Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Enzi za mwalimu?Mpwa naona akili zimekua stable sasa, hongera sana. Mungu akubariki, CCM haijawahi na haitakaa iwe kwa maslahi ya nchi. Kama Mbunge anaweza kusimama bungeni na kukiri kuwa Yuko Tayari kuua ili kuutetea Ubunge na akapigiwa makofi basi ujue Hali ni mbayaaaaaaa