NKobi 1972
Member
- Jan 25, 2021
- 58
- 40
Tatizo la watanzania huwa nikujidai kwamba hakuna tatizo. Wakati lipo kabisawaandamanaji 18 US wanadai katiba wakati mamilioni ya watanzania waishio Tanzania wametulia wanajenga nchi.
Tatizo la watanzania huwa nikujidai kwamba hakuna tatizo. Wakati lipo kabisawaandamanaji 18 US wanadai katiba wakati mamilioni ya watanzania waishio Tanzania wametulia wanajenga nchi.
hata kama angekuwa raia mmoja ana haki kusikilizwa na mawazo yake kuheshimiwa.waandamanaji 18 US wanadai katiba wakati mamilioni ya watanzania waishio Tanzania wametulia wanajenga nchi.
Kama Bawacha!tofauti na wamama wa huku kama kuimba mapambio tu
Wanaopinga TU au wanaopinga Kwa sababu?Katika hili mrusi hahitaji kulaumiwa hata kidogo,na bahati nzuri amekuwa mwazi sana na amekuwa akionya juu ya kuvuka mstari aliouita ni mstari mwekundu.kutokana na uchokozi wa Nato kupitia UkraineKuna watu wanaopinga uvamizi wa urusi huko Ukraine. Je, nao Ni Wa-ukraine?
Hajanyoosha hata Hilo shati, yaani yeye mwenyewe kujali katiba ya usafi hawezi, eti anakosoa katiba ya nchi! Very funnytofauti na wamama wa huku kama kuimba mapambio tu
Wanaopinga TU au wanaopinga Kwa sababu?Katika hili mrusi hahitaji kulaumiwa hata kidogo,na bahati nzuri amekuwa mwazi sana na amekuwa akionya juu ya kuvuka mstari aliouita ni mstari mwekundu.kutokana na uchokozi wa Nato kupitia Ukraine
Mkuu, jaribu kupanua akili yako kidogo, maanake naona umeifungia ndani ya kisanduku.Mrusi atalipia damu anazomwaga hayawani yule. Unaua watu kisa wanataka kujiunga NATO?. Unaingilia Uhuru wa nchi nyingine?. Kama watu hawakupendi usilazimishe urafiki kwa nguvu.
Mrusi ameingilia uhuru wa Ukraine,ila ulaya yote na Amerika ,pamoja na anayepigwa waneingilia uhuru wa mrusi,nani anayestahili kulaaniwa na kulaumiwa ?Mrusi atalipia damu anazomwaga hayawani yule. Unaua watu kisa wanataka kujiunga NATO?. Unaingilia Uhuru wa nchi nyingine?. Kama watu hawakupendi usilazimishe urafiki kwa nguvu.
Mrusi atalipia damu anazomwaga hayawani yule. Unaua watu kisa wanataka kujiunga NATO?. Unaingilia Uhuru wa nchi nyingine?. Kama watu hawakupendi usilazimishe urafiki kwa nguvu.
Usichoelewa nini walichofanya hapo au mnataka kutuletea ugoro wenu wa police state, tabia za kujifanya mna haki kuliko wengine , watu kama wewe ni sumuWameratibia na nani? Ili tuweze kijua mwelekeo wao
Umbea umbea acha, jadili ujumbeWameratibia na nani? Ili tuweze kijua mwelekeo wao
Tafsiri yake ni nini bwashee?Wako Marekani na Kiingereza chao kibovu! eti " TANZANIAN WANTS CONSTITUTION"× badala ya TANZANIANS WANT CONSTITUTION✓