Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania
Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai
Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai
- Patrick Nkamah
- Stephen Masele
- Tulia Ackson Mwansasu
- Godwin Kunambi
- Hamidu Ubaidi Chamani
- Joseph Kasheku Musukuma
- Mussa Azzan Zungu
- Emmanuel Mwakasaka
- Goodluck Ole Medeye
- Sophia Simba
- Profesa Handley Mafwenga