Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Jamani. Hata kama ni kujipendekeza, this is too much.
Kwamba Maghembe anatangaza kuwa watoto wa Tanzania wakihitimu elimu ya msingi sasa watakuwa wanakwenda moja kwa moja sekondari.
Hivi inaingia akilini kwamba mtoto aliyepata wastani wa 0% naye aendelee na masomo ya sekondari? hii ni kuboresha elimu au kitu gani Watanzania.
Kwa nini hawa jamaa hawataki kuamini kuwa Watanzania wa leo si wa mwaka 47?
Kwamba Maghembe anatangaza kuwa watoto wa Tanzania wakihitimu elimu ya msingi sasa watakuwa wanakwenda moja kwa moja sekondari.
Hivi inaingia akilini kwamba mtoto aliyepata wastani wa 0% naye aendelee na masomo ya sekondari? hii ni kuboresha elimu au kitu gani Watanzania.
Kwa nini hawa jamaa hawataki kuamini kuwa Watanzania wa leo si wa mwaka 47?