wakapige kura!vilivyofungwa ni vyuo na cyo v2o!upo!tafuten kicngzio kingne hicho hakisound vzrWednesday at 1:47pm · LikeUnlike ·

    • Salome Musa ‎@desimond!poor!kama kweli kijana mwanachuo ni mkereketwa wa chama chake na anania ya kupiga kura,vituo vya kupigia kura vyuon vipo havitafungwa so waende wakapige kura!vilivyofungwa ni vyuo na cyo v2o!upo!tafuten kicngzio kingne hicho hakisound vzrWednesday at 2:01pm · LikeUnlike ·

    • Emmanuel Ngwegwe CCM ushindi lazima.napongeza rasi kwa kufanya kapeni zuri ambazo hazina vurungu, endelea kunadi sera za chama cha ccmWednesday at 2:42pm · LikeUnlike ·

    • Godfrey Ngowi dah hapa naimagine kama mabango ya jah yangekuwa mistimu ya umeme kwa tanesco i think tanzania yote ingekuwa kwenye nuru.kizuri chajiuza kibaya je???????gud nyt friends!!!Wednesday at 3:07pm · LikeUnlike ·

    • Salehe Hassan Mwakajinga mbona hizi picha tuaoneshwa zilezile kila siku?Wednesday at 9:03pm · LikeUnlike ·

    • Nazir Sadru Swala la wanavyuo kutopiga kura vyuoni ni uamuzi wa busara , imagine siku itakapotangazwa slaa ameshindwa hali itakuwaje? Mabweni yatawashwa moto . Imagine wanavyuo watakapokuwa wanarudi baada ya kuwa slaa ameshindwa wamebeba visanduku vyao wamenyongonyea wamejaa aibu hawana raha wamekaa kama panya aliyenyeshewa mvua.Wednesday at 9:03pm · LikeUnlike ·

    • Godfrey Ngowi ‎@nazir.acha uwenawazimu fisadi ww wa kihindi,hamna siku umetoa comment ya maana full kuharibu tu.i knw unamwofia slaa coz ww ni fisadi mmojawapo unaye tapatapa kama kuku aliye katwa kichwa anayelekea kufa kibudu.Wednesday at 9:11pm · LikeUnlike ·

    • Ronalld Ngalai CCM mambo mazito.nashauri tutenganishe kazi ya rais ma mke wa rais.na watoto wa rais.mambo yatakuwa poa.lkn mambo yalivyo sijatrust kabisa.Wednesday at 9:29pm · LikeUnlike ·

    • Suhail Thakur ‎@collins jonanthan... Tafadhali acha kumtukana rais..chunga sana mdomo wako.nakushauri broo! Sio heshima hiyo. JK anaumri wa baba yako.sera zako ni matusi tu.unawachafua na wachaga wenzio,pam0ja na slaa. JK lazima atashinda..tafuta pakukimbilia..maana unakesi ya kumtukana rais. .lazima utafutwe. Bila kutokea hivyo ...! Acha matusi tafadhali!Wednesday at 10:07pm · LikeUnlike ·

    • Aron Kidyalla CCM ni chama cha makundi yafuatayo: 1:wanawake(hasa ambao hawana darasa)kwa sababu ya vitu vya bure mf khanga,t-shirt,kofia na pombe. 2.Wazee kwa vile wanaamini kuwa umasikini ni haki yao na... neema ya nchi ni kwa ajili ya viongozi na kwamba upinzani utaleta vita. 3:Vigogo na wote wanaofaidika na wizi wa kodi na rasilimali za watz,Wahindi na machotara wa ki asia wanaofadhili Chama ili waendelee kukaa town na kukwapua mali yetu.
      Wednesday at 10:33pm · LikeUnlike ·

    • Nazir Sadru ‎@Godfrey mi nimuogope slaa! Oh no nimuogope mbwa asiyekuwa na meno.God forbidooo!Wednesday at 11:01pm · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Suhail Thakur ‎@nazir..hahahahaha!hapo umenifurahisha! ehehheheheWednesday at 11:10pm · LikeUnlike ·

    • Suhail Thakur ‎@aron... chadema je? kikundi cha majambazi,wazinifu,wamwaga damu,wabakaji,wanyanyasaji ambao asilimia kubwa ni wachaga..hapo unaonaje?Wednesday at 11:13pm · LikeUnlike ·

    • Adelina John Massawe Yes we canWednesday at 11:58pm · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Deusdedit Charles ‎@mathias joseph bora umeamua kuwaeleza watanzania aina ya ushindi mnaoutegemea. Mnajua kabisa kua sio chaguo la wananchi so mmejiandaa kwa rafu na uchakachuaji. Mwaka huu ni wa ukombozi had vipof wataonaThursday at 12:43am · LikeUnlike ·

    • Deusdedit Charles ‎@mathias joseph bora umeamua kuwaeleza watanzania aina ya ushindi mnaoutegemea. Mnajua kabisa kua sio chaguo la wananchi so mmejiandaa kwa rafu na uchakachuaji. Mwaka huu ni wa ukombozi had vipof wataonaThursday at 12:45am · LikeUnlike ·

    • Annosisye Mwankusye matiasi you do not know what your talking about, utakapokuwa unapigana ili kikwete akalie kiti, huyo kikwete naye atashika panga na bastora au atapanda ndege ulaya, akilindwa na magard kusubiri vulugu iishe arudi??????????????????????????????????????Thursday at 2:04am · LikeUnlike ·

    • Frank Mwangoka Kikwete songa songa mbele we songa mbele........Thursday at 3:51am · LikeUnlike ·

    • Robert Daud The value of your vote! Do we really know why we vote?And if we vote who do we vote for?Corrupt p'ple give bribe to get into office!DONT VOTE FOR THEM!Let's teach them a lesson this time.God bless TzeeThursday at 4:51am · LikeUnlike ·

    • Ommy Nkalami Wewe umepita bila kupingwa.Yesterday at 4:46am · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Annosisye Mwankusye acheni kumdanganya, kiwete nenda kaongoze familia yakoYesterday at 5:28am · LikeUnlike ·

Yaani ukweli ni kwamba ninastushwa sana ha huu mwamko wa watanzania. I thought ni sisi JF pekee kumbe kuna wanaharakati kila kona wanamweka kwenye kona mheshimiwa.
Naamini anazisomaga hizi hoja ndo maana ataitisha mkutano hiyo ijumaa o jumapili
 
Hahahahahah!! watu wamechoka haki yanani. Jamaa wamemwaga laivu bila kuogopa ni kama Madr Slaa wotee. Good movie!
 
wana jf hatutakiwi kukata tamaa pls vote for slaa mimi naamini kama mungu amepanga mafisadi hawawezi kupangua
 
Wana JF mimi nilikuwa Bukoba 14/10/2010 Dr alikuwa na mkutano mkubwa sana (nilihudhuria) hapo kwenye uwanja wa Mashujaa, kwa siku hiyo hiyo ccm waliandaa tamasha la mwalimu kwa kupiga muziki wa bure kwenye uwanja wa Kaitaba. waliambulia watoto tu, hata walipotaka kutoka gate la uwanja lilifungwa wakubwa waliruka ukuta watoto wakabaki hadi mku5 wa Dr Slaa ulipokwisha. Kwa mara ya kwanza sisiem wanamwenzi Mwalimu kwa disco!!!!!!!!!!!!!
 
Wana JF mimi nilikuwa Bukoba 14/10/2010 Dr alikuwa na mkutano mkubwa sana (nilihudhuria) hapo kwenye uwanja wa Mashujaa, kwa siku hiyo hiyo ccm waliandaa tamasha la mwalimu kwa kupiga muziki wa bure kwenye uwanja wa Kaitaba. waliambulia watoto tu, hata walipotaka kutoka gate la uwanja lilifungwa wakubwa waliruka ukuta watoto wakabaki hadi mku5 wa Dr Slaa ulipokwisha. Kwa mara ya kwanza sisiem wanamwenzi Mwalimu kwa disco!!!!!!!!!!!!!
iko siku tutanza kuwa susia na wasanii wanao tumika...nimependa avatar yako
 
dr slaa tosha! hatudanganyiki 2010! ni aibu kwa kijana mtanzania kudanganyika!
 
ccm is just another substitute for a paper that u use comfortably when taking two aka pop!
 
hahahaahahaaaaaaaaa yaani wanamchakachua live hadi kwenye facebook yake
yaani wewe tembelea kule kwenye book yake uone wanavyomzabua rais wima wima.
sisi tupo hapa tunapaswa kupeleka hoja zetu kule pia maana inaonesha wapo wanaompelekea nin kimepostiwa.
ila caution kule hakuna pen name.
 
Back
Top Bottom