Uchaguzi umefanyika na kwa kiasi fulani umetoa matokeo yanayoonyesha wanaharakati nchini wanaendelea kuimarika. Lakini najua hii haikuwa target yetu. Unadhani nini kifanyike ili mapungufu ya sasa...
This is very shame haiwezekani kwa jimbo la Nyamagana akaacha majukumu ya msingi kuja mwanza kulazimisha matokeo yatangazwe ndivyo sivyo kwa kutumia rasilimali za watanzania, kuna nini jimbo la...
Hali ya jiji la Mwanza kwasasa si shwari kama wengi wanavyodhani, kwani imeonekana kama majimbo yote ya mjini yameweza kuchukuliwa na upinzani basi hata mapinduzi yanaweza kufanywa.
Ulinzi...
ili kuondoa utata unaojitokeza kati ya idadi ya kura zinazotangazwa na tume na idadi ya kura wagombea wanavyodai kupata.
Nashauri badala ya kukaa kimya wagombea ubunge wanaodai kuchakachuliwa...
Wakuu sina nia mbaya na chama chetu cha CHADEMA.
Nimejaribu kufikiri kwamba,kuna kura zaidi ya 75000, ambazo huenda tungezipoteza hata kama uhesabuji ungekua fair.
1.Dr (Phd) aliahidi kufuta...
WITO:
Kwa jinsi chama tawala kilivyotumia nguvu za dola kugandamiza wananchi kwa kulazimisha matokeo watakayo wao. Na kwa jinsi hali ya usalama wa nchi inavyoendelea kutetereka kila kukicha. Na...
Wazazi huwapeleka watoto wao waelimike, wapate maarifa na kuuepuka ujinga. Lakini watoto hao badala yake huwehuka na kutojua wanachokitaka ni nini:sad: HAPO HUANZA KWENDA KWENYE MAWAZO YA WENZI...
Nawashukuru wote mliojitokeza kupiga kura na kukipa chama chetu ushindi wa kukumbukwa, ushindi wa kihistoria mkikaribisha mapambazuko mapya ya uongozi katika taifa letu. Kama ilivyokuwa kwenye...
Dr. Slaa hatoshinda ktk uchaguzi huu kutokana na sababu zifuatazo..
Hofu ya kuibiwa kura.
Kuchelewa kutangaza nia.
Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo. Nk.
Wabodi,
Wabunge wateule tayari wameshatinga ndani ya nyumba-mtandao!
Unaweza kuwashuhudia
http://www.parliament.go.tz/bunge/elected.php
Hiki ndicho NEC walitakiwa kukifanya tangu Jumatatu...
Napenda kuchukua nafasi kwanza kuipongeza jf kwa kazi nzito inayofanya,kweli mmetupeleka hatua 100000......... mbele sasa watanzania wengi wanaifahamu na kufuatilia mambo mengi kupitia hapa,nina...
Hili swala la kuchakachua matokeo waziwazi,ambalo linafanywa na ccm,(chama cha mafisadi)mwisho wake ni nini?Au wao wanafikiria kuwa kila siku ni jumamosi au jumatatu?Watanzania wa leo (2010) siyo...
jana prof alikuwa akivinjari ktk mitaa ya moro kwa mara ya mwisho. msururu wa pikipiki na magari ulimsindikiza ktk mitaa ya manispaa ya morogoro. watu wakimwita rais nae alipunga mikono akikubali...
MISSION:
To safeguard democracy and maintain integrity of Electoral System in the country by co-ordinating and supervising voter registration, constituency demacration and election related...
Habari zenu wana JF,
Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo ya nchi yangu nmekua nikijiuliza maswali mengi sanaa kuhusu nchi yangu na at times nakosa majibu kabisaa.Huwezi kuifikiria tanzania bila...