Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Wananchi wa Kyela wameuambia ndugu Harrison kitambo tuu kuwa apumzike aachane na kampeni bse kura za ubunge ameshazipata.
Na kuhusu uraisi wana kyela walimwambia kuwa yeye ubunge sawa ila uraisi ni kwa Slaa kwa sababu JK hajatekeleza baadhi ya mambo yao kama kumuondoa Mkuu wa Mkoa ambao ni chanzo cha mitafaruku mkoani Mbeya
Na kuhusu uraisi wana kyela walimwambia kuwa yeye ubunge sawa ila uraisi ni kwa Slaa kwa sababu JK hajatekeleza baadhi ya mambo yao kama kumuondoa Mkuu wa Mkoa ambao ni chanzo cha mitafaruku mkoani Mbeya