Elections 2010 " Mwenyekiti, Nifikishie Maswali Yangu Haya Kwa Dr Slaa"

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Mimi nina maswali yafuatayo ambayo ningependa nimuulize

1. Ningependa kujua kuhusu hao vijana wake wa kazi mashushushu wanaompa taarifa mbali mbali anazokuwa anadai ni mabomu analipuwa, kwa taarifa za hivi karibuni kama ile aliyotutangazia kwenye mkutano wa hadhara kuwa Mstaafu wa EAC ameuawa na polisi na maiti yake iko Muhimbili na ikaja kugundulika kuwa ni taarifa ya uwongo, je anatuhakikishia vipi kuwa yale mabomu yake ya nyuma yalikuwa ni ukweli?

Pili vijana wake walioko TRA hivi karibuni walimpa tena taarifa za uwongo kuhusu gari iliyokuwa huko Tunduma, je ina maana yeye kila anachoambiwa anakichukulia kuwa ni kweli kabla ya kikifanyia kazi? Na kama kweli ana vijana mashushushu walio mahiri kwanini anatuletea mambo ya uzushi?

3. Ikiwa yeye kama kiongozi anaamini kila uzushi anaousikia mjini, je anatuhakikishiaje kuwa atakapokuwa kiongozi hatavictimize watu kutokana na taarifa za redio mbao na uzushi?

4. Kwanini hakemei wafuasi na wanachama wake wanaotumia matusi kumfanyia kampeni? Ina maana ameridhishwa au yeye ameidhinisha utovu wa nidhamu kwa wanachama wake?

5. Hili ni swali langu la mwisho, kwa kuwa Chadema imetumia resource nyingi kufanya kampeni za urais na kutelekeza kampeni za ubunge, je akishinda ataundaje serikali bila kuwa na wabunge wa kutosha kutoka kwenye chama chake? Na kwa kuwa chama chake kitakuwa na wabunge wachache sana ambao hawataweza kupitisha miswada yoyote bungeni, je hizo ahadi zake za kutekeleza mambo ndani ya siku 100 atazitekelezaje?


Hayo ni maswali yangu machache tu mwenyekiti naomba unifikishie maana mimi sitakuwepo kwa kuwa bado niko njiani!

Msafiri.

Source: MJENGWA BLOG
 
Mwenzio kaacha kuleta huku sababu anajua haya maswali ni murua kwa washona viatu pale jamhuri! Au mazungumzo yaliyo busara wakiwa na michuzi wala chai kwa chapati! Au ndio wewe mwenyewe waja kwa jina jipya mbona kama sijakuona humu kabla!
 
swala la kura feki amelirudia tena Mövenpick jana kwa hiyo madai yake anayasimamia hapo swala ni IGP na Kirevu kupinga sasa sijui unataka aseme nini? kuhusu swala la mzee wa EAC, tuambie kwann Polisi walimficha kwa siku kadhaa kama si wanatumika pia?
 
Co kila anaye toa taarifa za uovu anatumiwa na dr slaa ilanihaki ya kila raia kikatiba kufichua uovu unaotokea. Kuhusu EPA Km isinge kuwa kwel wasingerudisha kiasi kidogo kwny zile fedha. Natumaini umeridhika.
 
Wewe umefufukia wapi leo

hii ni moja ya maada mbaya sijawahi kuona.. Yaani ni mbaya sanaaaaaaa
 
Mimi nina maswali yafuatayo ambayo ningependa nimuulize

1. Ningependa kujua kuhusu hao vijana wake wa kazi mashushushu wanaompa taarifa mbali mbali anazokuwa anadai ni mabomu analipuwa, kwa taarifa za hivi karibuni kama ile aliyotutangazia kwenye mkutano wa hadhara kuwa Mstaafu wa EAC ameuawa na polisi na maiti yake iko Muhimbili na ikaja kugundulika kuwa ni taarifa ya uwongo, je anatuhakikishia vipi kuwa yale mabomu yake ya nyuma yalikuwa ni ukweli?

Pili vijana wake walioko TRA hivi karibuni walimpa tena taarifa za uwongo kuhusu gari iliyokuwa huko Tunduma, je ina maana yeye kila anachoambiwa anakichukulia kuwa ni kweli kabla ya kikifanyia kazi? Na kama kweli ana vijana mashushushu walio mahiri kwanini anatuletea mambo ya uzushi?

3. Ikiwa yeye kama kiongozi anaamini kila uzushi anaousikia mjini, je anatuhakikishiaje kuwa atakapokuwa kiongozi hatavictimize watu kutokana na taarifa za redio mbao na uzushi?

4. Kwanini hakemei wafuasi na wanachama wake wanaotumia matusi kumfanyia kampeni? Ina maana ameridhishwa au yeye ameidhinisha utovu wa nidhamu kwa wanachama wake?

5. Hili ni swali langu la mwisho, kwa kuwa Chadema imetumia resource nyingi kufanya kampeni za urais na kutelekeza kampeni za ubunge, je akishinda ataundaje serikali bila kuwa na wabunge wa kutosha kutoka kwenye chama chake? Na kwa kuwa chama chake kitakuwa na wabunge wachache sana ambao hawataweza kupitisha miswada yoyote bungeni, je hizo ahadi zake za kutekeleza mambo ndani ya siku 100 atazitekelezaje?


Hayo ni maswali yangu machache tu mwenyekiti naomba unifikishie maana mimi sitakuwepo kwa kuwa bado niko njiani!

Msafiri.

Source: MJENGWA BLOG

Hayo maswali peleka kwa Mahimbo
 
Co kila anaye toa taarifa za uovu anatumiwa na dr slaa ilanihaki ya kila raia kikatiba kufichua uovu unaotokea. Kuhusu EPA Km isinge kuwa kwel wasingerudisha kiasi kidogo kwny zile fedha. Natumaini umeridhika.
 
Mwambie apeleke kwao Nyaregete,Rujewa MBARALI sio hapa... Kisha waambie wanakijiji wenzake kwanini mashamba ya Mbarali yaliuzwa kwa bei ya kutupa
 
Mimi nina maswali yafuatayo ambayo ningependa nimuulize

1. Ningependa kujua kuhusu hao vijana wake wa kazi mashushushu wanaompa taarifa mbali mbali anazokuwa anadai ni mabomu analipuwa, kwa taarifa za hivi karibuni kama ile aliyotutangazia kwenye mkutano wa hadhara kuwa Mstaafu wa EAC ameuawa na polisi na maiti yake iko Muhimbili na ikaja kugundulika kuwa ni taarifa ya uwongo, je anatuhakikishia vipi kuwa yale mabomu yake ya nyuma yalikuwa ni ukweli?

Pili vijana wake walioko TRA hivi karibuni walimpa tena taarifa za uwongo kuhusu gari iliyokuwa huko Tunduma, je ina maana yeye kila anachoambiwa anakichukulia kuwa ni kweli kabla ya kikifanyia kazi? Na kama kweli ana vijana mashushushu walio mahiri kwanini anatuletea mambo ya uzushi?

3. Ikiwa yeye kama kiongozi anaamini kila uzushi anaousikia mjini, je anatuhakikishiaje kuwa atakapokuwa kiongozi hatavictimize watu kutokana na taarifa za redio mbao na uzushi?

4. Kwanini hakemei wafuasi na wanachama wake wanaotumia matusi kumfanyia kampeni? Ina maana ameridhishwa au yeye ameidhinisha utovu wa nidhamu kwa wanachama wake?

5. Hili ni swali langu la mwisho, kwa kuwa Chadema imetumia resource nyingi kufanya kampeni za urais na kutelekeza kampeni za ubunge, je akishinda ataundaje serikali bila kuwa na wabunge wa kutosha kutoka kwenye chama chake? Na kwa kuwa chama chake kitakuwa na wabunge wachache sana ambao hawataweza kupitisha miswada yoyote bungeni, je hizo ahadi zake za kutekeleza mambo ndani ya siku 100 atazitekelezaje?


Hayo ni maswali yangu machache tu mwenyekiti naomba unifikishie maana mimi sitakuwepo kwa kuwa bado niko njiani!

Msafiri.

Source: MJENGWA BLOG

Wewe acha kuchambua mambo kwa lengo la kutengeneza viji - hoja ambavyo havina nguvu. Tumeshapata mtu mwenye mwelekeo mpya wa kubadili maisha yetu. Wewe ungeweza kufanya mambo aliyofanya bungeni wewe....? Hi taarifa kama hizi hizi ndio zilisaidia. Kuhusu wabunge, je CCM wakishinda lakini wakipata wabunge wachache we unaona itakuwaje?
 
hilo swali la mwisho hata binti yangu LEAH hawezi kuuliza? ni vyema tuwe tunawaza kabla ya kuandika
 
Back
Top Bottom