Mji-mjini ya mawe ni wa daima

kalooo

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
270
154
Hizi ni Himizo za mwisho na salamu kwa watu wote.

Kwa watanzania, watu wote,viumbe vyote,walio hai na walio pumzika,Ipo kwenu na iwazi sasa,(waebrania12;3), [webrania13;22-25].[/B]
Mimi mlango wangu, ambao ni wenu, kwetu sasa, ni ule mwembamba sana, wa juu kabisa mwishoni mwa yote.Humo ndimo ilimo amani na Salama tulioitiwa kutoka mbali.

Hii (1timo1:12-19,Qur47:20-21,Qur43;57-61) ndo iende,na ndo ndoa ya pekee ya maharusi wa kiume wawili iliyokubaliwa mbele za Mungu duniani kote,, tena sasa imewadia na bibi harusi kajiweka tayari ili kumpa Mungu utukufu kwa kumkumbuka,baada ya Kupendwa na mwanaume mweupe wa mbali, licha ya yeye kuwa mwanaume mweusi hasa kama mkaa kwenye mji(ufunuo19:7-9,waebr7).

Wanaume vijana wengi kwa mengi sehemu nyingi walinikataa,kwamba sitapata pacha wangu,Mungu mkubwa Nilipata mchumba huyu mwaka 2012 kwa msaada wa roho mtakatifu kwa kuomba sana kila mara,

Hiki kilikuwa kipindi naanza masomo ya kati,na nikadumu nae kwenye uchumba mpaka 2021aliponishauri nirudi pale tulipokutanaga,Pa maji mengi, nakumbuka ilikuwa mwezi wa 10 tarehe 25 niliporipoti masomo ya juu,Baada ya masiku mengi niko pale alikujaga kuniingizia mwiba,Mwilini.

Mapenzi na masomo ni mzigo kabisa,Nilishindwa,tena vikatazwe kwa watoto ,ila mimi nilimtii mchumba wangu kwa sababu sisi ni wale wakina Phina(tuliosaidiwa na bwana), wazee na tuna maisha yetu toka mbali,isinge haribu chochote kwa mausiano hayo mbele ya bwana wangu.

Nampenda Mpendwa wangu toka zamani kwa huruma yake kwangu,ndomana nikaacha masomo baada ya majuma 62 na 2022 mwa siku ya mwisho kabisa ya mwaka Kizimkazi akawa samaki pomboo baharini kwa watu wanaozama,uchumba aliutangaza kwa awali kwa kile alichokiona kwetu kwa miaka 7 ya ukimia uliokuwepo(Atokako ni kule kwenye nchi ya uzuri na bahari) na mwisho mshenga mkuu,mwamzi wa wote akajaga na ndege akaanzia mahali pa bendera ya Nyota,Tupo mashariki, akakaa Siku 7 kwetu na kukamilisha ahadi yetu na cheupe wangu(qur47;20-21).

Nilimuomba Mungu nipate mchumba mwema, kwa aibu yangu ya kukoswa wanaume wa kunipenda vijijini hadi kwenye miji,Sasa Napendwa sana na pacha wangu,kwa mapenzi ya uaminifu kama hivo.

Nimejikana mwenyewe kwa huyu mwanaume,Marafiki na ndugu watasubili kwanza, penzi Letu la Kuchi kuchi Oh baby ndani, Sauti yake nzuri zaidi ya Joddie wa Nigeria kwenye usiku wa manane,Naridhika kwa kweli na Farasi huyu kwa kunipanda jamani,mimi huyu ni wa kwangu,Siwezi mpa mapenzi kama haya Mwingine,Mnanisikia Wanawake wa mjini,Kwa dunia mimi ni Spika,Tulia.

Habari ndio hiyo nawapa,Hapa natoshelezwa,siitaji kusema na Ya kutolea,

Kwa watoto wetu wa Dar ya Afrika Leo sisi ni wao wa daima mbele nyuma mwiko,Mnielewe mlio kinyume na timu yangu,mlikula 5 ngumu na kifua mbele,Kwenu nyinyi yeyote si Hatoki mtu,sawa ila Kwa mkapa ipo uhuru ndani ya mji(Taa ya mji ni mwanakondoo) kafanikiwa mengi,katika mechi za mchana zinampaga Tabu,ana mazoezi ya mwili ampapo paulo mtakatifu anasema ya mazoezi utaua yafaa zaidi katika hayo kuna zaida,Ustaarabu ni Muhimu.

kwa Mwongozo wa Dunia Taarabu ni ujumbe kama Kipigo cha upande wa Kanga kwa mpenzi,utamu wa maneno yake mwanamke husahau yote katika ndoa yake,kwake ni watoto wote,Usimfanye mchawi kukulelea,katika kujua alianza yeye,Mungu hupunguza au kuongeza katika Kazi ya masikio,Pua,Mdomo,ngozi na ulimi,na vyote hutofasiriwa Kichwani,Mungu ni mjuzi wa juu wa kupangilia.

Ndugu Ben wa Masasi kalala na tatu,Ndugu Tom wa alpha na Omega yeye hizi ni jah jah rythms katika baseline.

Afrika ya watoto tukawaone wakandarasi ili kila mtu ashinde mechi zake,japo nipo jangwani pa maji mengi ila Ananitoa out nikiwa nimelala na mchana kwa watu,Najengeka vizuri.Ni huyo bwana wangu.

Nampenda mpaka kiama,Nataka kwa mapenzi ya Mungu tulione wote tetemeko la dunia nzima siku
Hiyo ya baragumu la mwisho,

Sitakimbia na pacha wangu, nitauona moshi mawinguni tukifurahi na mme wangu,Na hapo ndio siku hiyo ya suprize mimi nilikuwa naisubiri,
nikione kiama kikoje,Najua mwanakondoo atakuwa ameshinda vema kwetu sisi.Sisi ni yeye.

Mwanaume mweupe niliyempata mara hii ananitosha,Mashagingi wa mjini watasubiri sana.

Kwanza Ananishauri kwa Upole ninapomkosea,Nikilia machozi mazito ananijali na ananipa pole ya mizawadi kama yote,

ananipa mda pale nikimkosea na mwisho yeye anajishusha mpaka mimi naona aibu kwa yale ninayoyafanya,Nampenda kwa kweli farasi wangu wa moyo, yeye ajitome tu mda wote mpaka atakapoona sasa hapa sawa.

Na kwa uzoefu hajawahi kunidanganya,na ahadi pekee alionipa ni kuwa hakuna wasiwasi kuhusu gharika yeyote kwetu na mbinguni hatutachomwa moto tutakapofika kwa baba,

Na hilo ndo nalitaka mimi,hivo Kasema nimvumilie kwa mwiba alionipa ili nimzalie chema kama yeye kwangu(2Wakor12,Qur90,Qur100).

Mimi nimeolewa na huyo mwanaume mwenzangu sasa,Sisikii wala siwaelewi,Siwezi mpa mapenzi yote wa nje na ndoa(Nasema hivi kwa vikoroboi wanielewe,waliokuwa wanajizimisha kila mda mpaka niwawashe,siwezi nenepesha shetani huku Kiti anakonda licha ya kunicheka kwa umalaya wangu namba 7(wakushinda kwa mafundi baiskeli kutwa na wanaume).Hakika Katika mafundi waga Lipo jambo.

Wao Wasubili tu mimi umalaya wangu ni wa Faida, ukiniita kwa kunikonyeza kijicho kimoja hapo utajua Kuwa Mimi Ni wa Kila mtu,nani atanijali Mimi kwa kesho yangu na watu wa mji huu ninavyowajua?Wanasema hakuna kukaa naye huyo wewe unamuona yuko sawa!

Kinywani mwao imo Kaa na watu upate vitu,Mtu hakunyimi neno atakunyima chakula na hili ndo linanipa uchungu kwa tumbo langu(Mdomoni kitamu kama asali,Ufunuo10;9-10,qur47:20-22)

Kwa hiyo watu wa mji-mjini ya mawe mimi umalaya wangu ni wa faida narudia tena siufanyiagi nyumbani,Mgumu na Kisorya- Mara wananiita Sablina,Mafia na Pemba-Pwani wananiita Winfrida,Kisumu Pale Kenya wananiita Dada ya Bongo,Nyakanazi Kagera wananiita Aneti,Ukerewe wananiita Tsunami,Nyumbani mimi ni muumini wa Yesu na Maria,wenye visura vya mtume mimi hawanistui japo ndo wanapendwa.

Kwa wivu wenu na michuki yenu mtateta sana na bado hamtakaa msahau hiyo harusi yangu, mtaniona Kama mwanzo holela? Mimi Ni kama Sumaku na Chuma kwake(Dyna Nikimwimbia NIVUTE KWAKO) nina mwili mpya,nimeridhika na anavyoniriwadha na maneno mazuri na matamu,Usiogope mimi ni pamoja nawe,Mashagingi yenyewe yanarudishiwa maneno.Utasikia kila mwanaume yanayompata eti hutaki mimi niendelee.

Siku hiyo hapo mtaelewa nani mkweli maana mliniita mjinga kwa kutonifahamu kuwa na mimi nilikuwa na wangu wa kudumu naye wa milele kutoka kwa mungu,ila sikumtangaza mapema kwenu,Hapo baba na mama walikuwa wanamjua,Na mama na mama wakasema huyu mwanetu anakufaa,ilikuwa bado tu wajomba(ufunuo6:2,Ufunuo6:5),

Bob Haisa wa NIPELEKE KWA MAMA atakuwa shahidi wenu Kama mlikuwa mmeona au kwenu kila kitu bado juu ya Bhatoja(wenye shughuli) kama hamtaona Jibaba limebebwa kwenye mgongo siku hiyo, tayari likijizungusha mduara huo kama wote,

Pale Tarumbeta itakapopigwa(Isaya18). Nasemaje,Nasimama ka moja juu nimepinda kama 7 kwa mkatapa wa TPDC wa tarehe 3.February Hayo ni maendeleo,Kwa mtunzi ni pongezi kwa Taifa yote ni hazina,Kwa bukuku ni nyakati za Mwisho kama Taifa njooni Tumuombe Mungu.

Mji mjini ya mawe Narudia tena umalaya wangu hamkuuelewa tu,haukuwa wa hivyo ( wa kuitwa Nilale afu niende na Samaki Asubuhi yake),Hapana wala siko hivo mwanaume wangu alinitosheleza.

Kwa nini kufikia Kuzunguka mji mzima mnanifyonza na anayesogea karibu nami mnamtenga kwa kusemwa vibaya mpaka anaogopa,Wapi Tira huku, Wapi LIKOMBORA wa liwale? Anatofasri kwa akili zake,Anapata dhambi kubwa Kwa kupotosha watu,


Na mwaka wa 2024 mapema Tongwe kwa Ibrà ilitikiswa ikanikumbusha tetemeko lililotikisa ngome za Roma,Na huko Ni haki yetu wote na habari zilinifikia kipindi nampumzisha Salumu Kuhangaika baada ya kutoka kuzika eneo la mwisho Wanyodo karibu na Nyangwai kwa Maji.Nao ni ukumbusho kwa mwenye mazingatio,
Maji ni mengi sana.

Kwa Kweli maumivu niliyoyapata kwenye mji-mjini ya mawe hayana utofauti na masimulizi Aliyokuwa anayapata sehemu nyingi kwa sababu ya ngozi yake kuwa albino, alivyonisimulia mda mwingi licha ya kuwa mtumishi wa umma mpaka sasa mmoja kati ya rafiki zangu.

Naye analia kama Kwetu shinyanga kuna hii kanuni, mwenye macho mekundu naye atiwe hasirani,Ndugu Beni Wa Lupaso yeye anasema kazi na Sala katika My life my Purpose,Writting to serve the Nation,Hili ni gazeti la uhuru kwa Mtanzania asichoke tena Kusaidia nchi yake kwa mema na mazuri ya dunia.

Nashukru watu wa Paulo[baba] kwa kuniona mimi timotheo kwa salamu nilipowasalimu kama ilivo mwanzo, nami sasa najitahidi ili niwe na uelewa wa mengi yahusuyuyo Mungu pamoja nasi(Daniel8) juu ya Rangi ya kijani iliyopo ili tule Tunda zote katika milima ya michirizi hiyo kwenye maji.

Mungu hushuka chini katika roho,kupitia mja wake,Huja kuponya roho za wote katika uhitaji, Na nguvu yake imejaa kusitajabu ya namna walimwengu wanavyoishi(Inahuzunika na vitendo na maneno yetu),

Ila mja alimo yeye,ndiyo husema kwa kuuapa,iondoe roho yako kwanza sasa,na unipe vazi listahililo,sitasahau maana mimi ni shahidi wa kwanza wa namna roho ulivyo,naomba hivyo ili nipate kufanana na wengi kwanza,Nikawe mtumwa bora mbele zako.

Tena unishushe kwao wa chini zaidi kwa kila jambo, usinipeleke juu kidaraja la maisha na kila hali na katika roho, ili muda huo utakapofika nije kuwaita kwako kama ndugu yao na rafiki yao waliomzoea wa namna yao,Lakini neno lako likabaki shahidi juu yao kama itakavyokuwa kalamu yangu na lugha yangu huko chini kiroho wakapate kunikumbuka,

Nawe utanipa nguvu yote ya roho mtakatifu mda huo nitakapoanza Kuzungumza kwa majira hayo uliyosema nisubiri,niliyoishuhudia, iliyo roho ya wema na huruma kwa kiwango cha juu zaidi kwa watu wote na utendaji wa miujiza yote,

Tena yenyewe inamuita kila mtu aje asikilize na muda huo inaongea kwa upole, Nami kwa muda huo atakayenimkufuru roho wako huyo baba niweke wazi kuwa mfanye asiwapoteze wengi katika fadhila zako nitakazozishuhudia namna ulivyo kwa wote wakunyenyekeao kwa kesho zao hata mimi baada ya kuwa Rohoni na mikononi mwako tena.

Na hapa,sijajizuia tena,Nimeweka wazi,Basi itakaponyesha tutajua wapi inapovuja.


Haji YEYE ila tu mjumbe ili kuwaondoa watu katika tamaa kubwa na hofu kuu.
Mambo ambayo si mazuri tangu mwanzo wa kuumbwa mbingu na nchi.

YEYE ni mtumwa katika Ukweli na uwazi,alifungwa katika hayo(ufunuo19:6-10)

Nahakika katika majira haya mbele ya Mungu wetu, kiswahili ni kitamu
Na ni lugha ya wengi[Ezekie3;5-26]

dhambi kubwa ni ]tamaa ile ya umauti
nahofu kuu ndo umaskini,

Hauji ujuzi ila upotevu mkubwa katika hilo.
Kumbuka juu ya umma zilizopita mwisho wao ulikuwaje,na zile hazikupewa mwonyaji kati yao?Je walitumwa kila mji?Hakika kipo Kiigizo Chema kwa wenye mazingatio.

Na vipi umri wa mmoja kurudi upo?,
Chenye chanzo kina mwelekeo,Na baada ya mwisho wake si kile,

Ila chenye kufanana katika mazingatio na kusudi(qur43;57-61,1timo1;12-19,Qur46:20-21)
Katika mtumishi mmoja,mmoja mjuzi wa kunemesha ni mwenyezi Mungu(Qurua17;85),Yote huyafanya katika kila majira ya kila Jambo,Na sisi tuna jambo letu na hatutaki wengine wajue mapema.

Nawapungia mkono hapo Jmaika, tuko pamoja,BLACK UHURU,

Pamoja Wazee na nilipoandika mwanzo nashukru Mungu wangu walinipokea vizuri nilipotoka Sodoma na Gomora naelekea soari baada ya kukung'uta mavumbi kwenye nyumba ile na mji ule,Mjuzi wa kujua hesabu za watu na miji itakayostahimili adhabu ni Mwenyezi Mungu.Nami ni mkumbushaji tu miongoni mwa watu.

Mimi Ni Sisi, mimi ni wewe,
Wote ni Kama Yeye kwetu sisi,
Kuu ni Yeye Mungu wa mbinguni,
tumuone wa thamani kwa kesho yetu.
(Qur15:21,mwanzo1:26).

Namimi sasa,
Nafarijika na Korani tukufu kwa Mohammed ,mtume wa Mungu.
na Upambanuzi (al Furqan)Aliopewa,
kutoka kwa Mungu kuja kwetu wa kizazi hiki.

Na hakika ipo adhabu chungu kutoka kwa mola mlezi kwa Mausia ya mjumbe huyu(muhammed) kwa atakayeyapuuza,atayanywa maji mengi Tapika bila anagugudia,Tuliangamiza umma ngapi kabla yao tulipowapeleka mitume wakawafedhehi?

Na hakika mbele ya Mungu wangu alimjalia,
hekima na sifa zote nzuri.

Nisomapo,ni ile elimu ya Mungu[qur15;21,mwanzo1;26].
Na hakika mwenyezi Mungu katika kuniuliza jambo la kumlipa,
Ningesema wazi,Yeye mtume Muhammed Awe na heri hata siku ya kisimamo(Surat Kiyama juu ya ole huu) ili wale waliomkebehi waone alivyokuwa mjumbe mahususi juu ya kuja kwa Masihi Issa.

Nami niutetee Uislam kama yeye alivyoupigania,
kwa nasaha nzuri na ukweli na akavishinda vita,vile vya kuangaliwa vibaya kwa kuyathibitisha maisha ya mitume ili ikawe wazi kwa wengi kuwa zipo Aya za mfano na Muhkam,za Msingi wa kitabu katika Sura zilizoshushwa na Mwenyezi Mungu.

Siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka elfu moja duniani.

Na ni tukufu na ya pekee siku ya adhana ya alfajiri,
Imejaa thawabu kemkem,na imemtenganisha aliye muumini na mnafiki

lnayomdhihirisha na kumtukuza,mbele ya mashahidi waislamu Mola mlezi wa juu mbinguni,

Njiani muumini ila kwa haki,na awe mrithi anayemwacha hasa,siku yake kiyama yenye kujazia masiku na mamiaka yale mazuri kwanza ya badae, kuyafuta yahivo yaliyokuwepo ya taabu.

Haya ni katika msikiti mtukufu wa karibu kwa mwendo wa jua tu mpaka msikiti wa mbali,ambao tuliwabariki watu waliozunguka.

Na mwenyezi Mungu jua alilijalia miaka mingi zaidi ya mia tano na masabini ndipo mwanadamu aishi katika dalili hata.

Namimi sasa kafiri/adui wa mwenyezi Mungu na wajumbe wake, kwa vizazi vya wazazi wangu toka mababu,Namuomba mbele ya mateso mazito nikaone utukufu wake ambao ni uwepo wa Unyenyekevu,Uelekevu,matumaini,bidii,utii
Ukweli,Huruma,Upole na niwe miongoni wa Wacha Mungu wa daraja la juu duniani hata katika kimo cha chini ya miaka 65,inayoshuka tena,

Niwe tayari nimeakisi mwanga wake kama kiumbe chake mwezi,tena nao ni mtukufu usaidianao na Jua(kiongozi) kulifukia giza[adui na amani],Na katika jua zimo hesabu za miaka na masiku,Udhaifu wa Tumbo la uchungu na mdomo kama asali na uchovu kwako kama ilivyofanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi,mbele ya Bahari iliyopata Samaki mkuu aibukaye kila sehemu pasipo pingamizi,aliyepatikana baada ya Mjuzi mvuvi mkuu kukunja ndoano,Samaki awe wa hiyo kwa vitu vya samani vilivyo tumboni mwake.

Ugenini ndo pakuchumia na nyumbani ndo pakujenga,Kwa baraka za mvua katika ardhi hiyo hukuza vitu vyenye thamani viwafaavyo wahitaji,na hilo ushahidi miji ya Kisimbe wazee hawakulala jua lilipozama,Walirudi walikotoka na yakawa masimulizi vizazi na vizazi vya hata kizazi cha 16 na kuendelea.

Na sasa mwenyezi Mungu na Mtume na Miongoni mwa manabii wake niwe Rafiki wa kweli hata kimo,niione Mbingu ya Saba[Ile ya habari ya masiku2300,Quruani17,na tumeufanya mchana] baba aliyotuandikia juu utimilifu wa giza nene/dhiki kuu/kufungwa midomo mbele ya Mola wangu[quruan2,Yohana16],

Sasa yapasa,Vikaavyo mbinguni na Duniani na vimrudie Mungu milele na milele.

Haachilii Tu ila mpangilio na kuficha(mathay24;39)
kama wale maadui wa mji wa mawe,
walivyopiga kelele pale haki na ukweli vilipopiga hodi(2petr2;5),wakisema Masihi amehifadhiwa wingu wa nne,2012 waga wana umri gani kuitafta 12 mingine kuuona wingu wa 5 na 6.

Na kaiumba Dunia kwa neno,
Na hakuna Ajuaye Siri ila Yeye humfundisha,
Kama mama amfundishavyo mtoto,
Hiki Acha, Hiki niletee,Hikima
Na Mtoto hujua tabia ya Mama.

Tuwapo wasokoni,tupo katika Mengi,
Sauti ya kusikia Ni Ile Kama tunaijua,
Nayo kwa taratibu hutugeuza na kuifuata.
Kama sauti ya Mama mara2 kwa mtoto[Ile ya pa pa paah, amah amah jojoh] ili mtoto ainuke kwa mda kuitimiza furaha ya mama katika Makiti na makitabu.

Au ile ya mtoto aliaye Kuchi kuchi, oh baby,
Mama anamwambia kwa huruma ,,Basi mamah patakucha toto nyamaza,
katika kiza kizito cha njaa na Kukoswa hela ya Kiberiti na mafuta ya koroboi.
[ Quruani12,Quruani16,Mwanzo9].

Na neno la Mungu ndo mti wa uzima, Yaliyomo ndani,
Ni kwa kila Kiumbe kinyofu na kipindacho kwa mda Wote.Hekima ndo ina nguvu.Na hii ni zawadi kuu kuliko zote Mungu akikupenda atakutunuku.
Na wengi wataogelea katika kifua chako kwa milele yote.

Na Ni Kitabu cha wote na Mda Wote,ukamili katika Utimilifu wa roho ya kweli(ufunuo2;24,Quruan71).

Ilivyo kwa siku yenye masaa 24,Mkono wa kulia na kushoto,

Wa sasa na badae,mwanaume na mwanamke kwa mwendo vyote hutegemea JUA NA MWEZI kuikamilsha safari iliyo juu ya watu wote(quruan71;16,Ufunuo21;22-27)

Wanakuuliza,Miale mikuu ya Jua ni ilivyo ishara ya msalaba au pande kuu za dunia?Wajibu,
Kwa wenye kufikri tu hufika kila waanzapo safari,nao ni kuhimili vikwazo ndani ya safari, ni kila kitu hutumika kifaacho kwa macho ya safari, ili kuwajuza na wenzao wa mbali;Na kwa msalaba wa mateso yake sisi tumepona.

Na ametukuka yule aliye mtwaa mja wa mwenyezi Mungu Usiku mmoja mpaka msikiti wa mbali].

Huamini Muijiza?
sauti ya Nyuki(Quran 16;68) tunaskika,
Sogea Karibu dear,times zishafika(2000...times)
Tukupe uhuru(Quruan 90,qur100),Tuko huru ndani ya kopa(Bussy signal-Free up),
Na mtaipenda East Afrika(matha24:27),
Tunakiss(Isaya18),

Huko ndiko tulikotoka(Roy Ayers-centre of the world).
Tukae mlimani(Marko13:14,Qur20,Qur23).

Tule humo matundama Kama vile yote,zabibu zake,Kitunguu chake na Thom zake ,Adesi zake,
Radio Free,Wasafi radio,TBC Taifa,Upendo,Efm,EA radio, Uhuru,Sarafina,Imani,.......,radio 7[tom zake].


Humo kwa mda wote imo FM Kwenye mawimbi maji Rangi yake,
kwa Nyekundu,mieusi Sana,mieupe na yote colour connect radio.

Kwa Hayo,nami namshukru Mungu kwa kuona kwa miguu na vidole,
kwa kichwa Na kifua na Mola kajalia na usikivu wa kusikia niwapo hata usingizini,

Kwa neema ya kupambazuka mpambazuko Wa Wakina cheusi mangala,

Naomba nikawe hai mda Wote wa maisha Yangu,Nami nikapate kuwaona tena.

Kama kwa hodi hii(qur71) kwao]wanikokola(ufunuo2:6)Wasaga mawe
mafundi mawe mmenikataa kuwa mimi si jiwe,
katika upole nimekubali,Na ni dhahiri.

Niko tofauti na watu wa mjini Ya Mji wa mawe.
Na huo utofauti una vipengele.
Katika hivi vipengele ukweli sisi bado kwanza,
Mpaka wakati wa nyakati 2.5,Kuanza moja Ni kipengele,Limbwata wakamvumisha kwa mpenda matembele,Wasijue maana ya kila siku macho juu,haikuwa kulilia penzi Japo nilikuwa kama kinda lililokoswa mama mbele ya mji.

Kwa Siku 1 sasa Nina uwezo wa kusikiliza watu 200-300,
Kusoma mambango 1000 na katika Hayo yasiyo na maandishi Ni 200
Na ndo ya ushindi wa uhakika,Maana Mungu,Mungu wangu hapati uharibifu ila utukufu,kuongea na watu Zaidi 70
Ila wanaonisapoti na Hayo yote ni chini ya wa3,
mambo yenyewe yanayowahusu Ni watu bilioni 5 zaidi.Na katika hayo ayajuaye ni Mwenyezi mungu.Na Lipo kuu katika roho imwabudio kwa kweli hushuka vipande vipande katika misingi ya visa na maeneo.

Mpaka hapo vijana hivi Sasa wanasema kwa kushukru,

Aibu utaona wewe; Wote ni ndugu,Ukweni Mahala pa salama na Amani.Adhabu kali hutolewa ukweni?niambieni pakoje sasa ukweni maana wazee kwa rika wapo na kwa hekima ni mashahidi wema mbele ya mungu.

Hii Ni kwa Mjibu wa mpelelezi kwenye Mji mjini ya mawe aliyekuwa anaripoti kutoka Gazeti la Forbes
akisema



Kunakujitoma,kunakujitoma kwa mda Wote,

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE KWA WATU WOTE.

Mji huu wa mjini ya mawe baada ya miaka mingi-12,
unaenda huenda kutupa Kile tukitakacho Cha faida ya Mji wa mawe,
na nchi ya Muungano ya JATAA ila Tutafuata nyao za Misso Missondo, nimepigaje?ni
Mlezi wa JIDE,lady lliyo kuu kwa Ufufuo Na uzima wa Mwanacodide Duniani kote,Wala vidole viwili si kwa ajili ya vita vya damu eti tuuuu Tuuuu bali ni Ni Mungu pamoja nasi katika amani,Hayupo mtume wa Mungu aliyepigana Jihadi ya Kumwaga damu bali ni ile njia ya vikwazo vya mlimani(Ukweli na nasaha) ili kumletea mungu utukufu wa milele na milele.


NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE KWA WATU WOTE.

Kwa Mjibu wa Mpelelezi na ripota kutoka CNN huko China amesema Hayo yametokea na yatatokea.

Na Hapa Katikati Ole ya pili itakuwa tayari kwa kuandika habari za Serikali za mitaa,
ya nchi ya TA kwa mwaka 1na ..Kwa kushauri,kushauriwa na kuendelea zaidi,
Kujifunza Mengi ni Kitabu kuja kujaaa, Kama itatokea safari yote ni ya Mungu.

Ndani ya Nembo, Ya chama cha makubwa,Temeke,Kuna Tip Top na
2024-2025 Mimi NAJA Kama Juma nature mpenda kwao.

Helelee Ni kilili liiiiiii hapo sasa mahari imetoka,
kama ni shagingi ni Mbali zaidi,Na
Ushagingi una mvumo wake,Acheni Nivume mimi,
Mungu Yupo na Anawapenda Wote,
Ni Hayo Shagingi wangu,
Waache tu Ila Kwa Mungu Ni Wewe HAPO.

Lipo kuu,
kikubwa kuwepo, negative na postive traits,Postive Ni nzuri kuliko negative linapokuja suala la maadili,
Ni msambamba na hivi huangaliwa na watu muda wote na milele zote.

Na Mwisho Hekima,Hekima ni Bora kama Chris martine Wa Mama.

Ni kilio,maombolezo na ole kwa watu wote duniani

Na ubora wake,Ina nguvu kati ya kundi la watu 7, wana Nguvu waapao kuilinda amani ya watu wote.
Katika hao na wengine wote kitanda hakizai haramu,mtoto ni baraka kwa Mungu kwa hao wavumilivu wa mioyo.Wenye mioyo safi,Shokagi koo(rudi tena).Na katika ushauri Paulo mtakatifu kasema,Watunzeni wa ndani mwenu hasa ili mkawe wema sawa na wanaoamini[Kumkubali roho mtakatifu]

Mambo haya Ni mazito ili uyaweze uwe na kifua na kichwa kuwepo tumboni[Kambarage,uwe na Akili kama za mwendawazimu mambo ya haki] na Mkuu Paulo, baba yangu katika imani,Anasema

Kifua kuhimili na kuhifadhi,Suluhu,ndo iliyopo,

Tumbo Ni uwazi Katka kuleta ridhiki na hii ndo Funga Kazi ya wanaume kote Duniani.

Kichwa huanza mda wote na Ni halali ya Kristo na ndo mwanzo wa kanisa La Mungu.

Kilio,maombolezo na ole[/B], kwa Mjibu wa mpelelezi wa Kongo kutoka chanzo Cha habari cha Aljazeera.Yote yametokea na yatatokea tena.

Mji wa Mawe Ni moja ya Miji iliyo na historia isiyo futika.

Ni kilio,maombolezo na ole kwa watu wote duniani mara 7 mara 70 ya kijani kwenda kwenye hatima yako licha ya wingi wa vikwazo vya mlimani.

pasipo wenyeji wa Mawe kujua yanayoendelea na yajayo.

Ni Mji wa mawe(mlima wa vikwazo) uliokaa peke Yake Kama ulivyo mlima kirimanjaro na kasumba zake mbali kabisa na Miji ya Watu wa Dunia yote.

Una sifa za kuamini katika upekee wa Mikasa yao tu,
wao kwa wao washikamane kwa mema,kama huruma, uvumilivu na upole/ukarimu,
Na uwaogope maadui wakuu watatu,
umaskini,maradhi na kutoipenda Elimu.

Hawa wote Kwa Ali Hassani Mwinyi Lipo na la uchafuzi wa mazingira ambapo katika michezo kuna kitu kizito alitupiga lakini katwambia baba yao ni wa hayo yote ni Ujinga.Msomi wa Quruani huyu kutoka Mkuranga kwenda Mangapwani akafundishwa adabu kwa kuimba vibaya na wazazi kile kiitwacho Adabu na 35 ya ukutani kwa mwalimu wake ilimtesa licha ya kuiita kwa Kizungu,Na leo nami nasema well come 2035 tuione hiyo sauti adamu,anayeurahisha watu.


Mji wa mawe,wao wajitahidii kuamini katika hoja,
Na mhoja hata Kama anaumia ama kuteseka
ila tu kushinda hoja ya Nguvu Ni Umoja kwa Mawe,wawe wavumilivu sana na wenye huruma na watu maskini.Humo ndimo imo siri kuu ya mambo mengi.Katika hayo wa mwanzo ni wamoja naenda na kurudi yeye maana kufadhili mhitaji ni baraka,Si baraka zao ila kutoka kwa Mungu kuja kwa kila mhitaji.

Na uhakika, Umoja Ni Ushindi,mmoja Si lolote Ila Umoja,mpole husema sawa.

Na Hiki nimekizingatia japo kwa hoja ya usalama wa wageni.

Ushindi Wao Ni Yale makubaliano Yao na siyo matokeo baada ya hapo.Hakika watafakari sana juu ya umma zilizopita mwisho wao ulikuwaje.


Ili kukiishi Kile kuwa mtengeni mtu anayefundisha Elimu nyingine ,
mpya Kwetu tofauti na ile ya mwanzo ya walimu Wetu.Anapotosha,anapotosha.

Hii ni kwa mujibu wa Ripota wa Chaneli ya Citizen hapo Kenya.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE.
kwa sababu ya Vita vya maadui watatu,kutofahamiana,chuki na wivu.

Wakimuona mtu anahubiri Injili au Ana mhadhara ama ananena,
Mji wa mawe hausikilizi mpaka umkubali kwa Muonekano wa Nje au mpaka awe mwenye Maokoto.

Kwa maana Kuburi Yao haikutokana na Yale ya Mungu tangu mwanzo ,

Na mwasisi aliwaasa Kuchagua kimoja kati ya Mungu na fedha, kiwe kimoja wapo tu,
wao kwa dalili nyingi wao wanapenda Maokoto,
Na fedhehi nyingi kwa mja mwema katika mbingu ya kwanza katika tumbo la nchi yao.

Kwao kinyofu Ni Cha hovyo,kiadilifu Ni kichefuchefu kwao,
kiwapendao ndicho kiwakwazao na Cha Mungu kwao Ni kinyume na Mungu,Na vipofu,viziwi,viwete hao watauona utukufu wa Mungu na kuulaki uliokuwaumefichwa katika roho.

Na hakika Watabeba dhamana ya kuleta Kitabu kiadilifu Cha Mungu na hiyo ndiyo adhabu chungu Mungu amenipa niwatabirie ili wapate kufuzu kukubwa.Mbele ya Mungu na hakika na wao wanajiita sisi ni masisi,Na Mungu mwenye huruma ashukaye katika ardhi aipendayo Mara kwa mara kwa umbo la Kikongwe kidhaifu ili wapate fadhila tena.

wataitimiza katika Yale waliyokuwa wanayapinga,
HATA SINAGOGI LA MBALI[/B] Maana hawakumbuki,katika Siku ile iliyokuwa ya 08 mwanzo kabisa,mwaka.

katika muda Wa Kuahirishwa kwa Copy28,Kama mtoto hakubaki na mja aliyetuamwa kwao.

Na mwenyezi Mungu hayupo mwenye uwezo wa kumjeuria
Haijalishi kielelezo kipi ?Hata safari ya JUA lenye makali ya mishale mikuu
Pembe nne katika Dunia ,

Kwa muda na Nyakati
hata baadae miaka mingi 500 na 70 na midogo 2 mingine,
katika subira ya kuuona mwezi mtukufu ili kuyakamilisha,majira ya Ukamilifu wake wa viwili katika mchana na Usiku kilifukuza Giza.

Wamekuwa na masikio ya udadisi ili waendelee kusema,
Mbona mwezi umeandama na bado wenzetu nchi jirani wanasherekea,
Sisi bado,Wasijue walivyojaliwa mamama na makaboni14.

Katika habari ya Issa kuna 33,
Mifano itaanza Tena 34 na kama 571 ni zamani 572 ni sasa,

Shahidi wa haya,Ni msikiti tukufu wa Mungu.
Na Mungu anaijua hesabu ya Siku ya kesho Na Kesho,

Asiyejua siku ya saba mapumziko ayaulize Marumi wala siyo mayahudi.
Na hakika ataijua dini ya Mwenyezi Mungu vizuri,Yeye ayaulize tu si kingine.
Na Surat Rumi,marumi yameshindwa na uislamu ni dini ya kweli iliyo karibu zaidi.
Wenye mazingatio Siku hazigandi na upambanuzi ni wa kile kilichopo,

Na watoka juu kwa Mungu.Si kukodoa tu wala,
ila unyenyekevu mtu hupata katika foleni.


Wanauliza hilo bwana la makanisa ni li nani?
usiwaambie kwanza vazi lenye damu kuwa ni mfalme wa wafalme, na mwokozi wao.

ama ni mwokozi kutoka mbinguni katika mengi,
wewe wape mfano huu.

wapate kufikri zaidi,
kama Mungu angewachora mapajini dhahiri,[kama ufunuo19;16 kwa ufunuo17;5]
Dini isingekuwepo rohoni kama mngeiona bwana wa mabwana kwa macho mapajani,

Na ukweli huletwa na kisogelewacho karibu
Katika wazuri wa mapaji kila uendako ni wanamake wa mjini
Na dosari kuu ingeikumba miji kama wazuri wa miji,

wangeandikwa hayo ni Mamama ya makahaba kwenye mapaji,
Hapo kiza kinene kingekuwepo milele miongoni mwa watu,
Hii ni Bado bila maisha ya kupenda wazuri wa miji.
Nahapo upo mtihani wa Mungu kama umeisikia sauti na una upendo kwake.

Kila kundi lipo kutunza yaliyo kwenye Kitabu?Mungu yupo hapa siku zote hata sunday,mondaywamalizie.
Kwa mjibu wa kipindi Cha Jana na Leo anaripoti yalitokea
na Yatatokea kupitia WASAFI FM radio hata Kariua,
Kibiti na Duniani kote kwa mjibu wa Ripotade.

Basi Ni Mda kidogo bado ili ninyi muwe mashahidi kwa vinywa vya manabii niliowamwaga Duniani kote;tangu utungu wa Anga na Jamvi la Uso wa kuzimu,ardhi.
Mmeikataa Elimu ya utimilifu wa mwili wa Baba yenu,
ulio kwenu katika mwili,Na ingali mnasikia fanyeni hivi,[kama wale wanafiki]
kwa kunikumbuka mimi,(Yohna6;53-56,ufunuo10;19,koran6;56,Surat Takwir;24)katika Yote ulimwengu ni yote katika zama.

Ile habari ya chumvi ikiharibika itatiwa Nini ili ikolee,
mngekumbuka machukizo hayana budi kuja[luka17;1-4]]Kwa ishara za wanafiki yapo malipo[ufunuo13;13-18,2wafa1;10,2samw22;14,Ayub37,Kipo kilio Cha Kusaga meno mbele ya hukumu ya ulimwengu huu.

Siku ya kisimamo hapo,Dunia itakaposimama kwa mwendo wa Siku tatu na nusu,
hapo Watasema hakikika sisi tulirogwa na tulimsulubisha mwana wa Mungu,
Mjumbe wa habari njema Tena kwa Mara ya pili nafsini mwetu kwa matendo na maneno Yetu.
Na Mungu angewasamehe Walio wadogo kwa sababu hawakujengwa katika hoja,tangu mwanzo wao ila kusingizia,
Na hapo asingeokoka mwalimu mwenye Kusingizia,Ajuaye hasa sisi ni shahidi wa Kwanza wa Haya ni Mungu

Tena yalisemwa mbele zetu na yakatimia
na leo Haya yapo Basi Mwana utuombee kwa Mungu,
ili vizazi vyetu visiwaonee wivu manabii
wanaotumwa kwa ajili ya kuukomboa ulimwengu,
Chuki,ujinga,wivu na kutofahamiana ndimo limo angamizo la milele.

Tulikuonea wivu baba,baba watu Wote wangetujua,na kutudharau sisi kwa Ushahidi wa vitabu vya Mungu kwa kuwa mdomoni mwako iko ajira Yetu,
nasi ni asingiziaji,wenyekupenda Fedha,Kupenda migongo ya makahaba,

Hakika wa ndani Kwetu wanatujua,
tuliharibu watoto Wetu wachanga kwa pamoja hapa Yerusaem
na ulisema Haya yote Kabla na ndani ya majuma 70 ya kurudi kwako,
mahala petu vitabu(Ufunuo2,Isaya8,2timotheo3) ,
vilikuwa wazi juu yetu kwa Yale tuliokutenda,siri ya mtungi aijuaye kata,Hata mbele ya misikiti yakatokea ulinena
na juu ya Ha'rsh/Hashbazi iliyokuu nawe Ni mlezi wake ulitufunulia.Mioyo Yetu na matendo Yetu mbele ya hukumu ya vitabu vitakatifu
ila kwako heshima yako ya milele uliifunua na iko milele na milele,

baba utusamehe mbele ya Mungu wako.
Kaeni kwanza pembeni maana tena ninyi mliwapotosha Wengi Sana
kwa Kupenda Rushwa ili kuizoofisha Serikali yenu.


Na wao wangewasingizia wake zao ili kujinusuru na kitakachowapata,baada ya Siku tatu unusu juu ya anga lote,

Wakisema Nani aliouwasha huu moshi wa kufunika mbingu
tusione jua Wala mawingu ya bluu tuliyoyazoea.

Na Hakika Rushwa Ni dhulma mbele ya kiti Cha enzi.

Na, Oneni kwenu walipo,

Niliposikiaga habari ya kwamba
Nitasikikaga nikagonjea
Akabariki Jahari nami nikawika mziki nikauotea.
Hayo ni ya Nani?wanafiki ninyi,

Na iko wazi,yupo Anti Shari pale Chimwaga
na mama Selina hapo Chadulu na nguli machachari Tz ya Mbinga na Tanga,

Hawa si watu wa mambo ya Duniani.
Nawauliza,

Acha Vita ianze,Wamechelewa.

Ni baba yangu pekee ndo anayejua binadamu wabaya,
Mnaopata msiringe muwe na Upendo muishi nao sawa,
Kidogo muwape na Mama zenu maana Hao ndo waliwaonesha njia,ya Kweli na uzima ambayo ninyi mmeipita mpaka.

mimi niko sawa,mashaka yako ni mbegu imara ya usawa wangu,kuna uimara bila vihunzi?Na kwa sababu hiyo Sasa wameogopa Ushahidi huo,
uliokuwa wazi ambao Mungu kamjalia mwanadamu.

Wengine Wangesema na hakika mke wa wakubwa na mke wa mtu maarufu ndo walitupotosha,

Kwa sababu walipika vyakula vitamu na kutualika pale sebuleni,tulipo fungulia mfungo wa pasaka wa bwana Wetu.

Tulikula na kunywa pamoja na wenzetu na tukarusha mikono juu kwa kubanjuka tu.

Na hapo bwana ndipo tuliposahau shida zetu mbele ya Mungu Wako.

Na Hakika kwa sauti wangesema baba ulitufundisha kwa upendo katika njia zetu za Zama hizi.

Ni wewe baba Upendo wako udumu milele na milele kwa watu Wote wa Duniani.

Chuki,wivu,ujinga na kutofahamiana imeleta kilio,maombolezo na ole.

Na wengine tulipokuwa tunamalizia chungu Cha mwisho,
kwa ushindi wa mengi hapo ndo tulipopofuka maana tuliwacheka wale,wa kwa mkapa hatoki mtu kwa pambano la pili/Second Chimurenga acha lile la kwanza la huko lilikuwepo azimio huko Arusha.

Na wajomba walioenda juujuu kanisani katoliki katika ibada,

Wangesema kwa Kusingizia,
Mjomba ulipoondoka mama aliniita na KUOKOTA ila kidogo tu nilichonacho.
Hapo ndipo Mungu atawafunua Rohoni na kusema,
mmelivunja agano langu juu ya wa MAUA,mkuu wenu Sulemani wa Akili mbele zangu
na kwa IBRAHIMU baba Yenu mbele ya Kanisa Langu Takatifu la ROMA,
ambalo Petro,Lino na klement walilijenga katika misingi Bora,
maagizo yangu nalo kielelezo bora Cha utunzaji wa Neno langu.
[mathay16;18,2timo4;21,wafi4;3]

Na ataendelea mbele na atawakatalia kwa hasira,

Tokeni Hapa kwangu watu mliokoswa shukrani(Marko3:29-30)

Wenye fujo toka Mbali ya miiko mlio kinyume pamoja na Mababu zenu,
Hakika siwataki mbele ya kiti Cha baba yangu.

Nimewaita kwangu kama Taifa langu na Nikawajalia hekima wazee wenu,

hata kwa ushindi mdogo mliopewa wa kupatanisha watu katika nchi Yangu,
yenye roho Saba zangu zote nilizozimwaga Duniani.

Ambazo kwanzo ninyi Ni mashahidi juu ya Milango ya Jumba kuu lenu,ambapo mmemsingizia paka ndo anazo,

Nasema tokeni hapa mpendao mapema tu mmeshaua ili mtokomee.

Tokeni Hapa, heri vipofu wa mbali kuliko wa nchi ya Sabaa(Isaya18).

Na wanafiki wangesema kwa unafiki sisi tuliyajua Haya,ndomana tuliwacheka waliokufuru, kwa kufunga huko Kenya,

Na wengine wangesema kwa unafiki,tuliogopa maana Wengi wanakuja kwa jina la Mungu ila vibwetele wa mabwetele.

Hii Ni namna walivyofundishwa toka mwanzo wao na watu wasio wa baba,kwa ajili ya kuwepo milele na milele ya Mji wa mjini ya mawe.

Unaolia njiani kwa kusema sisi Ni matajiri huku kula Yao Ni ya shida,
Tena ya Kusaga mawe yaliyoko mjini Yao,huku wanasikiliza ile nyimbo yao Riziki mafungu 7
nawao watagawiwa.wasijue Mafumbo ya walimu wao kuwa siku za mwisho tutakula mawe.

Alafu masihi wa bwana huko na kule anapowafundisha masokoni
hata huku na huku juu ya kesho yao,]iliyokuwa imefungwa wasiione 7 ya baada ya fungu Leo, lenye 14.

Huku wao wakisema sisi hapa tunaiamini Katiba Yetu
na hiyo tumeapa kuilinda,hata huyo Mama ndo imemweka hiyo hiyo madarakani.

Wewe Utakuwa mwehu au chizi mpya,

Njaa inakusumbua,muuza mpe kahawa huyu au chukua buku ukale,ananini huyu naye,


Tunakunywa naye kahawa hapa kila siku hata msosi Ni shida,

Ona, mtu Mwenyewe umekondeana Kama 1,PunguOne TU huyu,

Ebu tutokee hapa bwana na hakika macho Yako na sura Yako nyeusi ndivyo ilivyo roho Yako.
Yesu atokee Afrika?hakika huyu ni mlaaniwa kabisa na sio wa kumsikiliza mjinga mkubwa.

Na mjumbe(aishie kwa maagizo ya ndani
akawajibu mara2 ilindeni Amani nasema kwa sauti
Ilindeni Amani,Na wazee wenu walisema MKATAA KWAO NI MTUMWA,nahili ndilo kwenu,Nipo nanyi leo ili mtoke huko,Na hamna amani kabisa niwaambiapo haya,basi amani iwe nanyi,

Maana hii Ni ya Mungu, na kwa hii vitabu na hekima za mababu zikawepo,

Hakika kwa wembamba ambayo kwenu Ni 1 mmenipa,Basi Hakuna Neno hata moja Kwenye vitabu litakalorukwa Kabla ya utimilifu Wote wa Dahari na baada ya hapo katika nchi yenu ya Sabaa.

Kwa Milango 8 ya Wakuu wenu Mimi Ni PunguOne ila Yote Ni ya Mungu.

Hayo yalifundishwa Sehemu nyingi za nchi na dunia,kwa mjibu wa Ripota kutoka Zambia brodcasting Channel.

Na mji wa mjini ya mawe uliendelea Kufundishwa,
Na roho ya nne katika mbingu ya nne,Daraja la juu la nne, katika zile saba za nguvu,mafungu 7(Daniel11) yenye ubinadamu,iliwaambia maisha ni sawa magumu ila ninyi msiuishi uadui wa mtu mwingine,
ambao Leo Mungu,Mungu wa Bwana Wetu kasema akae kuume kwa baba Yake kwanza.mpaka hapo maadui zake atakapowaweka chini ya nyao zake,

watakiona kiti chake cha enzi na wazee Ishirini na nne wakishangalia pande zote za Dunia nzima.

Mimi nitawaletea maisha Bora,
Hilo Ni wingu penye kuinuka uso wenye pembe katikati yenye macho ndani yake ya mwanadamu,jicho kwenye dora ya USA

2012 kwa Mkuu Bora katika mtiririko huo wa Daniel7 kwa kila mtanzania,

Hawakujengwa kwa uwazi kuwa Siasa Ni dhamira ya Mila ya kitabia kwa ajili ya kuwasaidia watu.

Na katika Mila Kuna miiko ya uongozi ambayo Ni tunu kwa kila mbingu,Milango hii Saba.

Hii ni kwa mujibu wa Habari kutoka ITV, Tanzania ni Kilio,maombolezo na ole.

Na Mungu angewauliza je hamkurithi uadui?
Wangenyamaza maana Mda huo vitabu vingefunguliwa na kuwa wazi vyote,


(Ufunuo2) na Kurani 90,100 na Kurani 2/43:57-61 hapo wangelia
kumbe wao ndo walikuwa wamelogwa na wanafiki wakubwa,

kwa Ushahidi wa Paulo kwa 2timotheo3 na wengine kwa MARLEY wa NO WOMANI NO CRY ama RIDE DREADY RIDE-Bob marley.Mzee Ngurumo na Gozbert, HAWAWEZI KUSHINDANA,watasimama kama shahidi na NAKAZA MOYO,kama haikuwa pamoja na mimi hasa baada ya majuma 70[danie9],ya mkuu wa wilaya baada ya tabu Daniel.Nikakumbuka MKOMBOZI-yenyewe alikujanayo Ibrahimu Musa,ambaye Kwa MelkiZedeki kashatoa moja ya kumi ya fungu lake tulipokutana USIKU WA YAKHRIMU pale Kiba sokoni Lwanga- Mabibo sijielewi pakwenda akanipeleka kwa Waebrania na utamu wa mistari yake [ipo Webrania10;34 kwa webrania6;6] kwamba 2002 anaikumbuka kwa baba yake,baada ya kututisha na hofu ya mibuibui,miradi na kiti cha enzi hatukuelewa yeye ni nani,Kusikia tulisikia ila kuelewa Na tulibaki kama madondola.
Kumbe nini,

Na muda huo wakikutana watu wa mjini ya mawe utasikia, Pambana maisha Ni mafumbi Sana.Na Mungu anasema,Hayapo mapambano hata ya Second Chimurenga ya Mkap ila Yale ya kutumia nasaha Za Ukweli kwa uvumilivu wa kuzarauliwa na kukataliwa kwa ajili ya maendeleo ya wengi wajao kwa Afrika Bora ya watoto Wetu.

Neno la Mungu ni nasaa na ukweli,ni rungu lioshalo vizuri yote ya mbele na nyuma.Wanasifa nyingi Watu wa Mji wa mjini ya mawe,
kuwakwepesha macho wapelelezi uchwara,wanaotumwa kwao kuliko Miji mingine,Kwao hicho wanakipenda kidumu,

Hii ni Kwa Mjibu wa mpelelezi kutoka Gazeti la these times la huko U.S.A

Ni Wengi watabikao na shughuli ngumu za ujira kiduchu, kidogo,

Wanaamini mtu akiwa na mtoto wa kwanza mwanaume hawezi kuwa mtukufu

Kama watukufu wengine waliotangulia hasa akiwa na hofu,wakati wa kula chakula mezani(uchungu wake) ,
na kuendelea kuongea Kama mtu hayupo wa kuongea(mdomoni asali).

Hii Ni kwa Mjibu wa Mpelelezi aliyeandikwa gazeti la Forbes,NI KILIO MAOMBOLEZO NA OLE.

Huu Ni utamaduni uliojengwa toka kuanza kwa Taifa la TA ,
tofauti na Taifa la JA ambalo lilikuwa mbele kupigania A nzima kwa Ukweli wa mengi,

Na kuongezea ufahamu wa wengi kuhusu Mungu ndani ya Watu wa Taifa la TA,

Na katika ishara Nyingi huonekana juu,na juu ni pasipo kizuizi Cha kuona,

Mamajusi waliifata nyota iliyokuwa juu kwa kutembea- kwa ardhi mpaka alipo mtoto,

Na mfalme alikuwa chini ya ardhi mwenye Nguvu na uwezo mwingi wa kimungu,Na
Walifurahi kuipata neema kutoka kwa Bwana.

Haipo Leo neema ila Haki kwa wote, pamoja na kuondoa Rushwa,
Ufisadi na Uzembe na magomvi li nchi ipate mafanikio ya milele.

Na Mhubiri Mwana wa Daudi kawaambia yeyote aangaliaye Mawingu hatavuna kamwe,
mvua hushuka chini,ndiyo hubadilisha majira.Chini lipo tumaini la dhahiri.

Na mkuu wa Elimu hii,kawaambia Jua na mwezi Ni viumbe vya Mungu vyenye maskio,
pua,mdomo na kila kitu Kama nyinyi.
Tena Jua sauti Yake Ni Nzito ya Bass na nimoja ya Kiumbe kitiifu Sana Kama ulivyo mwezi,
japo sura ya mwezi Ni nzuri Ina mvuto na vyote vinamtii Mungu,

Wao watu wa Mji wa mjini ya mawe wanasema Lete Ushahidi juu ya Hayo,

Na mwalimu anawajbu kwa hoja za wazi,

Pale mtakapoona ndege wa angani wanakuja asubuhi kuwashangilia,

Hao ama huyo mliyemkataa,

huyo Masada wenu baada ya Jua Kukaa ardhini limetulia kwa masaa12

Na mwezi juu ya Uso wa bahari umetulia masaa12,
jueni ya kuwa mtaelewa misemo ya KULIONJA JOTO LA JUA,

Na Mana ya Mbaramwezi Kama siyo MWEZI BARA,Kwenu.

Hayo Yote ni ukamilifu wa yaliamyoandikwa kwenye vitabu vyenu hasa Cha Yoshua,Yoshua10,pamoja na wale Mungu aliowaita kwa na kuwapa neema,Kama ALPHA BLOND wa MASADA.

Wazee waasisi wenu mtakapowakumbuka vizuri kwa mchakamchaka mashuleni na ni kwa Nini Taifa lenu liliimba.
JUA NALO LITEREMKE,NA MWEZI NAO UTEREMKE MAMA,NA NYOTA NAZO ZITEREMKE MAMA,
ninyi si mnakataa haliiina masikio walaa mdomo?



Nyinyi Jishaueni tu ndipo mtakuja ona na watu wote wa wanaimba na kumshukru kwa furaha Mungu kwa aiya iya iya mama.

Na mkuu Mohammed,mja kawaambia ninyi watu wa Mji wa mawe,
hakika mngefunguliwa mboni za macho yenu muone hizo mbingu Saba,
Kama si Milango ndipo mngejua Hakika sisi ndo tumerogwa dhahiri,
si huyu mja kwa Ushahidi wa Qur16 ama 17;85.

Na mngeusingizia Mwenge wetu wa uhuru unaopita kila mwaka kwenu.

Na Hakika mngesema mikutanoni Mwenge huu,
msiuchangie fedha unatumaliza hela za nchi,

Huku watu hawana madawa Hosipitalini,Barabara mbovu,
Hatuli Milo mitatu sababu ya Mwenge.

Na ndomana wanatuburuza Hawa wanavyotaka,
maana tumekuwa mandio Bwana kwa kila kitu,

Na kwa Hili, la Kuwa kukubali ndio mkubwa kila kitu kwa Isaya53 .

hakika mjumbe huyu ndo NDIO BWANA,
NDIO BWANA MKUBWA kama haki yake kwa Mungu wake.

kwa hotuba ya mwasisi Kambarage, Labda mamaah Mimi tu ndo namfatiliaga,
Alisema ukipewa Fedha na Mungu uchague kimojawapo,
Mji wa mjini ya mawe hauruki kwenye maokoto, hii Ni Bila chenga.

Na Wengi hapa wanapishanaga na Gari la mshahara(Mwenyezi Mungu),Mtoaji.

Au mfano Lazima uwe na Connection Dunia hii,
wanasema,Na jibu Mwenyezi ni Muunganishaji wa yote.

Haya yamewapata,Maana watu wa Mji wa Mawe ,
si wapole katika kuelekezwa wao wanapenda Kukinukisha,

Na hawawezi Kukinukisha ila Ubishi wa kujiroga wenyewe tu,

Yakiwakuta huko Mwisho,yaani kitakachowapata,
wanaanza kusingizia migongo,visingino na shedo za wake zao mbele ya Hakimu mkazi,
mpaka miaka70 ya Muungano kwa nchi ya Ahadi ya Musa,
miiko hairukwi,ukiruka ha unakufa,ebu ruka tuone.

Hakika Wake zetu Mh. Hakimu Ni Mashagingi(hata hawana ushagingi wowote ila uoga wao tu) Leo wametuvuruga tusamehe kwa Itifaki ya nyundo Yako.

Ni ajabu ya Watu wa Mji wa mjini ya mawe katika utulivu,
wa kuliendea Jambo mashagingi wa Barabarani wanawamudu.
Kwao vyovyote kikubwa Maokoto,Hapo hawastuki.

Haki Ni pepo,haki Ni Imani,
haki Ni Dini ya Kweli
na dunia Ni duara Wala haki si nusu duara.

Katika kupigania Makundi yatesekayo,

Rejea hotuba Mother Teresa ya Tuzo ya Nobel mwaka 1979 decemba 11 utaona mchango wake kwa India na watoto wa Afrika.

Rejea tena hotuba ya mkuu Martine Luther King ya 1957 April 7 juu ya ujio wa Taifa jipya Namna alivyosimama na anavyopambanua Uhuru wa watu Wasiojua maana Uhuru.

Rejea hotuba/ Lecture ya Rais Benjamini William Mkapa ya mwaka 1999 Kama Herbert chitepo juu ya The quest for a second liberation in Africa.

Rejea tena Hotuba ya Baba mtakatifu Fransisco ya Juma moja aliyoifanya mwanzoni mwa mwaka January 29 mpaka February 4,2023 huko Kongo na Sudani ya Kusini juu ya unyonyaji wa mali kwa nchi za magaribi Kwenye bara la Afrika.

Hii ni kwa Mjibu wa mpelelezi mtangazaji kutoka BBC hapo uingeleza.Ni Kilio,maombolezo na ole kwa watu wote duniani.

Hayo yote na michango hiyo watu wa Mji wa mjini ya mawe,
wao wameshikilia vichwani mwao mambo ambayo yamesemwa,
wasijue maana Yake na huku Wakisema hukumu Ni ya Mungu na Kanisa Ni la Wote.

Baadhi ya wasomi wengi na wanazuoni waliweza kuuchora Mji wa mjini ya mawe,
katika Vitabu vingi kwa kuuficha zaidi ndani,
ya makilometa 2035 kwa uwazi wa Elimu hii.

35Km Kama ulivyojificha kijiografia
haujui chochote kibarabara kwa mtindo wa kupambanua Jambo
kwa hoja ila uvumi na tetesi za sawa na kiziwi anayesikia Jambo kwa mbali
Alafu sauti ya kujibu ni kuuuubwa na wakati hajaelewa kilichozungumzwa.

Na Hakika mwenyezi Mungu kawapigia mifano wananchi wa Mji wa mjini ya mawe,
kwa kuwa mbali ya km2035 yaani
sawa na wale waliopigiwa kengele masokoni wasiitikie mpaka wafike umbali huo.

Ili watakapokuja kuwapeleka Wapelelezi wao wakaione Jamii iliyombali
na Ukweli wa wakati na Nyakati hizi za Kizazi Hiki kipya
kwenye mwanzo wa Dunia mpya wasiweze watu wa mji wa mjini ya mawe,kuelewa kijacho mbele ya Taifa Lao.

Hii Ni kutokana na mwasisi wa Taifa la TA kuwa mwanaumajumui,
mwenye Akili nyingi sana dhidi ya Watu wa Asili Yake.

Hii ni Kwa Mjibu wa mpelelezi kutoka kikosi Cha Black mamba,
Bwana Maranta wa nchini Tanzania,
Alipokuwa wa anahojiwa na DW. Swahili ya Ujerumani.

Labda waandishi Hawa kwa kujua ama kutabiri,
Panya wataharibu mazao kwa wakati huo huko bondeni,

Zile Sura za wapelelezi, Nyumba ya yule binti mrembo na watu wa ndani mwake wa Mji,
na vyote vilivyomo viliwekwa wazi na maisha ya majirani kuujenga Mji wa jirani wa nchi ya Sabaa.

Huyo jirani wa Nahumu3 na jirani wa mpelelezi wa nchi ya Sabaa kwenye Surat Sabaa,

Picha kutoka ya Ikulu ya Dodoma iliyokubaliwa na Serikali,Ni shahidi hata juu ya Mlango ama njia mnaotakiwa muingilie ili muuone ufalme wa mbinguni.

Japo Mpelelezi uchwara hajui hela ya Morroco ya uwanja wa mpira Dodoma,]ila 6,6 pongezi kwa Kuahirisha,Copy ya Mji wa mjini ya mawe,ni kule Kuahirisha COP28 mwaka 2023.Na Hakika Ni Mfariji.Na saizi maji ni mengi sana, shamba.

Kwa picha hiyo huenda Mji wa mjini ya mawe usielewe Hayo yote.Lakini Aswedi Hassani Mpili[ anapenda kuwa shuhuda] wa haya,maana katika Nyumba vimo vyombo vya udongo na vya shaba,N utafutwao sasa ni utawala ule wa shaba.
Maana kusoma hawajui,hata picha?Kiongozi wa Mungu hujulikana kwa hekima za Kimungu,
Mji wa mawe wao wanawauliza waasi huyu anatufaa,Wanafiki kwa kuishudia kweli ni wa mwanzo,ila hawawezi kukubali kuzihirishwa mapema.Iingiayo kwa siri hutolewa kwa siri na ndo asili yake ni sehemu hizo na huishi hivo.


Vitabu vya Adili na ndunguze na Vitabu vya Kusadikika,
chini ya Fanani Karama yapo Mengi ya kujua Ukweli wa siri hii,
ambao Ni duara zima juu ya Mji wa mawe na Namna manyani yanavyolia.

Nusu duara si Ukweli mzima hivo manyani imetumika katika ufikishaji ujumbe tu
Kama Wimbo wa chuo Cha Kampala Cha kiswahili,
chenye ujumbe wa Wimbo wa Taifa moja,
la Afrika juu ya Afrika kuwa moja kwenye kuulinda mwili wa jua,

Hii Ni kweli kwa mujibu wa Mda chini ya Ansbert Ngurumo Kama diaspora kutoka Tanzania.

Namna Karama alivyoweza kupenda kujenga hoja za upelelezi uchwara,
na Kama Hakuna mjenzi aliendelea huku asiionee aibu,
sura yake iliyokuwa imepakwa tope tayari kwa mapambano
kuitafta Amani2 ya kudumu kwa kutumia Vita vya maneno,
ya nasaha kuendana dhamira ya Kazi Yake katika huo mji
Wa mjini ya mawe.

Pia vipo Vitabu vya watu watakatifu Kama Daniel9 juu ya majuma ya nchi ya TA
na faida au hasara ijayo katika Mji wa mjini ya mawe,
Mhubiri juu ya ukombozi wa Mji huu kupitia kwa kijana wa pili
aliyesimama badala ya yule kwa maneno yaliyotimia,
katika kuinuka kwa hasira ya Yule Mzee aliyeweza kupinda Kufuli kwa mdomo wake,

Hata Kitabu kipya Cha Dunia mpya huko mlimani kwa Bibi,
ndiko kilifunuliwa huko na kikandikwa juu Yake Maneno ya waasisi wake.

KITABU KIPYA(FREEDOM FIGHTER-LUCK DUBE).

Pia upo ushahidi wa mji huu juu ya ukweli ulioletwa na 2timotheo3,
juu ya kuwa wakweli kwa wapelelezi na kupenda Haki
na yaliyomo mazuri kwa kuitafta Kesho
huwa chanzo Cha kukataliwa kwa kuudhiwa kukifanya
Kitabu chake NO WOMAN NO CRY
kisadiki nchi ya nje ya waaminio BACK TO MY ROOTS-LUCK DUBE
ama kwa nchi ya TA ya Bongo forever Wapo Kwetu hata Kina Samu wa Ukweli
ambao nao watakuwemo Siku ya ufufuo.
Hii Ni kwa Mjibu wa Gazeti la Vatican news kwa P-SQUARE,
kuna Na baba God my Confidence katika mji huu wa mawe kwa kukataa jambo ama kukubali.

NI
KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE KWA WATUBWOTE DUNIANI

Pamoja na kuwa wote Hawa hata 8 Isaya inavyozoom wazi kuwa Kuna binti,
Immanuel na Bibi na babu wa mtoto wa Immanuel na yote yaliyotokea huko
baada ya hesabu za Vishikwambi vilivyoibiwa na kujulikana na watu Wote wa Tapika,
Ngalambe huko Rufiji basi ipo na Mpigamiti na Barikiwa pale Liwale
kwenye uwepo wa Serikali ya JATAA itazamiwayo
kuwa mwarobaini kwa Ushahidi wa Busy Signal-Free Up kutoka Jamaika.

Walio wengi hawakujua ufahari katika Mji huu,
Vibao vinaonesha uwepo wa nani aje badae na tupitie Mlango upi
katika hiyo Milango nane kuuendea Mji wa salama na Amani,Yapo mapishi kemkem ya kiimani,
Ufunuo2 na 17 hapo pa maji Mengi pa mto wa Mbeya penye Namba 85 ya this time.
Yoshua wa Yeriko,Nuhu nao kwa Musa wa Leo.
walikuwa pamoja na maskani ya binti yule na wenyeji wa Mji wa mjini ya mawe.

Ni hii ya Mji wa mjini ya mawe Kama alivyokuwa nao,
Baba Wetu Nuhu katika umri wake wa miaka 601na za mwezi wake na Tarehe hizo kwa wakati huo.

Ni Mji wa mjini ya mawe alikuwa nao baba Nuhu wa,
mwaka 1990BC,Hapa weka kigingi
Na kwa mkewe Nuhu Kazi ilikuwepo ya milele na milele.

Wazee mashuhuri walisimulia hadithi ya Mji wa mawe,
hasa waasisi wa Mataifa yote Haya,
walikubali uwepo wa Bibi yule katika Mlima wa makelele,
juu ya wapelelezi wao waliowatuma kuja kuitafta Haki ya Dunia yote.

Ni Haki iliyokuwa inatafutwa na Wapelelezi katika Mji wa mjini ya mawe katika Nyakati za Masada.

Mara nyingi walichokutana nacho mwanzo,
Ni Kile walichokitaka kiwe na kiende(Negative traits ziko chini)
Duniani kote Kama ilivyo haki kwa watu Wote.

Na leo wapelelezi Hawa wako bega kwa bega wanawaamini viongozi waliotangulia wa Mataifa Yao.

Lakini wenyeji wa Mji huu kwa mtu mkubwa na mdogo,
hawakujua wala hawakuona fahari ya historia ya Mji wa mjini ya mawe,
hasa katika Vitabu vyao pamoja na kukutana na wapelelezi hao kila Siku katika Migundi yao.

Labda kwa sababu Mji wa mawe haukujengwa katika hoja.licha ya kusikia mafundisho ya hadithi ya ndege Hudihudi na ile hadithi ya babu na Mtume katika kuwajua watu,kwa safari ya ile ya punda waliyokuwa wamepanda.Kusikia nje ya imani ni uziwi.

Katika ramani mji wa mjini ya mawe upo kwa Mjibu wa Sheria za Serikali za mitaa Na.8,1982 ambapo Waziri mwenye dhamana Wa Serikali ya TAaliusajili chini ya zoezi lililoratibiwa
na msajili wake wa vijiji kwa ombi
la vikao vya DCC chini ya DED wa madiwani wa Mji wa mjini ya mawe.

Mji wa mjini ya mawe una eneo la Km za Mraba Km2050/51,katika ukomo wa kuonekana kwake baada ya usajili wa kuwepo kwake.
Lakini Mji huu Ni mama wa Miji mingine iliyoendelea.

Nayo inaendelea daima pamoja na kujitenga kwake na I, kwi, kwi.

Na Miji hiyo Ni mji wa Kuua/kufia na Mji wa mate mahoro kwa Utabiri wa Seba wao,yapo mawe ya kiarabu na meusi kwa mgeni wao huko mingine.

Kama mji wa Gambo shilingi/Maokoto yanautesa Mji huu wa mjini ya mawe.

Misiba ya mingi inatisha, Namna wanavyouana ovyo kwa sime,
huku baada ya ibadani jioni Yake maskioni mwake miziki inayofuta masomo ya ibadani hizo,Ni mawe.

Madawa ya kulevya,Bangi,Pombe kali,Miziki isiyo na ujumbe Mwema ili kuwaandaa watoto,
Umbea na uchonganishi wenye athari,

Ndoa zenye madhara hasa watoto wadogo,Ngoma za tupu za kuwatoa wanao wanapovunja ungo,

Maneno ya matusi makali vinywani mwa wazazi wao kwenda kwa watoto na jamii
Ni hasara inayolingana
na ile maafisa wa sensa katika sensa 2022 kuibiwa Vishikwambi asubuhi Siku ya sensa na wao kujinyonga,

Hayo nayo wapelelezi uchwara waliyaona na wakatia Kalamu.

Hasa sehemu Muhimu Kama mashuleni,Hosipitalini Makanisani na hata msikitini,
vifo vya Wakina mama na wazee vilitisha Imani ya Wengi na Wapelelezi na wageni wa Mji.

Wazee wa kiume na wa kike(wema) wanawaacha wajukuu zao katika Hali ya uhitaji wao
na Mara nyingi baada ya wajukuu kuzaliwa Ni miezi 5/6 tu wanawaachia Husia wa kusoma,
Vitabu vyote vya Quruan 20 na 23 pamoja na Vitabu vya Isaya8 na Ufunuo7
ama Ezekiel17 katika Biblia ili wajitambue wao Ni Nani.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE.

Mji wa mjini ya mawe una vitongoji vingi na vingine vina Shule za Msingi
na sekondari,Sekondari ziko kwenye mawe,
hasa katika kuwaandaa vijana wa kesho yao kwenye nchi ya TA.
Shule za Msingi ziko Tambarare na kila mwaka zinaongeza idadi ya Watu kwenda kuzifikia Shule za Mawe.

Kuna wakati unakuwa kolokolo(mnyamakolo) hasa Siasa
na Mapinduzi katika Kuteta teta (mambo Asili ya Watu wa Mji huu), jina lao Ni Mji wa mjini ya mawe.

Viongozi wakubwa na waasisi wa nchi ya TA Mara nyingi walikuwa wanakaa chini
na Kasimu kupiga picha za mnige(picha za pamoja na mabibi zetu mahiri).

Na Viongozi wao Wabunge na Mawaziri wanawapigania Sana wananchi wa Mji wa mawe.

Waliacha kuwajengea Lami Mda Mrefu Sijajua sababu Ni nini,

Mji wa mjini ya mawe uliendelea hivo kwa kusubili Kama utapata viongozi wa Kihaya
waubadilishe ili uendane na Ulaya ya Kagera na Rufiji ya DAR na Mwanza.

Na Jambo Hilo lilianza Mara moja huku Shule nyingi zikijengwa kwa udi na uvumba
Tena utaziona usawa na Barabara hata kuunganisha KONGO na Gorani ya Karibu na Lebanoni ya Nyanda.

KILIO,MAOMBOLEZO ÑA OLE KWA WOTE.

Mji huu ulipokea ofa ya vitu vingi vyenye dhamani ya majiko ya Gesi kwa ajili ya wafanyabiashara wadogowadogo.

Zikiwemo na Baiskeli na pikipiki za Moto,
ili kusaidia wao kuwahi kutekeleza majukumu Yao ya Hapa na pale ili Kuyawashia Moto maendeleo.

Lakini Mji wa mjini ya mawe Karibu na Wilaya ya Kiteto bado upo vilevile Kama Kisorya na Mgumu ya Mafia.
Huwezi kushangaa Ukara Kama mji huu unaujua vizuri, kama ndenge Wote wa angani na mimiea ya mashambani pote pa dunia nzima.

Una hoja za shilingi katika kuona mawe yanacheza Kama Chemchem ya maji Moto kwa maji cost,
Fedha Ni Mungu kwenye Mji wa mjini ya mawe.

Mji huu una Nguvu za mawe hasa katika Maeneo matatu ya Angani,Ardhini na Majini katika,

Upya, Mji wa mawe unalinda utamaduni wake bado,Ule wa hovyo kama wao ni wa pekee duniani,
hauamini katika upya wa Jambo lolote ila kudumisha yaliyopo katika mwendo wake,

Mji wa mawe unapenda Karamu za mawe,ngoma za mawe,kutunzana kwa mawe,
Maneno ya mawe na miziki ya mawe na kununulia nguo za mawe

Ile Fedha ya kufanyia maendeleo makubwa Kama kilimo
,biashara na ujenzi wa nyumba za kisasa kwa dalili hata za kuanza na msingi wa Udongo,miti maji.

Watu wa Itabagumba,Kwimba na Rufiji bado ila ndo baada ya kuogelea Kwenye bwawa la waasisi

Ulikuwa Mji maskini Labda kwa sababu ya Asili ya kuwa ulipita miongoni mwa Miji ya historia,
ambayo Baba Nuhu wa 951 miaka aliiona Miji hivo ibaki katika umma wa Mwisho,makumi ndo inuka kugawanya ni umri wa sasa,
Kama Farao wa misri ili kila mtu athibitishe kuwa ipo hivo Korea ya kaskazini, India, Yugoslavia na Rufiji.


Pili,Huko Mzee Ni Jipu,Mji wa mawe vijana Wana Nguvu za kuamua Jambo la hekima
lisilo na matokeo ya kihekima ila la mawe kwa kuwa wanawaona wazee wake Ni mawe.

Na tatu,Mapenzi yeyote huko mawe ndo habari ya mjini,
Suala la mke mmoja kuwa na watu zaidi ya wawili kwa Uzuri wake
Ni la kawaida na Suala la mwenye mawe kuwa na wake pembeni zaidi ya watano
Ni kawaida pia kwa Dar,Dubai na Rufiji.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE KWA DUNIA NZIMA.

Na mbali zaidi hata Bata batano za jiwe kwa jiwe ndo habari ya mjini,
maana wao kuthamini miduara ni Jambo kwao ndo la usasa na hata asubuhi na jioni mdomoni kutamka bila aibu mkubwa kwa mtoto popote bila hofu,yote kwao
Ni Kama Chai ama sambusa kwa wenyeji wa Mawe ya Antacta,Amerika ya juu na Rufiji.

Basi Serikali ya Muungano wa JATAA uliotokana na Serikali za nchi mbili kuitafta Uhuru wa Asili ya ngozi yao Ilikuwa chini ya Usimamizi wa mzimu mbingu,Siku moja ya Tarehe 22 mwezi Kati mwaka wa moja 8 alikubaliwa kijana aende akaupeleleze Mji mawe kimaendeleo.

Kijana huyo akapewa Fedha za kujikimu ili afike salama kismati kwenye huo Mji ambao unazingatia Maokoto tangu zamani hizo za Australia,Afrika,America,Asia na Rufiji.

Ni Mji wa mawe wa mjini ya mawe.

Kama walivyokuwa wapelelezi wengine walioaminiwa na nchi zao wenye dhana za kuwaweka watu wamoja.

kijana huyo aliaminiwa Sana na waliomtuma, JATAA ni nchi mbili zilizoungana kuitafta Kweli ya Mji wa mawe Kama ilivyoandikwa na wazee.

Mji wa Mawe ulipenda nyimbo za mawe ambazo mdomoni mawe duara yalipendwa kuliwa na kupigwa kwenye Migundi ya Watu mbalimbali.

Utasikia neno Unamanisha" litawekwa kivijana zaidi mpaka utachukia kusikia, Kama mji Hauna wazee hivi,Kwao matusi furaha iliyokubwa.

Labda kwa sababu ya wazeemawe wa Mji wa mawe.

NI KILIO,MAONBOLEZO NA OLE KWA WOTE DUNIANI.

Nchi ya kwanza ilitambua Mji wa mawe tunao katika historia ya wapelelezi wa mwanzo hivyo ikampa Timotheo mpelelezi uchwara silaha ya Kitabu Cha NO WOMAN NO CRY Kilichoandikwa kwa Summary na baba Mzazi wa Bahati Dube kikipaji juu ya Mji wa mawe katika Nyakati zijazo itakavyokuwa Somanga,Itigi, Tanzania,Misri,Botswana na Rufiji.

Kwa hiyo Mpelelezi ajulikanaye Timotheo alipewa hiyo Kazi ambayo alikuwa kafunzwa baada ya masomo Yake kwa miaka mitatu(3) na alikuwa mbobevu wa uvumilivu Kama walivyokuwa Wakina Timotheo waliopewa maagizo baada ya miaka 3 ya kuhitimu na dola za Mda ule, katika Hayo maagizo aliaswa na bosi wake ipo Ayubu7;1-4 ili avumilie kuukabili Mji wa mjini ya mawe na wageni waipendao mawe yagongane
Kila Mda ili vichwa vyao viwe sawa.

Sensa ilifanyika Mara moja katika Kile kipindi Cha upelelezi wa Mfia nchi Timotheo wa Jataa na idadi ilijulikana huko Chadi, Cameroon na Rufiji.

Wenye majiko ya Ndoa,Udongo na umeme,mashamba,pasi ya mkaa na umeme,Cable zake,machanuo,Gari na idadi ya Tairi, nzima na mbovu,wenye simu na aseme na mabetri,vitanda na mashuka na vijana wenye ndevu na wale wasio hata kidogo.

KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE.

Yote Haya Ni upelelezi,kwa Kweli Serikali iliwapeleleza vizuri katika senza hiyo.

Na Vishikwambi vikaonesha Tangu nchi ile iwepo katika Muungano Wananchi wake kufikia mpaka Ukombozi unakuja Kwa Jataa kupitia masihi wao Basi hapajakuwepo na mtu apate milioni 10 aende kwanza akanunue bunduki kwa Siri,

Nje na Hayo Anaweza kumpa yote mhudumu wa masihi ajaye,na hili ni muhimu kstika imani kwa mwenye uwezo wa kuamini, ama mwingine kustarehe mpaka iishe kuliko kwenda kununua upinde na mshale wa Singida,Morogoro na Rufiji.

Nchi hiyo ilifanikiwa Sana katika kuilinda amani yake,Dunia iliwatembelea na kufarijika Sana,Na hii ni kwamba wananchi wengi wanawaza kujenga kwanza ama kununua viwanja kwa sababu ya kuwepo kwa Amani kwa weledi wa waasisi wa Taifa Hili pamoja na mkuu Pierre Liquid alipowaambia Suala la kuwa mawinguni Ni ile Hali ya Kulewa huku mawe bado unayo na bado unaendelea Kulewa.

Na upelelezi huo kwa vijana Hao ulihusu kwenda kuiimarisha Amani kwa kipindi Cha pili, unaotazamiwa baada ya Jataa kuwa Serikali moja hapo Badae kwenye miaka ijayo hapo juu ya Ethiopia,Brazili,Rufiji na Denimark.

Basi kwa kuwa Mji wa mawe ulikuwa na mgogoro mkubwa wa Mapenzi na Kukoswa mbadala wa nafuu Yake,

Na kubwa kuliko watoto wadogo wanaujuzi wa vitendo vya vya jinsia moja,huku wakiwataja wadau kote duniani.Hili ni onyo Kwa wote.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE WA MJI HUU.

Basi mwanzoni ulikuwepo muwa uliozamisha meli kwa Wapelelezi Hao na pili ulikuwepo muwa mtamu uliomfanya dereva aifurahie safari ya kuutafta Mwanga kwenye kiza kinene Cha mlima Kirimanjaro na Meru Ni vile alipokuwepo Ziwa Tanganyika na Ziwa Victoria.

Basi kijana yule mpelelezi uchwara alikuja na mgeni wake wa kike kutoka Mji wa mataa Mengi iliko Salama na amani

Mgeni huyo alifanana na Kile Mji wa mawe unakipenda,Yeye mbonde,Matimbwa,Nkumba na Sobo.

Basi Timotheo mchwara alionesha umahiri Sana, hata Yeye bila kujua kuwa Mji wa mawe ulijiuliza kwanini huyo Mda Wote waongozane na mwenzie vile, hivi na mpenzi wake Mdogo wake Tibajuka.Kusudi katika hoja wao kila jema ni Aibu kwao.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE DUNIANI KOTE.

Jambo ambalo sisi Mji wa mawe hatulioni hapa?Mji wa mawe ulikasirika Sana ukiamini Zama za Adamu na Hawa zishapita.

Hiki tukionacho Ni dharau maofsini na sisi wenyeji wa mji,Mji wa mjini ya mawe ulikuwa mwendo wa kugonganisha mawe huko Mwanza,Arusha na Rufiji.

Basi mdogo mdogo Sehemu ile aliyofikia mara ya kwanza Timotheo mpelelezi uchwara ya wageni iliandikwa maneo Haya,
GET, THE UNDERSTANDING,THE UNDERSTANDING OF THE PEOPLE.
Ila Mda huo Timothy mchwara hajui Lugha ile na ile sehemu Ni maarufu ya mwanzo kwenye Mji wa mjini ya Mawe iliyokuwa mbali na mwonekano wa Mto Rufiji,Wami,Kagera na Maragarasi.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE DUNIANI KOTE.

Basi Mungu si Athumani,Mpunga Timothy ukakata ukabaki Kama Mia mbili Elfu hivi,Akastuka,Ile kustuka akaenda kupanga Chumba Cha kibishi huku anasubili awezeshwe ili apange nyumba nzuri mambo Yake yaende kidigital zaidi.

Pale alipopanga hapo ndipo Mutange Bandhu aliiona vizuri,Watu wa2 1992 baada ya Ngoshomnde kuanguka, duka mkanganyiko ikawepo sehemu ya kufikia baada ya mtafaruko.

Akawa na wahenga wa jadi kuwa Paka anatumwa kwenye Mji wa mjini ya mawe mchawi anajulikana,na ukitaka umjue zaidi kwenye Mji wa mawe Basi mpe nduguyo akulelee huko Sumbawanga,Ruvuma,Songwe na Rufiji.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE KWA WATU DUNIANI.

Ni lazima na Mwanao Msemo wa vijana Atakuwa mchawi wa wachawi hataogopa kukufelisha hata michongo hata Kama Ni bosi wako,(QURUAN 16)

Na atahakikisha kwenu anawamaliza na atakayebaki naye Atakuwa mchawi wako Tena mkubwa kuzidi na mwenzi wako huko Tanga,Shinyanga,Tabora na Rufiji.

All things Fall apart,Ni mke wa Nuhu mtupu,Ni mke wa luti mtupu,Ni Rahabu mtupu maana mikono Yake Ni vifungo, macho Yake Ni mitengo,Njoo mjini utafundishwa,Ni mbora na Hilo Kwenye KTU 34 kwa huyu Mgeni kifua34.(Quruan 71, Ufunuo17)

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE KWA WATU WOTE DUNIANI.

kamba hukatikia pabovu, mchumba wa Feiki wa Timotheo mchwara alibadili gia angani akamfuata DJ wa Mji wa mjini ya mawe nilipokuwa hapo GoverYord katika Mji huo wa mjini ya mawe.

Then Hiyo ikakata Tarehe 24/12/19 na Malkia wa Mji mwenye jina kuu la Siri kwenye paji lake hapo wa mjini ya mawe alisajiliwa tarehe iliyofuata maana alikuwa kwenye Subilia ya kutoeleweka na Siku hiyo akaeleweka ili kuja kuitimiza sheria yote.

Ni Mji wa mjini ya mawe ulikuwa katika hasira kubwa na Malkia huyu wa Nguvu katika Mji wao,ulimuita Ni miongoni mwa watu waliozaliwa ili kuja kutuharibia maisha ya Badae ya Mungu katika Mji wa mjini ya mawe.

Na ndani ya malkia huyu upelelezi uliweza kufanikiwa kwa Hali ya juu ya kiwango Cha kidunia.

Mapenzi ya Kizungu kwenye Mji wa mawe Ni mwiko,ila ya leo na huyu Mweusi afu kule mwingine,hii Ni Desturi katika Mji wa mawe kwa anayezeeka na anayepevuka.Kinyume Cha hapo watakwambia unajiona.Heshimuni ya msingi mnapopatana wawili,Adui hana Rangi katika ujio wake.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE DUNIANI.

Umemuona mtumishi wangu Ayubu,Chuki nichukie roho Yangu niachie,Hiki Timotheo mchwara kwenye Mji wa mawe alikiamini na kujua kuwa aliyemtuma ndio mkuu wa wakuu,

Ni vigumu kurudi nyuma. Hata Suala la Miziki kwenye mikundi duh ilikuwa shida kwa mpelelezi huyu wa kimila.

Aliishi vibaya Sana na roho yake katika Mji huu na waliapa kuwa Jina lake liliandikwa kwa Ubaya kila Mlango wa kila njia inayoingia na inayotoka katika Mji wa mjini ya Mawe(Mavumbi yakung'utwe ili

Timotheo mchwara alikuwa choko na Kinyamkera mbele ya Mji huu wa mjini ya mawe.Na uliapa hivo kwa anayekuja na anayeingia ajue Hilo awe mdogo awe mkubwa.

Na hicho, hakuwakemua juja wamaahajuja
Muongozo katika Dunia kutoka kwa Mola katika nchi ya Salama,Salemu yao

Ni chumvi imeharibika, Mpelelezi uchwara alijua Hilo Labda ujasiri wa Mpelelezi huyu ni Ni kutokana na Rafiki Yake Paulo wa 2Wakorinto12 ndo Ilimpa Nguvu na vile hadithi za mkuu Mohammed juu ya yule Malaika aliyempasha habari juu ya utumishi wake mbele za Mungu.

Ukarimu na wengi,Ukweli na upeo Ni mambo ambayo Mji wa mjini ya mawe uliyapinga Sana.

Ila kwa Wapelelezi Haya huyatanguliza ili kuinasa hekima na matarajio ya kila mtu.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE DUNIANI.

Kulikuwa na mtu wa Dini toka uzee wake Ambaye alizurumiwa Mali zake kwa kuweka Imani katika Mungu,Bibi huyu.

Aliyependa kutaja Surat Yasin(Quruan 36) mdomoni mwake na hapo Aya ya 42 ilimkaa miongoni mwa watu wa Dunia ya Kileo.Huyu alimpokea Timotheo mchwara kwa wema Kama wazee wake walivyomuita jina hilo Bibi huyo na aliapa hivo kuwa mtu huyu Ni Mpole na mnyenyekevu aliyejaliwa heshima na Muda Wote tayari kutumikia,

Muone anavyoniheshimu,Mwenye huruma na upendo,Alitamka mbele ya mpelelezi mchwara na Da imania na ndugu Hao.

Lakini huenda Timothy mchwara hakuwa Mpole ila sababu ya Kazi Yake ya upelelezi katika Mji huo maana wengi walimuita hivo japo huu Ni utunzi wa hadithi tu kwa Amerika Afrika,Jamaika Simiyu,Kigoma, Zanzibar na Rufiji Kazi ipo kwenye funga Kazi.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE KWA WATU WOTE DUNIANI.

Pamoja na Hayo kitu alichokiona Timotheo mchwara katika kujua watu.Mungu ni shahidi wa mengi.

Tabia njema Ni silaha,waongo hawaipendi Kama uko Nayo,wageni wakija nyumbani kwa Bibi yule ndipo alipokuwepo anapenda kuongea naye sana na kumtuma Kazi kuliko wenyeji wa Mji.

Alimpatia Kile kilichomfanya hata kidogo kitu kilichopelekea wakaribu wamchukie yule Bibi kana kwamba hajielewi kumpenda mtu Ambaye hajulikani atokako na aendako.Na kuu kuliko roho mtakatifu wengi aliwashuhudia juu ya kuonekana kwangu ila walimkufuru,Roho aliwashuhudia walio wengi juu ya wito huo.

Upole wa Wapelelezi Ni kibali Cha Mungu Ili kuiendea Kazi Yao,Kabla ya mwanzo wa Jambo ulipakwa tope ila Bibi yule aliyependa Mgeni wa hivo.Wezenu Wana heshima,wenzenu wanaheshima.

Nje na Bibi huyo Timotheo walipofika wageni Sehemu nyingi alizokaa hasa kwa wale wanaomjua hata Kabla Mgeni hajaongea Wala kukaa hata Timotheo mchwara hajaongea wao waliwahi sana kutoa hukumu za huyu si mwema hata kidogo,mbaya sana huyu,hakuna kuongea naye,Kwa mdogo na mkubwa.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE DUNIANI KOTE.

Wewe kakupa una bahati.Kakupa basi atakuwa nazo nyingi sana,Ukarimu wake ni bure nani anampenda.Kwa hilo nalo nikaliona sehemu nyingi lakini mungu hakosei akisema huyu hivi na huyu hivi,Wspo wengi wagumu kukubali na hayo yalikuja kuthibitika.

Zilibebeka ishara na kauli za mwanzo kabisa kuwa mtu huyu Ni mbaya kuliko unavyofikri Ili kufedhehesha upelelezi huo.Na ishara ya Kuleni mkate huu na divai hili ndo agano langu la milele hakika mikono ya wanafiki ilifanya vile.

Na timotheo mkoba aliobebeshwa mwanzo hapo mfalme wa Morocco uwanja wa Dodoma chadulu Ni ule wa No woman No cry,Ride Dready Ride kwa hiyo alivumilia Sana pote kwenye Govyard na nje ya Govyard Kama alivyopenda kusoma Kitabu alichofunuliwa akiwa Kwenye Mji wa mjini ya mawe Cha Isaya 53.
Na Ngurumo akaunguruma NA NAKAZA MOYO katika utimiLifu wa Majuma 70 katika dan9.

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE KOTE DUNIANI.

Maneno ya Nasaha Ni maneno ya upole na ya mvuto kwa wengi ila umaarufu kwenye miji ya mawe maranyingi huzaa fitina na majungu.Na majungu si mtaji huwezi kufanya utajirike,Kama hutaki Elimu Basi ujinga jaribu.(quruan17)

Katika Mji wa Mji wa Mawe washawahi kwenda ofisi za usajili wa serikali kuomba kusajili jina la kikundi Chao bila hofu Cha FIMARU ambao kwao huwaambii chochote Cha kuwa wamoja, good kwao ni fitina na majungu.Na majungu hayajengi.(2timoth3).

Wazee wa zamani Tena wamisionari wa kwanza waliposikia utabiri wa kuwa kubashiri ni njia halali ya kipato hivi Sasa walizimia moyo,Tena kila dakika 5 unaweza kupata Maokoto ya maana ndani ya Mji wa mjini ya mawe Basi FIMARU,Rukwa,Ruangwa iliwaazibu wageni na wenyeji wasiozingatia Maokoto.Fitina na Majungu ni adui wa mwenyezi Mungu Kote duniani.

Na wenyeji watakwambia wazee wao walitabiri Sehemu za ibada watakuja kula kwa mawe mwishoni,Bado wanaliona Jambo Hilo,Lakini Wapelelezi wameuchora Kama mji wa mjini ya mawe katika Umma huu.(Quruan 71).

NI KILIO,MAOMBOLEZO NA OLE DUNIANI.

Waooo ilikuwa hasa kwa mtu Mgeni ila mwenye pesa katika Mji wa mjini ya mawe ndio alikuwa anaheshimiwa, na Yule Ambaye mdomoni alitamka maneno mabovu ya maumbile ya mawe Mara kwa Mara hasa kwenye Maeneo ya Wilaya nyingi na Miji midogo Kama Mwamatembe,Iselamagaji, bubinza,chamagati,Bukunu,Kona Mwanza,Kagera,Kambala,Nairobi,Rufiji na Kigali.

Mji wa mjini ya mawe Ni wa millennium2/milele na milele/1000+100... katika matarajio ya kuacha historia.Kilatini Lipo Jambo.

Mji wa mjini ya Mawe Ulizarau Elimu mwanzo licha ya Serikali kutoa Elimu bure.Mwitikio ni mdogo kuhusu umuhimu wa elimu.

Hekima,maarifa na Busara walimwachia mwasisi wa Taifa lile,

Ulihofu Sana Sana kuzalaulika Sana,Sijajua Labda kwa sababu magari na bajaji ziliandikwa mabango makubwa

AKISOMA ATATUSUMBUA.

Si mzuri wivu,Basi Mji wa mawe Shule zake hasa za Sekondari utoro wa wanafunzi 200 ama 300 hao Hao kwa Mda wa mwezi mzima Ni Jambo ambalo wazazi hawastuki licha ya walimu kuumia Sana.

Ni Suala ambalo Mwalimu mkuu akiingilia suala Hilo Mji wa mjini ya mawe utampinga Sana na mwishowe ataondolewa na kuonekana hafai.

Labda wazee wa HEKIMA ndani ya TA ndani ya A walikuwa wanamisemo Yao.

ZILONGWA MBALI ZITENDWA MBALI,Msemo mwiko Duniani kote.

Kwa ushahidi huo wazee wao wameshakwisha kuwaambia misemo na hawasikii kwa vitendo,

Pale mvua nyingi itakaponyesha katika ardhi yenye miti mingi utiini ule mti mrefu sana tofauti na hapo mtapigwa radi hasa mkiwa katika nguo nyekundu hata Mtwara,Mara,Mbeya,Iringa na Rufiji wao wanasema Wanaumwaga na Madondola wakiwa katika nguo za kijanna Tembo wanawakimbiza wakiwa ni nguo za njano,wanafiki dhahiri na sijui kwanini,wakisema hivo wanamkomoa nani?Green kumuandaa mtu kumpokea Mungu.

Wakulima Ni Prisoners,Wafugaji Ni Prisoners,wavuvi Ni Prisoners,Abiria Ni Prisoners,Wote Ni Kama wahuni tu nje ya Kukataaa kuhamasishana Kupenda Elimu,

Makundi Hayo yapo,Na watalamu Wapo,ila linapokuja Suala la mikutano ya Vijiji na vitongoji Wote Ni Prisoners maana kwao Hawaoni Umuhimu wa kuelimishana hata Wa Injinia Soma hiyoo,wote wamesukumiwa ndani.

Nje ya Sukuma ndani,injinia Soma hiyooo Kuwahamasisha kilimo Cha pamba Cha kitaaalamu na kuwaletea kiwanda Cha pamba na watalaamu Kwenye Mji wa mjini ya mawe Viongozi wasaidie kubeba ajenda hizi kuacha baada ya kuzitafta TU.

Elimu Ni kwamba Miche zaidi ya 44000 inaweza kupandwa kwa 60/30Cm ama Rula2 kwa kila mche mmoja na kukupa kilo 300-1000 ukichuma vizuri,hii baada ya siku21 za kuanza kung'olea magugu na palizi la kurutubisha mmea,

Hakika Elimu Bora ya mkulima na mazao Ni muhimu Sana.

Na Elimu jukwaa wakina Federal movement (FM)bado hawajaliona Hilo,wao sera Yao Ni Bei ya mazao tu iko chini,Na Mungu anataka wafunguke.

Hakuna Matunda ila haya,Kwanza yafanyike na hapo qur2:57-61 tutaiona kwa vitendo ili liwepo fungu la Saba ambalo Ni la kila mtu.

Tukitaka tuijenge nyumba bora Basi Elimu ya kilimo Ni muhimu zaidi na katika Mama huyoo mama Hili Ni la kwanza.

Kama tutakumbuka na Mola akajalia posho kudai, ikawepo baada ya Mpigano ya Msumbiji kwa Mtumishi Salumu Athumani MT436 wa mjini ya mawe,mwaka 1975 chini ya Meja Kota wa lhapo Lugalo,Aloyce Kapinga,Mamento Luoga,Luteni kakwira,kambi Ni 41KJ kikosi Ni KM1.

ili kuwanusuru wenyeji kulingania na Umuhimu wao kihistoria.

mjini ya mawe Kama ilivyokuwemo 8 ya Isaya ndivyo huenda ikawa 3 Nahumu jamiiforum Ni Mawinguni,Yeriko na miaka 60 na ushee ya baba Nuhu aliyekaa miaka 50 akilingania watu baada ya Kuinuka kwake mbele ya umma wao kwa ukomo wa utawala wa Mda huo.

Na Ushauri ni kuwa Mji huu wa mjini ya mawe uanze na 1:Elimu, 2;Elimu,3:Elimu, 4:Elimu,

kwa kufanya hivyo watakuwa wameelewa Siasa yao, imani Yao na Desturi Yao inaungwa Mkono kote Jamaika,Ivory cost, Vatican na Kote Duniani ili wawe tayari kukubaliwa japo wao wanapuuza maonyo.


Kama Edward Ngoyai Lowasa alipokubali hiyo 2015 na kutuachia Jambo Msingi Kama Dk. Slaa na 14 ya mmoja hapo Clouds TV 2018,

Pamoja na Hayo kuwa Balozi naye amesema akiwa siyo Balozi kuwa Mungu anayemwamini yeye alikufa kifo kibaya,hivo Ni Suala la Elimu kujua Ukweli wa watumishi Hawa ambao kwa Wapelelezi makini Ni ngao Yao.

Kwa Hilo la Lowasa wa Monduli TZ na DK. Slaa wa Karatu Tz litawafanya wawe wahoja Kama Hudihudi kwa Sulemani katika nchi ya sabaa.

Ili watoto watakao kuwa na umri wa miaka 25 kwa Mjibu wa Nabii Rolinga kuwachukia watu wazima na wazee wa Mji wa mjini ya mawe kwa maandishi Haya na mabango hayo juu ya Utumishi uliotukuka wa Mtume Mohhamed,Yako wazi Kisumu,Entebe,Rufiji na Gamboshi.,Hakuna umma uzidio 2025 kila majira pasipo ugeni mpya.Na kizazi changu[walio wangu] hautaangamia tena kwa Gharika.

Bila kurudi nyuma Mji wa mjini ya mawe usikubali kugeuka kuwa jiwe [2300 Siku za watawal],Na ipo tayari sasa kwa mjibu wa Nabii Rolinga.

Namimi nilikuwa Naimba Wimbo huu wa mji-mjini ya mawe Sasa Nakung'uta mavumbi naondoka kuelekea Soari/wilayani kama nilivyotumwa ili Sodoma na Gomora zisitahimii adhabu kuliko nyumba au mji ule wa milele.

Narudisha maiki kwa heshima kwa mkuu Mwenyenyimbo na yaliyomo ndani yake,kwenu mimi ni mkumbushaji tu.

Ni mkuu Bukuku,aliye unguruma kwa masikitiko makubwa, Nani aitikise Dunia juu ya Tsunami lijalo kuikumba Dunia.

Tumeanza na Kazi tu[tembeeni Naye ni kichwa kweli,kifua mbele], Sasa Kazi iendelee[ kufumba na kufumbua ndo FUNGA KAZI.
 
Ni ujinga mtupu kuruhusu huu utopolo kwenye jukwaa la Intelijensia
Inaonyesha ni jinsi gani wahusika ni mapoyoyo
Mmefukuza Mathanzua na alikuwa na anatuletea sharp and twisted theories, halafu mnaruhusu hekaya za abunuwasi
 
Ni ujinga mtupu kuruhusu huu utopolo kwenye jukwaa la Intelijensia
Inaonyesha ni jinsi gani wahusika ni mapoyoyo
Mmefukuza Mathanzua na alikuwa na anatuletea sharp and twisted theories, halafu mnaruhusu hekaya za abunuwasi
Sijafukuzwa popote mkuu,ila ni kweli kwa kiasi kikubwa huu ni utopolo.Huyu jamaa inaelekea yupo kwenye ulimwengu mwingine.Hata hivyo upo ukweli kiduchu kiasi fulani katika mambo aliyoandika,it is not all rubbish.

Ni kweli ipo Tsunami itakayoikumba Dunia.Kuanzia mwaka 2024 kuelekea 2030,dunia itakumbwa na mambo ya ajabu sana na mengi, matumbo yatauma, likiwepo la watu kufa kwa wingi sana.Na sitishi,ni kweli kabisa tujiandae for any eventuality.Mradi mkubwa wa kuwapunguza wanadamu duniani by the NWO Cabal under the umbrella of the WEF(World Economic Forum), utaendelezwa kwa kasi zaidi,na 2024-2030 itakuwa kweli FUNGA KAZI
 
Ni kweli ipo Tsunami itakayoikumba Dunia.Kuanzia mwaka 2024 kuelekea 2030,dunia itakumbwa na mambo ya ajabu sana na mengi, matumbo yatauma, likiwepo la watu kufa kwa wingi sana.Na sitishi,ni kweli kabisa tujiandae for any eventuality.Mradi mkubwa wa kuwapunguza wanadamu duniani by the NWO Cabal under the umbrella of the WEF(World Economic Forum), utaendelezwa kwa kasi zaidi,na 2024-2030 itakuwa kweli FUNGA KAZI
Ahaaa, nimepata mzuka
Hebu funguka zaidi mzee
 
Sijafukuzwa popote mkuu,ila ni kweli kwa kiasi kikubwa huu ni utopolo.Huyu jamaa inaelekea yupo kwenye ulimwengu mwingine.Hata hivyo upo ukweli kiduchu kiasi fulani katika mambo aliyoandika,it is not all rubbish.

Ni kweli ipo Tsunami itakayoikumba Dunia.Kuanzia mwaka 2024 kuelekea 2030,dunia itakumbwa na mambo ya ajabu sana na mengi, matumbo yatauma, likiwepo la watu kufa kwa wingi sana.Na sitishi,ni kweli kabisa tujiandae for any eventuality.Mradi mkubwa wa kuwapunguza wanadamu duniani by the NWO Cabal under the umbrella of the WEF(World Economic Forum), utaendelezwa kwa kasi zaidi,na 2024-2030 itakuwa kweli FUNGA KAZI
Haya,wakwangu si mwingi utopolo,hautakaa usahahau siku yaja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom