Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,180
- 45,909
😅wasiweke connection hapa,mimi nina kitambi sasa mtu akipita akaona kuna ka picha ka binti yuko uchi wakati na scroll itanishushia heshimaKwahiyo unatakaje mkuu
😅wasiweke connection hapa,mimi nina kitambi sasa mtu akipita akaona kuna ka picha ka binti yuko uchi wakati na scroll itanishushia heshimaKwahiyo unatakaje mkuu
Aaaa wapi!Darubini ya kisasa ilitumwa anga za mbali, kwa jina James Webb!
Vile sifa zake zilivyo kama ikifika salama eneo husika na kuanza kufanya kazi kwa ukamilifu, naamini kabisa watu wa dini watarekebisha baadhi ya vifungu kwenye maandiko jinsi ulimwengu ulivyotokea, James Webb anaenda kuwa acha uchi.View attachment 2060890View attachment 2060891View attachment 2060893View attachment 2060894
Ni Afrika tu ambako bado watu wanajivunia uchawi. Sisi yaani bado sana tena mno!
Amesema nina shida gani?
Inawezekana hukupata kweli mbona unajishtukia...Ila ndivyo alivyosemaAmesema nina shida gani?
Kawaeleza kuwa sikukuu hii sikupata msambwanda? Yote anayowaeleza ni uwongo
Sikupata bana dah!Inawezekana hukupata kweli mbona unajishtukia...Ila ndivyo alivyosema
Na kwenye huo uwanja wako hayo mambo ndiyo yamejichimbia hasa. Inaaminika kabisa kuwa bila hivyo huwezi kutoboa.Fafanua, maana kwa maisha yangu hilo ni tukio la tatu naliona (kusikia)
Moja kati ya hilo limegaharimu maisha ya mama mkubwa rafiki yangu wa karibu.
Funguka kiongozi ili tujifunze
Aisee hata mimi sijui kirefu cha GPA mpaka nigugo ila ni something like Point Average or something
Wewe mwenyewe bro umekiri Umesikia!Fafanua, maana kwa maisha yangu hilo ni tukio la tatu naliona (kusikia)
Moja kati ya hilo limegaharimu maisha ya mama mkubwa rafiki yangu wa karibu.
Funguka kiongozi ili tujifunze
Mnada ukianza kama alivyosema sabufa mniambie . Dar na Serengeti ni zangu msiharibu mnadaHatuwezi kukamilisha miradi hii kwa pesa za ndani wala pesa za tozo, hivyo ni lazima tukope kuliko kuwakamua wananchi" aliongeza Rais SSH.
inahuzunisha😔
Amesemaje. Picha kwangu haijafungukaView attachment 2061073
Mzee ametoa siri juu ya kuishi miaka mingi
Kama nakumbuka n Grade Point Average