Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Natazama TBC,
Wamemtafuta mwanzilishi wa kiwanda cha Tanga Cement ili ajibu kama Cement inaweza kuuzwa kwa shilingi elfu tano kwa mfuko mmoja kama asemavyo Wilbrod Slaa(PhD). Kwa mujibu wa mzungu huyo aliyehojiwa ni kuwa anachokisema Slaa(PhD) hakiwezekani kwa sababu kusafirisha mfuko mmoja hadi Mara ni shilingi 8,000/=.
Pia ikawepo habari nyingine kuwa GDP ya Tanzania imekuwa sana na changamoto pekee ni kuifanya ioane na hali halisi ya maisha ya mtanzania.
Nadhani lengo lao ni kuchakachua yale yote ambayo Slaa anayasema na ambayo yamempatia heshima kubwa.
Wamemtafuta mwanzilishi wa kiwanda cha Tanga Cement ili ajibu kama Cement inaweza kuuzwa kwa shilingi elfu tano kwa mfuko mmoja kama asemavyo Wilbrod Slaa(PhD). Kwa mujibu wa mzungu huyo aliyehojiwa ni kuwa anachokisema Slaa(PhD) hakiwezekani kwa sababu kusafirisha mfuko mmoja hadi Mara ni shilingi 8,000/=.
Pia ikawepo habari nyingine kuwa GDP ya Tanzania imekuwa sana na changamoto pekee ni kuifanya ioane na hali halisi ya maisha ya mtanzania.
Nadhani lengo lao ni kuchakachua yale yote ambayo Slaa anayasema na ambayo yamempatia heshima kubwa.