Ha ha ha haaaaaa, tuliahidi elimu bora tumetekeleza!!! inasikitisha sana. Bahati mbaya hao watoto moyoni wanasema asingekuwa yeye hata hapo wasingekaa. Mungu wangu na Mungu wa Watanzania wote nakuomba utufunulie kuujua ukweli tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Tuwachague viongozi ambao watatuongoza kwenye maendeleo ya kweli. Tazama wana wako hapo juu wanavyopata shida, Mungu ni imani yangu shida hizi wanazopata si kwa mapenzi yako Baba uliye juu, ila ni kwa kosa la watu wako ambao kwa sababu ya vipande vya khanga, fulana, kofia, pilau na pombe wakalewa wakawapa madaraka ya kuongoza nchi yako watu wasiokuwa na uwezo. Ndiyo maana ninakuomba sasa ukageuze mioyo yetu ukatuelekeze kutenda yaliyo mema kwa kufanya kucahgua viongozi wenye uwezo wa kutenda na siyo kunena, wenye uwezo wa kuthubutu na siyo kuota tu. Ameni
haya tungeyabandika makamba alikataza!
elimu bora
chagua ccm
chagua kikwete
Hivi Hii ni tanzania au sudan...dah..
Hivi Hii ni tanzania au sudan...dah..
Mi nimempenda mwalimu................... very committed!
hii ndiyo tanzania bwana,hao utakuta ni lazima waimbe wimbo wa Tanzania Nakupenda...tena pale kwenye kibwagizo cha KWA MOYO WOTE inatakiwa waongeze sauti..
mwe mungu saidia watu hawa..
Inatia huruma. Itanisikitisha sana watu ambao wanaishi maeneo haya na wanamatatizo kama haya wadanganyike kuwa CCM itawaletea maendeleo.
CHAGUENI KIONGOZI MWENYE DIRA NA MWELEKEO WA KUWAKUMBOA WATANZANIA. SEMA HAPANA KWA CCM!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
tanzania yenye neema inawezekana chagua slaa chagua maendeleo