Wakuu, jana 27/10/2010, Kamanda Mbowe alikuwa Arusha, ambapo walifanya mkutano wa kampeni wa Historia hapa mjini, katika viwanja vya NMC!...Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini Bwana G.Lema alihutubia...
Kativii kangu ka black n white kamepona so uchaguzi niko nao beneti kwa sasa, Jana Dr. slaa nilimuona Jangwani kapata nyomi hata tiviii ilikuwa ndogo, lakini leo huyu Jeykey kapata manyomi...
Ndugu zanguni Watanzania, nimekuwa nikifuatilia uchaguzi hapo nyumbani kwa karibu sana. Nimesoma nakala nyingi zinazo husu uchaguzi wa 2010. Sasa tukiwa tumefika kwenye dakika za lala salama ni...
Namfananisha Kinana na Waziri wa Ulinzi wa Iraq enzi za anguko la utawala wa Saddam Husein. Jamaa (muhammad Saeed al sahhaf) alikuwa anakanusha kila kitu kuhusu kuzidiwa na Wamarekani. Hata...
Just on my way from Lunch, passed through Mwembe togwa fields, Lots of ppl have gathered around. Sorry I couldn't take Pictures but just Expect a Tsunami Crowd. hope my colleague Njowepo may be...
WanaJF naamini wengi wetu kama si wote tutakuwa tumejiandikisha kupiga kura. Lakini kuna huu utaratibu uliowekwa wa kwenda kucheki kama majina yetu yapo. Tafadhari nendeni mkakague kama majina...
Kuna taarifa za uhakika kuwa UWT kwa kushirikiana na ikulu walimbana Mengi kutokuruhusu marudio ya mdahalo wa DR SLAA katika kituo chake cha ITV hapo juzi kama ilivyokuwa imetangazwaa awali.
Ni...
Jamani, hivi mnaona kwamba tangu Shehe Yahya amwahidi Bw Kikwete ulinzi wa majini, yaani mashetani, JK hajaanguka tena? Hii inaonyesha kuwa JK alilikubali pendekezo la Shehe Yahya na amelipokea...
Habari zenu mabibi na bwana, pole sana kwa mihangaiko ya kusaka mkate wa kila siku. Napenda kuchukua fursa hii kuwapeni ushauri wa bure kabisa. Ushauri ambao utatusaidia sisi sote na vizazi vyetu...
Mimi napendekeza kwa CHADEMA kuwa kuna haja kubwa ya mbowe kumsaidia kampeni WEnje hata kwa siku moja tu.Nawaangalia hawa watu kwa mtazamo kwamba Masha anajifanya mtoto wa mjini, Sasa akipelekewa...
Jamani. Hata kama ni kujipendekeza, this is too much.
Kwamba Maghembe anatangaza kuwa watoto wa Tanzania wakihitimu elimu ya msingi sasa watakuwa wanakwenda moja kwa moja sekondari.
Hivi...
Natazama TBC,
Wamemtafuta mwanzilishi wa kiwanda cha Tanga Cement ili ajibu kama Cement inaweza kuuzwa kwa shilingi elfu tano kwa mfuko mmoja kama asemavyo Wilbrod Slaa(PhD). Kwa mujibu wa mzungu...
taarifa zinaenea kwamba zile karatasi za kura zilizokuwa zimekamatwa kule Tunduma kwenye lori inasemekana zimerudishwa Zambia na badala yake zimeingizwa nchini kwa ndege bila kutua kwenye kiwanja...
Kuna uvumi unaenea kasi kuwa:
-Zile kura za Tunduma, zilirudishwa hadi Zambia
-Zikapakiwa kwenye ndege mbili
-Moja ikatua Ngerengere jeshini (airbase)
-Nyingine ikatua serengeti kwenye hotel moja...
Wananchi wa Kyela wameuambia ndugu Harrison kitambo tuu kuwa apumzike aachane na kampeni bse kura za ubunge ameshazipata.
Na kuhusu uraisi wana kyela walimwambia kuwa yeye ubunge sawa ila uraisi...
Marando atinga Maswa kumsaidia Shibuda, baadae Mara na Mwanza atakapowakampenia familia ya Nyerere, Vicent (Musoma Mjini) na Leticia (Magu) na baadae kwenda kuhitimisha kwa Waziri Kijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.