Ha ha ha ha ha tumkimbeza kanji kimya kimya mkuu!Mkuu halafu hawa watu wa jinsia tofauti utasikia tuma na yakutolea bby
Wangejua vile tunapata mapresha
Hapo Idono kwa kweli.Mbona kudeposite hawaulizi kitambulisho?
Mkuu siku naamua kufuata tips za Proffesor ndipo alianza kupoteza vibaya na hakuna mkeka hata mmoja ulio win.
Hongera sana
Huwa unalala na nani?Mkuu siku naamua kufuata tips za Proffesor ndipo alianza kupoteza vibaya na hakuna mkeka hata mmoja ulio win.
Nimeacha kukopi mikeka ya watu, hilo gundu ni langu. Nina madhambi mengi nikikopi mkeka wako ujue tunalala na viatu.
Nalala mwenyewe, ila siku jamaa anaanza kupoteza mikeka yake ndipo nami nilianza kumfuatilia. Aliweka mikeka zaidi ya 3 ila ikapotea.Huwa unalala na nani?
Umeoa?mchukuwe mwenzi wako mkaoge baharini.
Share basi tule woteNalala mwenyewe, ila siku jamaa anaanza kupoteza mikeka yake ndipo nami nilianza kumfuatilia. Aliweka mikeka zaidi ya 3 ila ikapotea.
Kwa sasa nimejikita ndani naanda yangu mwenyewe, sitaki kuharibia watu.
Odds ngapi unataka?Share basi tule wote
Nataka kuweka 50000 nina shida na lk mbili chapuOdds ngapi unataka?
Hao digidigi nimewakimbia.Hawa mikwundwu Premierbet leo hawajaweka timu za championship, league 1 an league 2 badala yake wanakuja kutuwekea mimechi ya mchangani
Yaani hawa wasengerema nitawakimbia very soon, manina zao!!!
Wakuu hivi hakuna kampuni nyingine zaidi ya Meridian (nao ni mikwundwu tu) inayojitambua hapa nchini nihamie kwao?
Msaada tafadhali.
View attachment 1186156
Nakupa muda si mrefu.. Kila la kheri mkuu.4 tu
Nataka kuweka 50000 nina shida na lk mbili chapu