Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Kama speaker anachaguliwa na wabunge, wabunge wa Magufuli watamchagua speaker aliye kinyume na mama kwa maana wanajua awatorudi tena bungeni mwisho wao ni 2025.
Hakuna aliyeshinda kwa nguvu zake wote hao ni asante magufuli.
2025 kama watz tunakwenda kuchagua wawakilishi wetu kwa haki, wabunge chaguo la wananchi.
Hakuna aliyeshinda kwa nguvu zake wote hao ni asante magufuli.
2025 kama watz tunakwenda kuchagua wawakilishi wetu kwa haki, wabunge chaguo la wananchi.