Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
View attachment 15693
Hapa ningependa kuzungumzia kutengenezwa kwa Database kwa ajili ya wapiga kura.
Kwa mawazo yangu kwa wale ambao wako nje ya vituo vyao vya kupiga kura ingetengenezwa Database ambayo ingemuwezesha mtu yoyote kupiga kura akiwa kokote ndani ya Tanzania kuchagua kiongozi wa jimbo lake, Diwani, Mbunge na Raiskwa kutumia Database hiyo ambayo itaonesha mtu kapigia kura kituo gani katika Tanzania.
Kila kituo kingekuwa na Laptop iliyounganishwa na Wireless internet kwa ajili ya kuhakiki kama mpiga kura huyo yupo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga kura, amejiandikisha kituo gani na kama tayari ameshapiga kura ama la. Hivi hili haliwezekani?
Ni mawazo tu!
Hapa ningependa kuzungumzia kutengenezwa kwa Database kwa ajili ya wapiga kura.
Kwa mawazo yangu kwa wale ambao wako nje ya vituo vyao vya kupiga kura ingetengenezwa Database ambayo ingemuwezesha mtu yoyote kupiga kura akiwa kokote ndani ya Tanzania kuchagua kiongozi wa jimbo lake, Diwani, Mbunge na Raiskwa kutumia Database hiyo ambayo itaonesha mtu kapigia kura kituo gani katika Tanzania.
Kila kituo kingekuwa na Laptop iliyounganishwa na Wireless internet kwa ajili ya kuhakiki kama mpiga kura huyo yupo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga kura, amejiandikisha kituo gani na kama tayari ameshapiga kura ama la. Hivi hili haliwezekani?
Ni mawazo tu!