johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
Wakati tukiambiwa kuwa Vyombo vya ulinzi na usalama vitatumika kusimami zoezi la kupiga kura, Vitisho vimeanza kuonekana waziwazi wilayani Kibondo, mkoani kigoma.
Juzi, 26.10.2010, askari Polisi wa wilaya hiyo iliyoko mpakani na Burundi na ambayo inasifika kwa vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha, walikuwa wakifanya mazoezi katika mitaa ya mji huo
Mkuu wao, OCD, Innocent Rweramila ameelezea hali hiyo kuwa ni jambo la kawaida kwa walinda usalama hao kujiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu!
wananchi wa Kawaida wanajiuliza, kwanini mazoezi haya yafanyike hivi sasa na si kabla na mbaya zaidi ni kufanyika mitaani
wengi wanaeleza kwamba kw auelewa wao hawajawahi kuwaona askari hao wakifanya mazoezi mitaaani
wanataka kuwatisha wananchi?
kumbuka katika wilaya hiyo Mgombea wa CCM (muhambwe) ambaye anakabiliwa na tuhuma kadhaa, anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wagombea wa NCCR mageuzi na CHADEMA, ambapo jitihada za Makamba na mama salma kufika wilayani humo zimeshindwa kuzima kiu ya mabadiliko ya wananchi
Juzi, 26.10.2010, askari Polisi wa wilaya hiyo iliyoko mpakani na Burundi na ambayo inasifika kwa vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha, walikuwa wakifanya mazoezi katika mitaa ya mji huo
Mkuu wao, OCD, Innocent Rweramila ameelezea hali hiyo kuwa ni jambo la kawaida kwa walinda usalama hao kujiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu!
wananchi wa Kawaida wanajiuliza, kwanini mazoezi haya yafanyike hivi sasa na si kabla na mbaya zaidi ni kufanyika mitaani
wengi wanaeleza kwamba kw auelewa wao hawajawahi kuwaona askari hao wakifanya mazoezi mitaaani
wanataka kuwatisha wananchi?
kumbuka katika wilaya hiyo Mgombea wa CCM (muhambwe) ambaye anakabiliwa na tuhuma kadhaa, anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wagombea wa NCCR mageuzi na CHADEMA, ambapo jitihada za Makamba na mama salma kufika wilayani humo zimeshindwa kuzima kiu ya mabadiliko ya wananchi