Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Uchaguzi umefanyika na kwa kiasi fulani umetoa matokeo yanayoonyesha wanaharakati nchini wanaendelea kuimarika. Lakini najua hii haikuwa target yetu. Unadhani nini kifanyike ili mapungufu ya sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wageni ndio wanaingia. Ni Shamrashamra, nderemo na vifijo kwa Wana Zanzibar.
0 Reactions
22 Replies
5K Views
This is very shame haiwezekani kwa jimbo la Nyamagana akaacha majukumu ya msingi kuja mwanza kulazimisha matokeo yatangazwe ndivyo sivyo kwa kutumia rasilimali za watanzania, kuna nini jimbo la...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Closed
Hali ya jiji la Mwanza kwasasa si shwari kama wengi wanavyodhani, kwani imeonekana kama majimbo yote ya mjini yameweza kuchukuliwa na upinzani basi hata mapinduzi yanaweza kufanywa. Ulinzi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimepigiwa simu na mdogo wangu, amenitaarifu baada ya kuchakachua as ussual CCm wameshinda jimbo la karagwe. UNFAIR.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wanaJF mwenye taarifa za mshindi wa kiti cha ubunge jimbo la Ilala anijuze tafadhali
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ili kuondoa utata unaojitokeza kati ya idadi ya kura zinazotangazwa na tume na idadi ya kura wagombea wanavyodai kupata. Nashauri badala ya kukaa kimya wagombea ubunge wanaodai kuchakachuliwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu sina nia mbaya na chama chetu cha CHADEMA. Nimejaribu kufikiri kwamba,kuna kura zaidi ya 75000, ambazo huenda tungezipoteza hata kama uhesabuji ungekua fair. 1.Dr (Phd) aliahidi kufuta...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
WITO: Kwa jinsi chama tawala kilivyotumia nguvu za dola kugandamiza wananchi kwa kulazimisha matokeo watakayo wao. Na kwa jinsi hali ya usalama wa nchi inavyoendelea kutetereka kila kukicha. Na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wazazi huwapeleka watoto wao waelimike, wapate maarifa na kuuepuka ujinga. Lakini watoto hao badala yake huwehuka na kutojua wanachokitaka ni nini:sad: HAPO HUANZA KWENDA KWENYE MAWAZO YA WENZI...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawashukuru wote mliojitokeza kupiga kura na kukipa chama chetu ushindi wa kukumbukwa, ushindi wa kihistoria mkikaribisha mapambazuko mapya ya uongozi katika taifa letu. Kama ilivyokuwa kwenye...
0 Reactions
76 Replies
9K Views
Dr. Slaa hatoshinda ktk uchaguzi huu kutokana na sababu zifuatazo.. Hofu ya kuibiwa kura. Kuchelewa kutangaza nia. Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo. Nk.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wabodi, Wabunge wateule tayari wameshatinga ndani ya nyumba-mtandao! Unaweza kuwashuhudia http://www.parliament.go.tz/bunge/elected.php Hiki ndicho NEC walitakiwa kukifanya tangu Jumatatu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Napenda kuchukua nafasi kwanza kuipongeza jf kwa kazi nzito inayofanya,kweli mmetupeleka hatua 100000......... mbele sasa watanzania wengi wanaifahamu na kufuatilia mambo mengi kupitia hapa,nina...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hili swala la kuchakachua matokeo waziwazi,ambalo linafanywa na ccm,(chama cha mafisadi)mwisho wake ni nini?Au wao wanafikiria kuwa kila siku ni jumamosi au jumatatu?Watanzania wa leo (2010) siyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
...jamani siamini masiko yangu....ati CHENGE....a.k.a VISENTI ameshinda BARIADI......hivi wananchi wapo wanaishi huko....au tumeingiliwa....
0 Reactions
0 Replies
883 Views
jana prof alikuwa akivinjari ktk mitaa ya moro kwa mara ya mwisho. msururu wa pikipiki na magari ulimsindikiza ktk mitaa ya manispaa ya morogoro. watu wakimwita rais nae alipunga mikono akikubali...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sasa Rais wetu JK anakalibia kuapishwa JWTZ HIma Himaaaaaaaaaa...............malizia Mpaka sasa 80%
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MISSION: To safeguard democracy and maintain integrity of Electoral System in the country by co-ordinating and supervising voter registration, constituency demacration and election related...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo ya nchi yangu nmekua nikijiuliza maswali mengi sanaa kuhusu nchi yangu na at times nakosa majibu kabisaa.Huwezi kuifikiria tanzania bila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…