jana prof alikuwa akivinjari ktk mitaa ya moro kwa mara ya mwisho. msururu wa pikipiki na magari ulimsindikiza ktk mitaa ya manispaa ya morogoro. watu wakimwita rais nae alipunga mikono akikubali jina hilo. nae tumpe shavu kwa kutoa changamoto kwa miaka 20 sasa.:thinking: