Elections 2010 No words under the sun can precisely and cleary define ccm?

nyasatu

Member
May 15, 2009
72
1
Habari zenu wana JF,
Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo ya nchi yangu nmekua nikijiuliza maswali mengi sanaa kuhusu nchi yangu na at times nakosa majibu kabisaa.Huwezi kuifikiria tanzania bila nyuma yake kuliona neno CCM:A S-devil1: kwa sababu tangu kuzaliwa kwake wao ndio wamekua walezi wake ambao at times nadiriki fikiria tanzania ni nchi inayolelewa na mama wa kambooo maana wahusika hawana uchungu nayo at all yaani ni kama wapita njia walioombwa waishike kwa muda wakati mzazi halisi akiwa hayupo or ni kama zile case za wazazi maskini wanaoamua mtoa mtoto wao mpendwa wa pekee kwa famila ya kitajiri coz wao hwana uwezo wa kumtunza then unakuta mtoto anapata shida na mzazi hana jinsi.:A S cry:

At times najiulize je muhusika/wahusika walioamua kukiita chama ''CCM''walifanya maksudi knowing in the future ndivyo itakavyokua.Enzi za mwalimu chama kilijulikana kama chama cha mapinduzi na cha wanyonge,wakulima etc ila kwa dunia ya leo CCM haina maana hiyo tena na nadirika orothesha msululu wa definition ambazo zinavuma na kweli zinaendana na hizo abbreviation na mifano halisi ya baadhi ya wahusika.
-Chama cha mafisadi e.g lowassa,chenge
-Chama cha majambazi
-Chama cha matapeli eg Rostam
-Chama cha mipasho eg,JK mwenyewe,makamba
-Chama cha masista duu e.g mange na wenzake woote aliowaorothesha ktk blog yake kaa wapenda ccm kumbe nao ni mafisadi coz baadhi yao wanaishi mjini kwa hela za mafisadi.
-Cham cha mabrothermen e.g masha,ridhi1,january etc
-Chama cha mamluki
-Chama cha maslahi eg.BWM na kiwira,First ladies na foundations zao hewa
-Chama cha majungu,list goes on and on

Maswali mengi najiuliza bila kupata jibu e.g
- Je tangu vyama vya upinzani vianze ni mara ngapi ushindi wa ccm(udiwani,ubunge,uraisi) umekua wa kweli,yawezekana tangu neno ushind wa kishindo uanze tumika probably hayo ndo matokeo yaliyokua worse.


Angalizo ninalotaka waambia wana CCM espcially kuhusiana na hili swala zima la uchakachuaji wa haki ya watanzania
-As long as ww ni mwanadamu huwezi kua na inteligence kumzidi mungu na lazima somewhere under ths earth kuna mtu anakuzidi au anaeweza argue whatever you put forward,we have seen in physics/chemistry a number of laws ambazo wakati zinatolewa na wahusika walionekana ma genious ila with time watu wakaja zi oppose,ninachotaka sema ni kua
(1)enyi wana ccm esp nyie mnaohusika na upikaji wa matokeo(Makame,JK et al),kumbeki kua mfanyacho ni dhambi so its unlikely kwamba mnasali b4 huo upishi wenu so no baraka toka kwa mungu na ipo siku mtaumbuka coz sie wahanga wa hayo mapishi yenu sala zetu zinapokelewa na mungu
(2)ununuzi wamahitaji yenu na upishi waizo data unahusisha watu wachache (yes kwa madai yenu wenye IQ ya hali ya juu)na mko limited na time,ila jueni at the end of the day itabidi mtupe walaji hayo mapishi yenu kwa kutoa hizo data,hapo ndo mtajua kua ktk jamii kuna watu weye IQ zaidi yenu maana wengne b4 kula huo msosi lazima wauombee hapo ndio utaona natural IQ za watu mana others can smell fishy datas hata bila kuumia kichwa,hapo ndo mtakapofanya watu tusilale tukiangalia madudu mliyokua mkitufanyia,ebu jiulize tangi lini watu wapige kura sehemu moja then total namba ya waliompigia mbunge itofautiane na waliompigia raisi?au hapo ndo mtasema nyingine ziliharibika..
(3)kumbukeni msemo usemao 39 days for the thief only 1 day for the owner,na owners ni ss,iyo siku yetu ikifika mtasaga meno mana mtajuuta kuzaliwa tanzania.

Ushauri kwa wana chadema/wataka changes
-tushukuru mungu tumem sacrifise Dr ila tumepata watu wengi bungeni,but this can be an opportunity for him kuziba magepu na kujiandaa vyema kwa vita ya 2015 na kuzidi kuwasoma hawa wajanja ambao wamelala usingizi mnono na kudhani wa tz bado ni wale wale kondoo wa enzi za uhuru
-jamani wenye uwezo wa kutafuta misaada ya kukisaidia chama wafanye hivyo mana inall ths we need fedha,dr namwamini anaweza control izo hela atlst wasaidia wabunge kuwapatia mahitaji muimu watu wao
-tusilale,now ni wakati wakujipanga for 2015,leteni uovu wa ccm jamvini watu wajue ukweli,endelea toa elimu na ufahamu kwa wale wasiokuwa nao haa kupitia njia ya mazungumzo
-elimu iziditolewa kwa wananchi kwamba tanzania bila ccm inawezekan,mana watu egine kama kina mange wanasema bila ccm haiwezekani,hapo anasema hivyo waati yuko abroad na hajui shida za wananchi:A S cry:

Nawasilisha mawazo yangu nkiwa mwenye furaha kuona matumaini ya tanzania ya kweli:israel:
 
hawa jamaa sizani hata kama wanamjua mungu, wakienda misikitini/kanisani ujue ni kuuza sura tu na kuangalia kama kondoo wamenza kuwa mbuzi wabadili mukakati ya kuwa bana. Mtu kama kingunge asiye jua mungu waziwazi, unafikiri katika maamuzi yake hufikiria kama kuna binadamu wengine wanao stahili kutendewa haki!!!? Zaidi ya kuangalia maslahi yao binafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom