pig man
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 292
- 319
Zilibaki round 8 tu joooh......... Si haba.... Mi ndio nipo round ya pili..... Nilifanikiwa kufika 10 nazipiga pasu..
Baada ya juzi kufika mpaka round 10 jana nikakomaa na kanji mpaka round 15, kufka mida ya saa 8 usku nilikutana na punch moja kutoka kwa kanji nikazma, na kanji akatangazwa kuwa bingwa na ndo ukawa mwisho wa safari ya day 23....
Sent using Jamii Forums mobile app
Za leo unazo mkuu? Hii ni website gani
Ntaweka muda si mrefu mkuu.Za leo unazo mkuu? Hii ni website gani
Iko moja fortuna gg..sikutaka kujaza lingine polemkuu ntakuwa naandika
Baada ya juzi kufika mpaka round 10 jana nikakomaa na kanji mpaka round 15, kufka mida ya saa 8 usku nilikutana na punch moja kutoka kwa kanji nikazma, na kanji akatangazwa kuwa bingwa na ndo ukawa mwisho wa safari ya day 23....
Sent using Jamii Forums mobile app
Premier bet Wana option ya kuzuia goli Tatu... Nzuri sana hii.... Ukiotea mechi 3... Fresh 1.5 hizi hapa
Yaah chief... Kama hiyo first half under odds yake 1.16 basi ukiangalia second half under 2.5 hazipungui 1.21.... Sasa natafutaga mechi 3 tu... Odds 1.5 kugusa tuNi ipi hiyo Chief? ... sijaijua bado, ama una maanisha ile ya "FH Under 2.5"?
View attachment 554744
Yaah chief... Kama hiyo first half under odds yake 1.16 basi ukiangalia second half under 2.5 hazipungui 1.21.... Sasa natafutaga mechi 3 tu... Odds 1.5 kugusa tu
Premier bet Wana option ya kuzuia goli Tatu... Nzuri sana hii.... Ukiotea mechi 3... Fresh 1.5 hizi hapa
Bonus ya princessbet ni 18% inamaana makato ya VAT hayajumuishwi kwenye makato endapo utashinda pesa yako unaipata ikiwa kamili kabisaMdau hivi hawa princessbet wanatoa bonus kama meridianbet au premierbet,na kama wanatoa,je,hiyo bonus inakuwaje?
Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
kila unapotaka kudeposit princessbet unapewa refference number tofauti kwa kila muamalaMdau naomba jinsi ya kudeposite princessbet,mim nilitumia namba ya kampuni 262222 na namba yangu ya simu niliyosajili kama kumbukumbu namba,je nipo sahihi???
Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
weee, hilo bonge la ideaYaah chief... Kama hiyo first half under odds yake 1.16 basi ukiangalia second half under 2.5 hazipungui 1.21.... Sasa natafutaga mechi 3 tu... Odds 1.5 kugusa tu