Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,502
51,098


Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Pia walivaa T-Shirt zinazotaka haki itendeke kwa Ben Saanane, Azory, Gwanda etc

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani

Pia soma;


WATANZANIA WAANDAMANA MAREKANI

Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali

Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba na kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
IMG_20220425_024757_386.jpg
IMG_20220425_024752_784.jpg
IMG_20220425_024748_849.jpg
IMG_20220425_024744_342.jpg
IMG_20220425_024740_110.jpg
IMG_20220425_024733_871.jpg
IMG_20220425_024728_512.jpg
IMG_20220425_024722_795.jpg
IMG_20220425_024718_619.jpg
IMG_20220425_024715_269.jpg
IMG_20220425_024708_944.jpg
IMG_20220425_024631_317.jpg
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Safi sana.Natamani huo Moto ungeshika kasi mpaka huku nangulukulu ingekuwa poa sana.
 
Watanzania waishio Marekani katika mji wa Washington waliandamana kuelekea kwenye jengo la ubalozi wa Tanzania mahali ambapo Rais Samia alikuwa akiwahutubia Watanzania.

20220424_071006.jpg

20220424_071001.jpg

Kwa bahati mbaya wazee wa itifaki waliona mapema kikundi hicho na kuamua kudivert through narrow way into the conference area, inaonekana hakupitia mlango wa kawaida.

Baada ya kuongea mambo kadha wa kadha Rais Samia amesikika akisema, “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango na nimewasalimia”.

Maneno hayo ni tofauti na maneno mtu ambaye amesoma mabango na kuongea.
 
Watanzania waishio Marekani katika mji wa Washington waliandamana kuelekea kwenye jengo la ubalozi wa Tanzania mahali ambapo Rais Samia alikuwa akiwahutubia Watanzania.
View attachment 2198353
View attachment 2198354
Kwa bahati mbaya wazee wa itifaki waliona mapema kikundi hicho na kuamua kudivert through narrow way into the conference area, inaonekana hakupitia mlango wa kawaida.

Baada ya kuongea mambo kadha wa kadha Rais Samia amesikika akisema, “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango na nimewasalimia”.

Maneno hayo ni tofauti na maneno mtu ambaye amesoma mabango na kuongea.
Wakayapambe kwenye nyumba zao.
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Waambie wakazane kuandamana
 
Watanzania waishio Marekani katika mji wa Washington waliandamana kuelekea kwenye jengo la ubalozi wa Tanzania mahali ambapo Rais Samia alikuwa akiwahutubia Watanzania.

View attachment 2198353
View attachment 2198354
Kwa bahati mbaya wazee wa itifaki waliona mapema kikundi hicho na kuamua kudivert through narrow way into the conference area, inaonekana hakupitia mlango wa kawaida.

Baada ya kuongea mambo kadha wa kadha Rais Samia amesikika akisema, “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango na nimewasalimia”.

Maneno hayo ni tofauti na maneno mtu ambaye amesoma mabango na kuongea.
 
Back
Top Bottom