Mwanakwetuuu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2022
- 1,011
- 2,272
Watu wa pwani tunasema kachimbaaaaaaTunaogopa Moto.Nasikia Mama Kapitia Mlango Gani?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Watu wa pwani tunasema kachimbaaaaaaTunaogopa Moto.Nasikia Mama Kapitia Mlango Gani?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kutofuata ushauri huu will be a grave mistake,......hatofanya chochote cha maana; atadharaulika kwa wapinzani, wananchi mpaka chamani kwake! Akiwalea hawa, nakuapia, kufikia 2024 ataona muda wake unachelewa kuisha!!Wewe ni chawa wa nani?
Unamdanganya sana 'Maza Mizinguo' kwa hayo unayomshauri ayafanye.
Kwa bahati nzuri anazo akili za kumtosha kutofuata upumbavu unaojaribu kumhimiza aufanye.
🤣🤣🤣🤣🤣Wakati wao wakiandamana wenzao kule wanaendelea kuanguka signature tu.......
Demokrasi Raha sana. View attachment 2198988
Watanzania wameamua Wanapiga Nje n Ndani🔥🔥🔥🔥Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.
Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Ushauri wa kipumbavu kabisa huo.Kutofuata ushauri huu will be a grave mistake,......hatofanya chochote cha maana; atadharaulika kwa wapinzani, wananchi mpaka chamani kwake! Akiwalea hawa, nakuapia, kufikia 2024 ataona muda wake unachelewa kuisha!!
nilivyosikia waandamanaji nikajua mitaa flani imefungwa huko US,kumbe wabwia unga kadhaa tu.
Hao ni vijana wenzetu waliokulia katika maisha bora viunga vya Ursino ,Ada Estate ,Regency...wazazi wao wakawapeleka US....wengine ni wabwia unga tu......
Huko ni Marekani bara yenye binadamu na watu.Wakati wao wakiandamana wenzao kule wanaendelea kuanguka signature tu.......
Demokrasi Raha sana. View attachment 2198988
Hat Mh Rais Samia kashasema.Ushauri wa kipumbavu kabisa huo.
Wakati wa mageuzi kwa Tanzania ni sasa, hata ufanye nini huwezi kuyazuia tena.
Kwa hiyo vijana wenye nazo ndio hutaki wapiganie katiba mpya?Baadhi ya walioko katika maandamano wanafahamika....
Ni vijana wa wenye nazo,maisha bora na wenye pesa waliolelewa Masaki ,Kichanga Chui ,Mikocheni maeneo ya Regency na mitaa ya Ursino,Ada Estate ,Upanga....
Hivi kweli hawa ndio WANAWASEMEA watanzania wote hata wa kule Nyanguge ,Kwimba ,Sakura ,Kibinda ,Mkwaja ,Bweni ,Mwera ,Kipumbwi ,Pembeabwe,Ipinda ,Matema ,Tanganyika Masagati ,Mlimba na Mkoka Nachingwea?!!!!
Yaani watanzania hao nao wanahitaji katiba mpya ?!!!😳🤣🤣
#Siempre JMT🙏
#Katiba Iliyopo Inatosha 👍
Wanajenga nchi hii aliyoasasambua CAG??🤣🤣🤣waandamanaji 18 US wanadai katiba wakati mamilioni ya watanzania waishio Tanzania wametulia wanajenga nchi.
Sanaa. Dunia yote ijue kuwa watanzania wanahitaji constitutional Reform.Encouraging gestures
Huu ni mwanzo mzuri
Wamefanya jambo jema sana. Wabarikiwe amina.Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali.
Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni Mabadiliko ya Katiba, kuachiwa huru kwa Wakili Peter Madeleka pamoja na kufukuzwa Bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa Bungeni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
🤣🤣🤣Mama badala ya kuupiga mwingi safari hii kapigwa mwingi.
Endelea kuota kamanda!Ushauri wa kipumbavu kabisa huo.
Wakati wa mageuzi kwa Tanzania ni sasa, hata ufanye nini huwezi kuyazuia tena.
Wewe ni kati ya wapuuzi wachache mtakaozolewa na mageuzi hayo. Mtanyooka tu.Endelea kuota kamanda!
ndio nchiiyoiyo aliyosasambua CAG.Wanajenga nchi hii aliyoasasambua CAG??
Kila la kheri kamanda, twasubiri mabadiliko tuone. Sorry, hv ni kupitia cdm au umoja party?!!!!Wewe ni kati ya wapuuzi wachache mtakaozolewa na mageuzi hayo. Mtanyooka tu.
Unanikumbusha sura ya waziri wetu wa mambo ya nje.Mbona Wachovu sana sura zao
Maisha yamewapiga si warudi tu Tanzania
Unaendelea kuonyesha ujuha wako hapa.Kila la kheri kamanda, twasubiri mabadiliko tuone. Sorry, hv ni kupitia cdm au umoja party?!!!!