Kukombolewa Kutoka Kwenye Nguvu za Giza - Sehemu ya 1

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,358
153,996

KUKOMBOLEWA KUTOKA KWENYE NGUVU ZA GIZA na Emmanuel ENI SEHEMU YA KWANZA (PART 1)​

Sura 1: Nilipotorokea kwenye "Maisha
mapya"


Hadithi yangu inaanza miaka 22 iliyopita katika kijiji kidogo kinachoitwa Amerie Iriegbu Ozu Item katika Ma
mlaka ya Serikali za Mitaa Bende, jimbo la Imo. Wazazi wangu walikuwa si katika kundi la miongoni mwa tajiri
lakini baba yangu alikuwa na neema ya kurithi hekta 42 za ardhi kutoka kwa babu yangu , baraka ambayo leo hii imenisababishia bahati mbaya sana ambayo haikuwahi kutokea katika historia ya familia. Baba yangu alichukiwa sana na ndugu zake wa mbali na karibu kwa sababu ambazo mimi sizijui, labda kwa sababu ya urithi wake mkubwa wa ardhi.

Tulikuwa ni familia yenye furaha, wazazi wangu baada ya kutupata sisi wanne: Love , Margaret , Emmanuel na Chinyere . Baada ya kuwa na mabinti wawili wa kwanza , wazazi wangu walisubiri kwa miaka 14 kabla ya kunipata mimi (mwana pekee wa kiume ) na baadaye dada yangu mdogo Chinyere. Hii ilileta furaha ya kweli
kwa familia, lakini furaha hii ilikuwa ni ya muda mfupi tu baada ya janga la kwanza kutokea . Mama yangu
mpenzi na anayejali alikufa. Ilidaiwa kuwa alikufa kutokana na uchawi, na miaka minne baadaye baba yangu alifariki, tena ilidaiwa kuwa naye ni kwa njia ya juju iliyofanywa dhidi yake. Miaka miwili baada ya kifo cha wazazi wote wawili, dada yangu mkubwa, Love, alitoweka kimaajabu na Margaret, binti wa pili wa wazazi wangu akachanganyikiwa akili. Ilikuwa ni mlolongo wa majanga katika maisha ya familia yenye unyenyekevu na furaha.

Dada yangu mdogo Chinyere na mimi tulipelekwa kwa babu na bibi yetu. Pale nilimaliza elimu yangu ya msingi na baadaye nilijiunga na Item High School. Nilisoma mpaka darasa la III la shule ya sekondari na nikaacha kwa
sababu ya ukosefu wa fedha kwa ajili ya ada n.k. Muda mfupi baada ya hili, babu na bibi pia walikufa. Baada ya
------------------------------
Page 3
sherehe zote za mazishi, ndugu yangu nisiyemjua alimchukua dada yangu mdogo Chinyere , na hadi leo hii sijui
yuko wapi. Kwa sababu ya malezi mabaya, nililazimika kurudi kwenye nyumba ya baba yangu, na kuishi huko
peke yangu katika umri wa miaka 13. Jinsi gani mtoto wa miaka 13 anajilisha mwenyewe katikati ya maadui wa
baba yake na yeye mwenyewe? Jinsi gani nilivyokuwa Naogopa! Matuukio haya yalionekana kama yamenileta
katika mwisho wa kuishi. Je kulikuwa na mtu aliyejali? Je kuna yeyote aliyehusika na "Mikosi ya kijana huyo
mdogo?"

Siku moja nilikutana na rafiki niliyemjua nilopokuwa shule ya msingi aitwaye Chinedum Onwukwe . Chinedum
alinipenda sana na waliposikia yote yaliyonisibu alinichukua mpaka kwa wazazi wake ambao kwa urahisi tu
walinipokea na kunifanya kama mwana wao wa pili. Maisha yakaja tena kawaida. Walinijali vyema. Nilikuwa na
furaha tena: Sasa nilijua kuwa Mungu wa mama yangu aliyemuomba wakati aliokuwa hai alikuwa hai mahali
fulani hivi. Amenipatia wazazi wapya, ndivyo nilivyojiwazia, nilifurahia wema huu kwa miaka miwili na kisha
shetani akapiga tena.

Chinedum na wazazi wake walikuwa wakisafiri kuelekea Umuahia na gari yao ikaingia ndani ya tipa lililobeba mzigo kama udongo. Chinedum na wazazi wake walikufa papo hapo! Baada ya kusikia habari hizi niliduwaa. Huzuni yangu inaweza tu kufikirika. Niliweza kuvumilia kipindi chote cha sherehe za mazishi, Nikiwatafutia wale wapishi kuni za kupikia na shughuli zingine: na mwishoni mwa hayo nikarudi nyumbani kwa baba yangu na nikarudia tena ajira hafifu ili niwe na uwezo wa kujilisha.

Niliendelea kufanya kazi zisizo za kawaida katika mashamba, katika bustani,
kuvua samaki pamoja na wazee
mpaka siku moja, mtu mmoja katika eneo langu alinikodisha kufanya kazi
katika shamba lake kwa 50k . Pale
shambani alinikabili kwa mlolongo wa maswali.
Kwanza, akaniomba nimuonyeshe
ardhi ya baba yangu, pili,
nimkabidhi shamba hilo, bila kujali jinsi uhusiano wetu ulivyokuwa. Katika
kesi zote hizo mimi nilipinga na
alikasirika. Kisha aliapa kuniua katika msitu.
Nikawa na hofu nikakimbia na
kupiga kelele ili nipate msaada. Kwa
bahati mbaya, kwa sababu eneo hilo lilikuwa mbali na ni ndani ya msitu
mnene hakuna mtu aliyesimama kwa
msaada lakini msaada ulitoka kwa Mungu.
Alinikimbiza na kisu chake lakini kwa kuwa
nilikuwa mdogo nilikimbia haraka
sana kuliko yeye nilianguka ndani ya shimo lenye kina cha mita 1.82 hivi na
nilifunikwa na majani yaliyokua
ndani yake. Naye akatafuta na baada
ya muda akakata tamaa . Baadaye nilijitahidi
kutoka nje ya shimo na kupitia
njia nyingine nikarudi kijijini.Nilitoa taarifa ya tukio hilo kwa wazee wa eneo letu
lakini hakuna hatua
zilizochukuliwa - kawaida ya watoto yatima.
Tukio hili liliunda chuki kubwa katika moyo
wangu mdogo, hakuna mtu
alinipenda, hakuna aliyenifikiria na kunijali.
Nilitafakari kwenye mawazo yangu kwa nini
mtu yeyote alitaka kuniua baada
ya kujua kuwa mimi sikuwa na
wazazi . Maisha yalijawa na taabu. Sasa najua
ya kuwa Mungu katika upendo wake alimzuia shetani asinichochee
wazo la kwenda kujiua. Nilimgeukia Mungu na
kuwa mwanachama kamili wa
Kanisa la Assemblies of God
katika kijiji changu (bado nipo) lakini kwa
bahati mbaya hakuna aliyejali ingawa hata baadhi ya wapendwa
walijua kwa habari yangu. Ni muhimu
kutambua kwamba nilikuwa mwanachama
kamili wa kanisa bila kumjua
Yesu Kristo. Sikujua nini maana ya kuzaliwa
mara ya pili . Kama wewe uko katika Kanisa la Yesu Kristo na
unajikuta katika hali ambayo nilijikuta,
mkabidhi Bwana Yesu Kristo maisha
yako. Maandiko yanasema: "
7
*Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni." *(1 Peter5 : 7 ).
Katikati ya ugumu huu wa maisha na mateso
ALICE alitokea! Alice alikuwa
msichana niliyemjua wakati wa siku
zangu za shule ya msingi. Alikuwa na miaka
mitano zaidi yangu tulitokea kijiji kimoja. Tulikuwa darasa
moja,tuliketi kwenye benchi moja na akawa
rafiki yangu sana. Na 'upendo'
huu katika hali ya utoto, tuliweka
ahadi ya ' kufunga ndoa ' wakati tukiwa
wakubwa. *Mzaha! *Mtoto wa miaka 11 wakati huo, bila wazazi, sina
elimu , sina chakula , naweka ahadi ya ndoa
kwa msichana wa miaka mitano
zaidi yangu! Alice baadaye aliondoka
------------------------------
Page 4
na kwenda Akure kwa elimu yake ya
sekondari na alinitumia barua za 'upendo'
nyingi. Wakati mwingine nilipokutana na Alice ,
nilikuwa nina miaka 15 na yeye
alikuwa 20. Yeye alipomaliza elimu
yake ya sekondari alifanya kazi na Benki ya
Standard Lagos ( sasa Benki ya
Kwanza), ambapo wazazi wake walikuwa wakiishi.
Alice akiwa anajua historia yangu na matatizo
yangu aliichukua hii kama
fursa. Aliniambia nijiunge naye Lagos
na akanipa anuani yake pamoja na N50 ( naira
: Sarafu ya Taifa ya Nigeria)! Hiyo ilikuwa ni bahati kwa kijana
wa miaka 15 ambaye hakuwahi kupata N2 kwa
siku! Hii ilikuwa ni mana kutoka
mbinguni na hii ilimaanisha
kuwa Lagos lazima palikuwa ni mahali pa
ajabu penye fedha nyingi na mambo mema ya maisha kwa wote
kufurahia. Ni lazima kwenda Lagos
kutengeneza pesa yangu mwenyewe na
kupata
utajiri pia . Kwenda Lagos
kwa akili yangu ilikuwa ni njia pekee ya kutoroka. Kukimbia kutoka kwa
maadui wa baba yangu, kukimbia
kutoka kwa madui zangu, kutoroka kutoka
kwenye njaa na matatizo yangu yote.
Kukimbia! Kukimbia! Ndiyo,
kukimbia kutoka katika yote yale ambayo ni mabaya!!!
------------------------------
Page 5

Sura 2: Mwanzo
*«. Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa
mtu, Lakini mwisho wake ni
njia za mauti. » Mithali 14:12*
*« Bali wabaya wanafanana na bahari
iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji yake hutoa tope na takataka.*
*Hapana amani kwa wabaya; asema Mungu
wangu. » Isaya 57: 20-21 *
Na maisha ya nje ya Yesu Kristo ni sawa na
ilivyoelezwa katika maandiko
hapo juu. Niliondoka katika kijiji changu na N50 na anwani niliyopewa na Alice,
kukimbilia *uhuru, haki,
starehe *na yote yanayokwenda pamoja
nayo: lakini kama utakavyoona hapo baadaye
ilikuwa ni tofauti sana na kile
nilichofikiria kwenye moyo wangu mdogo. Nilipofika Lagos , ilikuwa ni nzuri sana
katika macho yangu na
niliilinganisha na Mbinguni, chochote
kile Mbinguni kulivyofanana. Niliona yale
majengo yote marefu na mazuri na
katika kila uso niliweza kuona furaha ( hivyo nikajiwazia). Watu walionekana
kuwa na shughuli nyingi sana
na kila mmoja alijali mambo/
biashara yake. Nilipatwa na msisimko na
nikajisemea moyoni , *"Sasa nimejua
kuwa niko Huru!* Niliwasili Akintola Road, Victoria Island na
nilipokelewa vizuri na Alice
na wazazi wake. Wazazi wake walinijua
mimi na historia yangu kwa sababu tunatoka
katika kijiji kimoja lakini
kamwe hawakujua uhusiano wangu na binti yao. Alice alinitambulisha tena kama
kijana aliyemchagua amuoe.
Wazazi walishtuka lakini baada ya
majadiliano naye, walikubaliana juu ya hali
yangu kwamba wangeweza
kuniendeleza kielimu kwanza. Alice alikataa pendekezo lao na akaomba niwe
ninaishi naye katika gorofa yake
mwenyewe. Wazazi hawakuweza
kukubaliana na hili lakini alisisitiza. Walikuwa
na mabishano kuhusu hili
kwa siku nne na kwa ushawishi usioelezeka walikubali na nikaishi na Alice.
Alice, msichana ambaye ni mzuri sana,
aliniambia kuwa alikuwa ni mhasibu wa
Benki ya Standard na kwamba
angeweza kunifanya mimi tajiri na kunipa
vyote navyovihitaji katika maisha haya na alisema: " wewe kaa tu na
ufurahie!" Mtazamo wangu ya kwanza kuhusu
Lagos kumbe ulikuwa ni kweli;
miezi michache iliyopita nilikuwa
katika kibanda kidogo katika kijiji kidogo
kulichozungukwa na chuki, njaa na mateso na mimi hapa, tazama
ninaishi katika mji mkubwa, ghorofa nzuri na '
mke ' mzuri ambaye
aliniahidi kunipa maisha yeyote kadiri
yanavyotoa. Alinimwagia zawadi, fedha ,
mavazi, 'upendo' nk Mimi sikuwahi kamwe kujua kwamba dunia imejaa
haya ' mambo mema . Shetani kweli ni
mdanganyifu ! Maandiko dhahiri
yanasema : " Mwizi haji isipokuwa
kuiba, kuua na kuharibu. Mwana pekee wa
adamu ( Yesu Kristo) anayeweza kukupa uhai na kukupa zaidi
"(Yohana 10: 10). Ndugu msomaji, shetani
hana zawadi ya bure ! Chochote
anachokupa ni kwa ajili ya kuipata
roho yako . Hali hii ya furaha ilikuwa ya muda
mfupi, kwa sababu baada ya muda wa miezi mitatu mambo ya
ajabu yalianza kutokea.
Uzoefu wa Kushangaza
Usiku mmoja, niliamka usiku wa manane na
nikaona nyoka mkubwa aina ya boa -
constrictor kando yangu. Nilitaka kupiga kelele lakini sikuweza. Usiku
mwingine, niliamka na kuona
mwili wa Alice kama unaoangaza
kama mifuko ya Cellophane. Usiku mwingine,
alitoweka na kutokea tena na
tena. Usiku mwingine nilisikia kelele za ajabu au kucheza katika sebule n.k.
Sikuweza kuvumilia tena matukio haya
ya kutisha hivyo niliamua
kumuliza, na jibu la kwanza ilikuwa ni vurugu
na onyo kali. Alisema: "
Usiniulize swali hili tena au nitapambana na wewe. "
Tangu wakati huo nilijua maisha yangu
yalikuwa hatarini. Niliona ni
afadhali mateso kijijini kuliko kile
nilichokuja kugundua. Nikawa ninamhofia. Siku
mbili zikapita na akaja na tabasamu, zawadi na akanikumbatia.
Akaniambia jinsi gani anavyonipenda na
kunijali na akaniambia nisiwe na
hofu na aliahidi kunieleza mambo
------------------------------
Page 6
fulani hapo baadaye. Alinichukua mpaka klabu
na usiku ule alinikumbusha
ahadi yake ya kunifanya mimi tajiri nk, na aliniambia: "Siku moja utajua yote
ninayoyafahamu ! " Tukarudi
nyumbani na maisha yakaendelea kama
kawaida kati yetu. Ndani nilijua nilikuwa katika
hatari , lakini nitawezaje
kutoroka na wapi nitatorokea? Ni muhimu kukumbuka hapa kwamba wazazi wa
Alice hawakumjua binti yao, ingawa
ni mdogo, alijihusisha sana
na uchawi na mizimu na alinionya sana kamwe
nisije kuwaambia kama
ninayapenda maisha yangu. Ndugu msomaji, unaweza kufikiria , msichana
mwenye umri wa miaka 20 anafanya
mambo haya yote? Dunia ya nje
ilimwona kama msichana mzuri sana na mpole
anayefanya kazi na Benki kubwa
lakini alikuwa ni wakala mkubwa wa shetani. Kuna akina Alice wengi katika
dunia ya leo kama utakavyokuta
baadaye katika kitabu hiki.
Ugunduzi wa Kutisha
Siku moja, baada ya yeye kuondoka kwenda
kazini, niliamua kufanya ukaguzi katika ghorofa. Pamoja na ujana
aliokuwa nao, gorofa ilikuwa imejazwa vya
kutosha. Alikuwa na friji nne na
baada ya kufungua friji moja, niliona
fuvu la binadamu, sehemu mbalimbali za mwili
wa binadamu safi na kavu. Ndani ya dari kulikuwa na mifupa.
Katika kona nyingine moja ya vyumba nikaona
(kile baadaye nilijua kama
'chamber') sufuria imejaa damu na mti
mdogo katikati ya sufuria, kibuyu na nguo
nyekundu pamoja nacho. Sikuweza kuendelea. Sasa nilijua kwamba
nilikuwa ni mtu mfu na kwa kuwa sikuwa na
mahali pa kukimbilia. niliyatoa
maisha yangu kwa chochote
kitakachokuja, maisha au kifo na naliendelea
kufunga mdomo. Alice akarudi kutoka kazini na nilijua kabisa katika
ofisi yake kuwa alijua nini nilichokifanya katika
nyumba.
Kuingia katika ulimwengu wa Kichawi
Siku iliyofuata aliniomba nimfuate kwenye
mkutano. Nilikuwa tayari ni mfungwa na sikuwa na uchaguzi.
Tulikwenda kwenye jengo kubwa sana nje
kidogo ya Lagos. Tulipowasili (jengo
lilikuwa na ukumbi wa mkutano
chini ya ardhi), nilielekezwa na Alice kuingia
kinyumanyuma. Nilimtii na niliingia kwa mgongo, yeye pia alifanya
hivyo. Ukumbi ulikuwa mkubwa wenye vijana
na wanawake500 wameketi katika
mduara, na aliyekuwa ameketi
juu yao alikuwa ni mtu ambaye kichwa chake
ndicho kiliweza kuonekana lakini hakikuwa na mwili, kama
Kiongozi. Baadhi ya vijana hawa walikuwa
wanafunzi, wanafunzi wa vyuo
vikuu, wahitimu, walimu nk Alice
akabonyeza kiswichi ukutani na kiti kikakatoka
chini ya ardhi nami nikaketi. Yeye naye alifanya hivyo na kiti
kingine kikatoka kwa ajili yake naye akaketi.
Akanitambulisha katika
mkutano ule kama mwanachama mpya na
wao wakampongeza na kunikaribisha. Alice
alikuzwa nafasi kwa sababu ya hili. Yote waliyoyajadili katika
mkutano mimi sikuyaelewa. Mwishoni mwa
kikao na tulipokuwa karibu kuondoka,
niliambiwa nirudi peke yangu
siku iliyofuata na Kiongozi. Hii ilikuwa ni mara
yangu ya kwanza kukutana na dunia ya uchawi.
Usiku huo huo, saa 2:00 (na hii ni saa ya
kawaida ya mikutano na shughuli
hatari za nguvu zote za giza na
mawakala wao), Alice aliniamsha na
akanifunulia mambo fulani. Alisema: "Mimi si binadamu wa kawaida. Mimi
ni nusu binadamu na nusu roho lakini hasa ni
wa rohoni. Unachokiona katika
kona ya chumba changu ndicho
natumia wakati wa maombi yangu ya kila
asubuhi, ili roho zile ziniongoze kwa siku nzima. Kwa habari ya mifupa
mimi nitakuambia baadaye. "
Sikusema neno. Alileta baadhi ya vitabu juu ya
siri za dunia kwa ajili
yangu kusoma, na kwa sababu ya shauku
ya kutaka kujua niliamua kuvisoma. Muda mfupi tu nilivipenda na akaona kuwa
nimevipenda.Bila ya mimi kujua
alituma jina langu katika jamii ya kichawi huko
India. Kama nilivyokuwa
nimekwisha elekezwa, siku iliyofuata
nilikwenda peke yangu kwenye ile jamii na nikakutana na wengine tisa na
baadhi ya mashahidi. Ilikuwa
tunaingizwa rasmi. Tuliitwa pale katikati ya
ukumbi na mambo yafuatayo
tulifanyiwa:
-----------------------------
Page 7

1. Mchanganyiko unaoonekana kama putty
ulipitishwa juu ya miili yetu. Hii inakufanya uwe mwanacham
a kamili.
2. Glass yenye kimiminika kama mafuta
tulipewa kunywa. Hii inakufanya kuwa
wakala.
3. Unga ulio kama wa risasi ulipakwa katika vichwa vyetu. Hii inakufanya
uwe na uwezo wa
kujifunza siri zao.
Bila kujua, hii sherehe kumbe ilikuwa
ikirekodiwa India na Siku ya pili
nilipokea barua kutoka kwao. Katika barua nilielekezwa nitie doa kwa damu yangu
mwenyewe na baada ya hilo
niitume tena kwao kwa njia
waliyoielekeza, si ya Posta. Nilifanya. Kutokea
siku hii hakuna kurudi
nyuma; kurudi nyuma ina maana ni kifo kama mmoja wao mara zote walinikumbusha
hili na nilijua kuwa hakukuwa na
matumaini tena kwa ajili yangu.
Makataba na Alice
Asubuhi moja mapema, aliniambia kulikuwa na
sherehe muhimu inayotakiwa kufanywa katika nyumba. Saa 2:00
usiku alileta mtoto anayetambaa, msichana,
hai. Mbele ya macho yangu, Alice
alitumia vidole vyake kunyofoa
macho ya mtoto. Kilio cha mtoto yule kiliuvunja
moyo wangu. Kisha akamchinja na kumkata mtoto vipande
vipande na akaweka damu na mwili ndani ya
tray na akaniambia nile.
Nilikataa. Aliniangalia moja kwa moja
kwenye macho yangu na kile kilichotoka
kwenye macho yake hakiwezi kuelezeka kwa maandishi. Kabla
sijatahamaki nini kinatokea nilikuwa si tu
natafuna nyama lakini pia
nilikuwa nakunywa damu. Wakati haya
yanatokea, alisema: "Hii ni mkataba kati yetu
sisi, kamwe hutokuja kusema nje chochote una chokiona mimi
nakifanya au chochote kuhusu mimi kwa
binadamu yeyote duniani. Siku
ukivunja ahadi hii basi utakuwa
umeondoka. "ikiwa inamaanisha kuwa siku
nikivunja mkataba huu nitauawa. Baada ya tukio hili nilianza kuwa na hisia za
ajabu ndani yangu.
Nilibadilika na sikuweza kujizuia. Neno la onyo
kwa akina mama. Je, unawajua wasaidizi wa
nyumba yako? Ni vipi historia
yake inafanana? Je, unajali kujua yote kuhusu yeye kabla ya kumkabidhi maisha
ya watoto wako nk? Jinsi gani
Alice alimpata mtoto anayetambaa
na kumchinja, unaweza kujiuliza. Kwa hiyo
wazazi, unatakiwa kujua historia
ya wasaidizi wenu. Pale Alice alipoona kwamba amefanikiwa
kunifanya kikamilifu kujihusisha na
ulimwengu wa mapepo na
nilikuwa nikiongezeka kwa kasi katika hilo,
aliridhika na alijua mkakati
wake umekamilika. Alinitafutia gorofa kwa ajili yangu, alinisaidia kuimalizia na baada
ya hapo akajitenga na
uhusiano.
Mkataba nchini India
Jumuiya ya Delhi, India ilinitumia barua ya pili
ikinisihi niende India. Ndani ya barua pia walinielekeza nifanye
yafuatayo: " Kula kinyesi, kula panya waliooza
na wanaonuka, na kufanya
ngono na mapepo katika makaburi
wakati wa usiku"
Baada ya kutimiza hayo hapo juu nilifungwa nisifanye ngono na mwanamke
yeyote duniani. Nilituma majibu
india nikiwataarifu kuwa sikuwa na visa na sijui
jinsi ya kufika india. Kwa
wakati huu nilikuwa nimeanza
kufanya 'biashara'. Nilikuwa ni mfanyabiashara kiharamu mkubwa lakini kwa
sababu ya nguvu hizi nyuma yangu
sikuwa na shida na watu wa bandari nk
Nilianza kuwa na fedha nyingi, chakula na vitu
havikuwa tena adimu. Siku
moja, nilifunga gorofa yangu na nikatoka; niliporudi, nikafungua mlango na
tazama, mtu ameketi katika
sebule. Niliogopa. Akasema: "Je, wewe
------------------------------
Page 8

si Emmanuel Amos?" nikamjibu ni mimi.
Akasema: " nimetumwa kuja kukuchukua
twende zetu India, Hivyo
jitayarishe." Nilifunga kila mahali, nikaenda na kuketi kandokando yake
nikisubiri amri inayofuata. Lakini kama
umeme, alinigusa na tukatoweka kabisa.
Sehemu iliyofuata nilijikuta niko mwenyewe
ilikuwa ni kwenye ukumbi mkubwa
wa mkutano Delhi, India, pamoja na umati wa watu wengine waliokuwa
wamekaa tayari kwa ajili ya
kutukaribisha. Walileta mafaili
ambapo jina langu lilikuwa tayari limeandikwa
na akaniambia niweke sahihi
yangu pembeni.Nikafanya. Sahani iliyokuwa na nyama mbichi za watu,
zilizokatwa vipande vipande na basini ya
damu vililetwa. Jagi tupu za maji
zililetwa na kila mtu akapewa yake,kasha mtu
asiyekuwa na kichwa akawa
akipita huku akimimina damu na nyama katika jagi zetu. Mishumaa tofauti
tofauti iliwaka pamoja na ubani.
Mwanaume asiyekuwa na kichwa
akafanya manuizo na kila mtu akanywa damu
na nyama na mkutano ukaisha.
Uingizwaji nchini India Sasa kipindi cha kupimwa kikafika. Nilipelekwa
kwenye bonde lenye mita 200
kwa urefu. Ndani yake kulikuwa
na mchanganyiko wa nyoka hatari na
wanyama pori . Sikutakiwa kupiga kelele
kwa sababu kama nikipiga kelele bai nimeshindwa mtihani na adhabu yake
ilikuwa ni KIFO. Baada ya siku saba
za uchungu nililetwa kwenye
sehemu iliyoitwa ' INDIA JUNGLE'.
Katika msitu huu niliona aina tofauti za ndege
wa kipepo; ni ndege wa kipepo kwa sababu sura za ndege hawa
zingine zilikuwa ni za mbwa, baadhi kama
paka, n.k lakini wakiwa na
mabawa.Ndani ya Msitu kulikuwa na
pango na pango hilo lilifunguliwa tu na hawa
ndege mapepo. Walifungua pango na nikaingia ndani. Mambo
niliyoona ni vigumu kuelezea. Kulikuwa na
viumbe wa kutisha, baadhi
walionekana kama binadamu lakini wana
mikia na bila sura za watu, nk Hii ilikuwa ni
sehemu nyingine ya mateso. Mateso yale yanaweza kuwa kama nusu
ya kuzimu. Nilikuwa katika hali ile kwa siku 7
na kisha nilitolewa nje.
Kisha nilipelekwa kwenye maktaba kubwa
sana yenye vitabu vikubwa na vya
kipepo kwa ajili ya kujifunzia. Baadaye nilichukua vitabu viwili: Abbysinia ,
ambayo ina maana ya
uharibifu, na Assina , ambayo ina maana
kutoa uhai au kuponya. Baadaye nilipewa
vitabu vingi zaidi. Nilipewa
maelekezo ya kujenga chemba mara baada ya kurudi Nigeria na mambo yafuatayo ndani
yake : " sufuria ya asili
iliyojazwa damu ya binadamu, mti mbichi
ndani yake, na fuvu la binadamu , manyoya ya
tai , ngozi ya mnyama pori ,
ngozi ya nyoka na udongo unaon'gaa kando ya sufuria. " damu ndani ya chungu
ilitakiwa kunywa kila asubuhi na
dua. Nilipewa maelekezo kuwa
nisije kula chakula kilichopikwa na binadamu
na kwamba nitalishwa
kimiujiza. Nilirudi Nigeria kwa njia hiyo hiyo niliyoiendea, na kutekeleza yote .
Niliporudi nyumbani Nigeria
Sasa nilikuwa ni mmojawapo katika sehemu
ya ulimwengu wa roho na ningeweza
kusafiri popote pale sehemu
yoyote duniani. Kwa mujibu wa vitabu nilivyoleta, ni kwamba viumbe wa
kiroho (kipepo) wanaishi katika anga.
Nilifikiri labda sasa wangeweza kuongeza
nguvu yangu, hivyo niliamua
kujaribu. Nilitoka nje ya nyumba yangu,
nikafanya baadhi ya manuizo na kuita upepo wa kisulisuli nikatoweka.
Nikajikuta mwenyewe katika anga na
kuona hawa viumbe wa kipepo. Je, unataka
nini waliniuliza; niliwaambia
nataka nguvu.
Nilikuja tena duniani baada ya wiki mbili baada ya kupokea nguvu kutoka
kwao. Kama nilivyosema hapo awali,
Sikuweza kujizuia/kujidhibiti mwenyewe.
Pamoja na nguvu zote hizi
nilizokuwa tayari nimezipokea, bado
nilihitaji nguvu zaidi na zaidi ! Hivyo niliamua kwenda chini ya ardhi ili
kuthibitisha kile kilichoandikwa katika
vitabu nilivyopewa.
------------------------------
Page 9

Siku moja nilikwenda mahali fulani kichakani,
nikafanya baadhi ya manuizo
kama ilivyoelezwa kwenye vitabu
nikaamuru ardhi kufunguka. Ardhi ikafunguka na mapepo yakaunda ngazi mara
moja. Nikapiga hatua na kuingia
moja kwa moja ndani ya ardhi. Kulikuwa na
giza kuu ambalo linaweza tu
kulinganishwa na moja ya mapigo
ambayo yalitokea kule Misri kama iliyoandikwa katika Biblia. Niliona mambo
mengi ambayo ni vigumu kueleza.
Niliona watu walio katika minyororo, watu
wanaotumika kwa ajili ya
kutengeneza fedha - majukumu yao ilikuwa
ni kufanya kazi mchana na usiku kukusanya fedha kwa watekaji wao.
Nikaona baadhi ya wanachama wasomi/wenye
akili wa jamii ambao walifika
kutoa baadhi ya sadaka na walirudi
duniani na baadhi ya zawadi walizopewa na
mapepo yanayotawala sehemu zile. Niliona baadhi ya viongozi wa
makanisa ambao walikuja kwa ajili ya kupata
nguvu, nguvu ya kusema jambo
lolote na linakubaliwa bila ya
kuhoji katika kanisa. Nilikaa kwa muda wa wiki
mbili na kurudi baada ya kupokea nguvu zaidi. Watu waliniona
kama mdogo nisie na hatia lakini hawakujua
nilikuwa ni hatari. Kuna watu
wengi kama hao katikati yetu; ni wale
tu walio katika Kristo Yesu pekee ndiyo wako
salama katika hali halisi ya usalama.
*Mkataba na Malkia wa Pwani(Queen of The
Coast)*
Jioni moja, niliamua kutembea tembea.
Barabara ya kituo cha mabasi cha
Ebute Metta, nilimuona msichana/binti mrembo/mzuri amesimama. Sikuzungumza
neno lolote. Siku ya pili nilipopita
pia nikaona bado yuko pale pale.
Siku ya tatu nikamuona tena bado amesimama
pale pale na nikajitambulisha
kwake kama Emmanuel Amos. Lakini yeye alikataa kujitambulisha.
Mimi nikamuuliza jina lake na anwani lakini
yeye alicheka tu. Yeye
akaniuliza yangu nami nilimuambia mtaani
tu. Nilipokuwa nataka kuondoka, akasema
atanitembelea siku moja. Kwenye mawazo yangu mimi nikasema,
haiwezekani, sikumpa namba ya nyumba
yangu basi sasa atawezaje kufika.
Lakini ni kweli kwa maneno yake,
nilisikia mlango wangu ukibisha baada ya wiki
toka tumekutana pale katika kituo cha basi. Alikuwa ni yeye,
msichana wa ajabu! Nilimkaribisha lakini katika
mawazo yangu (Nilijiuliza
msichana huyu mzuri atakuwa ni
nani, je, hajui kuwa alikuwa amekanyaga
katika uwanja hatari?) Nilimfurahisha naye akaondoka. Baada ya
ziara
hii ya kwanza, ziara zake zikawa mara kwa
mara bila uhusiano wowote.
Katika ziara zake alikuja kwa muda ule ule, na
hakuja dakika moja kabla au iliyofuata! baadhi ya ziara zake
nilipenda kumpeleka Lagos Barbeach, au
katika Hoteli ya Paramount au Hoteli
ya Ambassador nk Wakati wote
huu, bado hakuniambia jina lake. Niliamua
kutokuwa na wasiwasi kwani nilijua uhusiano wetu usingeendelea
zaidi ya hapo. Nilikuwa nimepewa maelekezo
kamwe nisiguse mwanamke.
Ghafla ziara zake zikawa ni usiku. Katika ziara
yake moja aliniambia: "Sasa
ni wakati wako wewe kunitembelea mimi." Tulikaa pamoja usiku na saa 2:00
asubuhi kesho yake tukachukuana.
Tuliingia pamoja katika basi na
alimwambia dereva atuache barbeach.
Tuliposimama, nilimuuliza: "tunakwenda
wapi?" Alisema: "Usijali, Utakwenda kufahamu nyumba yangu"
alinipeleka kwenye kona ya barbeach,
akatumia kitu kama mkanda na
kuufunga ukituzunguka na mara moja nguvu
fulani ikaja kutoka nyuma yetu na
kutusukuma ndani ya bahari. Tukanza kupaa juu ya uso wa maji na moja
kwa moja tukaingia ndani ya
bahari. Ndugu msomaji, hiki kilitokea
nikiwa katika mwili wangu! Wakati ule
tumezama ndani chini kwenye kitako
cha bahari kwa mshangao nikajiona tuko tunatembea kwenye barabara ya magari
ya mwendo kasi . Tukaenda mpaka
kwenye jiji lenye watu wengi
na walio na shughuli sana.
Ulimwengu wa Roho
Niliona maabara nyingi, kama za maabara za sayansi, maabara za kubuni, na
ukumbi wa michezo(theatre). Nyuma
ya mji, niliona wasichana wazuri na vijana
wazuri. Hakuna wazee.
Akanitambulisha kwao na walinikaribisha.
Akanipeleka kwenye sehemu kama "chumba cha giza", "chumba cha kukaushia",
na "chumba cha kufungashia."
------------------------------

Wafilipi 2:10-11






KUKOMBOLEWA KUTOKA KWENYE NGUVU ZA GIZA na Emmanuel ENI SEHEMU YA PILI (PART 2)​

UnabiiwaKweli UNABII WA KWELI
Page 10
10
Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema aliojaliwa na Mungu
Akanipeleka mpaka kwenye kiwanda kikubwa
na ghala kubwa na kisha akanileta
kwenye nyumba yake binafsi.
Pale alikaa kuniambia: "Mimi ni Malkia wa
pwani (queen of the coast) na ningependa sana kufanya kazi na wewe.
Nina kuhahidi nitakupa utajiri na vyote
vinavyokwenda pamoja nayo, ulinzi
na vyote vinavyokwenda na hayo,
uzima na 'malaika' atakayekuongoza wewe. "
Akabonyeza kidude na mwili wa binadamu mbichi ukaja (katika vipande) ndani
ya trei(sahani) na tukala pamoja.
Akaamuru boa (nyoka) aje na akaniambia
nimmeze.sikuweza. Alisisitiza lakini
sikuweza, ninawezaje kumeza
nyoka aliyehai tena aina ya boa. Akutumia nguvu yake na nikammeza. Haya
yalikuwa ni maagano matatu: mwili
wa binadamu na damu, *boa(nyoka) *na
*malaika mapepo *walikuwa pale siku
zote ili kuhakikisha hakuna siri
iliyowekwa wazi. Lakini 'pepo' alipewa uwezo wa kuniadhibu
kama nikienda tofauti na pia
kiniletea chakula kutoka baharini
wakati wowote nikiwa hapa duniani. Niliahidi
kumtii siku zote daima. Na
baada ya ahadi hii alinipeleka na sehemu nyingine ya bahari, Hii sasa ilikuwa ni
kisiwa. Kulikuwa na miti na
kila mmojawapo ya miti ulikuwa na
kazi yake tofauti:
  • Mti wa sumu,
  • Mti wa mauaji, - Mti wa kutaja/kuonyesha, na
  • Mti kwa ajili ya tiba.
Alinipa nguvu ya kujibadili katika kila aina ya
mnyama wa baharini kama
kiboko, boa constrictor(Nyoka) na
mamba na kisha akatoweka kabisa. Nilikaa katika bahari kwa wiki nzima kwa
njia (kama ya mamba) aliyetajwa
hapo juu nikarudi tena duniani.
Maabara za ulimwengu wa chini
Nilikaa Lagos kwa wiki moja nikarudi baharini,
wakati huu nilikaa kwa miezi miwili. Nilikwenda katika maabara
za kisayansi kuona nini kilichokuwa kinatokea.
Nikaona madakitari wa akili
na wanasayansi wanafanya kazi kwa
umakini sana. Kazi ya wanasayansi hawa ni
kubuni mambo mazuri kama magari ya kifahari, nk, silaha mpya na
kujua siri za dunia hii. Na kama ingewezekana
kujua nguzo ya dunia
wanayoitaka, lakini Namshukuru Mungu,
MUNGU TU ANAYEJUA.
Niliingia katika chumba cha kubuni na huko nikaona sampuli nyingi za nguo,
manukato na aina mbalimbali za
bidhaa za urembo. Mambo haya yote
kulingana na Shetani ni kwa ajili ya
kuvuruga mitazamo ya wanaume kutoka
kwa Mwenyezi Mungu. Niliona pia miundo/ ubunifu tofauti ya umeme, kompyuta
na kengele. Pia kulikuwa na
TV ambapo walijua wale waliozaliwa tena
kuwa Wakristo katika ulimwengu.
Pale unaweza kuona na
kutofautisha wale ambao ni waendaji wa kanisani tu na wale ambao ni
Wakristo halisi.
Nikatoka katika maabara na kuingia katika
'chumba cha giza' na 'chumba cha
kukaushia. Chumba cha giza ni
mahali ambapo wanaua mwanachama yeyote anayeasi.Wanamuua kwanza kwa
kuchukua damu ya mtu huyo na
kisha wanampeleka mtu huyo kwenye chumba
chenye mashine ambapo itamsaga na
kuwa unga kisha
wanachukua unga na kuupeleka katika chumba cha kupakia ambapo wataufunga na
kuupeleka kwa waganga wa
kienyeji kwa ajili ya hirizi zao. Kulikuwa na
mambo mengi ambayo ni vigumu
kueleza kwa maandishi. Pamoja
na nguvu yote hii ndani yangu, nilikuwa bado sijahitimu kukutana na
Lucifer/shetani lakini tu nilikuwa na sifa ya
kuwa wakala wake. Yote sawa,ila niliridhika
kwamba mimi sasa nilikuwa na
nguvu na ninaweza kukabili,
changamoto na kuharibu vitu kadiri nipendavyo. Je, kunaweza kuwa na nguvu
nyingine yoyote ile popote pale
basi niliiweka katika mawazo yangu.
------------------------------
Page 11
11 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura3: Utawala wa uovu
*« Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
mimi nalikuja ili wawe na
uzima, kisha wawe nao tele.» Yohana * 10:10
Nilipokuwa nikirudi Lagos, niliendelea na
biashara yangu na baada ya wiki
mbili nikarudi tena baharini. Malkia
wa Pwani alinipa kile alichokiita "kazi yake ya
kwanza". Nilitakiwa niende kijijini kwangu na kumuua mjomba
wangu, mzee mmoja mganga maarufu
aliyehusika kwa kifo cha wazazi wangu
kulingana na taarifa yake huyo
Malkia.
Nilimtii na nikaenda lakini kwa sababu sikuwahi kuua hapo mwanzo, sikuwa na
ujasiri wa kumuua, badala yake
nilimuharibia dawa zake na kumuacha akiwa
hana nguvu. Kwa sababu ya hili
nililofanya alipoteza wateja wake
wote mpaka leo hii. Nikarudi kutoa ripoti ya zoezi hilo lakini alikuwa
hasira nami. Alisema matokeo ya kutokutii
maelekezo yake ilikuwa ni kifo, lakini kwa
sababu ya upendo wake kwangu
atanituma tena nirudi kijijini na kuua
wazee wawili ambao alisema waliunga mkono suala la mauaji ya wazazi wangu.
Kama hii ndio ilikuwa ni adhabu
kwa kutotii maelekezo yake au sio, mimi sijui.
Hata hivyo, nilitii na nikarudi kijijini na 'niliweza'
kuua watu hawa na
kupeleka damu yao kwake. Kutokana na kitendo hiki kilichotokea katika mazingira ya
kutatanisha ya kufa, wazee
katika kijiji wakaenda kuuliza kwa
mganga mwingine mwenye nguvu ambae kwa
kawaida huwa anatuma radi kuchunguza
muuaji ni nani. Kwa bahatimbaya kwa sabab ya watu hawa,
nilikutana na mganga kiroho ambapo
alikuwa akijaribu kuongea
namapepo na nikamuonya asiseme chochote
kama alipenda maisha yake. Alitoka
nje na akawaambia wazee waende nyumbani na kuomba msamaha kwa
mmoja kati ya watoto wao waliemuuzi
na hakutaja jina langu.
Radi aliyoituma ikarudi na ikapiga katikati yao
na kuua baadhi na kuacha
wengi wamejeruhiwa. Baada ya tendo hili la kwanza, nguvu ndani yangu ilianza
kujidhihirisha yenyewe.
Nilimuumbua msichana yeyote aliyekataa
kufanya urafiki nami nk.
Mkutano wangu na Shetani
Nikarudi Lagos. Siku moja, msichana mmoja aliyeitwa NINA alikuja kwangu.
NINA ambae wazazi wake
wanatokea Jimbo la Anambra alikuwa mzuri na
mrembo sana lakini anaishi sana
katika bahari, yaani ulimwengu
wa chini ya bahari. Alikuwa ni wakala mkereketwa wa Malkia wa Pwani(Queen
of the Coast) na alikuwa muovu
sana. Yeye aliwachukia Wakristo sana na
alikwenda mwendo mrefu kupambana na
Ukristo. Mimi nilikutana naye
kwa mara ya kwanza wakati wa ziara yangu ya baharini ya kwanza. NINA
alikuja kwa ajili ya kazi ya Malkia wa
Pwani.
Tuliondoka mara moja na nilipofika pale chini
niligundua kuwa tutafanya
kikao na Lucifer/Shetani. Shetani, katika mkutano huu, alitupa maelekezo
yafuatayo: Kupambana na waamini na
sio wasioamini, kwa sababu
wasioamini hao tayari ni wake. Baada ya
kusema hayo, mmoja wetu akauliza
swali: "Kwa nini?" Akasema sababu ni kwamba Mungu alimfukuza nje ya 'mahali"
pale (alikataa kuita neno'
Mbinguni 'na katika muda wote katika
mikutano yetu tuliyofanya pamoja naye
hakuwahi kutaja neno 'Mbinguni'.
Badala yake alitumia neno 'mahali pale') kwa sababu ya kiburi, na kwa hiyo *yeye
hataki Mkristo yeyote afike
huko (Mbinguni).*
Pia alituambia kwamba hatupaswi kupambana
na wanafiki. "Wao ni kama mimi,"
alisema. Aliendelea na hotuba yake na akasema: "Tunapaswa tu kupambana
na Wakristo halisi" Kwamba wakati
wake umekaribia, kwa hiyo
tunapaswa kupambana kama vile haijawahi
kutokea na kuhakikisha kwamba
hakuna anayeingia mahali pale:" Sasa mmoja wetu akasema tumesikia
kwamba Mungu alimtuma mtu kuwaokoa watu
warudi kwa Mungu" Shetani
kisha akauliza: "nani huyo?" mjumbe mmoja
akajibu "Yesu" na kwa mshangao
mkubwa, Lucifer akaanguka katika kiti chake. Akapiga kelele kwa mtu huyo
na akamuonya kamwe asilitaje
jina hilo kwenye mikutano yetu
------------------------------
Page 12
12 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
kama anapenda maisha yake. Ni kweli
kwamba kwa jina la Yesu kila goti
litapigwa (Flp. 2: 10), ikiwa ni pamoja
na Shetani. Baada ya tukio hilo akatupa sisi moyo na
alituambia kwamba tusiwajali "hawa
wakristo", kwamba yeye Lucifer
atakuja hivi karibuni kutawala dunia na
atatupa,sisi mawakala wake, mahali
bora ili tusihadhirike/tusitaabike sawa na wengine duniani na yeye atatufanya
sisi watawala. *Aliendelea
kusema kwa kuwa mwanadamu*
*anapenda mambo ya kushangaza na ya
ajabu, ataendelea kutengeneza mambo
hayo na kuhakikisha* *kwamba mwanadamu hana muda kwa ajili ya
Mungu wake na kwamba atatumia
yafuatayo kuharibu*
kanisa:
1.fedha,
2.mali, 3.Wanawake.
Mwishoni mwa hotuba hii akafunga Mkutano.
Mkutano huo ndio uliokuwa wa
kwanza kwangu mimi kukutana
na Shetani. Mingine kadhaa ilifuata baada ya
mkutano huu. Tulipokuwa tukiondoka, Malkia wa Pwani, ambae
sasa alionekana katika maumbo mbalimbali,
alinialika mimi na nyumbani
mwake. Aliingiza majivu ya binadamu
pamoja na vitu vingine ndani ya mifupa yangu
ya miguu yote, jiwe (si jiwe la kawaida) katika kidole changu na
kitu kingine ndani ya mfupa wa mkono wangu
wa kulia.
Kila moja ya vitu hivi ilikuwa na kazi yake. Jiwe
katika kidole changu
ilikuwa ni kwa ajili ya kujua mawazo ya mtu yeyote dhidi yangu. Moja katika mkono
wangu wa kulia ilikuwa
kuniwezesha mimi kuharibu na yale yalio
katika miguu ni kwa ajili ya kufanya miguu
yangu kuwa migumu zaidi na
kuifanya kuwa hatari zaidi na pia kuniwezesha mimi kubadilika na kuwa
mwanamke, mnyama, ndege, paka, nk
Alinichukua mpaka kwenye moja
ya maabara na akanipa darubini, TV na video.
Hivi havikuwa vitu vya kawaida
lakini vilikuwa vinatumika katika kuchunguza Wakristo waliozaliwa mara ya pili
na waendaji tu wa kanisani
ndani ya kanisa.
Mwishowe alinipa wasichana kumi na sita wa
kufanya nao kazi. NINA alikuwa
ni mmoja wao. Nilikuja tena Lagos nikiwa na zawadi hizo nilizozitaja hapo
juu.
Kugeuzwa kuwa wakala wa shetani
Sikuwa na hisia za kibinadamu wala huruma
katika moyo wangu tena.
Nilikwenda katika utekelezaji mara moja na niliharibu majengo matano kwa mpigo. Zote
zilizama ndani ya ardhi na
wenyeji wao. Hii ilitokea Lagos mwaka
Agosti 1982. Mkandarasi aliwajibika kwa
kutoweka msingi mzuri na alilipa
haswa kwa hili. Uharibifu mwingi unaotokea hivi leo katika dunia si kwamba
wote umesababishwa na mwanadamu.
Wajibu wa shetani ni kuiba,
kuua na kuharibu. Nasema tena, "Shetani hana
zawadi ya bure".
Nilikwenda kusababisha ajali katika barabara n.k. Kisa ninachopenda
kusimulia ni kuhusu kijana mmoja
aliyekuwa ndio ameokoka tu ambae alikwenda
akishuhudia wokovu wake na
ukombozi alioupata. Alikuwa
anasababisha madhara mengi katika ulimwengu wa roho kwa ajili ya kufanya
hivi, hivyo nilipanga kufanya ajali
kwa ajili yake. Siku moja alikuwa kwenye basi
zuri sana akienda Lagos.
Alikuwa ameitwa ili aje kutoa ushuhuda
wake. Basi lilipokuwa katika mwendo wa kasi, mimi nikalizungusha tairi nje
ya barabara hivyo likaenda na
kugonga kwenye mti. Abiria wote walikufa
isipokuwa huyu kijana.
Kupona kwake ilikuwa ni kimuujiza kwa
sababu alitoka nje ya gari kupitia buti ya basi na kupiga kelele: "niko
salama! niko salama! "Tulijaribu kumzuia
asishuhudie lakini tulishindwa.
Kwa njia ya TV, tunaweza kujua mtu
aliyetubu, mpya na tunamfuatilia kwa
ukaribu kuona kama tunaweza kumfanya akarudi nyuma. Kama baada ya
miezi sita hatuwezi kufanikiwa,
tunakwenda katika biashara yake na
------------------------------
Page 13
13 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
kuifanya iwe mufilisi. Kama yeye ni mtumishi
wa umma tutamnyanyasa kupitia
kwa bosi, na kama inawezekana
tunafanya bosi kusitisha mkataba au uteuzi wake. Kama baada ya haya yote
hawezi kurudi nyuma basi tunaachana
nae. Lakini kama atarudi nyuma anauawa
kuhakikisha kwamba hapati nafasi ya
pili kutubu.
Niliharibu maisha kwa kiasi kwamba Lucifer akafurahishwa na kunifanya niwe
mwenyekiti wa wachawi.
Mwezi mmoja baada ya Uenyekiti wangu,
mkutano uliitishwa. Tulihudhuria
mkutano huo kama ndege, paka na
nyoka. Viumbe hawa hutumiwa kwa ajili ya sababu zifuatazo:
1. Kuwa ndege kunafanya wachawi wawe
hatari zaidi.
2. Kuwa paka kunafanya wachawi wawe na
uwezo wa kuwa katika roho na
binadamu. 3. Kuwa panya kunawawezesha wachawi
kuingia katika nyumba kwa urahisi,
kisha wakati wa usiku wanakuwa
kivuli, na kisha binadamu na kunyonya damu
za watu.
Katika mkutano huo tulikuwa na agenda moja tu: *"Wakristo" *Tukapanga
kuitisha mkutano wa Afrika wa
wachawi mjini Benin mwaka 1983.
Tulichapisha katika magazeti yote ya kila
siku na vyombo vyote vya habari
vya umma. Nguvu zote za giza walijipanga na walikuwa na uhakika sana kwamba
hakuna kitu chochote
kitakachoingilia kwa kupinga mkutano huu.
Kwa kweli kila kitu kilipangwa
vizuri na kulikuwa hakuna mwanya.
Ghafla, Wakristo Nigeria wakaingia kwenye maombi na sifa kwa Mungu wao na
mipango yetu yote ilizimwa. Si
tu kwamba mipango yetu ilizimwa peke yake
lakini pia kulikuwa na mtafaruku
haswaa katika ufalme wa giza.
Matokeo yake, mkutano wa wachawi 'na mapepo haukuweza kufanyika Nigeria.
Wakristo wanapaswa kutambua
kwamba wakati wao wanaingia ndani katika
sifa halisi kwa Mwenyezi Mungu,
kunakuwa na shida na mvurugano
kote ndani ya bahari na angani,na mawakala wa shetani wanakuwa hawana
nafasi ya kupumzika/kutulia. Maombi
ni kama kutupa bomu la kushitukiza katikati
yetu na kila mtu anatoroka
kuokoa maisha yake.
Kama Wakristo wakitambua na kutumia nguvu na mamlaka ya Mungu aliyowapa,
wataweza kudhibiti mambo
ya taifa lao! Wakristo tu ndio wanaonaweza
kuokoa taifa letu.
Baada ya mkutano huu kushindikana, ambao
baadae ulifanyika nchini Afrika Kusini, niliitwa tena baharini.
Nilipofika, niliambiwa kutokea wakati huo
nilitakiwa kufanya bahari kama
nyumbani kwangu na kutembelea
dunia kwa shughuli ngumu tu. Nilipewa kazi
mpya: kubuni hirizi za waganga, nikiwa mhusika mkuu wa chumba
na mtumaji wa zawadi, yaani ufunguzi wa
makanisa (nyumba za maombezi),
ufunguzi wa nyumba za kujifungua,
kufungua maduka na kufanya yafanikiwe,
kuwapa 'watoto na fedha. Haya yataelezwa moja baada ya jingine:
1. Ufunguzi wa "Makanisa ya nguo nyeupe":
Wakati mtu anakuja kwetu kwa msaada wa
kujenga nyumba ya maombi na
kumsaidia kufanya uponyaji nk,
basi atapewa baadhi ya sheria: a) Atakubali kuchangia kwetu nafsi moja au
mbili kila mwaka.
b) Katika ngazi fulani ya ofisi katika kanisa mtu
atakuwa anaunganishwa na
jamii yetu.
c) Hakuna mwanachama angeruhusiwa kuja katika nyumba ya maombi na viatu
mguuni.
Akisha kubali matakwa hayo,*atapewa kitu
changarawe nyeupe, mifupa ya
binadamu, damu na hirizi, vyote*
katika chungu. Atapewa maelekezo ya *kuzika chungu hiki na vitu vyake
vyote mbele ya kanisa na atazika*
msalaba juu yake. *Baada ya maziko
msalaba tu ndio unapaswa kuonekana.
*Atashauriwa
kujenga Bwawa *au kuweka basini ambapo roho chafu
zinaendelea kuweka maji maalum. Maji
haya ndiyo unasikia huyaita*
"maji matakatifu."
Watu wengi wakisumbuliwa na roho mbaya
wanakwenda kwa hawa "manabii" kwa ajili ya kuwafukuza. Ukweli
ni kwamba, wao huongeza mapepo zaidi kwao.
*Shetani hawezi kumuondoa nje
shetani. *(Luka 11:17-19) Kile
------------------------------
Page 14 14
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
nabii atakifanya ni, atamuombea mshirika na
kisha atampa mshirika kitambaa
chekundu ili kuweka katika nyumba yake, na kisha atamshauri awe
anaomba akiwa na mishumaa na uvumba.
Kwa kitendo hiki mtu anatualika
sisi kwenye nyumba yake. Wakati mwingine
mshirika anashauriwa kuleta mbuzi
n.k, kwa ajili ya sadaka. Sadaka hizi ni kwa ajili yetu kuja na kusaidia kumtibu
mtu huyu. Nabii hana uwezo
wa kutibu au kuponya
*2. Ufunguzi wa Maternities (sehemu za
kujifungulia):*
Kama mwanamke anakuja kwetu kwa ajili ya kupata msaada wa kufungua kituo
cha uzazi na kukifanya
kifanikiwe, atapewa sheria zifuatazo:
"Mwezi utachaguliwa ambao watoto wote
wanaozaliwa katika mwezi huo kwenye
kituo hicho watakufa, na miezi mingine watoto wataishi."
Kama atakubali basi atapewa, dawa ambayo
itawavutia watu kuingia katika
kituo hicho cha uzazi. Kuna
maternities kama hizi Onitsha, Lagos, nk viatu
haviruhusiwi katika vituo hivyo.
3. Ufunguzi wa Maduka ya dhana:
Mtu anapotufuata sisi kwa ajili ya msaada
katika suala hili, anapewa pete
na mashariti kwamba hakuna
mwanamke atakayeruhusiwa kugusa pete yake. Ni lazima pia akubali kuwa
mwanachama wetu. Kama atakubali
kupokea kutimiza masharti hayo, duka lake
litakuwa linajaa vifaa vya ubora
na vya kisasa.
4. Kutoa Watoto Kama mwanamke tasa atakwenda kwa
mganga, baada ya kuweka malalamiko yake,
ataulizwa kuleta yafuatayo:
jogoo mweupe, mbuzi, chaki ya asili na baby
care. Ataambiwa arudi na
atakapokuwa ameondoka,mganga atakuja kwetu kuleta vitu hivi. Kisha
tutachanganya vitu fulani ambavyo ni
vigumu kuelezea kwa maandishi, na
tutaweka majivu ya mwanadamu. Atatumia
dawa hii kumpikia chakula mwanamke
nk. Atapata mimba na kuzaa, lakini siyo binadamu wa kawaida. Kama
mtoto ni wa kike ataweza
kuishi na hata kuolewa lakini
atakuwa bado tasa maisha yake yote. Kama
mtoto ni wa kiume ataishi lakini
atakufa kifo cha ghafla. Huwa awaishi kuzika wazazi wao.
Napenda kukueleza hapa kwamba utasa mara
nyingi unasababishwa na mapepo.
Unaweza kuona mwanamke
tasa hapa duniani, lakini anaweza kuwa na
watoto wengi tu baharini. Kwa hiyo nashauri watoto wa Mungu
kumsubiri Mungu pekee kwa sababu Mungu tu
ndio huwapa watu watoto halisi.
5. Kutoa fedha:
Kama mtu anakuja kwetu kwa ajili ya kupata
fedha, atapewa masharti yafuatayo kuyatimiza: Ataambiwa kutoa
sehemu ya mwili wake au kama ana familia
ataambiwa kuleta mtoto wake wa
kiume. Kama yuko mwenyewe
basi ataombwa kumtoa kafara kaka yake au
mdogo wake. Yeyote atakayeamua kumleta ni lazima atoke
katika tumbo moja. Kitu muhimu
cha kutaja: siku ya kufanya
mauaji ya mhusika, mtu ambaye amempeleka
atapewa mkuki,au mshale. Uhusiano
wake utawekwa katika file kwenye kioo. Mara baada ya mtu yule
anayetakiwa kumtoa kupita, ataambiwa
apige ile sehemu ya faili iliyo
kwenye kioo,basi akifanya tu hivi yule mtu
anakufa pale mahali alipo.
Kuna njia nyingine lakini jambo moja Shetani hufanya ni kwamba:
anahakikisha kwamba katika njia hio
tofauti, mtoaji anakuwa mwajibikaji kwa ajili ya
kifo cha mwathirika, kwa
kufanya mtoaji ampige mlengwa,
kumbuka Shetani hana zawadi ya bure! ------------------------------
Page 15
15
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura 4: Jinsi shetani anavyopigana na Wakristo
*«Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama; bali ni juu ya
falme na mamlaka, juu ya wakuu *
*wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya
katika ulimwengu wa roho. »* *Waefeso. 6: 10-12 *
Kupigana na Wakristo
Baada ya amri ya Lucifer kupambana na
Wakristo, sisi tuliketi na kuchora
ramani ya kupambana nao kama
ifuatavyo: 1. Kusababisha magonjwa.
2. Kusababisha utasa.
3. Kusababisha usingizi katika kanisa.
4. Kusababisha machafuko katika kanisa.
5. Kusababisha uvuguvugu katika kanisa.
6. Kuwafanya wawe wajinga wa neno la Mungu.
7. kwa mitindo na uigaji.
8. Kupambana nao kimwili.
Miongoni mwa hayo juu napenda kuwaeleza
mawili:
1. Kupambana kimwili: Kwa TV niliyopewa, niliwaona Wakristo
waliozaliwa mara ya pili. Hatupigani
na wanafiki kwa sababu wao ni
mali yetu tayari. Tuliweza kuwatuma
wasichana wetu kwanza katika makanisa
makubwa. Ndani ya kanisa walikuwa wanatafuna jojo au kumfanya mtoto
alie au kufanya chochote ambacho
kilivuruga watu kusikiliza neno
la Mungu. Wanaweza kuamua kuja kiroho na
kusababisha watu kulala wakati
mahubiri yanaendelea. Wakikuona uko makini kwa sababu ya mahubiri,
wanaweza kukusubiri nje ya kanisa na
unapokuwa ukitoka kuja nje ya
kanisa, mmoja wao anakusalimu na hata
kukupa zawadi ( na mara nyingi ni
zawadi ya kitu kile upendacho ) na wataonekana ni marafiki sana. Atafanya
kila kitu na kabla haujajua
kinatokea unakuwa umesahau kila kitu
ulichojifunza kanisani . Lakini kwa Mkristo
halisi,mmoja ya wasichana hawa
,baada ya ibada, ataruka nje kukusalimu na atapenda kujua nyumba yako
kwa kisingizio kwamba yeye ni
mgeni katika mji na hawajui
Wakristo wengi wanaomzunguka. Ukimpeleka
nyumbani kwako, kwa haraka
atanunua ndizi na Mkristo atachukulia hii kama ishara ya upendo.
Ataendeleza ziara zake mpaka
hatimaye anaweka mbali mwanga wa
Kristo ndani yako na kisha anaacha kuja.
Shughuli kuu katika makanisa
yaliyo hai na shirika zilizo hai ni : kuwasumbua Wakristo wasisome na kujifunza
neno la Mungu, na hivyo kuwafanya
wajinga wa mamlaka na
ahadi za Mungu. Katika mikutano ya injili
wasichana hawa wanatumwa
kusababisha kutoelewana na ugomvi. Jinsi wakirsto wanavyojulikana?
Wakristo waliozaliwa mara ya pili hawajulikani
kwa Biblia wanayobeba kila
siku au ibada nyingi
wanazohudhuria. Wanajulikana katika
ulimwengu wa roho kwa mwanga ambao huendelea kuangaza wakati wote
kama mshumaa mkali sana katika moyo au
mduara wa mwanga unaozunguka kichwa
au ukuta wa moto
unaowazunguka. Mkristo anapokuwa
akitembea, tunaona malaika wakitembea pamoja naye mmoja mkono wa
kuume, mmoja kushoto, na mmoja nyuma. Hii
inafanya kuwa vigumu kwa sisi
kuja karibu yake.
Njia pekee ya sisi kufanikiwa ni kwa kumfanya
Mkristo atende dhambi, na hivyo anatoa mwanya wasisi kuja na
kuingia ndani. Mkristo akiwa anaendesha gari
na tunapotaka kumdhuru,
tunaona kwamba siku zote hayuko peke
------------------------------
Page 16 16
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
yake katika gari. Siku zote kuna malaika
pembeni mwake. *Oh kama Mkristo
akijua tu yote ambayo Mungu* *anafanya kwa ajili yake, hawezi kutenda
dhambi au kuishi ovyo ovyo !*
2. The Making of Backslidden Christians
Kama mwenyekiti aliyeteuliwa na Lucifer,
niliwatuma wasichana hawa
makanisani na sharika zinazoishi/hai . Wasichana hawa wanakuwa wamevalia vizuri
na baada ya mahubiri wanakuja
kwenye madhabahu kama
wameitwa, na watajifanya kuwa wamempokea
Kristo na wataombewa. Mwishoni mwa
ushirika au ibada watazungukazunguka nje na kumsubiri
mhubiri ambaye kiukweli atakuwa na
furaha sana na waongofu hawa
wapya.
Waongofu hawa wapya wanaweza hata
kumfuata mhubiri nyumbani kwake. Kama mhubiri hana roho ya
kupambanua watamvutia aingie katika dhambi
ya uzinzi au uasherati . Hii
inafanyika wakati pale mhubiri
anapokuwa amemtamani. Atahakikisha
amendelea katika dhambi hii mpaka pale atakapoona amemzimisha Roho
wa Mungu ndani yake na kisha anaondoka,
huku mkakati wake umetimia.
Mahali hapa ningependa kutoa ushuhuda wa
Mhubiri. Katika ulimwengu wa
roho/kipepo yeye anajulikana kama mtu wa Mungu(man of God). Anapokwenda
kwenye magoti yake kunakuwa na
mvurugano kati yetu. Kwa hiyo
tunatuma wasichana hawa kwake. Mtu huyu
anaweza hata kuwalisha lakini
atakataa kunaswa na mitego yao. Walijaribu kila walivyoweza lakini kamwe
hawakuwahifanikiwa. Matokeo
yake, wasichana hawa waliuawa
kwa kushindwa kwao.
Mimi nilijigeuza na kuwa mwanamke kisha
nikamwendea, kwa maneno na vitendo nilijaribu kumshawishi, lakini
alikuwa mgumu. Hii ilikuwa ni kazi kubwa mno
kwangu, hivyo nilidhamiria
kumuua kabisa kimwili. Siku moja,
Mhubiri huyu alikwenda soko la barabara ya
Oduekpe. Nilimwangalia na alipoinama chini kununua baadhi ya
bidhaa nilijizungusha kwenye tairi za trailer
iliyokuwa imebeba mafuta ya
mafuta kuelekea sokoni alipokuwa
mhubiri. Trailer/gari likapiga nguzo kubwa sana
ya NEPA na ikangukia katikati ya soko, na kuacha watu wengi
wamekufa, lakini Mhubiri alitoka mzima. Jinsi
gani alipona ulikuwa ni
muujiza. Siku nyingine, nilimuona
akisafiri kwenda Nkpor kwa miguu.
Nililizungusha gari la jeshi lililokuwa limebeba viazi vikuu vya kumuua.
Lori lilikwenda moja kwa moja ndani ya
barabara mpya ya makaburini, na
kuwaua watu wengi mno, lakini
muhubiri huyu bado alikuwa mzima. Baada ya
jaribio hili la pili tulikata tamaa.Yeye bado yuko hai hata leo hivi!
Kwa sababu ya mkristo mmoja, shetani
anaweza kuamua kuharibu roho nyingi,
akifikiri anaweza kumuua, lakini
siku zote anashindwa. Matukio haya
yameyotokea kwa Wakristo wengi bila ya wao kujua, lakini Mungu wao
huwaokoa mikononi mwa adui zao siku zote.
Shida ni kwamba, Shetani hachoki.
Mawazo yake yako palepale:
"Ninaweza kufanikiwa." Lakini kamwe
hafanyikiwi. kama tu Mkristo atatembea na *Upendo wa Mungu na *
*kubakia ndani yake na ajichanganyi na
mambo mengine ya maisha haya,
shetani hawezi kumpata,*
*vyovyote vile shetani anaweza kujaribu.
Wasioamini tu ndio wako chini yake.*
Ukandamizaji wa Wakristo
Hii hutokea hasahasa katika ndoto. Mkristo
anaweza kuona katika ndoto yake
yafuatayo:
1. Mtu mfu anamtembelea 2. Kinyago kinamfuata.
3. Marafiki wanaogelea katika mto
4. Marafiki wanaleta chakula na wanamsihi ale.
5. Msichana wa kike anafanya ngono au
msichana aliyeolewa anafanya mapenzi
na mwanaume. Hii, kama si haitashughulikiwa, wakati mwingine
husababisha utasa.
Au mwanamke mjamzito anajiona anajamiiana
na mtu. Hii, kama
haikushughulikiwa, inaweza kusababisha
kuharibika kwa mimba. ------------------------------
Page 17
17
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Kama Mkristo akikutana na hayo huu katika ndoto yake, hatakiwi kuweka kando
mambo haya kwa kupuuzia
bali akitoka kwenye ndoto tu inampasa
ajichunguze mwenyewe na atubu dhambi
yeyote ile inayojulikana na
kufunga pepo wote na kumsihi Mungu arejeshe kila kitu alichokutana nacho
ndotoni. Hii ni muhimu sana. Mtu
ni lazima pia kutafuta msaada na ushauri kwa
mkristo aliyejazwa na Roho
Mtakatifu, wakongwe katika imani.
Shetani na mkakati wa kuvuna roho Yesu Kristo alipokuwa akiondoka duniani,
aliwapa wanafunzi wake amri:
"Akawaambia enendeni ulimwenguni
kote mkafanye wanafunzi kwa kila taifa"
Wakati Wakristo bado wanasubiri
mazingira mazuri na wakati mzuri kwa ajili ya kutii amri hii, Tofauti ni kwamba,
*mawakala wa shetani wako
na bidii kubwa zaidi katika kuvuna*
roho za Wakristo !
Moja ya maeneo ya shetani katika kuvuna
roho ni shule za sekondari, hasa za wasichana. Baadhi ya wasichana
wetu wanatumwa katika shule kama
wanafunzi. Tunawapa kila chupi ya kisasa
na nzuri na zenye gharama kubwa.
Hii ndio kipaumbele cha kwanza, kwa sababu
katika hosteli za wasichana wao hupendelea kutumia chupi tu .
Mawakala wetu kamwe hawakosi kitu
chochote, vipodozi, nguo , chupi ,
vitabu, fedha na mahitaji. Sabuni
maalumu za kuoga atapewa ili kutoa kwa
mwanafunzi yeyote ambaye atahitaji sabuni kutoka kwake. Msichana
anayetaka kuwa kama yeye atavutiwa na
kufanya urafiki nae. Hatua kwa hatua
wakala wetu atatutambulisha
kwake. Nasi tutamtembelea kimwili na kuanza
kumpa zawadi na kumtimizia mahitaji yake. Kwa hili, atajiunga
nasi kwa hiari . Yeye naye atawavuta wengine
na itaendelea hivyo. Hii
inachukuliwa kama mkakati wenye
dhamira ya kufanikiwa.
Jambo moja la kuzingatia: shetani hamlazimishi mtu yeyote. Anachokifanya ni
kuwavutia watu na kuwafanya
waje kwake kwa hiari. Ndiyo maana Biblia
inasema: "mpingeni shetani naye
atawakimbia" (James 4:7). Eneo
jingine la kuvuna roho la shetani ni kutoa lifti. Tunawapeleka wasichana
wetu kusimama barabarani, na kwa
kawaida huwa ni warembo sana na wamevaa
mavazi ya kuvutia. Unaweza pia
kuwapata kwenye hoteli na kupitia
maeneo haya tunawapata wanaume na wanawake. *Watu wengi tunaowaona
wanatangazwa katika magazeti*
*kama wamepotea, ni baada ya kutoa lifti kwa
wasichana, wasiowajua.*
Unapaswa kuwa makini ni nani ambaye
unampa lifti. ------------------------------
Page 18
18
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura 5: Nilipokutana na Yesu Katika mwezi Februari 1985, tulikuwa na
mkutano wetu wa kawaida katika
bahari, baada ya hapo niliamua
kusafiri kwenda Port Harcourt katika jimbo la
Rivers, kutembelea mke wa
marehemu mjomba wangu. Nilikutana na mtu mmoja aitwaye Anthony. Yeye ana
karakana pale kwenye makutano ya
Nwaja, sambamba na barabara ya
Trans-Amadi, Port Harcourt, Rivers State.
Alimtuma mtu huyu kwa ajili yangu
na kwa sababu katika jamii yetu tuna sheria kwamba hatupaswi kukataa muito,
niliamua kujibu muito wake.
Nilikwenda kwake mchana siku ya
Alhamisi ya wiki hiyo. Alianza kwa kusema
Mungu amempa ujumbe kwa ajili
yangu. Akatoa Biblia yake na kuanza kuhubiri. Kulikuwa na Wakristo
wengine watatu wameketi (mwanaume na
wanawake wawili). Aliendelea
na mahubiri yake kwa muda mrefu na sikuwa
na uhakika kama nilisikia yote
aliyosema. Alinisihi nipige magoti kwa ajili ya maombi. Nilimtii na taratibu nikapiga
magoti.
*Mara ghafla akaanza maombi yake.
Naliangushwa chini na roho wa Mungu na
nikaanguka*
nikajinyoosha. Nilijitahidi kuinuka na nikasimama kama chuma.
Nikavunjavunja viti vya chuma ndani ya
karakana. Niliangalia nje na kuona
wanachama watatu wa jamii yetu ya siri,
mwanaume na wasichana wawili.
*Walikuja katika umbo la binadamu na kusogea mpaka mlangoni lakini kwa
sababu ya nguvu ya Mungu*
hawakuweza kuingia.
Nina hakika kengele ndani ya bahari
iliwataarifu shida ilipokuwa na kwa TV
walijua wapi ambapo tatizo lilikuwa na walituma waokoaji wasio na nguvu. Hii
mara zote hufanyika wakati
mwanachama yeyote ameingia katika
matatizo. Wakati wale wakristo wawili
wakinivuta chini kwenye magoti yangu,
wasichana wawili waliendelea kuomba na kufunga mapepo, lakini hawakuwa
wanalenga hasa nini wanachofunga.
Wakaniuliza kama
ninamuamini Yesu Kristo, sikusema chochote.
Wakaniuliza niite jina la Yesu,
nami nilikataa. Wakaniuliza jina langu niliwaambia. Wakajitahidi kwa masaa na
wakaniachia niende. Hakuna
roho iliyoondolewa ndani mwangu,
hivyo nilitoka hivyohivyo sawa na nilivyoingia.
Maatukio ya Kanisani
Siku iliyofuata ilikuwa ni Ijumaa, nilialikwa na Anthony huyo huyo
kuhudhuria usiku wa mkesha wao katika
kanisa la Assemblies of God, Silver Valley,
Port Harcourt. Nilikubali
mwaliko huu kwa sababu kuhudhuria ibada
ya makanisa na kusababisha usingizi na machafuko ilikuwa ni sehemu ya kazi
yetu. Ibada ilianza na pambio.
Tuliimba mpaka mmoja wa wajumbe
wenzangu akaanzisha kiitikio maarufu cha
bendi moja ya kikristo,
kinachozomea uwezo na mamlaka ya nguvu zingine isipokuwa nguvu za Yesu.
Kisha nikaanza kucheka. Nilicheka kwa
sababu katika roho niliwaona maisha
yao karibu robo tatu ya watu
waliokuwa wanaimba kiitikio kile walikuwa
wanaishi katika dhambi. Nilijua kuwa kwa sababu ya dhambi
*katika maisha yao, ni wazi kuwa
wangeharibiwa vibaya na nguvu hizi. Ni
muhimu kwa wakristo kutii neno*
*la Mungu na si kuruhusu dhambi kubaki katika
maisha yao. *Katika ibada hiyo tulikuwa wanne kutoka
baharini na tulikuwa tukiimba na kupiga makofi
pamoja nao. Tena nataka
kusisitiza hapa kwamba wakati ibada
inaanza, waumini ni vyema na wanashauriwa
kwanza kukiri dhambi zao na kutubu, kisha kwenda katika kipindi
cha sifa halisi kwa Mungu. Hii itafanya wakala
wa Shetani awe na wasiwasi
sana na ataondoka ili kuyaokoa
maisha yake.
Katika ibada hii tulikuwa tunaujasiri sana hata tukaingia katika utendaji.
Wengi walianza kulala, pambio zilikuwa
zikiimbwa kwa udhaifu na mambo yakaenda
zig-zag. Ndugu Anthony alikuwa
tayari amewaambia kuhusu mimi
kwa hiyo saa 02:00 waliniita nitoke mbele na waanze kuniombea. Mara
nilipotoka mbele walianza kuita damu ya
Yesu. Nikawasimamisha na kusema: "Si
kuomba kwa damu ya Yesu ndio ufumbuzi.
Mimi ni mwanachama
mkubwa sana katika jamii za watu wa chini ya bahari. Kama mnakubali kwamba
mnaweza kunikomboa, basi
nipige magoti. "Maneno haya niliyasema
sikuwa nimeyapanga. *Damu ya Yesu
inaogopesha mapepo na *
------------------------------ Page 19
19
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
*kumlinda muamini, lakini haifungi mapepo.
Kufunga mapepo na kuyatoa inafanyika tu pale Mkristo*
anapotumia mamlaka yake na kutoa amri.
Walikubaliana na mimi nikapiga magoti. Katika
hatua hiyo dada mmoja
aliiongozwa na Roho wa Mungu na
kuongea kwa sauti akasema: "Kama hauko vizuri, usijaribu kusogea karibu!"
Nina uhakika wengi hawakuwa
wameelewa nini maana yake. *Ni hatari kwa
Mkristo anayeishi katika dhambi
kutoa pepo. *Wengi waliondoka
na wachache wakatoka kuja kuomba kwa ajili yangu. Walipoanza kusema "Katika
jina la Yesu," Nikasikia
(mpasuko mkubwa) big bang kubwa ndani
yangu na nikaanguka juu ya sakafu.
Mara pepo wanaokuruka ndani
yangu wakanza kufanya kazi. Nikaanza kukimbia kwa kifua changu. Mtu yeyote
mwenye hili pepo la kuruka ni
muovu na hatari sana. Ndugu/Waamini
hawakuona nini kinatokea kiroho.
Nilikuwa nakimbia mbio kwa sababu
ya nguvu kubwa iliyokuwepo katika chumba. Nguvu mbili za upinzani zikaanza kufanya kazi
pia na anga likabadilika.
Ghafla nikasimama na nikawa na vurugu
sana nk. Pepo, likatoka ndani yangu na
kumkamata mvulana aliyekuwa kati yao
na likaanza kupambana nao, likijaribu kuniokoa mimi. Ndugu hawakupoteza
muda nae badala yake
wakamkamata yeye pamoja na wengine
waliokuwa wanaogopa na kumfungia katika
vestry ya kanisa. Hii iliendelea
mpaka 7:00 Nilikuwa nimechoka sana kimwili na nikawa nimetulia, hivyo ndugu
wakakusanyika karibu yangu
tena na kuanza kuniambia: Wataje
ni akina nani hao nk Nilikaa kimya tu. Baada ya
kusubiri kwa muda mrefu na
kuona sikuwa nimesema kitu, walidanganyika na kuamini kwamba nilikuwa
nimekombolewa. Wakaomba na
tukatawanyika. Nilikuwa kimwili
dhaifu kiasi kwamba ilikuwa ni vigumu
kutembea kwenda hata nje ya kanisa.
Lakini kitu fulani kilitokea, mara baada ya kwenda nje ya kanisa na kuvuka
barabara, nikawa na nguvu nyingi za
kimwili. Labda inawezekana baadhi ya mapepo
yaliyotoka yakarudi tena ndani
yangu. Nilikasirika sana na
kuamua kulipiza kisasi juu ya kanisa. "Hawa watu wamenidhalilisha"
Nikajisemea mwenyewe, na kwa jinsi
walivyonifanyia nitarejea Lagos na kupata
nguvu zaidi pamoja na wengine
waovu kama mimi, na kisha narudi
Port Harcourt kulipiza kisasi kwa kanisa zima la Assembly of God, Silver
Valley.
Safari yangu ya Lagos
Nilipofika kwenye nyumba ya mke wa mjomba
wangu, Niliwaambia nitaondoka
kurudi Lagos mara moja. Nilikataa wasinisihi kubaki na nikachukua teksi
mpaka kituo cha magari cha
Mile 3. Ambapo nilichukua teksi
ya kwenda Onitsha. Nia yangu ilikuwa
kusimama Onitsha, kumuona rafiki na
kisha kuendelea mpaka Lagos. Pale Mile 3 tukaondoka na tulipokuwa tumefika njia
panda ya kwenda Omagwe,
katika makutano ya uwanja wa ndege
wa Kimataifa, nikasikia sauti ikiniita kwa jina
langu la asili "NKEM."
Nikageuka nyuma kuona kama kuna sura yeyote ninayoijua kwenye teksi, lakini
hakukuwa na mmojawapo anayenijua.
Huyu anaweza kuwa nani? Ni
marehemu mama yangu tu ndiyo alikuwa
akiniita kwa jina hilo, wengine wote
pamoja na ulimwengu wa kipepo walinijua mimi kama Emmanuel.
Nilipokuwa bado nashangaa, sauti ikasikika
tena : *" NKEM , unakwenda
kunisaliti kwa mara nyingine tena *
*?" *Sikuweza kuitambua sauti lakini sauti
iliendelea kuniuliza : " Je, unakwenda kunisaliti kwa mara nyingine
tena" Ghafla nikawa na homa kali. Joto
lililotoka mwilini mwangu lilikuwa
liko juu mno kiasi kwamba abiria
wengine walilisikia. Mmoja wao akaniuliza:
"Mheshimiwa, ulikuwa vizuri kabla ya kusafiri?"Niliwaambia
nilikuwa vizuri na sikuwa naumwa hata na
kichwa kabla ya kuondoka Port
Harcourt.
Tulipofika Umuakpa Owerri, nilianguka ndani
ya teksi. Kilichofuata ni kwamba watu wawili, warefu na
wakubwa, walikuja kunichukua mmoja upande
wa kushoto na mwingine upande wa
kuume, na hawakuzungumza
neno lolote kwangu. Waliniongoza kwenye
barabara mbaya sana yenye chupa na vipande vya
chuma vilivyokuwa
vinanikatakata nikaanza kulia, lakini hawa watu
hawakusema neno lolote.
Tuliendelea mbele na kufika kwenye
barabara ya kasi. Ilikuwa hapa mmoja
akaniambia *"Wewe unatafutwa sana"*na tukaendelea. Tuliendelea mpaka kwenye jengo kubwa na refu lililofanana na jengo
la mikutano. Tulipokanyaga
ndani ya sakafuni tu sauti kutoka
ndani ikasema: "*Muingizeni ndani"
*Waliniingiza ndani kisha wakatoweka, na
kuniacha peke yangu. Nilichokiona ndani ya ukumbi huu ni vigumu
kueleza, lakini nitajaribu
kuelezea kadiri nitakavyoweza. Ukumbi
ulipambwa vizuri sana na ulikuwa mkubwa
sana na mrefu kiasi kwamba ilikuwa
ni vigumu kuona mwisho wake. Nilitembea mpaka katikati na ndipo niliweza wa
kuona mwisho wake. Mwishoni
kulikuwa na madhabahu. Kisha
nikaona kiti cha enzi na na aliyekuwa ameketi
juu ni mwanaume mzuri sana
mwenye nguo inayong`aa kama jua. Akasema: *"Njoo!" *Lakini kwa sababu ya
mwangaza wake sikuweza kwenda. Kila
nilipojaribu kunyanyua mguu
wangu nilianguka.
Nilisimama, nikajaribu tena na nikaanguka.
Ghafla mtu huyo akatoka kwenye kiti cha enzi alipokuwa
amekaa,akahamia kwa juu kidogo nilipokuwa
nimesimama. Kisha mikono miwili
ikatoka nje ya mtu huyo,
ikanishika kichwa changu na kunitikisa na mwili
wangu wa kibinadamu ukajivua kama unavua nguo.. Na yule
mimi mwenyewe sasa akasimama. Mikono
akaikunja kama mtu anaye kunja nguo na
akaitupa kwenye kona. Mtu
yule akarudi tena kwenye kiti chake cha enzi
na akakaa na kusema tena: " Njoo! "
Kutakaswa Kiroho

Nikatembea mpaka pale naye akasogea
kutoka katika kiti cha enzi, akanyofoa
miguu yangu mmoja baada ya
mwingine na akamwaga kile kilichokuwa ndani yake, na akaiweka tena vizuri.
akafanya hivyo pia kwenye
mikono na akaiweka tena, Yaani ni hivi
sehemu zote ambazo Malkia wa Pwani
aliweka nguvu zake humo.
Nikatafakari sana kwenye fikra zangu, huyu atakuwa nani na amejuaje kuwa
maeneo haya ndiyo yalikuwa
yametunza nguvu zangu. Baada ya haya
alirudi tena kwenye kiti chake na
akaniambia niende. Nilipoanza tu
kutembea, vitu fulani vikaanza kuanguka kutoka kwenye mwili wangu , magamba
yakaanguka kutoka katika
macho yangu, nk, lakini kabla sijafikia
madhabahu tayari vikaacha.
Aliniuliza. " UNAKWENDA WAPI ?"
Nikajibu, nikasema, "Ninaenda Onitsha kumuona rafiki."Akasema: *"Ndiyo,
lakini mimi nitakuonyesha nini*
ulichopanga kwenye akili yako. " Hadi wakati
huu sikujua alikuwa ni nani,
lakini jambo moja nililokuwa na
uhakika nalo ni kwamba alikuwa mwenye nguvu zaidi kuliko nguvu zote
nilizowahi kukutana nazo. Alisema kwa
ishara na mtu ambaye aliamriwa kunionyesha
mimi nini nilichokuwa
nimedhamiria moyoni kukifanya. Mtu huyu
alinipeleka kwenye chumba na akufungua kitu kama ubao. Kwa kweli, kama
kulikuwa na njia ya kutoroka
ningeweza kutoroka, kwani mbele yangu
yaliandikwa yote niliyopanga kufanya
dhidi ya Wakristo na mpango
wangu dhidi ya kania la Assemblies of God, Silver Valley. Mtu huyu
akanileta tena madhabahuni na akaniacha.
Akatoka katika kiti cha enzi na akanishika kwa
mikono yake na akasema kuwa
anakwenda kunionyesha mimi
mambo fulani. Tulipokuwa njiani Akasema: *"Mimi sitaki wewe upotee lakini
nikuokoe na hii ni nafasi yako *
*ya mwisho. Kama hautatubu na kuja
kunitumikia, utakufa. *Nitakuonyesha
makazi ya waliookolewa na
waasi." Alivyosema hivyo, nikajua alikuwa ni Yesu Kristo.
Ufunuo wa Kimbingu

Tukaingia katika chumba fulani na akafungua
kitu kama pazia. Niliona dunia
nzima, watu na shughuli zote za
kinachoendelea. Nikaona Wakristo na wasio wakristo wote wanafanya jambo
moja au jingine. Tulikwenda
kwenye chumba cha pili . Akafungua pazia
tena na nilichokiona ilikuwa ni
kitu mbaya kuonekana. Watu
wamefungwa minyororo ! Aliwaita watu hawa " *wanafiki. *"Watu hawa
walionekana ni watu wenye huzuni
kubwa, Akasema: ". *Watabakia hivi mpaka
siku ya hukumu "*
Tulienda katika chumba cha tatu. Akafungua
pazia na nikaona watu wengi wanafuraha na wakiwa wamevaa
mavazi meupe. Wakati huu nikamuuliza : " Ni
kina nani hao " Akasema: *"Hawa
ni wale waliokombolewa *
*wanasubiri ujira wao. " *Tulikwenda katika
chumba cha nne na nilichokiona kilikuwa cha kutisha mno.
------------------------------
Page 21
21
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu* Ndugu msomaji, ni vigumu kuelezea.
Ilionekana kana kwamba mji mzima unawaka
katika moto. Kuzimu ni halisi
na niyakutisha. Kama ulikuwa umefanywa
kuamini kwamba Mbinguni na Kuzimu ni
hapa duniani na kwamba hakuna maisha mengine mara baada ya kifo
bali ni kuoza na kupotea kabisa,
ni bora ukashauriwa vizuri hapa na
sasa kwamba kuzimu halisi ni halisi na kuna ni
kweli mbingu ipo!
Usistaajabu Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani Aliwaonya watu kuhusu kuzimu.
Nasema tena , kuzimu ni halisi.
Niliiona na ni mahali pa kutisha.
Nikamwuliza : " Ni nini ?" Jibu lake lilikuwa :
*"Hii imetayarishwa kwa
ajili ya shetani na malaika wake na* *kwa walioasi" *Akataja kwa majina yao kama
ilivyoandikwa katika Ufunuo
21:8: "Bali waoga na wasioamini na
haramu, na wauaji, na wazinzi na wachawi,
waabudu sanamu na waongo wote,
sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti ambayo ni mauti ya pili
" .
Tulipoenda katika chumba tano na Alipofungua
pazia, nilichoona kinaweza tu
kuelezewa kama UTUKUFU.
Ilikuwa ni kama tunangalia kutokea kwa juu. Niliona mji mpya. Mji ulikuwa
ni mkubwa na mzuri! Mitaa ni ya
dhahabu. Majengo hayawezi kulinganishwa na
kitu chochote katika dunia hii.
Alisema: " hili ni tumaini la watu
*wa Mungu. *Je, utakuwepo mahali pale "Haraka nikajibu" Ndiyo " Baada ya
hayo tulirudi katika kiti cha enzi na
Akasema: "!*Nenda kashuhudie nini
nilichokufanyia "*
Tena, alinichukua mpaka katika chumba
kingine na alipofungua pazia nikaona mambo yote ambayo nilikuwa
naenda kukutana nayo kwenye safari yangu
ya kwenda Onitsha na Lagos na
jinsi gani hatimaye atanikomboa.
Baada ya hayo Akaniambia : *"Usiogope,
nenda, nami nitakuwa pamoja nawe." *Aliniongoza,
nje ya ukumbi
na akatoweka kabisa, na mara nikaamka
kwenye kitanda katika nyumba ya
mwanaume mwingine. Nikapiga
kelele, mtu na mke wake wakakimbia kutoka katika chumba chao. Wakachungulia
na kisha wakaingia "Kwa nini
niko hapa? " Niliuliza. Mwanaume yule ndio
alielezea jinsi nilivyoanguka
katika teksi na jinsi walivyonipeleka
kwenye kanisa la Katoliki pale Owerri. Jinsi walivyomleta Daktari, ambaye
alikuja na baada ya kunichunguza
afya yangu alisema mapigo yangu yalikuwa ya
kawaida na kwamba wanapaswa
kusubiri na kuona nini
kitatokea. Daktari akawapa uhakika kwamba nitapata nguvu tena. Ndipo
alinichukua kwenye gari lake mpaka
nyumbani kwake na alikuwa akisubiri. Pia alikiri
kwamba hakujua kwa nini
alimuamini Daktari na kwa nini
alichukua jukumu la kunichukua mpaka nyumbani kwake.
Waliniuliza jina langu na anwani ambayo
niliwapa na baada ya hapo niliamua
kukaa kimya na sikuwaambia
uzoefu wangu huo. Nilikaaa kwa utulivu na
familia hii yenye wema kwa siku mbili na kisha mtu huyu na mkewe
walinipeleka mpaka kituo cha magari cha
Owerri, ambapo nilichukua teksi na
kwenda Onitsha. Yote yale Bwana
alinionyesha kuhusu safari yangu yalitokea
moja baada ya jingine. Nilichukua teksi nyingine ya kwenda Lagos.
Jambo la kwanza asubuhi iliyofuata. Nilitii na
kuondoka Lagos kuelekea Port
Harcourt. Huwa najiuliza mara
nyingi, kwa nini Bwana aliamua kuniokoa mtu
kama mimi. Mtu muovu na muharibifu, wakala wa Shetani !
Nilipata jibu katika maneno haya matatu:
Mungu ni upendo. Hakika, Mungu
ni Upendo! (1 Yohana 4:8 , 4:16)
------------------------------
Page 22 22
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura6: Vishawishi na Ushindi
*« Kondoo wangu huisikia sauti yangu; mimi
nawajua, nao hunifuata. Mimi nawapa uzima wa milele; nao*
*hawatapotea milele, wala hakuna mtu
atakayeweza kuwatoa mkononi mwangu.»
Yohana10: 27-28*
Baada ya kubadilika na kwenda kwa Kristo,
jambo la kwanza lililotokea ni kwamba zawadi zote kutoka baharini,
darubini, TV, mashati, picha nilizopiga nikiwa
ndani ya maabara za baharini
na picha ya Malkia wa Pwani ambazo
zilionekana katika gorofa yangu zilitoweka.
Niliporudi Port Harcourt, nilikuwa na hamu ya kushuhudia kile Bwana
alichonifanyia kwa ajili yangu lakini
sikuruhusiwa ndani ya kanisa . Mke wa
marehemu mjomba wangu, ambaye pia ni
Mkristo, alinichukua mpaka
kwa mchungaji mmoja, lakini swali alilouliza lilikuwa ni: "Je,ameleta
karatasi?" Ilikuwa ni baadaye sana
nilielewa kwamba karatasi ilikuwa ni 'barua ya
uanachama. Barua ya
uanachama inahusika vipi na ushuhuda
wangu wa nguvu ya Kristo na kile amefanya kwa ajili yangu- Mungu,
amenikomboa kutoka katika nguvu za giza
na kuniingiza katika ufalme wa Mwana wake
mpendwa, ambaye nimepata ukombozi
kupitia damu yake, yaani,
na hata msamaha wa dhambi zangu ? Nilihuzunika, baada ya kujua kwamba Shetani
haruhusu waumini wachanga
kwenda na kushuhudia, hasa wale
ambao hapo awali walikuwa washiriki wakubwa
katika shughuli zake , na
anafanya kila kitu kuzuia shuhuda hizo. Tena nikakumbuka, ni dhahiri Bwana aliniagiza
"*kwenda na kushuhudia kile
amenifanyia *" na hapa nilikutana
na kipingamizi. Labda ilikuwa bado si wakati
wake. Hivyo niliamua kuachana
na kutoa ushuhuda wangu kwa mtu yeyote. Nilisafiri na wafanyabiashara
watatu kutoka Aba kwenda Togo kwa
safari ya kibiashara. Pale
nilinunua bidhaa yenye thamani ya N160,000
(Mia moja na sitini elfu za
Naira). Kati ya pesa hizi pesa yangu binafsi ilikuwa ni shs N70,000 na nyingine yote
iliyobakia N90 ,000
nilikopa kwa wafanyabiashara wa Aba.
Miongoni mwa mambo niliyonunua ilikuwa ni
furushi la kamba, madawa
mbalimbali ( hasa antibiotics ) , sindano, vipimajoto, nk
Nilipofika mpakani mwa Nigeria, Tulishikiliwa
kwa ajili ya ushuru wa
Forodha na baadaye tulitakiwa kutoa
rushwa. Tulikataa na bidhaa zilikamatwa ikiwa
ni pamoja na zile za wenzangu. Miezi michache baadaye, Ile
mizigo ya wenzangu ilitolewa, ila yangu
haikuruhusiwa. nilirudi baadaye na
nikaambiwa kulipa N40,000, lakini
nilipoangalia mali yangu ile niligundua kwamba
bidhaa zote muhimu, kama furushi la kamba, sindano, madawa,
nk, tayari vilikuwa vimeibiwa. Nilitathmini bidhaa
iliyobaki na nikajua
kwamba kulipa N40,000 kwa ushuru
itakuwa tu ni kuongeza hasara, hivyo niliamua
kuachilia bidhaa iliyobaki. Wafanyabiashara ambao niliwakopa fedha
walianza kunifukuzia. Baadhi
waliwaita polisi, wengine walichukua
sheria mkononi mwao na wakapanga
kunifanyia kitu kwa maisha yangu.
Suluhisho pekee lilikuwa ni kufunga akaunti yangu Bank na kutumia fedha zote
nilizokuwa nazo kulipa madeni
yote. Kwa neema ya Mungu, nililipa
yote isipokuwa N1,000 ambayo ilikuwa ni kwa
ajili ya mwenye nyumba wangu
Lagos. Nilikuwa mufilisi kabisa na nilikopa hata 20k kwa ajili ya nauli ya teksi.
Nilikwenda kwa wakristo wachache niliowajua,
ili kutafuta msaada wa
kuniwezesha kuanza upya. Hakuna
aliyesema ndiyo au hapana, badala yake
walinisihi niende siku inayofuata kila mara nikachoka kwa habari ya
kutafuta msaada. Sikujua neno la Mungu
pamoja na kuchanganyikiwa katika
moyo wangu nilisoma Biblia bila
kuelewa. Wakati bado natafakari nini cha
kufanya, nilipokea simu ya haraka kutoka kijijini mwangu. Nilikimbia
nyumbani na kukuta kwamba jengo dogo
nililokuwa nimeanza kujenga lilikuwa
limevunjwa na mjomba wangu
ambaye pia alikuwa ametishia kuniua. Asili
yangu ya kale ndani yangu ilishtuliwa. Nikakumbuka wakati nikiwa
na jamii ile ya baharini (secret society), jinsi
alivyokuwa akiniogopa na
alikuja kwa magoti mbele yangu. Lakini
sasa alijua nimebadilika (jinsi alivyojua sikujua
kwani sikuwa nimesafiri kwenda nyumbani tangu nilipobadilika)
------------------------------
Page 23
23
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu* na sasa alinitishia. Nilimuita Bwana na
nikasema: "Basi, wewe umeniokoa
mimi na kuniacha nimevurugika na
kuruhusu adui zangu kufurahia juu yangu! "
Nililia kwa sauti nikadhamiria
kurudi kwenye ile jamii ya kichawi. Angalau wanaweza kuniokoa kutoka katika
kuchanganyikiwa kote huku na pia
watafundisha mjomba wangu
somo ambalo hatasahau maisha yake yote.
Ingawa nilifanya uamuzi huu,
nilikuwa na hofu mbili ndani yangu 1. Wakati nilipokuwa nabadilika, Bwana
aliniweka wazi akaniambia: " *Hii ni
nafasi yako ya *
*mwisho. *" Ukirejea tena kwenye jamii ile ina
maana ni kifo, sio tu kifo
cha kimwili lakini pia cha kiroho.
2. Kama nikibakia katika Bwana, mjomba
wangu alikuwa anatishia kuniua.
Nilichanganyikiwa na nilihitaji msaada. Nilikuwa
mjinga wa neno la Mungu na
kamwe sikujua kile ambacho Neno linasema kwa habari ya hayo juu. Ndugu
msomaji , utagundua hapa kwamba
nilikuwa na mchanganyo
huu wote kwa sababu ya ukosefu wa
mfuatiliaji nikiwa bado mchanga.
Kuwafuatilia waongofu wachanga ni muhimu sana na Wakristo wanapaswa
kuchukulia hili kwa umakini. Kama unajua
huwezi kufuatilia muumini
mchanga, tafadhali usiende kushuhudia. Yesu
Kristo alisisitiza hili mara
tatu Alipomuuliza Peter: " Simoni, mwana wa Yona, wanipenda mimi zaidi kuliko
hawa? ... Lisha kondoo wangu.
"Wengi wa waongofu wapya
wanarudi nyuma kwa sababu ya kukosa
ufuatiliaji mzuri. Kama unampenda Yesu,
jali kondoo wake! Vita na shetani
Katika kipindi hiki mawakala wa Malkia wa
Pwani walianza kunitafuta sana.
Niliteseka sana katika mikono yao.
Nilikuwa na ndoto mbaya. 1 Mei 1985, mwezi
mmoja baada ya kuokoka saa 02:00 usiku, wengine katika nyumba
walikuwa wamelala. Niliamshwa na mawakala
hawa. Wakaniamuru kutoka nje ya
nyumba. Nilitii, nikatoka nje
na walinifuata nyuma. Ilikuwa kama yote
yanayotokea ni ndoto, lakini hii ilikuwa katika uhalisia. Tulitembea
mpaka juu ya ardhi ya maziko kanisa la
Mtakatifu Paulo Anglican , off Aba
Road, Port Harcourt.
Tulipofika pale walisema: "Ni lazima urudi.
Kama ukikataa tutakuua au kukufanya fukara. "Baada ya maelekezo
haya waliondoka. Nikapata ufahamu wangu na
kujishangaa nimefika vipi pale
makaburini. Nikarudi kitandani na
kulala. Waliamua kuwa wananishambulia
mchana. Mara kwa mara, wakati natembea kandokando ya barabara
walijaribu kupambana na mimi. Wengine karibu
yangu waliniona napambana na
hewa au kuniona nakimbia kama
mtu anayefukuzwa.
Mimi peke yangu ndiye niliewaona. Basi, walifanya hivyo kwa mara nne na
wakaacha. Kisha kiongozi wao ,
Malkia wa Pwani, achukua jukumu. Siku ya
kwanza alikuja katika gari ambalo
aliliegesha kando ya nyumba yetu.
Alikuwa amevaa vizuri na kama kawaida yeye ni mzuri sana. Watu
walionizunguka walimchukulia kuwa ni
mpenzi wangu. Mara akaingia ndani nilijua
alikuwa ni nani. Alikuja saa
12.00 mchana wakati eneo lote lilikuwa
busy kidogo. Akakaa chini na miongoni mwa mambo mengine aliyoyasema ni:"
Unaweza kwenda kanisani
kwako, amini chochote unachotaka kuamini,
lakini kama tu hautanitangaza,
nami nitakupa chochote kile katika
maisha haya " Sikuwa nimejua maandiko hivyo nilimsikiliza na kumuangalia
anatembea tembea pale. Aliomba
na alijaribu kunishawishi nirudi kwake.
Sikusema ndiyo au hapana kwake.
Alisimama, akaenda ndani ya gari
yake na akaondoka. Kama mara mbili hivi mke wa mjomba wangu
alimkaribisha nyumbani kwake bila
kujua alikuwa ni nani nami
kamwe sikuwahi kumwambia mke wa mjomba
wangu alikuwa ni nani. Ziara yake ya
mwisho alibadili namna yake ya kunisihi. Wakati huu alinipa onyo kali
akisema kwamba amejaribu
sana kunibembeleza nirudi kwake na
kwamba nimekuwa mkaidi sana, na kwamba
hii ilikuwa ni ziara yake ya mwisho.
Kama bado nakataa kurudi, atakuja mwezi Agosti ama kuniua , au
kunilemaza au kunifanya maskini. Kisha
akaondoka.
Nilikuwa na hofu, hivyo siku moja nilikwenda
kanisani na kumuita ndugu
mpendwa. Nilimwambia matatizo yangu na mtazamo wangu juu ya baadhi ya
washirika wa kanisa , nk Huyu ndugu
alinipa anuani ya ofisi ya umoja
------------------------------
Page 24
24 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
wa maandiko (Scripture Unions ) na
akaniambia: " Pale watanipatia msaada"
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya
mwisho kumuona huyu " ndugu." Sijawahi kumuona popote Port Harcourt mpaka
leo. Nilichukua anwani na siku
iliyofuata, nilichukua teksi mpaka No 108
Bonny Street, ambapo zilikuwa
ofisi hizo ni na kukutana na mchapaji
ambaye alinipa robo ya mpangilio wa shughuli za Umoja wa Maandiko (SU)
Kundi la Rumuomasi Pilgrims,
wakiwa ndio karibu na mimi. Akasema: " Njoo
siku ya Jumapili! " Nilikuwa
pale katika Fellowship Centre -
Shule ya St Michael's State , Rumuomasi - saa 8:00 mchana, bila kujua
kwamba ibada inaanza saa 9:00 mchana,
lakini nilikutana na kikundi cha maombi, hivyo
nikajiunga nao .
Baada ya ibada siku hiyo nilijua kwamba
mahali pale palikuwa sahihi kwangu.Mungu akanipa msichana ambaye
alikuwa kama mama kwangu, yeye alijitoa
kikamilifu katika kunielezea Neno
la Mungu na kunishauri pia. Ndugu
wakaonyesha utayari na kunijali. Niliona
Upendo wa kweli. Roho Mtakatifu alianza kunipa ufahamu wa Neno la
Mungu na imani yangu ilikua. Lakini Malkia wa
Pwani hakujionyesha kwa
sababu aliwekwa wazi. Zaburi 91,
Ulinzi wa Mungu, ulitimia katika maisha yangu.
Isaya 54:17: "*Silaha yoyote itakayofanywa juu yako *
*haitafanikiwa, na ulimi wowote utakaoinuka
juu yako katika hukumu wewe
utauhukumu. Hilo ndilo fungu la urithi *
*la watumishi wa Yehova, na uadilifu wao ni
kutoka kwangu," asema Yehova.. *"Hii pia ilitimia.
Septemba 1985, Nilipokea ujumbe kuwa jina
langu limeonekana kama msambazaji
wa Silver Brand Cement,
Lagos na kwamba nilitakiwa kufika ofisini
tarehe 27/9/85.Niliondoka Port Harcourt tarehe 26/9/85 na kufika
Lagos usiku. Asubuhi iliyofuata 27/9/85,
nilikwenda ofisini nikaambiwa na
Meneja Utumishi kuwa sehemu
yangu ilijazwa na mtu mwingine. Akanieleza
nifike siku iliyofuata tarehe 28/9/85 kumuona Mkurugenzi
Mtendaji. Nilipokuwa njiani kuelekea nyumbani
kwangu, nikipita njiani, mtu
akaja kutoka nyuma na kunikaba
na akajaribu kubana pumzi yangu na mdomo
wangu kwa pamoja. Nilijitahidi kuokoa maisha yangu, na ingawa
watu walikuwa wanapita, hakuna aliyekuja
kuniokoa, lakini Bwana aliingilia
kati. Wakati mimi bado najitahidi
kwa mikono nikasikia akilia kwa sauti na
kunisukuma mbali akisema : "Ni nani huyo aliyeko nyuma yako? "
Alirudia mara ya pili na kutoweka. Kutoka kwa
sauti nilijua alikuwa ni
mwanamke lakini kamwe sikumuona ni
nani. Nilichanganyikiwa na kupigwa na
bumbuwazi. Hapa tena mwenye nyumba wangu alikuwa na
hasira sana na akasema: " Kwa nini
umekimbia na fedha ya kodi
yangu?" Nilimsihi na nikajaribu kumuelezea
kwamba kwa sasa mimi si kazi na
nitamlipa fedha zake zote kwa haraka mara nipatapo fedha.
Kwa jinsi alivyoonyesha nilifikiri suala hili
limeisha. Siku iliyofuata
28/9/85, nilikwenda na kukutana na
Mkurugenzi mtendaji ambaye aliomba
msamaha kwa kumpa nafasi yangu mtu mwingine. Alipokuwa bado
anaongea kijana mmoja akaingia na kuniuliza:
" Je, wewe sie Emmanuel?
"Nikasema ndiyo ni mimi: "Ndiyo ,
mimi niko. " Akasema: "Ndiyo, hatimaye
tumekupata sasa! Je, umemaliza kukimbia? Tumetembelea mara kwa
mara Port Harcourt na kugundua kwamba
daima huwa unatembea na mama yako wa
kiroho. Amekuwa kikwazo
sana kwetu na sasa kwa sababu umekuja
Lagos tumekukamata! Hautarudi tena Port Harcourt. Mimi ndiye
nimechukua nafasi yako " Nikampa
changamoto na kumwambia : " Huwezi
kunifanya kitu chochote "
Mkurugenzi Mtendaji alishangazwa na kile
kilichotokea katika ofisi yake ! Nikaomba radhi mwenyewe na
nikarudi nyumbani.
Dakika chache baadaye nikasikia mlango
unabishwa na NINA akaingia.
Akaniuliza kama nilikuwa narejea Port
Harcourt. Nikajibu ndiyo. Aliniomba nirudi kwao akanieleza kuwa kazi
nilizokuwa nimefundishwa zilikuwa
hazipatikana mtu wa kuzirithi: KOTIPARI
( katika lugha ya Kiyoruba ).
Nilikuwa nimepatiwa mafunzo :
  • Kuwa juu ya mawakala wa nguvu za mapepo.
  • Kuwa juu ya " chumba cha bahari cha
maelekezo, " kufuatilia matukio
katika dunia, kutuma na kupokea
ishara, na kuhamasisha majeshi, nk
- Kuwa karibu na Malkia wa Pwani. Hii inahusisha si tu sherehe, sadaka ,
utekelezaji wa kazi maalum
------------------------------
Page 25
25
Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema aliojaliwa na Mungu
alizonituma, lakini pia mambo mengine
magumu kuelezea.
- Kwa msaada wa nguvu za giza , kuanzisha
jamii mpya za siri(jamii ya
kichawi) ambazo zitaonekana hazina madhara ili kuwavutia vijana na zaidi waendaji
tu wa kanisani .
Alisema, kama ataongozana naye, kilichokuwa
kinanisubiri ni mara mbili ya
baraka za kwanza. Alikiri kwamba
walihusika kwa mali yangu kukamatwa na kuibiwa, pia kwamba wao ndio
waliomchochea mjomba wangu
kuharibu jengo langu na kutishia maisha
yangu. Kwamba kama nikikataa
kumfuata, wangefanya zaidi na
kuhakikisha kwamba sitafanikiwa. Kwamba walikuwa wameamua kupambana mama
yangu wa kiroho: "Kama
tutampata yeye, tumekupata wewe" alisema.
Wakati huo, Nilianza kumhubiria.
akasimama na kusema:
"Wanakudanganya, " Akaondoka. Hii ilifanyika jioni ya tarehe 28/9/85 .
Mara dakika tano zikapita nikasikia mwingine
anabisha. Wakati huu walikuwa
watu wanne. Wakanionyesha
ishara nitoke nje na nikajiona mwenyewe
naanza kuwafuata. Tulitembea hadi katika nguzo 2 na mmoja wao
akaniuliza: "Je, unatujua sisi? " nikasema
hapana. Aliendelea kusema: "
Tumeajiriwa na mwenye nyumba wako
tukuue." Wakati anaendelea kuzungumza
mmoja wao akatoa bunduki na mmoja akatoa sime. Sikujua cha
kufanya, nilijua kuwa wataniua, lakini Mungu
katika Njia zake za ajabu
akafanya ishara ambayo ilinishangaza
mimi na wenyewe.
Mtu aliyekuwa na bunduki akanifyatulia risasi lakini hakukuwa na sauti. Mtu
mwenye kisu akakitumia nyuma ya
mgongo wangu lakini hakikuingia ila tu kililia
kama mtu anamchapa fimbo
mtu. Walikuwa na hofu kama mimi.
Roho wa Mungu alikuja juu yangu na nikaanza kuhubiri. Watatu wao
wakakimbia, lakini mtu wa nne akaanguka
na akaanza kulia na kuniomba nimuombee.
Sikuweza hata kujua nini cha kuomba
wakati huo lakini nilisema tu:
" Bwana, tafadhali msamehe, Msamehe bwana. Amina! " Aliyalitoa maisha yake
kwa Kristo, Nilimpeleka kwenye
kanisa la Pentekoste na alielezea kile
kilichotokea kwa Mchungaji.
Nilimkabidhi kwa Mchungaji na nikaondoka.
Nilipoingia tu ndani ya nyumba mwenye nyumba akaja anakimbia na akapiga
magoti akinisihi: " Tafadhali
nisamehe. Nilidhani uliamua kukimbia kwenda
Port Harcourt kwa sababu ya
fedha yangu (N1,000).
"Nilimsamehe na hatimaye tulikubaliana kwamba fedha ilipwe kwa awamu .
Usiku huo, mida ya saa 08:00 usiku Bwana
aliniamsha. Sikuweza kujua kwa
nini niliaamka nikaenda sebuleni na
nilichokiona ilikuwa ni kobe mkubwa
ananifuata. Mara nikakumbuka shule ya kujifunza Biblia tulipokuwa Port
Harcourt, juu ya nguvu katika neno. Ndipo
nikasema maneno haya: " Kobe ,
tangu nilipozaliwa , nyumba ya kobe
ni ama kichakani au baharini, lakini kwa kuja
ndani ya nyumba wakati madirisha na milango ni imefungwa
umefanya dhambi, na kwa sababu hii ni lazima
ufe. "Mara baada ya kusema
hivi akatoweka kabisa. Nilikwenda
chumbani na kulala. Mara ya pili tena, niliamka
na kusikia kelele sebuleni. Nilikwenda na tazama mbele yangu
ilikuwa ni kitu cha kutisha. Nikarudia maneno
yaleyale na mara baada ya
kusema: "Kwa kutenda dhambi hii
lazima kufa, " kikatoweka pia. *Wakati wa
safari hii ya Lagos niliona wema, ukuu wa Mungu na uaminifu*
wake.
Asubuhi iliyofuata tarehe 29/9/85, nilichukua
basi zuri sana mpaka Port
Harcourt. Nilipofika Ore ,basi likagonga
mti. Liliharibika kidogo lakini hakuna mtu aliyejeruhiwa. Dereva akalivuta
kwenye barabara na akaendelea
kuendesha, basi likaanza kuyumba kutoka
upande mmoja wa barabara hadi
mwingine. Nikakumbuka vitisho vya
NINA, hivyo nikasimama katika basi, na kuhubiri nilihitimisha kwa kusema :
"Ni kwa sababu yangu mimi haya
yanayotokea. Lakini tangu sasa , hakutakuwa
na ajali mpaka tufike Port
Harcourt, katika jina la Yesu ! "Na mimi
nikakaa. Kwa kweli, wakati nimeketi nilishangaa, kitu gani nimekisema. Na
hivyo ndivyo ilivyokuwa. Gari
lilitembea
vizuri
mpaka
Port Harcourt.
Hakukuwa
na
ajali
zaidi
au kuharibika.
Biblia inasema sawa kuwa*;"Mtu yeyote
akishambulia, haitakuwa kwa maagizo
yangu.Yeyote atakayekushambul*
*ia ataanguka kwa sababu yako."(Isaya 54:
15). *Wao ( Malkia wa Pwani na mawakala wake ) walijaribu, lakini
kwa sababu mkutano wao haukuwa katika
Bwana bali kinyume na mtoto wake
,wote wakajikwaa na kuanguka.
"Pindi adui atakapokuja kama mafuriko ya
mto, Roho wa Mungu atainua kiwango dhidi yake" (Isaya 59: 19).
Nampa Mungu utukufu wote kwa ajili ya
kujionyesha mwenye nguvu kwa niaba
yangu.
------------------------------
Page 26 26
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura7: Shughuli za mawakala wa shetani
« *Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu *
*wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya
katika ulimwengu wa roho. Kwa
sababu hiyo twaeni silaha zote za *
*Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya
uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.»*
Waefeso. 6: 11-12
Kitabu hiki hakitakuwa kamili kama mbinu
mbalimbali za uendeshaji wa
mamlaka hizi hazitawekwa wazi. Pia
ni muhimu kwamba aina mbalimbali ya namna na jinsi zinavyojitokeza ziwekwe
wazi.
Jambo moja li wazi nalo ni kwamba ni shetani
atakuchochea uamini kwamba
yeye ni hadithi tu za kufikirika au
mawazo ya uovu ambayo ni rahisi, au atakufanya uone zaidi sana kwa habari
ya nguvu zake na mamlaka ya
Mungu iwepo chini. Biblia inasema: " *Kwa
maana kushindana kwetu sisi si
juu ya damu na nyama; bali ni juu*
*ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo
wabaya katika ulimwengu wa roho.*
Biblia inasema kwamba silaha za Wakristo
dhidi ya shetani na mawakala wake
" si za mwili, bali zina uwezo
*katika Mungu hata kuangusha ngome, tukiangusha mawazo na kila kitu
kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya*
*Mungu , na tukiteka nyara kila fikira ipate
kumtii Kristo" *(*2 Wakorintho
10: 4-5). *Tena maandiko yanasema:
wazi *" Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa ili azivunje kazi za
Ibilisi" (1 Yohana 3: 8). *Yesu baada
ya kuzivua enzi na mamlaka, alifanya onyesho
la waziwazi, alishinda dhidi
yao .
*"Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa
chako," (Mithali 6:2)*.
Hivyo mtoto wa Mungu ni lazima kuwa makini
kukiri neno la Mungu, ambalo
Mungu ameahidi ataharakisha
kulifanya. Kuna ukiri mara tatu umesemwa katika neno la Mungu
1. Ungamo la Uongozi wa Kristo.
2. Ungamo la imani katika Neno, katika Kristo
na katika Mungu Baba.
3. Kukiri dhambi.
Tunaposikia neno "kukiri ," sisi kwa urahisi tunafikiria kwa habari ya
dhambi. Kamusi inafafanua kukiri ni :
1. Kuanzisha kile kitu tunaamini.
2. Kushuhudia kwa kitu ambacho tunakijua.
3. Kushuhudia ukweli ambao tumeridhia .
Kwa hiyo inapaswa kusikitikiwa kuwa tunapotumia neno kukiri (confession)
kwenye fikra zetu tunafikiria
dhambi. Mwandishi yuko hapa kukutia moyo
mtoto wa Mungu kuanza leo kukiri
kile Mungu amesema. hata
wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na
Kristo; yaani, tumeokolewa kwa
neema na akatufanya tukae katika mbingu
(juu sana zaidi ya enzi na mamlaka)
katika Yesu kristo. Kwa hiyo
Wakristo wanapaswa kutambua ambapo wamekaa. Wanapaswa kujua kwamba
wanatembea katika urefu huo, juu
ya Shetani na mawakala wake. Bwana Yesu
Kristo amewapa ninyi nguvu zote na
mamlaka ili kwa hizo tupate
kuwa washirika wa uzima na utauwa (2 Petro 1 : 3).
Mungu hakuwa na kusudi la kwamba
mazingira yawatawale watoto wake, badala
yake neno la Mungu katika
kinywa cha Mkristo ni lazima kidhibiti hali/
mazingira yake. Mungu alisema katikaYer. 23:29 akisema: "Je*, si*
*neno langu kama moto? asema Bwana, na
kama nyundo ivunjayo mawe vipande
vipande?" *Wakristo,
Namaanisha waliozaliwa mara ya pili,
wanapaswa kutambua kuwa wakati jina la Yesu linatamkwa, kile
kinachotoka nje ya vinywa vyao ni moto.
Mkristo anaposimama juu ya mamlaka
aliyopewa na Kristo na anatoa
amri kwa jina la Yesu, moto hutoka katika
kinywa chake na pepo lolote kudhibiti hali husika ni lazima kutii. Yesu
yu hai leo ili kuangalia kwamba kila neno lake
linakuja kupita. Tena,
nataka kuonyesha ukweli muhimu kuwa
------------------------------
Page 27 27
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Wakristo wengi wanatazama kijuu juu , na hiki
ndicho ambacho Shetani
anatumia. Yesu, baada ya Peter kumsema kwake kwa habari ya ule mtini uliokauka baada
ya kulaaniwa na Bwana ,
alisema:
(Matthew's account) *"Amin, nawaambia
 
Umenikumbisha miwaka 1993 ktk viwanja vya Jangwani nilimwona kwenye mkutano akitoa shuhuda hizi live
Daa nilikuwa bado shule miaka hiyo ila nakumbuka James Mtoto wa Mamam Buhinu alinipa kitabu chake nikisome ''NILIVYO OKOKA KATKA ULIMWENGU WA GIZA'' KWELI TUPUUU naenda lala kesho ninaamkia hii issue niliisoma miaka takribani 20 ilopita duuu big up! sana! na ni kweli tupu sijui kwanini watu hawapendi vitu za kweli km hizi!
 
Daa nilikuwa bado shule miaka hiyo ila nakumbuka James Mtoto wa Mamam Buhinu alinipa kitabu chake nikisome ''NILIVYO OKOKA KATKA ULIMWENGU WA GIZA'' KWELI TUPUUU naenda lala kesho ninaamkia hii issue niliisoma miaka takribani 20 ilopita duuu big up! sana! na ni kweli tupu sijui kwanini watu hawapendi vitu za kweli km hizi!
Wamekamatwa waka kamatika
 

KUKOMBOLEWA KUTOKA KWENYE NGUVU ZA GIZA na Emmanuel ENI SEHEMU YA KWANZA (PART 1)​

Sura 1: Nilipotorokea kwenye "Maisha
mapya"


Hadithi yangu inaanza miaka 22 iliyopita katika kijiji kidogo kinachoitwa Amerie Iriegbu Ozu Item katika Ma
mlaka ya Serikali za Mitaa Bende, jimbo la Imo. Wazazi wangu walikuwa si katika kundi la miongoni mwa tajiri
lakini baba yangu alikuwa na neema ya kurithi hekta 42 za ardhi kutoka kwa babu yangu , baraka ambayo leo hii imenisababishia bahati mbaya sana ambayo haikuwahi kutokea katika historia ya familia. Baba yangu alichukiwa sana na ndugu zake wa mbali na karibu kwa sababu ambazo mimi sizijui, labda kwa sababu ya urithi wake mkubwa wa ardhi.

Tulikuwa ni familia yenye furaha, wazazi wangu baada ya kutupata sisi wanne: Love , Margaret , Emmanuel na Chinyere . Baada ya kuwa na mabinti wawili wa kwanza , wazazi wangu walisubiri kwa miaka 14 kabla ya kunipata mimi (mwana pekee wa kiume ) na baadaye dada yangu mdogo Chinyere. Hii ilileta furaha ya kweli
kwa familia, lakini furaha hii ilikuwa ni ya muda mfupi tu baada ya janga la kwanza kutokea . Mama yangu
mpenzi na anayejali alikufa. Ilidaiwa kuwa alikufa kutokana na uchawi, na miaka minne baadaye baba yangu alifariki, tena ilidaiwa kuwa naye ni kwa njia ya juju iliyofanywa dhidi yake. Miaka miwili baada ya kifo cha wazazi wote wawili, dada yangu mkubwa, Love, alitoweka kimaajabu na Margaret, binti wa pili wa wazazi wangu akachanganyikiwa akili. Ilikuwa ni mlolongo wa majanga katika maisha ya familia yenye unyenyekevu na furaha.

Dada yangu mdogo Chinyere na mimi tulipelekwa kwa babu na bibi yetu. Pale nilimaliza elimu yangu ya msingi na baadaye nilijiunga na Item High School. Nilisoma mpaka darasa la III la shule ya sekondari na nikaacha kwa
sababu ya ukosefu wa fedha kwa ajili ya ada n.k. Muda mfupi baada ya hili, babu na bibi pia walikufa. Baada ya
------------------------------
Page 3
sherehe zote za mazishi, ndugu yangu nisiyemjua alimchukua dada yangu mdogo Chinyere , na hadi leo hii sijui
yuko wapi. Kwa sababu ya malezi mabaya, nililazimika kurudi kwenye nyumba ya baba yangu, na kuishi huko
peke yangu katika umri wa miaka 13. Jinsi gani mtoto wa miaka 13 anajilisha mwenyewe katikati ya maadui wa
baba yake na yeye mwenyewe? Jinsi gani nilivyokuwa Naogopa! Matuukio haya yalionekana kama yamenileta
katika mwisho wa kuishi. Je kulikuwa na mtu aliyejali? Je kuna yeyote aliyehusika na "Mikosi ya kijana huyo
mdogo?"

Siku moja nilikutana na rafiki niliyemjua nilopokuwa shule ya msingi aitwaye Chinedum Onwukwe . Chinedum
alinipenda sana na waliposikia yote yaliyonisibu alinichukua mpaka kwa wazazi wake ambao kwa urahisi tu
walinipokea na kunifanya kama mwana wao wa pili. Maisha yakaja tena kawaida. Walinijali vyema. Nilikuwa na
furaha tena: Sasa nilijua kuwa Mungu wa mama yangu aliyemuomba wakati aliokuwa hai alikuwa hai mahali
fulani hivi. Amenipatia wazazi wapya, ndivyo nilivyojiwazia, nilifurahia wema huu kwa miaka miwili na kisha
shetani akapiga tena.

Chinedum na wazazi wake walikuwa wakisafiri kuelekea Umuahia na gari yao ikaingia ndani ya tipa lililobeba mzigo kama udongo. Chinedum na wazazi wake walikufa papo hapo! Baada ya kusikia habari hizi niliduwaa. Huzuni yangu inaweza tu kufikirika. Niliweza kuvumilia kipindi chote cha sherehe za mazishi, Nikiwatafutia wale wapishi kuni za kupikia na shughuli zingine: na mwishoni mwa hayo nikarudi nyumbani kwa baba yangu na nikarudia tena ajira hafifu ili niwe na uwezo wa kujilisha.

Niliendelea kufanya kazi zisizo za kawaida katika mashamba, katika bustani,
kuvua samaki pamoja na wazee
mpaka siku moja, mtu mmoja katika eneo langu alinikodisha kufanya kazi
katika shamba lake kwa 50k . Pale
shambani alinikabili kwa mlolongo wa maswali.
Kwanza, akaniomba nimuonyeshe
ardhi ya baba yangu, pili,
nimkabidhi shamba hilo, bila kujali jinsi uhusiano wetu ulivyokuwa. Katika
kesi zote hizo mimi nilipinga na
alikasirika. Kisha aliapa kuniua katika msitu.
Nikawa na hofu nikakimbia na
kupiga kelele ili nipate msaada. Kwa
bahati mbaya, kwa sababu eneo hilo lilikuwa mbali na ni ndani ya msitu
mnene hakuna mtu aliyesimama kwa
msaada lakini msaada ulitoka kwa Mungu.
Alinikimbiza na kisu chake lakini kwa kuwa
nilikuwa mdogo nilikimbia haraka
sana kuliko yeye nilianguka ndani ya shimo lenye kina cha mita 1.82 hivi na
nilifunikwa na majani yaliyokua
ndani yake. Naye akatafuta na baada
ya muda akakata tamaa . Baadaye nilijitahidi
kutoka nje ya shimo na kupitia
njia nyingine nikarudi kijijini.Nilitoa taarifa ya tukio hilo kwa wazee wa eneo letu
lakini hakuna hatua
zilizochukuliwa - kawaida ya watoto yatima.
Tukio hili liliunda chuki kubwa katika moyo
wangu mdogo, hakuna mtu
alinipenda, hakuna aliyenifikiria na kunijali.
Nilitafakari kwenye mawazo yangu kwa nini
mtu yeyote alitaka kuniua baada
ya kujua kuwa mimi sikuwa na
wazazi . Maisha yalijawa na taabu. Sasa najua
ya kuwa Mungu katika upendo wake alimzuia shetani asinichochee
wazo la kwenda kujiua. Nilimgeukia Mungu na
kuwa mwanachama kamili wa
Kanisa la Assemblies of God
katika kijiji changu (bado nipo) lakini kwa
bahati mbaya hakuna aliyejali ingawa hata baadhi ya wapendwa
walijua kwa habari yangu. Ni muhimu
kutambua kwamba nilikuwa mwanachama
kamili wa kanisa bila kumjua
Yesu Kristo. Sikujua nini maana ya kuzaliwa
mara ya pili . Kama wewe uko katika Kanisa la Yesu Kristo na
unajikuta katika hali ambayo nilijikuta,
mkabidhi Bwana Yesu Kristo maisha
yako. Maandiko yanasema: "
7
*Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni." *(1 Peter5 : 7 ).
Katikati ya ugumu huu wa maisha na mateso
ALICE alitokea! Alice alikuwa
msichana niliyemjua wakati wa siku
zangu za shule ya msingi. Alikuwa na miaka
mitano zaidi yangu tulitokea kijiji kimoja. Tulikuwa darasa
moja,tuliketi kwenye benchi moja na akawa
rafiki yangu sana. Na 'upendo'
huu katika hali ya utoto, tuliweka
ahadi ya ' kufunga ndoa ' wakati tukiwa
wakubwa. *Mzaha! *Mtoto wa miaka 11 wakati huo, bila wazazi, sina
elimu , sina chakula , naweka ahadi ya ndoa
kwa msichana wa miaka mitano
zaidi yangu! Alice baadaye aliondoka
------------------------------
Page 4
na kwenda Akure kwa elimu yake ya
sekondari na alinitumia barua za 'upendo'
nyingi. Wakati mwingine nilipokutana na Alice ,
nilikuwa nina miaka 15 na yeye
alikuwa 20. Yeye alipomaliza elimu
yake ya sekondari alifanya kazi na Benki ya
Standard Lagos ( sasa Benki ya
Kwanza), ambapo wazazi wake walikuwa wakiishi.
Alice akiwa anajua historia yangu na matatizo
yangu aliichukua hii kama
fursa. Aliniambia nijiunge naye Lagos
na akanipa anuani yake pamoja na N50 ( naira
: Sarafu ya Taifa ya Nigeria)! Hiyo ilikuwa ni bahati kwa kijana
wa miaka 15 ambaye hakuwahi kupata N2 kwa
siku! Hii ilikuwa ni mana kutoka
mbinguni na hii ilimaanisha
kuwa Lagos lazima palikuwa ni mahali pa
ajabu penye fedha nyingi na mambo mema ya maisha kwa wote
kufurahia. Ni lazima kwenda Lagos
kutengeneza pesa yangu mwenyewe na
kupata
utajiri pia . Kwenda Lagos
kwa akili yangu ilikuwa ni njia pekee ya kutoroka. Kukimbia kutoka kwa
maadui wa baba yangu, kukimbia
kutoka kwa madui zangu, kutoroka kutoka
kwenye njaa na matatizo yangu yote.
Kukimbia! Kukimbia! Ndiyo,
kukimbia kutoka katika yote yale ambayo ni mabaya!!!
------------------------------
Page 5

Sura 2: Mwanzo
*«. Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa
mtu, Lakini mwisho wake ni
njia za mauti. » Mithali 14:12*
*« Bali wabaya wanafanana na bahari
iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji yake hutoa tope na takataka.*
*Hapana amani kwa wabaya; asema Mungu
wangu. » Isaya 57: 20-21 *
Na maisha ya nje ya Yesu Kristo ni sawa na
ilivyoelezwa katika maandiko
hapo juu. Niliondoka katika kijiji changu na N50 na anwani niliyopewa na Alice,
kukimbilia *uhuru, haki,
starehe *na yote yanayokwenda pamoja
nayo: lakini kama utakavyoona hapo baadaye
ilikuwa ni tofauti sana na kile
nilichofikiria kwenye moyo wangu mdogo. Nilipofika Lagos , ilikuwa ni nzuri sana
katika macho yangu na
niliilinganisha na Mbinguni, chochote
kile Mbinguni kulivyofanana. Niliona yale
majengo yote marefu na mazuri na
katika kila uso niliweza kuona furaha ( hivyo nikajiwazia). Watu walionekana
kuwa na shughuli nyingi sana
na kila mmoja alijali mambo/
biashara yake. Nilipatwa na msisimko na
nikajisemea moyoni , *"Sasa nimejua
kuwa niko Huru!* Niliwasili Akintola Road, Victoria Island na
nilipokelewa vizuri na Alice
na wazazi wake. Wazazi wake walinijua
mimi na historia yangu kwa sababu tunatoka
katika kijiji kimoja lakini
kamwe hawakujua uhusiano wangu na binti yao. Alice alinitambulisha tena kama
kijana aliyemchagua amuoe.
Wazazi walishtuka lakini baada ya
majadiliano naye, walikubaliana juu ya hali
yangu kwamba wangeweza
kuniendeleza kielimu kwanza. Alice alikataa pendekezo lao na akaomba niwe
ninaishi naye katika gorofa yake
mwenyewe. Wazazi hawakuweza
kukubaliana na hili lakini alisisitiza. Walikuwa
na mabishano kuhusu hili
kwa siku nne na kwa ushawishi usioelezeka walikubali na nikaishi na Alice.
Alice, msichana ambaye ni mzuri sana,
aliniambia kuwa alikuwa ni mhasibu wa
Benki ya Standard na kwamba
angeweza kunifanya mimi tajiri na kunipa
vyote navyovihitaji katika maisha haya na alisema: " wewe kaa tu na
ufurahie!" Mtazamo wangu ya kwanza kuhusu
Lagos kumbe ulikuwa ni kweli;
miezi michache iliyopita nilikuwa
katika kibanda kidogo katika kijiji kidogo
kulichozungukwa na chuki, njaa na mateso na mimi hapa, tazama
ninaishi katika mji mkubwa, ghorofa nzuri na '
mke ' mzuri ambaye
aliniahidi kunipa maisha yeyote kadiri
yanavyotoa. Alinimwagia zawadi, fedha ,
mavazi, 'upendo' nk Mimi sikuwahi kamwe kujua kwamba dunia imejaa
haya ' mambo mema . Shetani kweli ni
mdanganyifu ! Maandiko dhahiri
yanasema : " Mwizi haji isipokuwa
kuiba, kuua na kuharibu. Mwana pekee wa
adamu ( Yesu Kristo) anayeweza kukupa uhai na kukupa zaidi
"(Yohana 10: 10). Ndugu msomaji, shetani
hana zawadi ya bure ! Chochote
anachokupa ni kwa ajili ya kuipata
roho yako . Hali hii ya furaha ilikuwa ya muda
mfupi, kwa sababu baada ya muda wa miezi mitatu mambo ya
ajabu yalianza kutokea.
Uzoefu wa Kushangaza
Usiku mmoja, niliamka usiku wa manane na
nikaona nyoka mkubwa aina ya boa -
constrictor kando yangu. Nilitaka kupiga kelele lakini sikuweza. Usiku
mwingine, niliamka na kuona
mwili wa Alice kama unaoangaza
kama mifuko ya Cellophane. Usiku mwingine,
alitoweka na kutokea tena na
tena. Usiku mwingine nilisikia kelele za ajabu au kucheza katika sebule n.k.
Sikuweza kuvumilia tena matukio haya
ya kutisha hivyo niliamua
kumuliza, na jibu la kwanza ilikuwa ni vurugu
na onyo kali. Alisema: "
Usiniulize swali hili tena au nitapambana na wewe. "
Tangu wakati huo nilijua maisha yangu
yalikuwa hatarini. Niliona ni
afadhali mateso kijijini kuliko kile
nilichokuja kugundua. Nikawa ninamhofia. Siku
mbili zikapita na akaja na tabasamu, zawadi na akanikumbatia.
Akaniambia jinsi gani anavyonipenda na
kunijali na akaniambia nisiwe na
hofu na aliahidi kunieleza mambo
------------------------------
Page 6
fulani hapo baadaye. Alinichukua mpaka klabu
na usiku ule alinikumbusha
ahadi yake ya kunifanya mimi tajiri nk, na aliniambia: "Siku moja utajua yote
ninayoyafahamu ! " Tukarudi
nyumbani na maisha yakaendelea kama
kawaida kati yetu. Ndani nilijua nilikuwa katika
hatari , lakini nitawezaje
kutoroka na wapi nitatorokea? Ni muhimu kukumbuka hapa kwamba wazazi wa
Alice hawakumjua binti yao, ingawa
ni mdogo, alijihusisha sana
na uchawi na mizimu na alinionya sana kamwe
nisije kuwaambia kama
ninayapenda maisha yangu. Ndugu msomaji, unaweza kufikiria , msichana
mwenye umri wa miaka 20 anafanya
mambo haya yote? Dunia ya nje
ilimwona kama msichana mzuri sana na mpole
anayefanya kazi na Benki kubwa
lakini alikuwa ni wakala mkubwa wa shetani. Kuna akina Alice wengi katika
dunia ya leo kama utakavyokuta
baadaye katika kitabu hiki.
Ugunduzi wa Kutisha
Siku moja, baada ya yeye kuondoka kwenda
kazini, niliamua kufanya ukaguzi katika ghorofa. Pamoja na ujana
aliokuwa nao, gorofa ilikuwa imejazwa vya
kutosha. Alikuwa na friji nne na
baada ya kufungua friji moja, niliona
fuvu la binadamu, sehemu mbalimbali za mwili
wa binadamu safi na kavu. Ndani ya dari kulikuwa na mifupa.
Katika kona nyingine moja ya vyumba nikaona
(kile baadaye nilijua kama
'chamber') sufuria imejaa damu na mti
mdogo katikati ya sufuria, kibuyu na nguo
nyekundu pamoja nacho. Sikuweza kuendelea. Sasa nilijua kwamba
nilikuwa ni mtu mfu na kwa kuwa sikuwa na
mahali pa kukimbilia. niliyatoa
maisha yangu kwa chochote
kitakachokuja, maisha au kifo na naliendelea
kufunga mdomo. Alice akarudi kutoka kazini na nilijua kabisa katika
ofisi yake kuwa alijua nini nilichokifanya katika
nyumba.
Kuingia katika ulimwengu wa Kichawi
Siku iliyofuata aliniomba nimfuate kwenye
mkutano. Nilikuwa tayari ni mfungwa na sikuwa na uchaguzi.
Tulikwenda kwenye jengo kubwa sana nje
kidogo ya Lagos. Tulipowasili (jengo
lilikuwa na ukumbi wa mkutano
chini ya ardhi), nilielekezwa na Alice kuingia
kinyumanyuma. Nilimtii na niliingia kwa mgongo, yeye pia alifanya
hivyo. Ukumbi ulikuwa mkubwa wenye vijana
na wanawake500 wameketi katika
mduara, na aliyekuwa ameketi
juu yao alikuwa ni mtu ambaye kichwa chake
ndicho kiliweza kuonekana lakini hakikuwa na mwili, kama
Kiongozi. Baadhi ya vijana hawa walikuwa
wanafunzi, wanafunzi wa vyuo
vikuu, wahitimu, walimu nk Alice
akabonyeza kiswichi ukutani na kiti kikakatoka
chini ya ardhi nami nikaketi. Yeye naye alifanya hivyo na kiti
kingine kikatoka kwa ajili yake naye akaketi.
Akanitambulisha katika
mkutano ule kama mwanachama mpya na
wao wakampongeza na kunikaribisha. Alice
alikuzwa nafasi kwa sababu ya hili. Yote waliyoyajadili katika
mkutano mimi sikuyaelewa. Mwishoni mwa
kikao na tulipokuwa karibu kuondoka,
niliambiwa nirudi peke yangu
siku iliyofuata na Kiongozi. Hii ilikuwa ni mara
yangu ya kwanza kukutana na dunia ya uchawi.
Usiku huo huo, saa 2:00 (na hii ni saa ya
kawaida ya mikutano na shughuli
hatari za nguvu zote za giza na
mawakala wao), Alice aliniamsha na
akanifunulia mambo fulani. Alisema: "Mimi si binadamu wa kawaida. Mimi
ni nusu binadamu na nusu roho lakini hasa ni
wa rohoni. Unachokiona katika
kona ya chumba changu ndicho
natumia wakati wa maombi yangu ya kila
asubuhi, ili roho zile ziniongoze kwa siku nzima. Kwa habari ya mifupa
mimi nitakuambia baadaye. "
Sikusema neno. Alileta baadhi ya vitabu juu ya
siri za dunia kwa ajili
yangu kusoma, na kwa sababu ya shauku
ya kutaka kujua niliamua kuvisoma. Muda mfupi tu nilivipenda na akaona kuwa
nimevipenda.Bila ya mimi kujua
alituma jina langu katika jamii ya kichawi huko
India. Kama nilivyokuwa
nimekwisha elekezwa, siku iliyofuata
nilikwenda peke yangu kwenye ile jamii na nikakutana na wengine tisa na
baadhi ya mashahidi. Ilikuwa
tunaingizwa rasmi. Tuliitwa pale katikati ya
ukumbi na mambo yafuatayo
tulifanyiwa:
-----------------------------
Page 7

1. Mchanganyiko unaoonekana kama putty
ulipitishwa juu ya miili yetu. Hii inakufanya uwe mwanacham
a kamili.
2. Glass yenye kimiminika kama mafuta
tulipewa kunywa. Hii inakufanya kuwa
wakala.
3. Unga ulio kama wa risasi ulipakwa katika vichwa vyetu. Hii inakufanya
uwe na uwezo wa
kujifunza siri zao.
Bila kujua, hii sherehe kumbe ilikuwa
ikirekodiwa India na Siku ya pili
nilipokea barua kutoka kwao. Katika barua nilielekezwa nitie doa kwa damu yangu
mwenyewe na baada ya hilo
niitume tena kwao kwa njia
waliyoielekeza, si ya Posta. Nilifanya. Kutokea
siku hii hakuna kurudi
nyuma; kurudi nyuma ina maana ni kifo kama mmoja wao mara zote walinikumbusha
hili na nilijua kuwa hakukuwa na
matumaini tena kwa ajili yangu.
Makataba na Alice
Asubuhi moja mapema, aliniambia kulikuwa na
sherehe muhimu inayotakiwa kufanywa katika nyumba. Saa 2:00
usiku alileta mtoto anayetambaa, msichana,
hai. Mbele ya macho yangu, Alice
alitumia vidole vyake kunyofoa
macho ya mtoto. Kilio cha mtoto yule kiliuvunja
moyo wangu. Kisha akamchinja na kumkata mtoto vipande
vipande na akaweka damu na mwili ndani ya
tray na akaniambia nile.
Nilikataa. Aliniangalia moja kwa moja
kwenye macho yangu na kile kilichotoka
kwenye macho yake hakiwezi kuelezeka kwa maandishi. Kabla
sijatahamaki nini kinatokea nilikuwa si tu
natafuna nyama lakini pia
nilikuwa nakunywa damu. Wakati haya
yanatokea, alisema: "Hii ni mkataba kati yetu
sisi, kamwe hutokuja kusema nje chochote una chokiona mimi
nakifanya au chochote kuhusu mimi kwa
binadamu yeyote duniani. Siku
ukivunja ahadi hii basi utakuwa
umeondoka. "ikiwa inamaanisha kuwa siku
nikivunja mkataba huu nitauawa. Baada ya tukio hili nilianza kuwa na hisia za
ajabu ndani yangu.
Nilibadilika na sikuweza kujizuia. Neno la onyo
kwa akina mama. Je, unawajua wasaidizi wa
nyumba yako? Ni vipi historia
yake inafanana? Je, unajali kujua yote kuhusu yeye kabla ya kumkabidhi maisha
ya watoto wako nk? Jinsi gani
Alice alimpata mtoto anayetambaa
na kumchinja, unaweza kujiuliza. Kwa hiyo
wazazi, unatakiwa kujua historia
ya wasaidizi wenu. Pale Alice alipoona kwamba amefanikiwa
kunifanya kikamilifu kujihusisha na
ulimwengu wa mapepo na
nilikuwa nikiongezeka kwa kasi katika hilo,
aliridhika na alijua mkakati
wake umekamilika. Alinitafutia gorofa kwa ajili yangu, alinisaidia kuimalizia na baada
ya hapo akajitenga na
uhusiano.
Mkataba nchini India
Jumuiya ya Delhi, India ilinitumia barua ya pili
ikinisihi niende India. Ndani ya barua pia walinielekeza nifanye
yafuatayo: " Kula kinyesi, kula panya waliooza
na wanaonuka, na kufanya
ngono na mapepo katika makaburi
wakati wa usiku"
Baada ya kutimiza hayo hapo juu nilifungwa nisifanye ngono na mwanamke
yeyote duniani. Nilituma majibu
india nikiwataarifu kuwa sikuwa na visa na sijui
jinsi ya kufika india. Kwa
wakati huu nilikuwa nimeanza
kufanya 'biashara'. Nilikuwa ni mfanyabiashara kiharamu mkubwa lakini kwa
sababu ya nguvu hizi nyuma yangu
sikuwa na shida na watu wa bandari nk
Nilianza kuwa na fedha nyingi, chakula na vitu
havikuwa tena adimu. Siku
moja, nilifunga gorofa yangu na nikatoka; niliporudi, nikafungua mlango na
tazama, mtu ameketi katika
sebule. Niliogopa. Akasema: "Je, wewe
------------------------------
Page 8

si Emmanuel Amos?" nikamjibu ni mimi.
Akasema: " nimetumwa kuja kukuchukua
twende zetu India, Hivyo
jitayarishe." Nilifunga kila mahali, nikaenda na kuketi kandokando yake
nikisubiri amri inayofuata. Lakini kama
umeme, alinigusa na tukatoweka kabisa.
Sehemu iliyofuata nilijikuta niko mwenyewe
ilikuwa ni kwenye ukumbi mkubwa
wa mkutano Delhi, India, pamoja na umati wa watu wengine waliokuwa
wamekaa tayari kwa ajili ya
kutukaribisha. Walileta mafaili
ambapo jina langu lilikuwa tayari limeandikwa
na akaniambia niweke sahihi
yangu pembeni.Nikafanya. Sahani iliyokuwa na nyama mbichi za watu,
zilizokatwa vipande vipande na basini ya
damu vililetwa. Jagi tupu za maji
zililetwa na kila mtu akapewa yake,kasha mtu
asiyekuwa na kichwa akawa
akipita huku akimimina damu na nyama katika jagi zetu. Mishumaa tofauti
tofauti iliwaka pamoja na ubani.
Mwanaume asiyekuwa na kichwa
akafanya manuizo na kila mtu akanywa damu
na nyama na mkutano ukaisha.
Uingizwaji nchini India Sasa kipindi cha kupimwa kikafika. Nilipelekwa
kwenye bonde lenye mita 200
kwa urefu. Ndani yake kulikuwa
na mchanganyiko wa nyoka hatari na
wanyama pori . Sikutakiwa kupiga kelele
kwa sababu kama nikipiga kelele bai nimeshindwa mtihani na adhabu yake
ilikuwa ni KIFO. Baada ya siku saba
za uchungu nililetwa kwenye
sehemu iliyoitwa ' INDIA JUNGLE'.
Katika msitu huu niliona aina tofauti za ndege
wa kipepo; ni ndege wa kipepo kwa sababu sura za ndege hawa
zingine zilikuwa ni za mbwa, baadhi kama
paka, n.k lakini wakiwa na
mabawa.Ndani ya Msitu kulikuwa na
pango na pango hilo lilifunguliwa tu na hawa
ndege mapepo. Walifungua pango na nikaingia ndani. Mambo
niliyoona ni vigumu kuelezea. Kulikuwa na
viumbe wa kutisha, baadhi
walionekana kama binadamu lakini wana
mikia na bila sura za watu, nk Hii ilikuwa ni
sehemu nyingine ya mateso. Mateso yale yanaweza kuwa kama nusu
ya kuzimu. Nilikuwa katika hali ile kwa siku 7
na kisha nilitolewa nje.
Kisha nilipelekwa kwenye maktaba kubwa
sana yenye vitabu vikubwa na vya
kipepo kwa ajili ya kujifunzia. Baadaye nilichukua vitabu viwili: Abbysinia ,
ambayo ina maana ya
uharibifu, na Assina , ambayo ina maana
kutoa uhai au kuponya. Baadaye nilipewa
vitabu vingi zaidi. Nilipewa
maelekezo ya kujenga chemba mara baada ya kurudi Nigeria na mambo yafuatayo ndani
yake : " sufuria ya asili
iliyojazwa damu ya binadamu, mti mbichi
ndani yake, na fuvu la binadamu , manyoya ya
tai , ngozi ya mnyama pori ,
ngozi ya nyoka na udongo unaon'gaa kando ya sufuria. " damu ndani ya chungu
ilitakiwa kunywa kila asubuhi na
dua. Nilipewa maelekezo kuwa
nisije kula chakula kilichopikwa na binadamu
na kwamba nitalishwa
kimiujiza. Nilirudi Nigeria kwa njia hiyo hiyo niliyoiendea, na kutekeleza yote .
Niliporudi nyumbani Nigeria
Sasa nilikuwa ni mmojawapo katika sehemu
ya ulimwengu wa roho na ningeweza
kusafiri popote pale sehemu
yoyote duniani. Kwa mujibu wa vitabu nilivyoleta, ni kwamba viumbe wa
kiroho (kipepo) wanaishi katika anga.
Nilifikiri labda sasa wangeweza kuongeza
nguvu yangu, hivyo niliamua
kujaribu. Nilitoka nje ya nyumba yangu,
nikafanya baadhi ya manuizo na kuita upepo wa kisulisuli nikatoweka.
Nikajikuta mwenyewe katika anga na
kuona hawa viumbe wa kipepo. Je, unataka
nini waliniuliza; niliwaambia
nataka nguvu.
Nilikuja tena duniani baada ya wiki mbili baada ya kupokea nguvu kutoka
kwao. Kama nilivyosema hapo awali,
Sikuweza kujizuia/kujidhibiti mwenyewe.
Pamoja na nguvu zote hizi
nilizokuwa tayari nimezipokea, bado
nilihitaji nguvu zaidi na zaidi ! Hivyo niliamua kwenda chini ya ardhi ili
kuthibitisha kile kilichoandikwa katika
vitabu nilivyopewa.
------------------------------
Page 9

Siku moja nilikwenda mahali fulani kichakani,
nikafanya baadhi ya manuizo
kama ilivyoelezwa kwenye vitabu
nikaamuru ardhi kufunguka. Ardhi ikafunguka na mapepo yakaunda ngazi mara
moja. Nikapiga hatua na kuingia
moja kwa moja ndani ya ardhi. Kulikuwa na
giza kuu ambalo linaweza tu
kulinganishwa na moja ya mapigo
ambayo yalitokea kule Misri kama iliyoandikwa katika Biblia. Niliona mambo
mengi ambayo ni vigumu kueleza.
Niliona watu walio katika minyororo, watu
wanaotumika kwa ajili ya
kutengeneza fedha - majukumu yao ilikuwa
ni kufanya kazi mchana na usiku kukusanya fedha kwa watekaji wao.
Nikaona baadhi ya wanachama wasomi/wenye
akili wa jamii ambao walifika
kutoa baadhi ya sadaka na walirudi
duniani na baadhi ya zawadi walizopewa na
mapepo yanayotawala sehemu zile. Niliona baadhi ya viongozi wa
makanisa ambao walikuja kwa ajili ya kupata
nguvu, nguvu ya kusema jambo
lolote na linakubaliwa bila ya
kuhoji katika kanisa. Nilikaa kwa muda wa wiki
mbili na kurudi baada ya kupokea nguvu zaidi. Watu waliniona
kama mdogo nisie na hatia lakini hawakujua
nilikuwa ni hatari. Kuna watu
wengi kama hao katikati yetu; ni wale
tu walio katika Kristo Yesu pekee ndiyo wako
salama katika hali halisi ya usalama.
*Mkataba na Malkia wa Pwani(Queen of The
Coast)*
Jioni moja, niliamua kutembea tembea.
Barabara ya kituo cha mabasi cha
Ebute Metta, nilimuona msichana/binti mrembo/mzuri amesimama. Sikuzungumza
neno lolote. Siku ya pili nilipopita
pia nikaona bado yuko pale pale.
Siku ya tatu nikamuona tena bado amesimama
pale pale na nikajitambulisha
kwake kama Emmanuel Amos. Lakini yeye alikataa kujitambulisha.
Mimi nikamuuliza jina lake na anwani lakini
yeye alicheka tu. Yeye
akaniuliza yangu nami nilimuambia mtaani
tu. Nilipokuwa nataka kuondoka, akasema
atanitembelea siku moja. Kwenye mawazo yangu mimi nikasema,
haiwezekani, sikumpa namba ya nyumba
yangu basi sasa atawezaje kufika.
Lakini ni kweli kwa maneno yake,
nilisikia mlango wangu ukibisha baada ya wiki
toka tumekutana pale katika kituo cha basi. Alikuwa ni yeye,
msichana wa ajabu! Nilimkaribisha lakini katika
mawazo yangu (Nilijiuliza
msichana huyu mzuri atakuwa ni
nani, je, hajui kuwa alikuwa amekanyaga
katika uwanja hatari?) Nilimfurahisha naye akaondoka. Baada ya
ziara
hii ya kwanza, ziara zake zikawa mara kwa
mara bila uhusiano wowote.
Katika ziara zake alikuja kwa muda ule ule, na
hakuja dakika moja kabla au iliyofuata! baadhi ya ziara zake
nilipenda kumpeleka Lagos Barbeach, au
katika Hoteli ya Paramount au Hoteli
ya Ambassador nk Wakati wote
huu, bado hakuniambia jina lake. Niliamua
kutokuwa na wasiwasi kwani nilijua uhusiano wetu usingeendelea
zaidi ya hapo. Nilikuwa nimepewa maelekezo
kamwe nisiguse mwanamke.
Ghafla ziara zake zikawa ni usiku. Katika ziara
yake moja aliniambia: "Sasa
ni wakati wako wewe kunitembelea mimi." Tulikaa pamoja usiku na saa 2:00
asubuhi kesho yake tukachukuana.
Tuliingia pamoja katika basi na
alimwambia dereva atuache barbeach.
Tuliposimama, nilimuuliza: "tunakwenda
wapi?" Alisema: "Usijali, Utakwenda kufahamu nyumba yangu"
alinipeleka kwenye kona ya barbeach,
akatumia kitu kama mkanda na
kuufunga ukituzunguka na mara moja nguvu
fulani ikaja kutoka nyuma yetu na
kutusukuma ndani ya bahari. Tukanza kupaa juu ya uso wa maji na moja
kwa moja tukaingia ndani ya
bahari. Ndugu msomaji, hiki kilitokea
nikiwa katika mwili wangu! Wakati ule
tumezama ndani chini kwenye kitako
cha bahari kwa mshangao nikajiona tuko tunatembea kwenye barabara ya magari
ya mwendo kasi . Tukaenda mpaka
kwenye jiji lenye watu wengi
na walio na shughuli sana.
Ulimwengu wa Roho
Niliona maabara nyingi, kama za maabara za sayansi, maabara za kubuni, na
ukumbi wa michezo(theatre). Nyuma
ya mji, niliona wasichana wazuri na vijana
wazuri. Hakuna wazee.
Akanitambulisha kwao na walinikaribisha.
Akanipeleka kwenye sehemu kama "chumba cha giza", "chumba cha kukaushia",
na "chumba cha kufungashia."
------------------------------

Wafilipi 2:10-11






KUKOMBOLEWA KUTOKA KWENYE NGUVU ZA GIZA na Emmanuel ENI SEHEMU YA PILI (PART 2)​

UnabiiwaKweli UNABII WA KWELI
Page 10
10
Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema aliojaliwa na Mungu
Akanipeleka mpaka kwenye kiwanda kikubwa
na ghala kubwa na kisha akanileta
kwenye nyumba yake binafsi.
Pale alikaa kuniambia: "Mimi ni Malkia wa
pwani (queen of the coast) na ningependa sana kufanya kazi na wewe.
Nina kuhahidi nitakupa utajiri na vyote
vinavyokwenda pamoja nayo, ulinzi
na vyote vinavyokwenda na hayo,
uzima na 'malaika' atakayekuongoza wewe. "
Akabonyeza kidude na mwili wa binadamu mbichi ukaja (katika vipande) ndani
ya trei(sahani) na tukala pamoja.
Akaamuru boa (nyoka) aje na akaniambia
nimmeze.sikuweza. Alisisitiza lakini
sikuweza, ninawezaje kumeza
nyoka aliyehai tena aina ya boa. Akutumia nguvu yake na nikammeza. Haya
yalikuwa ni maagano matatu: mwili
wa binadamu na damu, *boa(nyoka) *na
*malaika mapepo *walikuwa pale siku
zote ili kuhakikisha hakuna siri
iliyowekwa wazi. Lakini 'pepo' alipewa uwezo wa kuniadhibu
kama nikienda tofauti na pia
kiniletea chakula kutoka baharini
wakati wowote nikiwa hapa duniani. Niliahidi
kumtii siku zote daima. Na
baada ya ahadi hii alinipeleka na sehemu nyingine ya bahari, Hii sasa ilikuwa ni
kisiwa. Kulikuwa na miti na
kila mmojawapo ya miti ulikuwa na
kazi yake tofauti:
  • Mti wa sumu,
  • Mti wa mauaji, - Mti wa kutaja/kuonyesha, na
  • Mti kwa ajili ya tiba.
Alinipa nguvu ya kujibadili katika kila aina ya
mnyama wa baharini kama
kiboko, boa constrictor(Nyoka) na
mamba na kisha akatoweka kabisa. Nilikaa katika bahari kwa wiki nzima kwa
njia (kama ya mamba) aliyetajwa
hapo juu nikarudi tena duniani.
Maabara za ulimwengu wa chini
Nilikaa Lagos kwa wiki moja nikarudi baharini,
wakati huu nilikaa kwa miezi miwili. Nilikwenda katika maabara
za kisayansi kuona nini kilichokuwa kinatokea.
Nikaona madakitari wa akili
na wanasayansi wanafanya kazi kwa
umakini sana. Kazi ya wanasayansi hawa ni
kubuni mambo mazuri kama magari ya kifahari, nk, silaha mpya na
kujua siri za dunia hii. Na kama ingewezekana
kujua nguzo ya dunia
wanayoitaka, lakini Namshukuru Mungu,
MUNGU TU ANAYEJUA.
Niliingia katika chumba cha kubuni na huko nikaona sampuli nyingi za nguo,
manukato na aina mbalimbali za
bidhaa za urembo. Mambo haya yote
kulingana na Shetani ni kwa ajili ya
kuvuruga mitazamo ya wanaume kutoka
kwa Mwenyezi Mungu. Niliona pia miundo/ ubunifu tofauti ya umeme, kompyuta
na kengele. Pia kulikuwa na
TV ambapo walijua wale waliozaliwa tena
kuwa Wakristo katika ulimwengu.
Pale unaweza kuona na
kutofautisha wale ambao ni waendaji wa kanisani tu na wale ambao ni
Wakristo halisi.
Nikatoka katika maabara na kuingia katika
'chumba cha giza' na 'chumba cha
kukaushia. Chumba cha giza ni
mahali ambapo wanaua mwanachama yeyote anayeasi.Wanamuua kwanza kwa
kuchukua damu ya mtu huyo na
kisha wanampeleka mtu huyo kwenye chumba
chenye mashine ambapo itamsaga na
kuwa unga kisha
wanachukua unga na kuupeleka katika chumba cha kupakia ambapo wataufunga na
kuupeleka kwa waganga wa
kienyeji kwa ajili ya hirizi zao. Kulikuwa na
mambo mengi ambayo ni vigumu
kueleza kwa maandishi. Pamoja
na nguvu yote hii ndani yangu, nilikuwa bado sijahitimu kukutana na
Lucifer/shetani lakini tu nilikuwa na sifa ya
kuwa wakala wake. Yote sawa,ila niliridhika
kwamba mimi sasa nilikuwa na
nguvu na ninaweza kukabili,
changamoto na kuharibu vitu kadiri nipendavyo. Je, kunaweza kuwa na nguvu
nyingine yoyote ile popote pale
basi niliiweka katika mawazo yangu.
------------------------------
Page 11
11 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura3: Utawala wa uovu
*« Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
mimi nalikuja ili wawe na
uzima, kisha wawe nao tele.» Yohana * 10:10
Nilipokuwa nikirudi Lagos, niliendelea na
biashara yangu na baada ya wiki
mbili nikarudi tena baharini. Malkia
wa Pwani alinipa kile alichokiita "kazi yake ya
kwanza". Nilitakiwa niende kijijini kwangu na kumuua mjomba
wangu, mzee mmoja mganga maarufu
aliyehusika kwa kifo cha wazazi wangu
kulingana na taarifa yake huyo
Malkia.
Nilimtii na nikaenda lakini kwa sababu sikuwahi kuua hapo mwanzo, sikuwa na
ujasiri wa kumuua, badala yake
nilimuharibia dawa zake na kumuacha akiwa
hana nguvu. Kwa sababu ya hili
nililofanya alipoteza wateja wake
wote mpaka leo hii. Nikarudi kutoa ripoti ya zoezi hilo lakini alikuwa
hasira nami. Alisema matokeo ya kutokutii
maelekezo yake ilikuwa ni kifo, lakini kwa
sababu ya upendo wake kwangu
atanituma tena nirudi kijijini na kuua
wazee wawili ambao alisema waliunga mkono suala la mauaji ya wazazi wangu.
Kama hii ndio ilikuwa ni adhabu
kwa kutotii maelekezo yake au sio, mimi sijui.
Hata hivyo, nilitii na nikarudi kijijini na 'niliweza'
kuua watu hawa na
kupeleka damu yao kwake. Kutokana na kitendo hiki kilichotokea katika mazingira ya
kutatanisha ya kufa, wazee
katika kijiji wakaenda kuuliza kwa
mganga mwingine mwenye nguvu ambae kwa
kawaida huwa anatuma radi kuchunguza
muuaji ni nani. Kwa bahatimbaya kwa sabab ya watu hawa,
nilikutana na mganga kiroho ambapo
alikuwa akijaribu kuongea
namapepo na nikamuonya asiseme chochote
kama alipenda maisha yake. Alitoka
nje na akawaambia wazee waende nyumbani na kuomba msamaha kwa
mmoja kati ya watoto wao waliemuuzi
na hakutaja jina langu.
Radi aliyoituma ikarudi na ikapiga katikati yao
na kuua baadhi na kuacha
wengi wamejeruhiwa. Baada ya tendo hili la kwanza, nguvu ndani yangu ilianza
kujidhihirisha yenyewe.
Nilimuumbua msichana yeyote aliyekataa
kufanya urafiki nami nk.
Mkutano wangu na Shetani
Nikarudi Lagos. Siku moja, msichana mmoja aliyeitwa NINA alikuja kwangu.
NINA ambae wazazi wake
wanatokea Jimbo la Anambra alikuwa mzuri na
mrembo sana lakini anaishi sana
katika bahari, yaani ulimwengu
wa chini ya bahari. Alikuwa ni wakala mkereketwa wa Malkia wa Pwani(Queen
of the Coast) na alikuwa muovu
sana. Yeye aliwachukia Wakristo sana na
alikwenda mwendo mrefu kupambana na
Ukristo. Mimi nilikutana naye
kwa mara ya kwanza wakati wa ziara yangu ya baharini ya kwanza. NINA
alikuja kwa ajili ya kazi ya Malkia wa
Pwani.
Tuliondoka mara moja na nilipofika pale chini
niligundua kuwa tutafanya
kikao na Lucifer/Shetani. Shetani, katika mkutano huu, alitupa maelekezo
yafuatayo: Kupambana na waamini na
sio wasioamini, kwa sababu
wasioamini hao tayari ni wake. Baada ya
kusema hayo, mmoja wetu akauliza
swali: "Kwa nini?" Akasema sababu ni kwamba Mungu alimfukuza nje ya 'mahali"
pale (alikataa kuita neno'
Mbinguni 'na katika muda wote katika
mikutano yetu tuliyofanya pamoja naye
hakuwahi kutaja neno 'Mbinguni'.
Badala yake alitumia neno 'mahali pale') kwa sababu ya kiburi, na kwa hiyo *yeye
hataki Mkristo yeyote afike
huko (Mbinguni).*
Pia alituambia kwamba hatupaswi kupambana
na wanafiki. "Wao ni kama mimi,"
alisema. Aliendelea na hotuba yake na akasema: "Tunapaswa tu kupambana
na Wakristo halisi" Kwamba wakati
wake umekaribia, kwa hiyo
tunapaswa kupambana kama vile haijawahi
kutokea na kuhakikisha kwamba
hakuna anayeingia mahali pale:" Sasa mmoja wetu akasema tumesikia
kwamba Mungu alimtuma mtu kuwaokoa watu
warudi kwa Mungu" Shetani
kisha akauliza: "nani huyo?" mjumbe mmoja
akajibu "Yesu" na kwa mshangao
mkubwa, Lucifer akaanguka katika kiti chake. Akapiga kelele kwa mtu huyo
na akamuonya kamwe asilitaje
jina hilo kwenye mikutano yetu
------------------------------
Page 12
12 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
kama anapenda maisha yake. Ni kweli
kwamba kwa jina la Yesu kila goti
litapigwa (Flp. 2: 10), ikiwa ni pamoja
na Shetani. Baada ya tukio hilo akatupa sisi moyo na
alituambia kwamba tusiwajali "hawa
wakristo", kwamba yeye Lucifer
atakuja hivi karibuni kutawala dunia na
atatupa,sisi mawakala wake, mahali
bora ili tusihadhirike/tusitaabike sawa na wengine duniani na yeye atatufanya
sisi watawala. *Aliendelea
kusema kwa kuwa mwanadamu*
*anapenda mambo ya kushangaza na ya
ajabu, ataendelea kutengeneza mambo
hayo na kuhakikisha* *kwamba mwanadamu hana muda kwa ajili ya
Mungu wake na kwamba atatumia
yafuatayo kuharibu*
kanisa:
1.fedha,
2.mali, 3.Wanawake.
Mwishoni mwa hotuba hii akafunga Mkutano.
Mkutano huo ndio uliokuwa wa
kwanza kwangu mimi kukutana
na Shetani. Mingine kadhaa ilifuata baada ya
mkutano huu. Tulipokuwa tukiondoka, Malkia wa Pwani, ambae
sasa alionekana katika maumbo mbalimbali,
alinialika mimi na nyumbani
mwake. Aliingiza majivu ya binadamu
pamoja na vitu vingine ndani ya mifupa yangu
ya miguu yote, jiwe (si jiwe la kawaida) katika kidole changu na
kitu kingine ndani ya mfupa wa mkono wangu
wa kulia.
Kila moja ya vitu hivi ilikuwa na kazi yake. Jiwe
katika kidole changu
ilikuwa ni kwa ajili ya kujua mawazo ya mtu yeyote dhidi yangu. Moja katika mkono
wangu wa kulia ilikuwa
kuniwezesha mimi kuharibu na yale yalio
katika miguu ni kwa ajili ya kufanya miguu
yangu kuwa migumu zaidi na
kuifanya kuwa hatari zaidi na pia kuniwezesha mimi kubadilika na kuwa
mwanamke, mnyama, ndege, paka, nk
Alinichukua mpaka kwenye moja
ya maabara na akanipa darubini, TV na video.
Hivi havikuwa vitu vya kawaida
lakini vilikuwa vinatumika katika kuchunguza Wakristo waliozaliwa mara ya pili
na waendaji tu wa kanisani
ndani ya kanisa.
Mwishowe alinipa wasichana kumi na sita wa
kufanya nao kazi. NINA alikuwa
ni mmoja wao. Nilikuja tena Lagos nikiwa na zawadi hizo nilizozitaja hapo
juu.
Kugeuzwa kuwa wakala wa shetani
Sikuwa na hisia za kibinadamu wala huruma
katika moyo wangu tena.
Nilikwenda katika utekelezaji mara moja na niliharibu majengo matano kwa mpigo. Zote
zilizama ndani ya ardhi na
wenyeji wao. Hii ilitokea Lagos mwaka
Agosti 1982. Mkandarasi aliwajibika kwa
kutoweka msingi mzuri na alilipa
haswa kwa hili. Uharibifu mwingi unaotokea hivi leo katika dunia si kwamba
wote umesababishwa na mwanadamu.
Wajibu wa shetani ni kuiba,
kuua na kuharibu. Nasema tena, "Shetani hana
zawadi ya bure".
Nilikwenda kusababisha ajali katika barabara n.k. Kisa ninachopenda
kusimulia ni kuhusu kijana mmoja
aliyekuwa ndio ameokoka tu ambae alikwenda
akishuhudia wokovu wake na
ukombozi alioupata. Alikuwa
anasababisha madhara mengi katika ulimwengu wa roho kwa ajili ya kufanya
hivi, hivyo nilipanga kufanya ajali
kwa ajili yake. Siku moja alikuwa kwenye basi
zuri sana akienda Lagos.
Alikuwa ameitwa ili aje kutoa ushuhuda
wake. Basi lilipokuwa katika mwendo wa kasi, mimi nikalizungusha tairi nje
ya barabara hivyo likaenda na
kugonga kwenye mti. Abiria wote walikufa
isipokuwa huyu kijana.
Kupona kwake ilikuwa ni kimuujiza kwa
sababu alitoka nje ya gari kupitia buti ya basi na kupiga kelele: "niko
salama! niko salama! "Tulijaribu kumzuia
asishuhudie lakini tulishindwa.
Kwa njia ya TV, tunaweza kujua mtu
aliyetubu, mpya na tunamfuatilia kwa
ukaribu kuona kama tunaweza kumfanya akarudi nyuma. Kama baada ya
miezi sita hatuwezi kufanikiwa,
tunakwenda katika biashara yake na
------------------------------
Page 13
13 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
kuifanya iwe mufilisi. Kama yeye ni mtumishi
wa umma tutamnyanyasa kupitia
kwa bosi, na kama inawezekana
tunafanya bosi kusitisha mkataba au uteuzi wake. Kama baada ya haya yote
hawezi kurudi nyuma basi tunaachana
nae. Lakini kama atarudi nyuma anauawa
kuhakikisha kwamba hapati nafasi ya
pili kutubu.
Niliharibu maisha kwa kiasi kwamba Lucifer akafurahishwa na kunifanya niwe
mwenyekiti wa wachawi.
Mwezi mmoja baada ya Uenyekiti wangu,
mkutano uliitishwa. Tulihudhuria
mkutano huo kama ndege, paka na
nyoka. Viumbe hawa hutumiwa kwa ajili ya sababu zifuatazo:
1. Kuwa ndege kunafanya wachawi wawe
hatari zaidi.
2. Kuwa paka kunafanya wachawi wawe na
uwezo wa kuwa katika roho na
binadamu. 3. Kuwa panya kunawawezesha wachawi
kuingia katika nyumba kwa urahisi,
kisha wakati wa usiku wanakuwa
kivuli, na kisha binadamu na kunyonya damu
za watu.
Katika mkutano huo tulikuwa na agenda moja tu: *"Wakristo" *Tukapanga
kuitisha mkutano wa Afrika wa
wachawi mjini Benin mwaka 1983.
Tulichapisha katika magazeti yote ya kila
siku na vyombo vyote vya habari
vya umma. Nguvu zote za giza walijipanga na walikuwa na uhakika sana kwamba
hakuna kitu chochote
kitakachoingilia kwa kupinga mkutano huu.
Kwa kweli kila kitu kilipangwa
vizuri na kulikuwa hakuna mwanya.
Ghafla, Wakristo Nigeria wakaingia kwenye maombi na sifa kwa Mungu wao na
mipango yetu yote ilizimwa. Si
tu kwamba mipango yetu ilizimwa peke yake
lakini pia kulikuwa na mtafaruku
haswaa katika ufalme wa giza.
Matokeo yake, mkutano wa wachawi 'na mapepo haukuweza kufanyika Nigeria.
Wakristo wanapaswa kutambua
kwamba wakati wao wanaingia ndani katika
sifa halisi kwa Mwenyezi Mungu,
kunakuwa na shida na mvurugano
kote ndani ya bahari na angani,na mawakala wa shetani wanakuwa hawana
nafasi ya kupumzika/kutulia. Maombi
ni kama kutupa bomu la kushitukiza katikati
yetu na kila mtu anatoroka
kuokoa maisha yake.
Kama Wakristo wakitambua na kutumia nguvu na mamlaka ya Mungu aliyowapa,
wataweza kudhibiti mambo
ya taifa lao! Wakristo tu ndio wanaonaweza
kuokoa taifa letu.
Baada ya mkutano huu kushindikana, ambao
baadae ulifanyika nchini Afrika Kusini, niliitwa tena baharini.
Nilipofika, niliambiwa kutokea wakati huo
nilitakiwa kufanya bahari kama
nyumbani kwangu na kutembelea
dunia kwa shughuli ngumu tu. Nilipewa kazi
mpya: kubuni hirizi za waganga, nikiwa mhusika mkuu wa chumba
na mtumaji wa zawadi, yaani ufunguzi wa
makanisa (nyumba za maombezi),
ufunguzi wa nyumba za kujifungua,
kufungua maduka na kufanya yafanikiwe,
kuwapa 'watoto na fedha. Haya yataelezwa moja baada ya jingine:
1. Ufunguzi wa "Makanisa ya nguo nyeupe":
Wakati mtu anakuja kwetu kwa msaada wa
kujenga nyumba ya maombi na
kumsaidia kufanya uponyaji nk,
basi atapewa baadhi ya sheria: a) Atakubali kuchangia kwetu nafsi moja au
mbili kila mwaka.
b) Katika ngazi fulani ya ofisi katika kanisa mtu
atakuwa anaunganishwa na
jamii yetu.
c) Hakuna mwanachama angeruhusiwa kuja katika nyumba ya maombi na viatu
mguuni.
Akisha kubali matakwa hayo,*atapewa kitu
changarawe nyeupe, mifupa ya
binadamu, damu na hirizi, vyote*
katika chungu. Atapewa maelekezo ya *kuzika chungu hiki na vitu vyake
vyote mbele ya kanisa na atazika*
msalaba juu yake. *Baada ya maziko
msalaba tu ndio unapaswa kuonekana.
*Atashauriwa
kujenga Bwawa *au kuweka basini ambapo roho chafu
zinaendelea kuweka maji maalum. Maji
haya ndiyo unasikia huyaita*
"maji matakatifu."
Watu wengi wakisumbuliwa na roho mbaya
wanakwenda kwa hawa "manabii" kwa ajili ya kuwafukuza. Ukweli
ni kwamba, wao huongeza mapepo zaidi kwao.
*Shetani hawezi kumuondoa nje
shetani. *(Luka 11:17-19) Kile
------------------------------
Page 14 14
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
nabii atakifanya ni, atamuombea mshirika na
kisha atampa mshirika kitambaa
chekundu ili kuweka katika nyumba yake, na kisha atamshauri awe
anaomba akiwa na mishumaa na uvumba.
Kwa kitendo hiki mtu anatualika
sisi kwenye nyumba yake. Wakati mwingine
mshirika anashauriwa kuleta mbuzi
n.k, kwa ajili ya sadaka. Sadaka hizi ni kwa ajili yetu kuja na kusaidia kumtibu
mtu huyu. Nabii hana uwezo
wa kutibu au kuponya
*2. Ufunguzi wa Maternities (sehemu za
kujifungulia):*
Kama mwanamke anakuja kwetu kwa ajili ya kupata msaada wa kufungua kituo
cha uzazi na kukifanya
kifanikiwe, atapewa sheria zifuatazo:
"Mwezi utachaguliwa ambao watoto wote
wanaozaliwa katika mwezi huo kwenye
kituo hicho watakufa, na miezi mingine watoto wataishi."
Kama atakubali basi atapewa, dawa ambayo
itawavutia watu kuingia katika
kituo hicho cha uzazi. Kuna
maternities kama hizi Onitsha, Lagos, nk viatu
haviruhusiwi katika vituo hivyo.
3. Ufunguzi wa Maduka ya dhana:
Mtu anapotufuata sisi kwa ajili ya msaada
katika suala hili, anapewa pete
na mashariti kwamba hakuna
mwanamke atakayeruhusiwa kugusa pete yake. Ni lazima pia akubali kuwa
mwanachama wetu. Kama atakubali
kupokea kutimiza masharti hayo, duka lake
litakuwa linajaa vifaa vya ubora
na vya kisasa.
4. Kutoa Watoto Kama mwanamke tasa atakwenda kwa
mganga, baada ya kuweka malalamiko yake,
ataulizwa kuleta yafuatayo:
jogoo mweupe, mbuzi, chaki ya asili na baby
care. Ataambiwa arudi na
atakapokuwa ameondoka,mganga atakuja kwetu kuleta vitu hivi. Kisha
tutachanganya vitu fulani ambavyo ni
vigumu kuelezea kwa maandishi, na
tutaweka majivu ya mwanadamu. Atatumia
dawa hii kumpikia chakula mwanamke
nk. Atapata mimba na kuzaa, lakini siyo binadamu wa kawaida. Kama
mtoto ni wa kike ataweza
kuishi na hata kuolewa lakini
atakuwa bado tasa maisha yake yote. Kama
mtoto ni wa kiume ataishi lakini
atakufa kifo cha ghafla. Huwa awaishi kuzika wazazi wao.
Napenda kukueleza hapa kwamba utasa mara
nyingi unasababishwa na mapepo.
Unaweza kuona mwanamke
tasa hapa duniani, lakini anaweza kuwa na
watoto wengi tu baharini. Kwa hiyo nashauri watoto wa Mungu
kumsubiri Mungu pekee kwa sababu Mungu tu
ndio huwapa watu watoto halisi.
5. Kutoa fedha:
Kama mtu anakuja kwetu kwa ajili ya kupata
fedha, atapewa masharti yafuatayo kuyatimiza: Ataambiwa kutoa
sehemu ya mwili wake au kama ana familia
ataambiwa kuleta mtoto wake wa
kiume. Kama yuko mwenyewe
basi ataombwa kumtoa kafara kaka yake au
mdogo wake. Yeyote atakayeamua kumleta ni lazima atoke
katika tumbo moja. Kitu muhimu
cha kutaja: siku ya kufanya
mauaji ya mhusika, mtu ambaye amempeleka
atapewa mkuki,au mshale. Uhusiano
wake utawekwa katika file kwenye kioo. Mara baada ya mtu yule
anayetakiwa kumtoa kupita, ataambiwa
apige ile sehemu ya faili iliyo
kwenye kioo,basi akifanya tu hivi yule mtu
anakufa pale mahali alipo.
Kuna njia nyingine lakini jambo moja Shetani hufanya ni kwamba:
anahakikisha kwamba katika njia hio
tofauti, mtoaji anakuwa mwajibikaji kwa ajili ya
kifo cha mwathirika, kwa
kufanya mtoaji ampige mlengwa,
kumbuka Shetani hana zawadi ya bure! ------------------------------
Page 15
15
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura 4: Jinsi shetani anavyopigana na Wakristo
*«Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama; bali ni juu ya
falme na mamlaka, juu ya wakuu *
*wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya
katika ulimwengu wa roho. »* *Waefeso. 6: 10-12 *
Kupigana na Wakristo
Baada ya amri ya Lucifer kupambana na
Wakristo, sisi tuliketi na kuchora
ramani ya kupambana nao kama
ifuatavyo: 1. Kusababisha magonjwa.
2. Kusababisha utasa.
3. Kusababisha usingizi katika kanisa.
4. Kusababisha machafuko katika kanisa.
5. Kusababisha uvuguvugu katika kanisa.
6. Kuwafanya wawe wajinga wa neno la Mungu.
7. kwa mitindo na uigaji.
8. Kupambana nao kimwili.
Miongoni mwa hayo juu napenda kuwaeleza
mawili:
1. Kupambana kimwili: Kwa TV niliyopewa, niliwaona Wakristo
waliozaliwa mara ya pili. Hatupigani
na wanafiki kwa sababu wao ni
mali yetu tayari. Tuliweza kuwatuma
wasichana wetu kwanza katika makanisa
makubwa. Ndani ya kanisa walikuwa wanatafuna jojo au kumfanya mtoto
alie au kufanya chochote ambacho
kilivuruga watu kusikiliza neno
la Mungu. Wanaweza kuamua kuja kiroho na
kusababisha watu kulala wakati
mahubiri yanaendelea. Wakikuona uko makini kwa sababu ya mahubiri,
wanaweza kukusubiri nje ya kanisa na
unapokuwa ukitoka kuja nje ya
kanisa, mmoja wao anakusalimu na hata
kukupa zawadi ( na mara nyingi ni
zawadi ya kitu kile upendacho ) na wataonekana ni marafiki sana. Atafanya
kila kitu na kabla haujajua
kinatokea unakuwa umesahau kila kitu
ulichojifunza kanisani . Lakini kwa Mkristo
halisi,mmoja ya wasichana hawa
,baada ya ibada, ataruka nje kukusalimu na atapenda kujua nyumba yako
kwa kisingizio kwamba yeye ni
mgeni katika mji na hawajui
Wakristo wengi wanaomzunguka. Ukimpeleka
nyumbani kwako, kwa haraka
atanunua ndizi na Mkristo atachukulia hii kama ishara ya upendo.
Ataendeleza ziara zake mpaka
hatimaye anaweka mbali mwanga wa
Kristo ndani yako na kisha anaacha kuja.
Shughuli kuu katika makanisa
yaliyo hai na shirika zilizo hai ni : kuwasumbua Wakristo wasisome na kujifunza
neno la Mungu, na hivyo kuwafanya
wajinga wa mamlaka na
ahadi za Mungu. Katika mikutano ya injili
wasichana hawa wanatumwa
kusababisha kutoelewana na ugomvi. Jinsi wakirsto wanavyojulikana?
Wakristo waliozaliwa mara ya pili hawajulikani
kwa Biblia wanayobeba kila
siku au ibada nyingi
wanazohudhuria. Wanajulikana katika
ulimwengu wa roho kwa mwanga ambao huendelea kuangaza wakati wote
kama mshumaa mkali sana katika moyo au
mduara wa mwanga unaozunguka kichwa
au ukuta wa moto
unaowazunguka. Mkristo anapokuwa
akitembea, tunaona malaika wakitembea pamoja naye mmoja mkono wa
kuume, mmoja kushoto, na mmoja nyuma. Hii
inafanya kuwa vigumu kwa sisi
kuja karibu yake.
Njia pekee ya sisi kufanikiwa ni kwa kumfanya
Mkristo atende dhambi, na hivyo anatoa mwanya wasisi kuja na
kuingia ndani. Mkristo akiwa anaendesha gari
na tunapotaka kumdhuru,
tunaona kwamba siku zote hayuko peke
------------------------------
Page 16 16
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
yake katika gari. Siku zote kuna malaika
pembeni mwake. *Oh kama Mkristo
akijua tu yote ambayo Mungu* *anafanya kwa ajili yake, hawezi kutenda
dhambi au kuishi ovyo ovyo !*
2. The Making of Backslidden Christians
Kama mwenyekiti aliyeteuliwa na Lucifer,
niliwatuma wasichana hawa
makanisani na sharika zinazoishi/hai . Wasichana hawa wanakuwa wamevalia vizuri
na baada ya mahubiri wanakuja
kwenye madhabahu kama
wameitwa, na watajifanya kuwa wamempokea
Kristo na wataombewa. Mwishoni mwa
ushirika au ibada watazungukazunguka nje na kumsubiri
mhubiri ambaye kiukweli atakuwa na
furaha sana na waongofu hawa
wapya.
Waongofu hawa wapya wanaweza hata
kumfuata mhubiri nyumbani kwake. Kama mhubiri hana roho ya
kupambanua watamvutia aingie katika dhambi
ya uzinzi au uasherati . Hii
inafanyika wakati pale mhubiri
anapokuwa amemtamani. Atahakikisha
amendelea katika dhambi hii mpaka pale atakapoona amemzimisha Roho
wa Mungu ndani yake na kisha anaondoka,
huku mkakati wake umetimia.
Mahali hapa ningependa kutoa ushuhuda wa
Mhubiri. Katika ulimwengu wa
roho/kipepo yeye anajulikana kama mtu wa Mungu(man of God). Anapokwenda
kwenye magoti yake kunakuwa na
mvurugano kati yetu. Kwa hiyo
tunatuma wasichana hawa kwake. Mtu huyu
anaweza hata kuwalisha lakini
atakataa kunaswa na mitego yao. Walijaribu kila walivyoweza lakini kamwe
hawakuwahifanikiwa. Matokeo
yake, wasichana hawa waliuawa
kwa kushindwa kwao.
Mimi nilijigeuza na kuwa mwanamke kisha
nikamwendea, kwa maneno na vitendo nilijaribu kumshawishi, lakini
alikuwa mgumu. Hii ilikuwa ni kazi kubwa mno
kwangu, hivyo nilidhamiria
kumuua kabisa kimwili. Siku moja,
Mhubiri huyu alikwenda soko la barabara ya
Oduekpe. Nilimwangalia na alipoinama chini kununua baadhi ya
bidhaa nilijizungusha kwenye tairi za trailer
iliyokuwa imebeba mafuta ya
mafuta kuelekea sokoni alipokuwa
mhubiri. Trailer/gari likapiga nguzo kubwa sana
ya NEPA na ikangukia katikati ya soko, na kuacha watu wengi
wamekufa, lakini Mhubiri alitoka mzima. Jinsi
gani alipona ulikuwa ni
muujiza. Siku nyingine, nilimuona
akisafiri kwenda Nkpor kwa miguu.
Nililizungusha gari la jeshi lililokuwa limebeba viazi vikuu vya kumuua.
Lori lilikwenda moja kwa moja ndani ya
barabara mpya ya makaburini, na
kuwaua watu wengi mno, lakini
muhubiri huyu bado alikuwa mzima. Baada ya
jaribio hili la pili tulikata tamaa.Yeye bado yuko hai hata leo hivi!
Kwa sababu ya mkristo mmoja, shetani
anaweza kuamua kuharibu roho nyingi,
akifikiri anaweza kumuua, lakini
siku zote anashindwa. Matukio haya
yameyotokea kwa Wakristo wengi bila ya wao kujua, lakini Mungu wao
huwaokoa mikononi mwa adui zao siku zote.
Shida ni kwamba, Shetani hachoki.
Mawazo yake yako palepale:
"Ninaweza kufanikiwa." Lakini kamwe
hafanyikiwi. kama tu Mkristo atatembea na *Upendo wa Mungu na *
*kubakia ndani yake na ajichanganyi na
mambo mengine ya maisha haya,
shetani hawezi kumpata,*
*vyovyote vile shetani anaweza kujaribu.
Wasioamini tu ndio wako chini yake.*
Ukandamizaji wa Wakristo
Hii hutokea hasahasa katika ndoto. Mkristo
anaweza kuona katika ndoto yake
yafuatayo:
1. Mtu mfu anamtembelea 2. Kinyago kinamfuata.
3. Marafiki wanaogelea katika mto
4. Marafiki wanaleta chakula na wanamsihi ale.
5. Msichana wa kike anafanya ngono au
msichana aliyeolewa anafanya mapenzi
na mwanaume. Hii, kama si haitashughulikiwa, wakati mwingine
husababisha utasa.
Au mwanamke mjamzito anajiona anajamiiana
na mtu. Hii, kama
haikushughulikiwa, inaweza kusababisha
kuharibika kwa mimba. ------------------------------
Page 17
17
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Kama Mkristo akikutana na hayo huu katika ndoto yake, hatakiwi kuweka kando
mambo haya kwa kupuuzia
bali akitoka kwenye ndoto tu inampasa
ajichunguze mwenyewe na atubu dhambi
yeyote ile inayojulikana na
kufunga pepo wote na kumsihi Mungu arejeshe kila kitu alichokutana nacho
ndotoni. Hii ni muhimu sana. Mtu
ni lazima pia kutafuta msaada na ushauri kwa
mkristo aliyejazwa na Roho
Mtakatifu, wakongwe katika imani.
Shetani na mkakati wa kuvuna roho Yesu Kristo alipokuwa akiondoka duniani,
aliwapa wanafunzi wake amri:
"Akawaambia enendeni ulimwenguni
kote mkafanye wanafunzi kwa kila taifa"
Wakati Wakristo bado wanasubiri
mazingira mazuri na wakati mzuri kwa ajili ya kutii amri hii, Tofauti ni kwamba,
*mawakala wa shetani wako
na bidii kubwa zaidi katika kuvuna*
roho za Wakristo !
Moja ya maeneo ya shetani katika kuvuna
roho ni shule za sekondari, hasa za wasichana. Baadhi ya wasichana
wetu wanatumwa katika shule kama
wanafunzi. Tunawapa kila chupi ya kisasa
na nzuri na zenye gharama kubwa.
Hii ndio kipaumbele cha kwanza, kwa sababu
katika hosteli za wasichana wao hupendelea kutumia chupi tu .
Mawakala wetu kamwe hawakosi kitu
chochote, vipodozi, nguo , chupi ,
vitabu, fedha na mahitaji. Sabuni
maalumu za kuoga atapewa ili kutoa kwa
mwanafunzi yeyote ambaye atahitaji sabuni kutoka kwake. Msichana
anayetaka kuwa kama yeye atavutiwa na
kufanya urafiki nae. Hatua kwa hatua
wakala wetu atatutambulisha
kwake. Nasi tutamtembelea kimwili na kuanza
kumpa zawadi na kumtimizia mahitaji yake. Kwa hili, atajiunga
nasi kwa hiari . Yeye naye atawavuta wengine
na itaendelea hivyo. Hii
inachukuliwa kama mkakati wenye
dhamira ya kufanikiwa.
Jambo moja la kuzingatia: shetani hamlazimishi mtu yeyote. Anachokifanya ni
kuwavutia watu na kuwafanya
waje kwake kwa hiari. Ndiyo maana Biblia
inasema: "mpingeni shetani naye
atawakimbia" (James 4:7). Eneo
jingine la kuvuna roho la shetani ni kutoa lifti. Tunawapeleka wasichana
wetu kusimama barabarani, na kwa
kawaida huwa ni warembo sana na wamevaa
mavazi ya kuvutia. Unaweza pia
kuwapata kwenye hoteli na kupitia
maeneo haya tunawapata wanaume na wanawake. *Watu wengi tunaowaona
wanatangazwa katika magazeti*
*kama wamepotea, ni baada ya kutoa lifti kwa
wasichana, wasiowajua.*
Unapaswa kuwa makini ni nani ambaye
unampa lifti. ------------------------------
Page 18
18
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura 5: Nilipokutana na Yesu Katika mwezi Februari 1985, tulikuwa na
mkutano wetu wa kawaida katika
bahari, baada ya hapo niliamua
kusafiri kwenda Port Harcourt katika jimbo la
Rivers, kutembelea mke wa
marehemu mjomba wangu. Nilikutana na mtu mmoja aitwaye Anthony. Yeye ana
karakana pale kwenye makutano ya
Nwaja, sambamba na barabara ya
Trans-Amadi, Port Harcourt, Rivers State.
Alimtuma mtu huyu kwa ajili yangu
na kwa sababu katika jamii yetu tuna sheria kwamba hatupaswi kukataa muito,
niliamua kujibu muito wake.
Nilikwenda kwake mchana siku ya
Alhamisi ya wiki hiyo. Alianza kwa kusema
Mungu amempa ujumbe kwa ajili
yangu. Akatoa Biblia yake na kuanza kuhubiri. Kulikuwa na Wakristo
wengine watatu wameketi (mwanaume na
wanawake wawili). Aliendelea
na mahubiri yake kwa muda mrefu na sikuwa
na uhakika kama nilisikia yote
aliyosema. Alinisihi nipige magoti kwa ajili ya maombi. Nilimtii na taratibu nikapiga
magoti.
*Mara ghafla akaanza maombi yake.
Naliangushwa chini na roho wa Mungu na
nikaanguka*
nikajinyoosha. Nilijitahidi kuinuka na nikasimama kama chuma.
Nikavunjavunja viti vya chuma ndani ya
karakana. Niliangalia nje na kuona
wanachama watatu wa jamii yetu ya siri,
mwanaume na wasichana wawili.
*Walikuja katika umbo la binadamu na kusogea mpaka mlangoni lakini kwa
sababu ya nguvu ya Mungu*
hawakuweza kuingia.
Nina hakika kengele ndani ya bahari
iliwataarifu shida ilipokuwa na kwa TV
walijua wapi ambapo tatizo lilikuwa na walituma waokoaji wasio na nguvu. Hii
mara zote hufanyika wakati
mwanachama yeyote ameingia katika
matatizo. Wakati wale wakristo wawili
wakinivuta chini kwenye magoti yangu,
wasichana wawili waliendelea kuomba na kufunga mapepo, lakini hawakuwa
wanalenga hasa nini wanachofunga.
Wakaniuliza kama
ninamuamini Yesu Kristo, sikusema chochote.
Wakaniuliza niite jina la Yesu,
nami nilikataa. Wakaniuliza jina langu niliwaambia. Wakajitahidi kwa masaa na
wakaniachia niende. Hakuna
roho iliyoondolewa ndani mwangu,
hivyo nilitoka hivyohivyo sawa na nilivyoingia.
Maatukio ya Kanisani
Siku iliyofuata ilikuwa ni Ijumaa, nilialikwa na Anthony huyo huyo
kuhudhuria usiku wa mkesha wao katika
kanisa la Assemblies of God, Silver Valley,
Port Harcourt. Nilikubali
mwaliko huu kwa sababu kuhudhuria ibada
ya makanisa na kusababisha usingizi na machafuko ilikuwa ni sehemu ya kazi
yetu. Ibada ilianza na pambio.
Tuliimba mpaka mmoja wa wajumbe
wenzangu akaanzisha kiitikio maarufu cha
bendi moja ya kikristo,
kinachozomea uwezo na mamlaka ya nguvu zingine isipokuwa nguvu za Yesu.
Kisha nikaanza kucheka. Nilicheka kwa
sababu katika roho niliwaona maisha
yao karibu robo tatu ya watu
waliokuwa wanaimba kiitikio kile walikuwa
wanaishi katika dhambi. Nilijua kuwa kwa sababu ya dhambi
*katika maisha yao, ni wazi kuwa
wangeharibiwa vibaya na nguvu hizi. Ni
muhimu kwa wakristo kutii neno*
*la Mungu na si kuruhusu dhambi kubaki katika
maisha yao. *Katika ibada hiyo tulikuwa wanne kutoka
baharini na tulikuwa tukiimba na kupiga makofi
pamoja nao. Tena nataka
kusisitiza hapa kwamba wakati ibada
inaanza, waumini ni vyema na wanashauriwa
kwanza kukiri dhambi zao na kutubu, kisha kwenda katika kipindi
cha sifa halisi kwa Mungu. Hii itafanya wakala
wa Shetani awe na wasiwasi
sana na ataondoka ili kuyaokoa
maisha yake.
Katika ibada hii tulikuwa tunaujasiri sana hata tukaingia katika utendaji.
Wengi walianza kulala, pambio zilikuwa
zikiimbwa kwa udhaifu na mambo yakaenda
zig-zag. Ndugu Anthony alikuwa
tayari amewaambia kuhusu mimi
kwa hiyo saa 02:00 waliniita nitoke mbele na waanze kuniombea. Mara
nilipotoka mbele walianza kuita damu ya
Yesu. Nikawasimamisha na kusema: "Si
kuomba kwa damu ya Yesu ndio ufumbuzi.
Mimi ni mwanachama
mkubwa sana katika jamii za watu wa chini ya bahari. Kama mnakubali kwamba
mnaweza kunikomboa, basi
nipige magoti. "Maneno haya niliyasema
sikuwa nimeyapanga. *Damu ya Yesu
inaogopesha mapepo na *
------------------------------ Page 19
19
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
*kumlinda muamini, lakini haifungi mapepo.
Kufunga mapepo na kuyatoa inafanyika tu pale Mkristo*
anapotumia mamlaka yake na kutoa amri.
Walikubaliana na mimi nikapiga magoti. Katika
hatua hiyo dada mmoja
aliiongozwa na Roho wa Mungu na
kuongea kwa sauti akasema: "Kama hauko vizuri, usijaribu kusogea karibu!"
Nina uhakika wengi hawakuwa
wameelewa nini maana yake. *Ni hatari kwa
Mkristo anayeishi katika dhambi
kutoa pepo. *Wengi waliondoka
na wachache wakatoka kuja kuomba kwa ajili yangu. Walipoanza kusema "Katika
jina la Yesu," Nikasikia
(mpasuko mkubwa) big bang kubwa ndani
yangu na nikaanguka juu ya sakafu.
Mara pepo wanaokuruka ndani
yangu wakanza kufanya kazi. Nikaanza kukimbia kwa kifua changu. Mtu yeyote
mwenye hili pepo la kuruka ni
muovu na hatari sana. Ndugu/Waamini
hawakuona nini kinatokea kiroho.
Nilikuwa nakimbia mbio kwa sababu
ya nguvu kubwa iliyokuwepo katika chumba. Nguvu mbili za upinzani zikaanza kufanya kazi
pia na anga likabadilika.
Ghafla nikasimama na nikawa na vurugu
sana nk. Pepo, likatoka ndani yangu na
kumkamata mvulana aliyekuwa kati yao
na likaanza kupambana nao, likijaribu kuniokoa mimi. Ndugu hawakupoteza
muda nae badala yake
wakamkamata yeye pamoja na wengine
waliokuwa wanaogopa na kumfungia katika
vestry ya kanisa. Hii iliendelea
mpaka 7:00 Nilikuwa nimechoka sana kimwili na nikawa nimetulia, hivyo ndugu
wakakusanyika karibu yangu
tena na kuanza kuniambia: Wataje
ni akina nani hao nk Nilikaa kimya tu. Baada ya
kusubiri kwa muda mrefu na
kuona sikuwa nimesema kitu, walidanganyika na kuamini kwamba nilikuwa
nimekombolewa. Wakaomba na
tukatawanyika. Nilikuwa kimwili
dhaifu kiasi kwamba ilikuwa ni vigumu
kutembea kwenda hata nje ya kanisa.
Lakini kitu fulani kilitokea, mara baada ya kwenda nje ya kanisa na kuvuka
barabara, nikawa na nguvu nyingi za
kimwili. Labda inawezekana baadhi ya mapepo
yaliyotoka yakarudi tena ndani
yangu. Nilikasirika sana na
kuamua kulipiza kisasi juu ya kanisa. "Hawa watu wamenidhalilisha"
Nikajisemea mwenyewe, na kwa jinsi
walivyonifanyia nitarejea Lagos na kupata
nguvu zaidi pamoja na wengine
waovu kama mimi, na kisha narudi
Port Harcourt kulipiza kisasi kwa kanisa zima la Assembly of God, Silver
Valley.
Safari yangu ya Lagos
Nilipofika kwenye nyumba ya mke wa mjomba
wangu, Niliwaambia nitaondoka
kurudi Lagos mara moja. Nilikataa wasinisihi kubaki na nikachukua teksi
mpaka kituo cha magari cha
Mile 3. Ambapo nilichukua teksi
ya kwenda Onitsha. Nia yangu ilikuwa
kusimama Onitsha, kumuona rafiki na
kisha kuendelea mpaka Lagos. Pale Mile 3 tukaondoka na tulipokuwa tumefika njia
panda ya kwenda Omagwe,
katika makutano ya uwanja wa ndege
wa Kimataifa, nikasikia sauti ikiniita kwa jina
langu la asili "NKEM."
Nikageuka nyuma kuona kama kuna sura yeyote ninayoijua kwenye teksi, lakini
hakukuwa na mmojawapo anayenijua.
Huyu anaweza kuwa nani? Ni
marehemu mama yangu tu ndiyo alikuwa
akiniita kwa jina hilo, wengine wote
pamoja na ulimwengu wa kipepo walinijua mimi kama Emmanuel.
Nilipokuwa bado nashangaa, sauti ikasikika
tena : *" NKEM , unakwenda
kunisaliti kwa mara nyingine tena *
*?" *Sikuweza kuitambua sauti lakini sauti
iliendelea kuniuliza : " Je, unakwenda kunisaliti kwa mara nyingine
tena" Ghafla nikawa na homa kali. Joto
lililotoka mwilini mwangu lilikuwa
liko juu mno kiasi kwamba abiria
wengine walilisikia. Mmoja wao akaniuliza:
"Mheshimiwa, ulikuwa vizuri kabla ya kusafiri?"Niliwaambia
nilikuwa vizuri na sikuwa naumwa hata na
kichwa kabla ya kuondoka Port
Harcourt.
Tulipofika Umuakpa Owerri, nilianguka ndani
ya teksi. Kilichofuata ni kwamba watu wawili, warefu na
wakubwa, walikuja kunichukua mmoja upande
wa kushoto na mwingine upande wa
kuume, na hawakuzungumza
neno lolote kwangu. Waliniongoza kwenye
barabara mbaya sana yenye chupa na vipande vya
chuma vilivyokuwa
vinanikatakata nikaanza kulia, lakini hawa watu
hawakusema neno lolote.
Tuliendelea mbele na kufika kwenye
barabara ya kasi. Ilikuwa hapa mmoja
akaniambia *"Wewe unatafutwa sana"*na tukaendelea. Tuliendelea mpaka kwenye jengo kubwa na refu lililofanana na jengo
la mikutano. Tulipokanyaga
ndani ya sakafuni tu sauti kutoka
ndani ikasema: "*Muingizeni ndani"
*Waliniingiza ndani kisha wakatoweka, na
kuniacha peke yangu. Nilichokiona ndani ya ukumbi huu ni vigumu
kueleza, lakini nitajaribu
kuelezea kadiri nitakavyoweza. Ukumbi
ulipambwa vizuri sana na ulikuwa mkubwa
sana na mrefu kiasi kwamba ilikuwa
ni vigumu kuona mwisho wake. Nilitembea mpaka katikati na ndipo niliweza wa
kuona mwisho wake. Mwishoni
kulikuwa na madhabahu. Kisha
nikaona kiti cha enzi na na aliyekuwa ameketi
juu ni mwanaume mzuri sana
mwenye nguo inayong`aa kama jua. Akasema: *"Njoo!" *Lakini kwa sababu ya
mwangaza wake sikuweza kwenda. Kila
nilipojaribu kunyanyua mguu
wangu nilianguka.
Nilisimama, nikajaribu tena na nikaanguka.
Ghafla mtu huyo akatoka kwenye kiti cha enzi alipokuwa
amekaa,akahamia kwa juu kidogo nilipokuwa
nimesimama. Kisha mikono miwili
ikatoka nje ya mtu huyo,
ikanishika kichwa changu na kunitikisa na mwili
wangu wa kibinadamu ukajivua kama unavua nguo.. Na yule
mimi mwenyewe sasa akasimama. Mikono
akaikunja kama mtu anaye kunja nguo na
akaitupa kwenye kona. Mtu
yule akarudi tena kwenye kiti chake cha enzi
na akakaa na kusema tena: " Njoo! "
Kutakaswa Kiroho

Nikatembea mpaka pale naye akasogea
kutoka katika kiti cha enzi, akanyofoa
miguu yangu mmoja baada ya
mwingine na akamwaga kile kilichokuwa ndani yake, na akaiweka tena vizuri.
akafanya hivyo pia kwenye
mikono na akaiweka tena, Yaani ni hivi
sehemu zote ambazo Malkia wa Pwani
aliweka nguvu zake humo.
Nikatafakari sana kwenye fikra zangu, huyu atakuwa nani na amejuaje kuwa
maeneo haya ndiyo yalikuwa
yametunza nguvu zangu. Baada ya haya
alirudi tena kwenye kiti chake na
akaniambia niende. Nilipoanza tu
kutembea, vitu fulani vikaanza kuanguka kutoka kwenye mwili wangu , magamba
yakaanguka kutoka katika
macho yangu, nk, lakini kabla sijafikia
madhabahu tayari vikaacha.
Aliniuliza. " UNAKWENDA WAPI ?"
Nikajibu, nikasema, "Ninaenda Onitsha kumuona rafiki."Akasema: *"Ndiyo,
lakini mimi nitakuonyesha nini*
ulichopanga kwenye akili yako. " Hadi wakati
huu sikujua alikuwa ni nani,
lakini jambo moja nililokuwa na
uhakika nalo ni kwamba alikuwa mwenye nguvu zaidi kuliko nguvu zote
nilizowahi kukutana nazo. Alisema kwa
ishara na mtu ambaye aliamriwa kunionyesha
mimi nini nilichokuwa
nimedhamiria moyoni kukifanya. Mtu huyu
alinipeleka kwenye chumba na akufungua kitu kama ubao. Kwa kweli, kama
kulikuwa na njia ya kutoroka
ningeweza kutoroka, kwani mbele yangu
yaliandikwa yote niliyopanga kufanya
dhidi ya Wakristo na mpango
wangu dhidi ya kania la Assemblies of God, Silver Valley. Mtu huyu
akanileta tena madhabahuni na akaniacha.
Akatoka katika kiti cha enzi na akanishika kwa
mikono yake na akasema kuwa
anakwenda kunionyesha mimi
mambo fulani. Tulipokuwa njiani Akasema: *"Mimi sitaki wewe upotee lakini
nikuokoe na hii ni nafasi yako *
*ya mwisho. Kama hautatubu na kuja
kunitumikia, utakufa. *Nitakuonyesha
makazi ya waliookolewa na
waasi." Alivyosema hivyo, nikajua alikuwa ni Yesu Kristo.
Ufunuo wa Kimbingu

Tukaingia katika chumba fulani na akafungua
kitu kama pazia. Niliona dunia
nzima, watu na shughuli zote za
kinachoendelea. Nikaona Wakristo na wasio wakristo wote wanafanya jambo
moja au jingine. Tulikwenda
kwenye chumba cha pili . Akafungua pazia
tena na nilichokiona ilikuwa ni
kitu mbaya kuonekana. Watu
wamefungwa minyororo ! Aliwaita watu hawa " *wanafiki. *"Watu hawa
walionekana ni watu wenye huzuni
kubwa, Akasema: ". *Watabakia hivi mpaka
siku ya hukumu "*
Tulienda katika chumba cha tatu. Akafungua
pazia na nikaona watu wengi wanafuraha na wakiwa wamevaa
mavazi meupe. Wakati huu nikamuuliza : " Ni
kina nani hao " Akasema: *"Hawa
ni wale waliokombolewa *
*wanasubiri ujira wao. " *Tulikwenda katika
chumba cha nne na nilichokiona kilikuwa cha kutisha mno.
------------------------------
Page 21
21
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu* Ndugu msomaji, ni vigumu kuelezea.
Ilionekana kana kwamba mji mzima unawaka
katika moto. Kuzimu ni halisi
na niyakutisha. Kama ulikuwa umefanywa
kuamini kwamba Mbinguni na Kuzimu ni
hapa duniani na kwamba hakuna maisha mengine mara baada ya kifo
bali ni kuoza na kupotea kabisa,
ni bora ukashauriwa vizuri hapa na
sasa kwamba kuzimu halisi ni halisi na kuna ni
kweli mbingu ipo!
Usistaajabu Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani Aliwaonya watu kuhusu kuzimu.
Nasema tena , kuzimu ni halisi.
Niliiona na ni mahali pa kutisha.
Nikamwuliza : " Ni nini ?" Jibu lake lilikuwa :
*"Hii imetayarishwa kwa
ajili ya shetani na malaika wake na* *kwa walioasi" *Akataja kwa majina yao kama
ilivyoandikwa katika Ufunuo
21:8: "Bali waoga na wasioamini na
haramu, na wauaji, na wazinzi na wachawi,
waabudu sanamu na waongo wote,
sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti ambayo ni mauti ya pili
" .
Tulipoenda katika chumba tano na Alipofungua
pazia, nilichoona kinaweza tu
kuelezewa kama UTUKUFU.
Ilikuwa ni kama tunangalia kutokea kwa juu. Niliona mji mpya. Mji ulikuwa
ni mkubwa na mzuri! Mitaa ni ya
dhahabu. Majengo hayawezi kulinganishwa na
kitu chochote katika dunia hii.
Alisema: " hili ni tumaini la watu
*wa Mungu. *Je, utakuwepo mahali pale "Haraka nikajibu" Ndiyo " Baada ya
hayo tulirudi katika kiti cha enzi na
Akasema: "!*Nenda kashuhudie nini
nilichokufanyia "*
Tena, alinichukua mpaka katika chumba
kingine na alipofungua pazia nikaona mambo yote ambayo nilikuwa
naenda kukutana nayo kwenye safari yangu
ya kwenda Onitsha na Lagos na
jinsi gani hatimaye atanikomboa.
Baada ya hayo Akaniambia : *"Usiogope,
nenda, nami nitakuwa pamoja nawe." *Aliniongoza,
nje ya ukumbi
na akatoweka kabisa, na mara nikaamka
kwenye kitanda katika nyumba ya
mwanaume mwingine. Nikapiga
kelele, mtu na mke wake wakakimbia kutoka katika chumba chao. Wakachungulia
na kisha wakaingia "Kwa nini
niko hapa? " Niliuliza. Mwanaume yule ndio
alielezea jinsi nilivyoanguka
katika teksi na jinsi walivyonipeleka
kwenye kanisa la Katoliki pale Owerri. Jinsi walivyomleta Daktari, ambaye
alikuja na baada ya kunichunguza
afya yangu alisema mapigo yangu yalikuwa ya
kawaida na kwamba wanapaswa
kusubiri na kuona nini
kitatokea. Daktari akawapa uhakika kwamba nitapata nguvu tena. Ndipo
alinichukua kwenye gari lake mpaka
nyumbani kwake na alikuwa akisubiri. Pia alikiri
kwamba hakujua kwa nini
alimuamini Daktari na kwa nini
alichukua jukumu la kunichukua mpaka nyumbani kwake.
Waliniuliza jina langu na anwani ambayo
niliwapa na baada ya hapo niliamua
kukaa kimya na sikuwaambia
uzoefu wangu huo. Nilikaaa kwa utulivu na
familia hii yenye wema kwa siku mbili na kisha mtu huyu na mkewe
walinipeleka mpaka kituo cha magari cha
Owerri, ambapo nilichukua teksi na
kwenda Onitsha. Yote yale Bwana
alinionyesha kuhusu safari yangu yalitokea
moja baada ya jingine. Nilichukua teksi nyingine ya kwenda Lagos.
Jambo la kwanza asubuhi iliyofuata. Nilitii na
kuondoka Lagos kuelekea Port
Harcourt. Huwa najiuliza mara
nyingi, kwa nini Bwana aliamua kuniokoa mtu
kama mimi. Mtu muovu na muharibifu, wakala wa Shetani !
Nilipata jibu katika maneno haya matatu:
Mungu ni upendo. Hakika, Mungu
ni Upendo! (1 Yohana 4:8 , 4:16)
------------------------------
Page 22 22
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura6: Vishawishi na Ushindi
*« Kondoo wangu huisikia sauti yangu; mimi
nawajua, nao hunifuata. Mimi nawapa uzima wa milele; nao*
*hawatapotea milele, wala hakuna mtu
atakayeweza kuwatoa mkononi mwangu.»
Yohana10: 27-28*
Baada ya kubadilika na kwenda kwa Kristo,
jambo la kwanza lililotokea ni kwamba zawadi zote kutoka baharini,
darubini, TV, mashati, picha nilizopiga nikiwa
ndani ya maabara za baharini
na picha ya Malkia wa Pwani ambazo
zilionekana katika gorofa yangu zilitoweka.
Niliporudi Port Harcourt, nilikuwa na hamu ya kushuhudia kile Bwana
alichonifanyia kwa ajili yangu lakini
sikuruhusiwa ndani ya kanisa . Mke wa
marehemu mjomba wangu, ambaye pia ni
Mkristo, alinichukua mpaka
kwa mchungaji mmoja, lakini swali alilouliza lilikuwa ni: "Je,ameleta
karatasi?" Ilikuwa ni baadaye sana
nilielewa kwamba karatasi ilikuwa ni 'barua ya
uanachama. Barua ya
uanachama inahusika vipi na ushuhuda
wangu wa nguvu ya Kristo na kile amefanya kwa ajili yangu- Mungu,
amenikomboa kutoka katika nguvu za giza
na kuniingiza katika ufalme wa Mwana wake
mpendwa, ambaye nimepata ukombozi
kupitia damu yake, yaani,
na hata msamaha wa dhambi zangu ? Nilihuzunika, baada ya kujua kwamba Shetani
haruhusu waumini wachanga
kwenda na kushuhudia, hasa wale
ambao hapo awali walikuwa washiriki wakubwa
katika shughuli zake , na
anafanya kila kitu kuzuia shuhuda hizo. Tena nikakumbuka, ni dhahiri Bwana aliniagiza
"*kwenda na kushuhudia kile
amenifanyia *" na hapa nilikutana
na kipingamizi. Labda ilikuwa bado si wakati
wake. Hivyo niliamua kuachana
na kutoa ushuhuda wangu kwa mtu yeyote. Nilisafiri na wafanyabiashara
watatu kutoka Aba kwenda Togo kwa
safari ya kibiashara. Pale
nilinunua bidhaa yenye thamani ya N160,000
(Mia moja na sitini elfu za
Naira). Kati ya pesa hizi pesa yangu binafsi ilikuwa ni shs N70,000 na nyingine yote
iliyobakia N90 ,000
nilikopa kwa wafanyabiashara wa Aba.
Miongoni mwa mambo niliyonunua ilikuwa ni
furushi la kamba, madawa
mbalimbali ( hasa antibiotics ) , sindano, vipimajoto, nk
Nilipofika mpakani mwa Nigeria, Tulishikiliwa
kwa ajili ya ushuru wa
Forodha na baadaye tulitakiwa kutoa
rushwa. Tulikataa na bidhaa zilikamatwa ikiwa
ni pamoja na zile za wenzangu. Miezi michache baadaye, Ile
mizigo ya wenzangu ilitolewa, ila yangu
haikuruhusiwa. nilirudi baadaye na
nikaambiwa kulipa N40,000, lakini
nilipoangalia mali yangu ile niligundua kwamba
bidhaa zote muhimu, kama furushi la kamba, sindano, madawa,
nk, tayari vilikuwa vimeibiwa. Nilitathmini bidhaa
iliyobaki na nikajua
kwamba kulipa N40,000 kwa ushuru
itakuwa tu ni kuongeza hasara, hivyo niliamua
kuachilia bidhaa iliyobaki. Wafanyabiashara ambao niliwakopa fedha
walianza kunifukuzia. Baadhi
waliwaita polisi, wengine walichukua
sheria mkononi mwao na wakapanga
kunifanyia kitu kwa maisha yangu.
Suluhisho pekee lilikuwa ni kufunga akaunti yangu Bank na kutumia fedha zote
nilizokuwa nazo kulipa madeni
yote. Kwa neema ya Mungu, nililipa
yote isipokuwa N1,000 ambayo ilikuwa ni kwa
ajili ya mwenye nyumba wangu
Lagos. Nilikuwa mufilisi kabisa na nilikopa hata 20k kwa ajili ya nauli ya teksi.
Nilikwenda kwa wakristo wachache niliowajua,
ili kutafuta msaada wa
kuniwezesha kuanza upya. Hakuna
aliyesema ndiyo au hapana, badala yake
walinisihi niende siku inayofuata kila mara nikachoka kwa habari ya
kutafuta msaada. Sikujua neno la Mungu
pamoja na kuchanganyikiwa katika
moyo wangu nilisoma Biblia bila
kuelewa. Wakati bado natafakari nini cha
kufanya, nilipokea simu ya haraka kutoka kijijini mwangu. Nilikimbia
nyumbani na kukuta kwamba jengo dogo
nililokuwa nimeanza kujenga lilikuwa
limevunjwa na mjomba wangu
ambaye pia alikuwa ametishia kuniua. Asili
yangu ya kale ndani yangu ilishtuliwa. Nikakumbuka wakati nikiwa
na jamii ile ya baharini (secret society), jinsi
alivyokuwa akiniogopa na
alikuja kwa magoti mbele yangu. Lakini
sasa alijua nimebadilika (jinsi alivyojua sikujua
kwani sikuwa nimesafiri kwenda nyumbani tangu nilipobadilika)
------------------------------
Page 23
23
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu* na sasa alinitishia. Nilimuita Bwana na
nikasema: "Basi, wewe umeniokoa
mimi na kuniacha nimevurugika na
kuruhusu adui zangu kufurahia juu yangu! "
Nililia kwa sauti nikadhamiria
kurudi kwenye ile jamii ya kichawi. Angalau wanaweza kuniokoa kutoka katika
kuchanganyikiwa kote huku na pia
watafundisha mjomba wangu
somo ambalo hatasahau maisha yake yote.
Ingawa nilifanya uamuzi huu,
nilikuwa na hofu mbili ndani yangu 1. Wakati nilipokuwa nabadilika, Bwana
aliniweka wazi akaniambia: " *Hii ni
nafasi yako ya *
*mwisho. *" Ukirejea tena kwenye jamii ile ina
maana ni kifo, sio tu kifo
cha kimwili lakini pia cha kiroho.
2. Kama nikibakia katika Bwana, mjomba
wangu alikuwa anatishia kuniua.
Nilichanganyikiwa na nilihitaji msaada. Nilikuwa
mjinga wa neno la Mungu na
kamwe sikujua kile ambacho Neno linasema kwa habari ya hayo juu. Ndugu
msomaji , utagundua hapa kwamba
nilikuwa na mchanganyo
huu wote kwa sababu ya ukosefu wa
mfuatiliaji nikiwa bado mchanga.
Kuwafuatilia waongofu wachanga ni muhimu sana na Wakristo wanapaswa
kuchukulia hili kwa umakini. Kama unajua
huwezi kufuatilia muumini
mchanga, tafadhali usiende kushuhudia. Yesu
Kristo alisisitiza hili mara
tatu Alipomuuliza Peter: " Simoni, mwana wa Yona, wanipenda mimi zaidi kuliko
hawa? ... Lisha kondoo wangu.
"Wengi wa waongofu wapya
wanarudi nyuma kwa sababu ya kukosa
ufuatiliaji mzuri. Kama unampenda Yesu,
jali kondoo wake! Vita na shetani
Katika kipindi hiki mawakala wa Malkia wa
Pwani walianza kunitafuta sana.
Niliteseka sana katika mikono yao.
Nilikuwa na ndoto mbaya. 1 Mei 1985, mwezi
mmoja baada ya kuokoka saa 02:00 usiku, wengine katika nyumba
walikuwa wamelala. Niliamshwa na mawakala
hawa. Wakaniamuru kutoka nje ya
nyumba. Nilitii, nikatoka nje
na walinifuata nyuma. Ilikuwa kama yote
yanayotokea ni ndoto, lakini hii ilikuwa katika uhalisia. Tulitembea
mpaka juu ya ardhi ya maziko kanisa la
Mtakatifu Paulo Anglican , off Aba
Road, Port Harcourt.
Tulipofika pale walisema: "Ni lazima urudi.
Kama ukikataa tutakuua au kukufanya fukara. "Baada ya maelekezo
haya waliondoka. Nikapata ufahamu wangu na
kujishangaa nimefika vipi pale
makaburini. Nikarudi kitandani na
kulala. Waliamua kuwa wananishambulia
mchana. Mara kwa mara, wakati natembea kandokando ya barabara
walijaribu kupambana na mimi. Wengine karibu
yangu waliniona napambana na
hewa au kuniona nakimbia kama
mtu anayefukuzwa.
Mimi peke yangu ndiye niliewaona. Basi, walifanya hivyo kwa mara nne na
wakaacha. Kisha kiongozi wao ,
Malkia wa Pwani, achukua jukumu. Siku ya
kwanza alikuja katika gari ambalo
aliliegesha kando ya nyumba yetu.
Alikuwa amevaa vizuri na kama kawaida yeye ni mzuri sana. Watu
walionizunguka walimchukulia kuwa ni
mpenzi wangu. Mara akaingia ndani nilijua
alikuwa ni nani. Alikuja saa
12.00 mchana wakati eneo lote lilikuwa
busy kidogo. Akakaa chini na miongoni mwa mambo mengine aliyoyasema ni:"
Unaweza kwenda kanisani
kwako, amini chochote unachotaka kuamini,
lakini kama tu hautanitangaza,
nami nitakupa chochote kile katika
maisha haya " Sikuwa nimejua maandiko hivyo nilimsikiliza na kumuangalia
anatembea tembea pale. Aliomba
na alijaribu kunishawishi nirudi kwake.
Sikusema ndiyo au hapana kwake.
Alisimama, akaenda ndani ya gari
yake na akaondoka. Kama mara mbili hivi mke wa mjomba wangu
alimkaribisha nyumbani kwake bila
kujua alikuwa ni nani nami
kamwe sikuwahi kumwambia mke wa mjomba
wangu alikuwa ni nani. Ziara yake ya
mwisho alibadili namna yake ya kunisihi. Wakati huu alinipa onyo kali
akisema kwamba amejaribu
sana kunibembeleza nirudi kwake na
kwamba nimekuwa mkaidi sana, na kwamba
hii ilikuwa ni ziara yake ya mwisho.
Kama bado nakataa kurudi, atakuja mwezi Agosti ama kuniua , au
kunilemaza au kunifanya maskini. Kisha
akaondoka.
Nilikuwa na hofu, hivyo siku moja nilikwenda
kanisani na kumuita ndugu
mpendwa. Nilimwambia matatizo yangu na mtazamo wangu juu ya baadhi ya
washirika wa kanisa , nk Huyu ndugu
alinipa anuani ya ofisi ya umoja
------------------------------
Page 24
24 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
wa maandiko (Scripture Unions ) na
akaniambia: " Pale watanipatia msaada"
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya
mwisho kumuona huyu " ndugu." Sijawahi kumuona popote Port Harcourt mpaka
leo. Nilichukua anwani na siku
iliyofuata, nilichukua teksi mpaka No 108
Bonny Street, ambapo zilikuwa
ofisi hizo ni na kukutana na mchapaji
ambaye alinipa robo ya mpangilio wa shughuli za Umoja wa Maandiko (SU)
Kundi la Rumuomasi Pilgrims,
wakiwa ndio karibu na mimi. Akasema: " Njoo
siku ya Jumapili! " Nilikuwa
pale katika Fellowship Centre -
Shule ya St Michael's State , Rumuomasi - saa 8:00 mchana, bila kujua
kwamba ibada inaanza saa 9:00 mchana,
lakini nilikutana na kikundi cha maombi, hivyo
nikajiunga nao .
Baada ya ibada siku hiyo nilijua kwamba
mahali pale palikuwa sahihi kwangu.Mungu akanipa msichana ambaye
alikuwa kama mama kwangu, yeye alijitoa
kikamilifu katika kunielezea Neno
la Mungu na kunishauri pia. Ndugu
wakaonyesha utayari na kunijali. Niliona
Upendo wa kweli. Roho Mtakatifu alianza kunipa ufahamu wa Neno la
Mungu na imani yangu ilikua. Lakini Malkia wa
Pwani hakujionyesha kwa
sababu aliwekwa wazi. Zaburi 91,
Ulinzi wa Mungu, ulitimia katika maisha yangu.
Isaya 54:17: "*Silaha yoyote itakayofanywa juu yako *
*haitafanikiwa, na ulimi wowote utakaoinuka
juu yako katika hukumu wewe
utauhukumu. Hilo ndilo fungu la urithi *
*la watumishi wa Yehova, na uadilifu wao ni
kutoka kwangu," asema Yehova.. *"Hii pia ilitimia.
Septemba 1985, Nilipokea ujumbe kuwa jina
langu limeonekana kama msambazaji
wa Silver Brand Cement,
Lagos na kwamba nilitakiwa kufika ofisini
tarehe 27/9/85.Niliondoka Port Harcourt tarehe 26/9/85 na kufika
Lagos usiku. Asubuhi iliyofuata 27/9/85,
nilikwenda ofisini nikaambiwa na
Meneja Utumishi kuwa sehemu
yangu ilijazwa na mtu mwingine. Akanieleza
nifike siku iliyofuata tarehe 28/9/85 kumuona Mkurugenzi
Mtendaji. Nilipokuwa njiani kuelekea nyumbani
kwangu, nikipita njiani, mtu
akaja kutoka nyuma na kunikaba
na akajaribu kubana pumzi yangu na mdomo
wangu kwa pamoja. Nilijitahidi kuokoa maisha yangu, na ingawa
watu walikuwa wanapita, hakuna aliyekuja
kuniokoa, lakini Bwana aliingilia
kati. Wakati mimi bado najitahidi
kwa mikono nikasikia akilia kwa sauti na
kunisukuma mbali akisema : "Ni nani huyo aliyeko nyuma yako? "
Alirudia mara ya pili na kutoweka. Kutoka kwa
sauti nilijua alikuwa ni
mwanamke lakini kamwe sikumuona ni
nani. Nilichanganyikiwa na kupigwa na
bumbuwazi. Hapa tena mwenye nyumba wangu alikuwa na
hasira sana na akasema: " Kwa nini
umekimbia na fedha ya kodi
yangu?" Nilimsihi na nikajaribu kumuelezea
kwamba kwa sasa mimi si kazi na
nitamlipa fedha zake zote kwa haraka mara nipatapo fedha.
Kwa jinsi alivyoonyesha nilifikiri suala hili
limeisha. Siku iliyofuata
28/9/85, nilikwenda na kukutana na
Mkurugenzi mtendaji ambaye aliomba
msamaha kwa kumpa nafasi yangu mtu mwingine. Alipokuwa bado
anaongea kijana mmoja akaingia na kuniuliza:
" Je, wewe sie Emmanuel?
"Nikasema ndiyo ni mimi: "Ndiyo ,
mimi niko. " Akasema: "Ndiyo, hatimaye
tumekupata sasa! Je, umemaliza kukimbia? Tumetembelea mara kwa
mara Port Harcourt na kugundua kwamba
daima huwa unatembea na mama yako wa
kiroho. Amekuwa kikwazo
sana kwetu na sasa kwa sababu umekuja
Lagos tumekukamata! Hautarudi tena Port Harcourt. Mimi ndiye
nimechukua nafasi yako " Nikampa
changamoto na kumwambia : " Huwezi
kunifanya kitu chochote "
Mkurugenzi Mtendaji alishangazwa na kile
kilichotokea katika ofisi yake ! Nikaomba radhi mwenyewe na
nikarudi nyumbani.
Dakika chache baadaye nikasikia mlango
unabishwa na NINA akaingia.
Akaniuliza kama nilikuwa narejea Port
Harcourt. Nikajibu ndiyo. Aliniomba nirudi kwao akanieleza kuwa kazi
nilizokuwa nimefundishwa zilikuwa
hazipatikana mtu wa kuzirithi: KOTIPARI
( katika lugha ya Kiyoruba ).
Nilikuwa nimepatiwa mafunzo :
  • Kuwa juu ya mawakala wa nguvu za mapepo.
  • Kuwa juu ya " chumba cha bahari cha
maelekezo, " kufuatilia matukio
katika dunia, kutuma na kupokea
ishara, na kuhamasisha majeshi, nk
- Kuwa karibu na Malkia wa Pwani. Hii inahusisha si tu sherehe, sadaka ,
utekelezaji wa kazi maalum
------------------------------
Page 25
25
Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema aliojaliwa na Mungu
alizonituma, lakini pia mambo mengine
magumu kuelezea.
- Kwa msaada wa nguvu za giza , kuanzisha
jamii mpya za siri(jamii ya
kichawi) ambazo zitaonekana hazina madhara ili kuwavutia vijana na zaidi waendaji
tu wa kanisani .
Alisema, kama ataongozana naye, kilichokuwa
kinanisubiri ni mara mbili ya
baraka za kwanza. Alikiri kwamba
walihusika kwa mali yangu kukamatwa na kuibiwa, pia kwamba wao ndio
waliomchochea mjomba wangu
kuharibu jengo langu na kutishia maisha
yangu. Kwamba kama nikikataa
kumfuata, wangefanya zaidi na
kuhakikisha kwamba sitafanikiwa. Kwamba walikuwa wameamua kupambana mama
yangu wa kiroho: "Kama
tutampata yeye, tumekupata wewe" alisema.
Wakati huo, Nilianza kumhubiria.
akasimama na kusema:
"Wanakudanganya, " Akaondoka. Hii ilifanyika jioni ya tarehe 28/9/85 .
Mara dakika tano zikapita nikasikia mwingine
anabisha. Wakati huu walikuwa
watu wanne. Wakanionyesha
ishara nitoke nje na nikajiona mwenyewe
naanza kuwafuata. Tulitembea hadi katika nguzo 2 na mmoja wao
akaniuliza: "Je, unatujua sisi? " nikasema
hapana. Aliendelea kusema: "
Tumeajiriwa na mwenye nyumba wako
tukuue." Wakati anaendelea kuzungumza
mmoja wao akatoa bunduki na mmoja akatoa sime. Sikujua cha
kufanya, nilijua kuwa wataniua, lakini Mungu
katika Njia zake za ajabu
akafanya ishara ambayo ilinishangaza
mimi na wenyewe.
Mtu aliyekuwa na bunduki akanifyatulia risasi lakini hakukuwa na sauti. Mtu
mwenye kisu akakitumia nyuma ya
mgongo wangu lakini hakikuingia ila tu kililia
kama mtu anamchapa fimbo
mtu. Walikuwa na hofu kama mimi.
Roho wa Mungu alikuja juu yangu na nikaanza kuhubiri. Watatu wao
wakakimbia, lakini mtu wa nne akaanguka
na akaanza kulia na kuniomba nimuombee.
Sikuweza hata kujua nini cha kuomba
wakati huo lakini nilisema tu:
" Bwana, tafadhali msamehe, Msamehe bwana. Amina! " Aliyalitoa maisha yake
kwa Kristo, Nilimpeleka kwenye
kanisa la Pentekoste na alielezea kile
kilichotokea kwa Mchungaji.
Nilimkabidhi kwa Mchungaji na nikaondoka.
Nilipoingia tu ndani ya nyumba mwenye nyumba akaja anakimbia na akapiga
magoti akinisihi: " Tafadhali
nisamehe. Nilidhani uliamua kukimbia kwenda
Port Harcourt kwa sababu ya
fedha yangu (N1,000).
"Nilimsamehe na hatimaye tulikubaliana kwamba fedha ilipwe kwa awamu .
Usiku huo, mida ya saa 08:00 usiku Bwana
aliniamsha. Sikuweza kujua kwa
nini niliaamka nikaenda sebuleni na
nilichokiona ilikuwa ni kobe mkubwa
ananifuata. Mara nikakumbuka shule ya kujifunza Biblia tulipokuwa Port
Harcourt, juu ya nguvu katika neno. Ndipo
nikasema maneno haya: " Kobe ,
tangu nilipozaliwa , nyumba ya kobe
ni ama kichakani au baharini, lakini kwa kuja
ndani ya nyumba wakati madirisha na milango ni imefungwa
umefanya dhambi, na kwa sababu hii ni lazima
ufe. "Mara baada ya kusema
hivi akatoweka kabisa. Nilikwenda
chumbani na kulala. Mara ya pili tena, niliamka
na kusikia kelele sebuleni. Nilikwenda na tazama mbele yangu
ilikuwa ni kitu cha kutisha. Nikarudia maneno
yaleyale na mara baada ya
kusema: "Kwa kutenda dhambi hii
lazima kufa, " kikatoweka pia. *Wakati wa
safari hii ya Lagos niliona wema, ukuu wa Mungu na uaminifu*
wake.
Asubuhi iliyofuata tarehe 29/9/85, nilichukua
basi zuri sana mpaka Port
Harcourt. Nilipofika Ore ,basi likagonga
mti. Liliharibika kidogo lakini hakuna mtu aliyejeruhiwa. Dereva akalivuta
kwenye barabara na akaendelea
kuendesha, basi likaanza kuyumba kutoka
upande mmoja wa barabara hadi
mwingine. Nikakumbuka vitisho vya
NINA, hivyo nikasimama katika basi, na kuhubiri nilihitimisha kwa kusema :
"Ni kwa sababu yangu mimi haya
yanayotokea. Lakini tangu sasa , hakutakuwa
na ajali mpaka tufike Port
Harcourt, katika jina la Yesu ! "Na mimi
nikakaa. Kwa kweli, wakati nimeketi nilishangaa, kitu gani nimekisema. Na
hivyo ndivyo ilivyokuwa. Gari
lilitembea
vizuri
mpaka
Port Harcourt.
Hakukuwa
na
ajali
zaidi
au kuharibika.
Biblia inasema sawa kuwa*;"Mtu yeyote
akishambulia, haitakuwa kwa maagizo
yangu.Yeyote atakayekushambul*
*ia ataanguka kwa sababu yako."(Isaya 54:
15). *Wao ( Malkia wa Pwani na mawakala wake ) walijaribu, lakini
kwa sababu mkutano wao haukuwa katika
Bwana bali kinyume na mtoto wake
,wote wakajikwaa na kuanguka.
"Pindi adui atakapokuja kama mafuriko ya
mto, Roho wa Mungu atainua kiwango dhidi yake" (Isaya 59: 19).
Nampa Mungu utukufu wote kwa ajili ya
kujionyesha mwenye nguvu kwa niaba
yangu.
------------------------------
Page 26 26
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura7: Shughuli za mawakala wa shetani
« *Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu *
*wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya
katika ulimwengu wa roho. Kwa
sababu hiyo twaeni silaha zote za *
*Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya
uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.»*
Waefeso. 6: 11-12
Kitabu hiki hakitakuwa kamili kama mbinu
mbalimbali za uendeshaji wa
mamlaka hizi hazitawekwa wazi. Pia
ni muhimu kwamba aina mbalimbali ya namna na jinsi zinavyojitokeza ziwekwe
wazi.
Jambo moja li wazi nalo ni kwamba ni shetani
atakuchochea uamini kwamba
yeye ni hadithi tu za kufikirika au
mawazo ya uovu ambayo ni rahisi, au atakufanya uone zaidi sana kwa habari
ya nguvu zake na mamlaka ya
Mungu iwepo chini. Biblia inasema: " *Kwa
maana kushindana kwetu sisi si
juu ya damu na nyama; bali ni juu*
*ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo
wabaya katika ulimwengu wa roho.*
Biblia inasema kwamba silaha za Wakristo
dhidi ya shetani na mawakala wake
" si za mwili, bali zina uwezo
*katika Mungu hata kuangusha ngome, tukiangusha mawazo na kila kitu
kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya*
*Mungu , na tukiteka nyara kila fikira ipate
kumtii Kristo" *(*2 Wakorintho
10: 4-5). *Tena maandiko yanasema:
wazi *" Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa ili azivunje kazi za
Ibilisi" (1 Yohana 3: 8). *Yesu baada
ya kuzivua enzi na mamlaka, alifanya onyesho
la waziwazi, alishinda dhidi
yao .
*"Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa
chako," (Mithali 6:2)*.
Hivyo mtoto wa Mungu ni lazima kuwa makini
kukiri neno la Mungu, ambalo
Mungu ameahidi ataharakisha
kulifanya. Kuna ukiri mara tatu umesemwa katika neno la Mungu
1. Ungamo la Uongozi wa Kristo.
2. Ungamo la imani katika Neno, katika Kristo
na katika Mungu Baba.
3. Kukiri dhambi.
Tunaposikia neno "kukiri ," sisi kwa urahisi tunafikiria kwa habari ya
dhambi. Kamusi inafafanua kukiri ni :
1. Kuanzisha kile kitu tunaamini.
2. Kushuhudia kwa kitu ambacho tunakijua.
3. Kushuhudia ukweli ambao tumeridhia .
Kwa hiyo inapaswa kusikitikiwa kuwa tunapotumia neno kukiri (confession)
kwenye fikra zetu tunafikiria
dhambi. Mwandishi yuko hapa kukutia moyo
mtoto wa Mungu kuanza leo kukiri
kile Mungu amesema. hata
wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na
Kristo; yaani, tumeokolewa kwa
neema na akatufanya tukae katika mbingu
(juu sana zaidi ya enzi na mamlaka)
katika Yesu kristo. Kwa hiyo
Wakristo wanapaswa kutambua ambapo wamekaa. Wanapaswa kujua kwamba
wanatembea katika urefu huo, juu
ya Shetani na mawakala wake. Bwana Yesu
Kristo amewapa ninyi nguvu zote na
mamlaka ili kwa hizo tupate
kuwa washirika wa uzima na utauwa (2 Petro 1 : 3).
Mungu hakuwa na kusudi la kwamba
mazingira yawatawale watoto wake, badala
yake neno la Mungu katika
kinywa cha Mkristo ni lazima kidhibiti hali/
mazingira yake. Mungu alisema katikaYer. 23:29 akisema: "Je*, si*
*neno langu kama moto? asema Bwana, na
kama nyundo ivunjayo mawe vipande
vipande?" *Wakristo,
Namaanisha waliozaliwa mara ya pili,
wanapaswa kutambua kuwa wakati jina la Yesu linatamkwa, kile
kinachotoka nje ya vinywa vyao ni moto.
Mkristo anaposimama juu ya mamlaka
aliyopewa na Kristo na anatoa
amri kwa jina la Yesu, moto hutoka katika
kinywa chake na pepo lolote kudhibiti hali husika ni lazima kutii. Yesu
yu hai leo ili kuangalia kwamba kila neno lake
linakuja kupita. Tena,
nataka kuonyesha ukweli muhimu kuwa
------------------------------
Page 27 27
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Wakristo wengi wanatazama kijuu juu , na hiki
ndicho ambacho Shetani
anatumia. Yesu, baada ya Peter kumsema kwake kwa habari ya ule mtini uliokauka baada
ya kulaaniwa na Bwana ,
alisema:
(Matthew's account) *"Amin, nawaambia
Yaani
 

KUKOMBOLEWA KUTOKA KWENYE NGUVU ZA GIZA na Emmanuel ENI SEHEMU YA KWANZA (PART 1)​

Sura 1: Nilipotorokea kwenye "Maisha
mapya"


Hadithi yangu inaanza miaka 22 iliyopita katika kijiji kidogo kinachoitwa Amerie Iriegbu Ozu Item katika Ma
mlaka ya Serikali za Mitaa Bende, jimbo la Imo. Wazazi wangu walikuwa si katika kundi la miongoni mwa tajiri
lakini baba yangu alikuwa na neema ya kurithi hekta 42 za ardhi kutoka kwa babu yangu , baraka ambayo leo hii imenisababishia bahati mbaya sana ambayo haikuwahi kutokea katika historia ya familia. Baba yangu alichukiwa sana na ndugu zake wa mbali na karibu kwa sababu ambazo mimi sizijui, labda kwa sababu ya urithi wake mkubwa wa ardhi.

Tulikuwa ni familia yenye furaha, wazazi wangu baada ya kutupata sisi wanne: Love , Margaret , Emmanuel na Chinyere . Baada ya kuwa na mabinti wawili wa kwanza , wazazi wangu walisubiri kwa miaka 14 kabla ya kunipata mimi (mwana pekee wa kiume ) na baadaye dada yangu mdogo Chinyere. Hii ilileta furaha ya kweli
kwa familia, lakini furaha hii ilikuwa ni ya muda mfupi tu baada ya janga la kwanza kutokea . Mama yangu
mpenzi na anayejali alikufa. Ilidaiwa kuwa alikufa kutokana na uchawi, na miaka minne baadaye baba yangu alifariki, tena ilidaiwa kuwa naye ni kwa njia ya juju iliyofanywa dhidi yake. Miaka miwili baada ya kifo cha wazazi wote wawili, dada yangu mkubwa, Love, alitoweka kimaajabu na Margaret, binti wa pili wa wazazi wangu akachanganyikiwa akili. Ilikuwa ni mlolongo wa majanga katika maisha ya familia yenye unyenyekevu na furaha.

Dada yangu mdogo Chinyere na mimi tulipelekwa kwa babu na bibi yetu. Pale nilimaliza elimu yangu ya msingi na baadaye nilijiunga na Item High School. Nilisoma mpaka darasa la III la shule ya sekondari na nikaacha kwa
sababu ya ukosefu wa fedha kwa ajili ya ada n.k. Muda mfupi baada ya hili, babu na bibi pia walikufa. Baada ya
------------------------------
Page 3
sherehe zote za mazishi, ndugu yangu nisiyemjua alimchukua dada yangu mdogo Chinyere , na hadi leo hii sijui
yuko wapi. Kwa sababu ya malezi mabaya, nililazimika kurudi kwenye nyumba ya baba yangu, na kuishi huko
peke yangu katika umri wa miaka 13. Jinsi gani mtoto wa miaka 13 anajilisha mwenyewe katikati ya maadui wa
baba yake na yeye mwenyewe? Jinsi gani nilivyokuwa Naogopa! Matuukio haya yalionekana kama yamenileta
katika mwisho wa kuishi. Je kulikuwa na mtu aliyejali? Je kuna yeyote aliyehusika na "Mikosi ya kijana huyo
mdogo?"

Siku moja nilikutana na rafiki niliyemjua nilopokuwa shule ya msingi aitwaye Chinedum Onwukwe . Chinedum
alinipenda sana na waliposikia yote yaliyonisibu alinichukua mpaka kwa wazazi wake ambao kwa urahisi tu
walinipokea na kunifanya kama mwana wao wa pili. Maisha yakaja tena kawaida. Walinijali vyema. Nilikuwa na
furaha tena: Sasa nilijua kuwa Mungu wa mama yangu aliyemuomba wakati aliokuwa hai alikuwa hai mahali
fulani hivi. Amenipatia wazazi wapya, ndivyo nilivyojiwazia, nilifurahia wema huu kwa miaka miwili na kisha
shetani akapiga tena.

Chinedum na wazazi wake walikuwa wakisafiri kuelekea Umuahia na gari yao ikaingia ndani ya tipa lililobeba mzigo kama udongo. Chinedum na wazazi wake walikufa papo hapo! Baada ya kusikia habari hizi niliduwaa. Huzuni yangu inaweza tu kufikirika. Niliweza kuvumilia kipindi chote cha sherehe za mazishi, Nikiwatafutia wale wapishi kuni za kupikia na shughuli zingine: na mwishoni mwa hayo nikarudi nyumbani kwa baba yangu na nikarudia tena ajira hafifu ili niwe na uwezo wa kujilisha.

Niliendelea kufanya kazi zisizo za kawaida katika mashamba, katika bustani,
kuvua samaki pamoja na wazee
mpaka siku moja, mtu mmoja katika eneo langu alinikodisha kufanya kazi
katika shamba lake kwa 50k . Pale
shambani alinikabili kwa mlolongo wa maswali.
Kwanza, akaniomba nimuonyeshe
ardhi ya baba yangu, pili,
nimkabidhi shamba hilo, bila kujali jinsi uhusiano wetu ulivyokuwa. Katika
kesi zote hizo mimi nilipinga na
alikasirika. Kisha aliapa kuniua katika msitu.
Nikawa na hofu nikakimbia na
kupiga kelele ili nipate msaada. Kwa
bahati mbaya, kwa sababu eneo hilo lilikuwa mbali na ni ndani ya msitu
mnene hakuna mtu aliyesimama kwa
msaada lakini msaada ulitoka kwa Mungu.
Alinikimbiza na kisu chake lakini kwa kuwa
nilikuwa mdogo nilikimbia haraka
sana kuliko yeye nilianguka ndani ya shimo lenye kina cha mita 1.82 hivi na
nilifunikwa na majani yaliyokua
ndani yake. Naye akatafuta na baada
ya muda akakata tamaa . Baadaye nilijitahidi
kutoka nje ya shimo na kupitia
njia nyingine nikarudi kijijini.Nilitoa taarifa ya tukio hilo kwa wazee wa eneo letu
lakini hakuna hatua
zilizochukuliwa - kawaida ya watoto yatima.
Tukio hili liliunda chuki kubwa katika moyo
wangu mdogo, hakuna mtu
alinipenda, hakuna aliyenifikiria na kunijali.
Nilitafakari kwenye mawazo yangu kwa nini
mtu yeyote alitaka kuniua baada
ya kujua kuwa mimi sikuwa na
wazazi . Maisha yalijawa na taabu. Sasa najua
ya kuwa Mungu katika upendo wake alimzuia shetani asinichochee
wazo la kwenda kujiua. Nilimgeukia Mungu na
kuwa mwanachama kamili wa
Kanisa la Assemblies of God
katika kijiji changu (bado nipo) lakini kwa
bahati mbaya hakuna aliyejali ingawa hata baadhi ya wapendwa
walijua kwa habari yangu. Ni muhimu
kutambua kwamba nilikuwa mwanachama
kamili wa kanisa bila kumjua
Yesu Kristo. Sikujua nini maana ya kuzaliwa
mara ya pili . Kama wewe uko katika Kanisa la Yesu Kristo na
unajikuta katika hali ambayo nilijikuta,
mkabidhi Bwana Yesu Kristo maisha
yako. Maandiko yanasema: "
7
*Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni." *(1 Peter5 : 7 ).
Katikati ya ugumu huu wa maisha na mateso
ALICE alitokea! Alice alikuwa
msichana niliyemjua wakati wa siku
zangu za shule ya msingi. Alikuwa na miaka
mitano zaidi yangu tulitokea kijiji kimoja. Tulikuwa darasa
moja,tuliketi kwenye benchi moja na akawa
rafiki yangu sana. Na 'upendo'
huu katika hali ya utoto, tuliweka
ahadi ya ' kufunga ndoa ' wakati tukiwa
wakubwa. *Mzaha! *Mtoto wa miaka 11 wakati huo, bila wazazi, sina
elimu , sina chakula , naweka ahadi ya ndoa
kwa msichana wa miaka mitano
zaidi yangu! Alice baadaye aliondoka
------------------------------
Page 4
na kwenda Akure kwa elimu yake ya
sekondari na alinitumia barua za 'upendo'
nyingi. Wakati mwingine nilipokutana na Alice ,
nilikuwa nina miaka 15 na yeye
alikuwa 20. Yeye alipomaliza elimu
yake ya sekondari alifanya kazi na Benki ya
Standard Lagos ( sasa Benki ya
Kwanza), ambapo wazazi wake walikuwa wakiishi.
Alice akiwa anajua historia yangu na matatizo
yangu aliichukua hii kama
fursa. Aliniambia nijiunge naye Lagos
na akanipa anuani yake pamoja na N50 ( naira
: Sarafu ya Taifa ya Nigeria)! Hiyo ilikuwa ni bahati kwa kijana
wa miaka 15 ambaye hakuwahi kupata N2 kwa
siku! Hii ilikuwa ni mana kutoka
mbinguni na hii ilimaanisha
kuwa Lagos lazima palikuwa ni mahali pa
ajabu penye fedha nyingi na mambo mema ya maisha kwa wote
kufurahia. Ni lazima kwenda Lagos
kutengeneza pesa yangu mwenyewe na
kupata
utajiri pia . Kwenda Lagos
kwa akili yangu ilikuwa ni njia pekee ya kutoroka. Kukimbia kutoka kwa
maadui wa baba yangu, kukimbia
kutoka kwa madui zangu, kutoroka kutoka
kwenye njaa na matatizo yangu yote.
Kukimbia! Kukimbia! Ndiyo,
kukimbia kutoka katika yote yale ambayo ni mabaya!!!
------------------------------
Page 5

Sura 2: Mwanzo
*«. Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa
mtu, Lakini mwisho wake ni
njia za mauti. » Mithali 14:12*
*« Bali wabaya wanafanana na bahari
iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji yake hutoa tope na takataka.*
*Hapana amani kwa wabaya; asema Mungu
wangu. » Isaya 57: 20-21 *
Na maisha ya nje ya Yesu Kristo ni sawa na
ilivyoelezwa katika maandiko
hapo juu. Niliondoka katika kijiji changu na N50 na anwani niliyopewa na Alice,
kukimbilia *uhuru, haki,
starehe *na yote yanayokwenda pamoja
nayo: lakini kama utakavyoona hapo baadaye
ilikuwa ni tofauti sana na kile
nilichofikiria kwenye moyo wangu mdogo. Nilipofika Lagos , ilikuwa ni nzuri sana
katika macho yangu na
niliilinganisha na Mbinguni, chochote
kile Mbinguni kulivyofanana. Niliona yale
majengo yote marefu na mazuri na
katika kila uso niliweza kuona furaha ( hivyo nikajiwazia). Watu walionekana
kuwa na shughuli nyingi sana
na kila mmoja alijali mambo/
biashara yake. Nilipatwa na msisimko na
nikajisemea moyoni , *"Sasa nimejua
kuwa niko Huru!* Niliwasili Akintola Road, Victoria Island na
nilipokelewa vizuri na Alice
na wazazi wake. Wazazi wake walinijua
mimi na historia yangu kwa sababu tunatoka
katika kijiji kimoja lakini
kamwe hawakujua uhusiano wangu na binti yao. Alice alinitambulisha tena kama
kijana aliyemchagua amuoe.
Wazazi walishtuka lakini baada ya
majadiliano naye, walikubaliana juu ya hali
yangu kwamba wangeweza
kuniendeleza kielimu kwanza. Alice alikataa pendekezo lao na akaomba niwe
ninaishi naye katika gorofa yake
mwenyewe. Wazazi hawakuweza
kukubaliana na hili lakini alisisitiza. Walikuwa
na mabishano kuhusu hili
kwa siku nne na kwa ushawishi usioelezeka walikubali na nikaishi na Alice.
Alice, msichana ambaye ni mzuri sana,
aliniambia kuwa alikuwa ni mhasibu wa
Benki ya Standard na kwamba
angeweza kunifanya mimi tajiri na kunipa
vyote navyovihitaji katika maisha haya na alisema: " wewe kaa tu na
ufurahie!" Mtazamo wangu ya kwanza kuhusu
Lagos kumbe ulikuwa ni kweli;
miezi michache iliyopita nilikuwa
katika kibanda kidogo katika kijiji kidogo
kulichozungukwa na chuki, njaa na mateso na mimi hapa, tazama
ninaishi katika mji mkubwa, ghorofa nzuri na '
mke ' mzuri ambaye
aliniahidi kunipa maisha yeyote kadiri
yanavyotoa. Alinimwagia zawadi, fedha ,
mavazi, 'upendo' nk Mimi sikuwahi kamwe kujua kwamba dunia imejaa
haya ' mambo mema . Shetani kweli ni
mdanganyifu ! Maandiko dhahiri
yanasema : " Mwizi haji isipokuwa
kuiba, kuua na kuharibu. Mwana pekee wa
adamu ( Yesu Kristo) anayeweza kukupa uhai na kukupa zaidi
"(Yohana 10: 10). Ndugu msomaji, shetani
hana zawadi ya bure ! Chochote
anachokupa ni kwa ajili ya kuipata
roho yako . Hali hii ya furaha ilikuwa ya muda
mfupi, kwa sababu baada ya muda wa miezi mitatu mambo ya
ajabu yalianza kutokea.
Uzoefu wa Kushangaza
Usiku mmoja, niliamka usiku wa manane na
nikaona nyoka mkubwa aina ya boa -
constrictor kando yangu. Nilitaka kupiga kelele lakini sikuweza. Usiku
mwingine, niliamka na kuona
mwili wa Alice kama unaoangaza
kama mifuko ya Cellophane. Usiku mwingine,
alitoweka na kutokea tena na
tena. Usiku mwingine nilisikia kelele za ajabu au kucheza katika sebule n.k.
Sikuweza kuvumilia tena matukio haya
ya kutisha hivyo niliamua
kumuliza, na jibu la kwanza ilikuwa ni vurugu
na onyo kali. Alisema: "
Usiniulize swali hili tena au nitapambana na wewe. "
Tangu wakati huo nilijua maisha yangu
yalikuwa hatarini. Niliona ni
afadhali mateso kijijini kuliko kile
nilichokuja kugundua. Nikawa ninamhofia. Siku
mbili zikapita na akaja na tabasamu, zawadi na akanikumbatia.
Akaniambia jinsi gani anavyonipenda na
kunijali na akaniambia nisiwe na
hofu na aliahidi kunieleza mambo
------------------------------
Page 6
fulani hapo baadaye. Alinichukua mpaka klabu
na usiku ule alinikumbusha
ahadi yake ya kunifanya mimi tajiri nk, na aliniambia: "Siku moja utajua yote
ninayoyafahamu ! " Tukarudi
nyumbani na maisha yakaendelea kama
kawaida kati yetu. Ndani nilijua nilikuwa katika
hatari , lakini nitawezaje
kutoroka na wapi nitatorokea? Ni muhimu kukumbuka hapa kwamba wazazi wa
Alice hawakumjua binti yao, ingawa
ni mdogo, alijihusisha sana
na uchawi na mizimu na alinionya sana kamwe
nisije kuwaambia kama
ninayapenda maisha yangu. Ndugu msomaji, unaweza kufikiria , msichana
mwenye umri wa miaka 20 anafanya
mambo haya yote? Dunia ya nje
ilimwona kama msichana mzuri sana na mpole
anayefanya kazi na Benki kubwa
lakini alikuwa ni wakala mkubwa wa shetani. Kuna akina Alice wengi katika
dunia ya leo kama utakavyokuta
baadaye katika kitabu hiki.
Ugunduzi wa Kutisha
Siku moja, baada ya yeye kuondoka kwenda
kazini, niliamua kufanya ukaguzi katika ghorofa. Pamoja na ujana
aliokuwa nao, gorofa ilikuwa imejazwa vya
kutosha. Alikuwa na friji nne na
baada ya kufungua friji moja, niliona
fuvu la binadamu, sehemu mbalimbali za mwili
wa binadamu safi na kavu. Ndani ya dari kulikuwa na mifupa.
Katika kona nyingine moja ya vyumba nikaona
(kile baadaye nilijua kama
'chamber') sufuria imejaa damu na mti
mdogo katikati ya sufuria, kibuyu na nguo
nyekundu pamoja nacho. Sikuweza kuendelea. Sasa nilijua kwamba
nilikuwa ni mtu mfu na kwa kuwa sikuwa na
mahali pa kukimbilia. niliyatoa
maisha yangu kwa chochote
kitakachokuja, maisha au kifo na naliendelea
kufunga mdomo. Alice akarudi kutoka kazini na nilijua kabisa katika
ofisi yake kuwa alijua nini nilichokifanya katika
nyumba.
Kuingia katika ulimwengu wa Kichawi
Siku iliyofuata aliniomba nimfuate kwenye
mkutano. Nilikuwa tayari ni mfungwa na sikuwa na uchaguzi.
Tulikwenda kwenye jengo kubwa sana nje
kidogo ya Lagos. Tulipowasili (jengo
lilikuwa na ukumbi wa mkutano
chini ya ardhi), nilielekezwa na Alice kuingia
kinyumanyuma. Nilimtii na niliingia kwa mgongo, yeye pia alifanya
hivyo. Ukumbi ulikuwa mkubwa wenye vijana
na wanawake500 wameketi katika
mduara, na aliyekuwa ameketi
juu yao alikuwa ni mtu ambaye kichwa chake
ndicho kiliweza kuonekana lakini hakikuwa na mwili, kama
Kiongozi. Baadhi ya vijana hawa walikuwa
wanafunzi, wanafunzi wa vyuo
vikuu, wahitimu, walimu nk Alice
akabonyeza kiswichi ukutani na kiti kikakatoka
chini ya ardhi nami nikaketi. Yeye naye alifanya hivyo na kiti
kingine kikatoka kwa ajili yake naye akaketi.
Akanitambulisha katika
mkutano ule kama mwanachama mpya na
wao wakampongeza na kunikaribisha. Alice
alikuzwa nafasi kwa sababu ya hili. Yote waliyoyajadili katika
mkutano mimi sikuyaelewa. Mwishoni mwa
kikao na tulipokuwa karibu kuondoka,
niliambiwa nirudi peke yangu
siku iliyofuata na Kiongozi. Hii ilikuwa ni mara
yangu ya kwanza kukutana na dunia ya uchawi.
Usiku huo huo, saa 2:00 (na hii ni saa ya
kawaida ya mikutano na shughuli
hatari za nguvu zote za giza na
mawakala wao), Alice aliniamsha na
akanifunulia mambo fulani. Alisema: "Mimi si binadamu wa kawaida. Mimi
ni nusu binadamu na nusu roho lakini hasa ni
wa rohoni. Unachokiona katika
kona ya chumba changu ndicho
natumia wakati wa maombi yangu ya kila
asubuhi, ili roho zile ziniongoze kwa siku nzima. Kwa habari ya mifupa
mimi nitakuambia baadaye. "
Sikusema neno. Alileta baadhi ya vitabu juu ya
siri za dunia kwa ajili
yangu kusoma, na kwa sababu ya shauku
ya kutaka kujua niliamua kuvisoma. Muda mfupi tu nilivipenda na akaona kuwa
nimevipenda.Bila ya mimi kujua
alituma jina langu katika jamii ya kichawi huko
India. Kama nilivyokuwa
nimekwisha elekezwa, siku iliyofuata
nilikwenda peke yangu kwenye ile jamii na nikakutana na wengine tisa na
baadhi ya mashahidi. Ilikuwa
tunaingizwa rasmi. Tuliitwa pale katikati ya
ukumbi na mambo yafuatayo
tulifanyiwa:
-----------------------------
Page 7

1. Mchanganyiko unaoonekana kama putty
ulipitishwa juu ya miili yetu. Hii inakufanya uwe mwanacham
a kamili.
2. Glass yenye kimiminika kama mafuta
tulipewa kunywa. Hii inakufanya kuwa
wakala.
3. Unga ulio kama wa risasi ulipakwa katika vichwa vyetu. Hii inakufanya
uwe na uwezo wa
kujifunza siri zao.
Bila kujua, hii sherehe kumbe ilikuwa
ikirekodiwa India na Siku ya pili
nilipokea barua kutoka kwao. Katika barua nilielekezwa nitie doa kwa damu yangu
mwenyewe na baada ya hilo
niitume tena kwao kwa njia
waliyoielekeza, si ya Posta. Nilifanya. Kutokea
siku hii hakuna kurudi
nyuma; kurudi nyuma ina maana ni kifo kama mmoja wao mara zote walinikumbusha
hili na nilijua kuwa hakukuwa na
matumaini tena kwa ajili yangu.
Makataba na Alice
Asubuhi moja mapema, aliniambia kulikuwa na
sherehe muhimu inayotakiwa kufanywa katika nyumba. Saa 2:00
usiku alileta mtoto anayetambaa, msichana,
hai. Mbele ya macho yangu, Alice
alitumia vidole vyake kunyofoa
macho ya mtoto. Kilio cha mtoto yule kiliuvunja
moyo wangu. Kisha akamchinja na kumkata mtoto vipande
vipande na akaweka damu na mwili ndani ya
tray na akaniambia nile.
Nilikataa. Aliniangalia moja kwa moja
kwenye macho yangu na kile kilichotoka
kwenye macho yake hakiwezi kuelezeka kwa maandishi. Kabla
sijatahamaki nini kinatokea nilikuwa si tu
natafuna nyama lakini pia
nilikuwa nakunywa damu. Wakati haya
yanatokea, alisema: "Hii ni mkataba kati yetu
sisi, kamwe hutokuja kusema nje chochote una chokiona mimi
nakifanya au chochote kuhusu mimi kwa
binadamu yeyote duniani. Siku
ukivunja ahadi hii basi utakuwa
umeondoka. "ikiwa inamaanisha kuwa siku
nikivunja mkataba huu nitauawa. Baada ya tukio hili nilianza kuwa na hisia za
ajabu ndani yangu.
Nilibadilika na sikuweza kujizuia. Neno la onyo
kwa akina mama. Je, unawajua wasaidizi wa
nyumba yako? Ni vipi historia
yake inafanana? Je, unajali kujua yote kuhusu yeye kabla ya kumkabidhi maisha
ya watoto wako nk? Jinsi gani
Alice alimpata mtoto anayetambaa
na kumchinja, unaweza kujiuliza. Kwa hiyo
wazazi, unatakiwa kujua historia
ya wasaidizi wenu. Pale Alice alipoona kwamba amefanikiwa
kunifanya kikamilifu kujihusisha na
ulimwengu wa mapepo na
nilikuwa nikiongezeka kwa kasi katika hilo,
aliridhika na alijua mkakati
wake umekamilika. Alinitafutia gorofa kwa ajili yangu, alinisaidia kuimalizia na baada
ya hapo akajitenga na
uhusiano.
Mkataba nchini India
Jumuiya ya Delhi, India ilinitumia barua ya pili
ikinisihi niende India. Ndani ya barua pia walinielekeza nifanye
yafuatayo: " Kula kinyesi, kula panya waliooza
na wanaonuka, na kufanya
ngono na mapepo katika makaburi
wakati wa usiku"
Baada ya kutimiza hayo hapo juu nilifungwa nisifanye ngono na mwanamke
yeyote duniani. Nilituma majibu
india nikiwataarifu kuwa sikuwa na visa na sijui
jinsi ya kufika india. Kwa
wakati huu nilikuwa nimeanza
kufanya 'biashara'. Nilikuwa ni mfanyabiashara kiharamu mkubwa lakini kwa
sababu ya nguvu hizi nyuma yangu
sikuwa na shida na watu wa bandari nk
Nilianza kuwa na fedha nyingi, chakula na vitu
havikuwa tena adimu. Siku
moja, nilifunga gorofa yangu na nikatoka; niliporudi, nikafungua mlango na
tazama, mtu ameketi katika
sebule. Niliogopa. Akasema: "Je, wewe
------------------------------
Page 8

si Emmanuel Amos?" nikamjibu ni mimi.
Akasema: " nimetumwa kuja kukuchukua
twende zetu India, Hivyo
jitayarishe." Nilifunga kila mahali, nikaenda na kuketi kandokando yake
nikisubiri amri inayofuata. Lakini kama
umeme, alinigusa na tukatoweka kabisa.
Sehemu iliyofuata nilijikuta niko mwenyewe
ilikuwa ni kwenye ukumbi mkubwa
wa mkutano Delhi, India, pamoja na umati wa watu wengine waliokuwa
wamekaa tayari kwa ajili ya
kutukaribisha. Walileta mafaili
ambapo jina langu lilikuwa tayari limeandikwa
na akaniambia niweke sahihi
yangu pembeni.Nikafanya. Sahani iliyokuwa na nyama mbichi za watu,
zilizokatwa vipande vipande na basini ya
damu vililetwa. Jagi tupu za maji
zililetwa na kila mtu akapewa yake,kasha mtu
asiyekuwa na kichwa akawa
akipita huku akimimina damu na nyama katika jagi zetu. Mishumaa tofauti
tofauti iliwaka pamoja na ubani.
Mwanaume asiyekuwa na kichwa
akafanya manuizo na kila mtu akanywa damu
na nyama na mkutano ukaisha.
Uingizwaji nchini India Sasa kipindi cha kupimwa kikafika. Nilipelekwa
kwenye bonde lenye mita 200
kwa urefu. Ndani yake kulikuwa
na mchanganyiko wa nyoka hatari na
wanyama pori . Sikutakiwa kupiga kelele
kwa sababu kama nikipiga kelele bai nimeshindwa mtihani na adhabu yake
ilikuwa ni KIFO. Baada ya siku saba
za uchungu nililetwa kwenye
sehemu iliyoitwa ' INDIA JUNGLE'.
Katika msitu huu niliona aina tofauti za ndege
wa kipepo; ni ndege wa kipepo kwa sababu sura za ndege hawa
zingine zilikuwa ni za mbwa, baadhi kama
paka, n.k lakini wakiwa na
mabawa.Ndani ya Msitu kulikuwa na
pango na pango hilo lilifunguliwa tu na hawa
ndege mapepo. Walifungua pango na nikaingia ndani. Mambo
niliyoona ni vigumu kuelezea. Kulikuwa na
viumbe wa kutisha, baadhi
walionekana kama binadamu lakini wana
mikia na bila sura za watu, nk Hii ilikuwa ni
sehemu nyingine ya mateso. Mateso yale yanaweza kuwa kama nusu
ya kuzimu. Nilikuwa katika hali ile kwa siku 7
na kisha nilitolewa nje.
Kisha nilipelekwa kwenye maktaba kubwa
sana yenye vitabu vikubwa na vya
kipepo kwa ajili ya kujifunzia. Baadaye nilichukua vitabu viwili: Abbysinia ,
ambayo ina maana ya
uharibifu, na Assina , ambayo ina maana
kutoa uhai au kuponya. Baadaye nilipewa
vitabu vingi zaidi. Nilipewa
maelekezo ya kujenga chemba mara baada ya kurudi Nigeria na mambo yafuatayo ndani
yake : " sufuria ya asili
iliyojazwa damu ya binadamu, mti mbichi
ndani yake, na fuvu la binadamu , manyoya ya
tai , ngozi ya mnyama pori ,
ngozi ya nyoka na udongo unaon'gaa kando ya sufuria. " damu ndani ya chungu
ilitakiwa kunywa kila asubuhi na
dua. Nilipewa maelekezo kuwa
nisije kula chakula kilichopikwa na binadamu
na kwamba nitalishwa
kimiujiza. Nilirudi Nigeria kwa njia hiyo hiyo niliyoiendea, na kutekeleza yote .
Niliporudi nyumbani Nigeria
Sasa nilikuwa ni mmojawapo katika sehemu
ya ulimwengu wa roho na ningeweza
kusafiri popote pale sehemu
yoyote duniani. Kwa mujibu wa vitabu nilivyoleta, ni kwamba viumbe wa
kiroho (kipepo) wanaishi katika anga.
Nilifikiri labda sasa wangeweza kuongeza
nguvu yangu, hivyo niliamua
kujaribu. Nilitoka nje ya nyumba yangu,
nikafanya baadhi ya manuizo na kuita upepo wa kisulisuli nikatoweka.
Nikajikuta mwenyewe katika anga na
kuona hawa viumbe wa kipepo. Je, unataka
nini waliniuliza; niliwaambia
nataka nguvu.
Nilikuja tena duniani baada ya wiki mbili baada ya kupokea nguvu kutoka
kwao. Kama nilivyosema hapo awali,
Sikuweza kujizuia/kujidhibiti mwenyewe.
Pamoja na nguvu zote hizi
nilizokuwa tayari nimezipokea, bado
nilihitaji nguvu zaidi na zaidi ! Hivyo niliamua kwenda chini ya ardhi ili
kuthibitisha kile kilichoandikwa katika
vitabu nilivyopewa.
------------------------------
Page 9

Siku moja nilikwenda mahali fulani kichakani,
nikafanya baadhi ya manuizo
kama ilivyoelezwa kwenye vitabu
nikaamuru ardhi kufunguka. Ardhi ikafunguka na mapepo yakaunda ngazi mara
moja. Nikapiga hatua na kuingia
moja kwa moja ndani ya ardhi. Kulikuwa na
giza kuu ambalo linaweza tu
kulinganishwa na moja ya mapigo
ambayo yalitokea kule Misri kama iliyoandikwa katika Biblia. Niliona mambo
mengi ambayo ni vigumu kueleza.
Niliona watu walio katika minyororo, watu
wanaotumika kwa ajili ya
kutengeneza fedha - majukumu yao ilikuwa
ni kufanya kazi mchana na usiku kukusanya fedha kwa watekaji wao.
Nikaona baadhi ya wanachama wasomi/wenye
akili wa jamii ambao walifika
kutoa baadhi ya sadaka na walirudi
duniani na baadhi ya zawadi walizopewa na
mapepo yanayotawala sehemu zile. Niliona baadhi ya viongozi wa
makanisa ambao walikuja kwa ajili ya kupata
nguvu, nguvu ya kusema jambo
lolote na linakubaliwa bila ya
kuhoji katika kanisa. Nilikaa kwa muda wa wiki
mbili na kurudi baada ya kupokea nguvu zaidi. Watu waliniona
kama mdogo nisie na hatia lakini hawakujua
nilikuwa ni hatari. Kuna watu
wengi kama hao katikati yetu; ni wale
tu walio katika Kristo Yesu pekee ndiyo wako
salama katika hali halisi ya usalama.
*Mkataba na Malkia wa Pwani(Queen of The
Coast)*
Jioni moja, niliamua kutembea tembea.
Barabara ya kituo cha mabasi cha
Ebute Metta, nilimuona msichana/binti mrembo/mzuri amesimama. Sikuzungumza
neno lolote. Siku ya pili nilipopita
pia nikaona bado yuko pale pale.
Siku ya tatu nikamuona tena bado amesimama
pale pale na nikajitambulisha
kwake kama Emmanuel Amos. Lakini yeye alikataa kujitambulisha.
Mimi nikamuuliza jina lake na anwani lakini
yeye alicheka tu. Yeye
akaniuliza yangu nami nilimuambia mtaani
tu. Nilipokuwa nataka kuondoka, akasema
atanitembelea siku moja. Kwenye mawazo yangu mimi nikasema,
haiwezekani, sikumpa namba ya nyumba
yangu basi sasa atawezaje kufika.
Lakini ni kweli kwa maneno yake,
nilisikia mlango wangu ukibisha baada ya wiki
toka tumekutana pale katika kituo cha basi. Alikuwa ni yeye,
msichana wa ajabu! Nilimkaribisha lakini katika
mawazo yangu (Nilijiuliza
msichana huyu mzuri atakuwa ni
nani, je, hajui kuwa alikuwa amekanyaga
katika uwanja hatari?) Nilimfurahisha naye akaondoka. Baada ya
ziara
hii ya kwanza, ziara zake zikawa mara kwa
mara bila uhusiano wowote.
Katika ziara zake alikuja kwa muda ule ule, na
hakuja dakika moja kabla au iliyofuata! baadhi ya ziara zake
nilipenda kumpeleka Lagos Barbeach, au
katika Hoteli ya Paramount au Hoteli
ya Ambassador nk Wakati wote
huu, bado hakuniambia jina lake. Niliamua
kutokuwa na wasiwasi kwani nilijua uhusiano wetu usingeendelea
zaidi ya hapo. Nilikuwa nimepewa maelekezo
kamwe nisiguse mwanamke.
Ghafla ziara zake zikawa ni usiku. Katika ziara
yake moja aliniambia: "Sasa
ni wakati wako wewe kunitembelea mimi." Tulikaa pamoja usiku na saa 2:00
asubuhi kesho yake tukachukuana.
Tuliingia pamoja katika basi na
alimwambia dereva atuache barbeach.
Tuliposimama, nilimuuliza: "tunakwenda
wapi?" Alisema: "Usijali, Utakwenda kufahamu nyumba yangu"
alinipeleka kwenye kona ya barbeach,
akatumia kitu kama mkanda na
kuufunga ukituzunguka na mara moja nguvu
fulani ikaja kutoka nyuma yetu na
kutusukuma ndani ya bahari. Tukanza kupaa juu ya uso wa maji na moja
kwa moja tukaingia ndani ya
bahari. Ndugu msomaji, hiki kilitokea
nikiwa katika mwili wangu! Wakati ule
tumezama ndani chini kwenye kitako
cha bahari kwa mshangao nikajiona tuko tunatembea kwenye barabara ya magari
ya mwendo kasi . Tukaenda mpaka
kwenye jiji lenye watu wengi
na walio na shughuli sana.
Ulimwengu wa Roho
Niliona maabara nyingi, kama za maabara za sayansi, maabara za kubuni, na
ukumbi wa michezo(theatre). Nyuma
ya mji, niliona wasichana wazuri na vijana
wazuri. Hakuna wazee.
Akanitambulisha kwao na walinikaribisha.
Akanipeleka kwenye sehemu kama "chumba cha giza", "chumba cha kukaushia",
na "chumba cha kufungashia."
------------------------------

Wafilipi 2:10-11






KUKOMBOLEWA KUTOKA KWENYE NGUVU ZA GIZA na Emmanuel ENI SEHEMU YA PILI (PART 2)​

UnabiiwaKweli UNABII WA KWELI
Page 10
10
Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema aliojaliwa na Mungu
Akanipeleka mpaka kwenye kiwanda kikubwa
na ghala kubwa na kisha akanileta
kwenye nyumba yake binafsi.
Pale alikaa kuniambia: "Mimi ni Malkia wa
pwani (queen of the coast) na ningependa sana kufanya kazi na wewe.
Nina kuhahidi nitakupa utajiri na vyote
vinavyokwenda pamoja nayo, ulinzi
na vyote vinavyokwenda na hayo,
uzima na 'malaika' atakayekuongoza wewe. "
Akabonyeza kidude na mwili wa binadamu mbichi ukaja (katika vipande) ndani
ya trei(sahani) na tukala pamoja.
Akaamuru boa (nyoka) aje na akaniambia
nimmeze.sikuweza. Alisisitiza lakini
sikuweza, ninawezaje kumeza
nyoka aliyehai tena aina ya boa. Akutumia nguvu yake na nikammeza. Haya
yalikuwa ni maagano matatu: mwili
wa binadamu na damu, *boa(nyoka) *na
*malaika mapepo *walikuwa pale siku
zote ili kuhakikisha hakuna siri
iliyowekwa wazi. Lakini 'pepo' alipewa uwezo wa kuniadhibu
kama nikienda tofauti na pia
kiniletea chakula kutoka baharini
wakati wowote nikiwa hapa duniani. Niliahidi
kumtii siku zote daima. Na
baada ya ahadi hii alinipeleka na sehemu nyingine ya bahari, Hii sasa ilikuwa ni
kisiwa. Kulikuwa na miti na
kila mmojawapo ya miti ulikuwa na
kazi yake tofauti:
  • Mti wa sumu,
  • Mti wa mauaji, - Mti wa kutaja/kuonyesha, na
  • Mti kwa ajili ya tiba.
Alinipa nguvu ya kujibadili katika kila aina ya
mnyama wa baharini kama
kiboko, boa constrictor(Nyoka) na
mamba na kisha akatoweka kabisa. Nilikaa katika bahari kwa wiki nzima kwa
njia (kama ya mamba) aliyetajwa
hapo juu nikarudi tena duniani.
Maabara za ulimwengu wa chini
Nilikaa Lagos kwa wiki moja nikarudi baharini,
wakati huu nilikaa kwa miezi miwili. Nilikwenda katika maabara
za kisayansi kuona nini kilichokuwa kinatokea.
Nikaona madakitari wa akili
na wanasayansi wanafanya kazi kwa
umakini sana. Kazi ya wanasayansi hawa ni
kubuni mambo mazuri kama magari ya kifahari, nk, silaha mpya na
kujua siri za dunia hii. Na kama ingewezekana
kujua nguzo ya dunia
wanayoitaka, lakini Namshukuru Mungu,
MUNGU TU ANAYEJUA.
Niliingia katika chumba cha kubuni na huko nikaona sampuli nyingi za nguo,
manukato na aina mbalimbali za
bidhaa za urembo. Mambo haya yote
kulingana na Shetani ni kwa ajili ya
kuvuruga mitazamo ya wanaume kutoka
kwa Mwenyezi Mungu. Niliona pia miundo/ ubunifu tofauti ya umeme, kompyuta
na kengele. Pia kulikuwa na
TV ambapo walijua wale waliozaliwa tena
kuwa Wakristo katika ulimwengu.
Pale unaweza kuona na
kutofautisha wale ambao ni waendaji wa kanisani tu na wale ambao ni
Wakristo halisi.
Nikatoka katika maabara na kuingia katika
'chumba cha giza' na 'chumba cha
kukaushia. Chumba cha giza ni
mahali ambapo wanaua mwanachama yeyote anayeasi.Wanamuua kwanza kwa
kuchukua damu ya mtu huyo na
kisha wanampeleka mtu huyo kwenye chumba
chenye mashine ambapo itamsaga na
kuwa unga kisha
wanachukua unga na kuupeleka katika chumba cha kupakia ambapo wataufunga na
kuupeleka kwa waganga wa
kienyeji kwa ajili ya hirizi zao. Kulikuwa na
mambo mengi ambayo ni vigumu
kueleza kwa maandishi. Pamoja
na nguvu yote hii ndani yangu, nilikuwa bado sijahitimu kukutana na
Lucifer/shetani lakini tu nilikuwa na sifa ya
kuwa wakala wake. Yote sawa,ila niliridhika
kwamba mimi sasa nilikuwa na
nguvu na ninaweza kukabili,
changamoto na kuharibu vitu kadiri nipendavyo. Je, kunaweza kuwa na nguvu
nyingine yoyote ile popote pale
basi niliiweka katika mawazo yangu.
------------------------------
Page 11
11 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura3: Utawala wa uovu
*« Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
mimi nalikuja ili wawe na
uzima, kisha wawe nao tele.» Yohana * 10:10
Nilipokuwa nikirudi Lagos, niliendelea na
biashara yangu na baada ya wiki
mbili nikarudi tena baharini. Malkia
wa Pwani alinipa kile alichokiita "kazi yake ya
kwanza". Nilitakiwa niende kijijini kwangu na kumuua mjomba
wangu, mzee mmoja mganga maarufu
aliyehusika kwa kifo cha wazazi wangu
kulingana na taarifa yake huyo
Malkia.
Nilimtii na nikaenda lakini kwa sababu sikuwahi kuua hapo mwanzo, sikuwa na
ujasiri wa kumuua, badala yake
nilimuharibia dawa zake na kumuacha akiwa
hana nguvu. Kwa sababu ya hili
nililofanya alipoteza wateja wake
wote mpaka leo hii. Nikarudi kutoa ripoti ya zoezi hilo lakini alikuwa
hasira nami. Alisema matokeo ya kutokutii
maelekezo yake ilikuwa ni kifo, lakini kwa
sababu ya upendo wake kwangu
atanituma tena nirudi kijijini na kuua
wazee wawili ambao alisema waliunga mkono suala la mauaji ya wazazi wangu.
Kama hii ndio ilikuwa ni adhabu
kwa kutotii maelekezo yake au sio, mimi sijui.
Hata hivyo, nilitii na nikarudi kijijini na 'niliweza'
kuua watu hawa na
kupeleka damu yao kwake. Kutokana na kitendo hiki kilichotokea katika mazingira ya
kutatanisha ya kufa, wazee
katika kijiji wakaenda kuuliza kwa
mganga mwingine mwenye nguvu ambae kwa
kawaida huwa anatuma radi kuchunguza
muuaji ni nani. Kwa bahatimbaya kwa sabab ya watu hawa,
nilikutana na mganga kiroho ambapo
alikuwa akijaribu kuongea
namapepo na nikamuonya asiseme chochote
kama alipenda maisha yake. Alitoka
nje na akawaambia wazee waende nyumbani na kuomba msamaha kwa
mmoja kati ya watoto wao waliemuuzi
na hakutaja jina langu.
Radi aliyoituma ikarudi na ikapiga katikati yao
na kuua baadhi na kuacha
wengi wamejeruhiwa. Baada ya tendo hili la kwanza, nguvu ndani yangu ilianza
kujidhihirisha yenyewe.
Nilimuumbua msichana yeyote aliyekataa
kufanya urafiki nami nk.
Mkutano wangu na Shetani
Nikarudi Lagos. Siku moja, msichana mmoja aliyeitwa NINA alikuja kwangu.
NINA ambae wazazi wake
wanatokea Jimbo la Anambra alikuwa mzuri na
mrembo sana lakini anaishi sana
katika bahari, yaani ulimwengu
wa chini ya bahari. Alikuwa ni wakala mkereketwa wa Malkia wa Pwani(Queen
of the Coast) na alikuwa muovu
sana. Yeye aliwachukia Wakristo sana na
alikwenda mwendo mrefu kupambana na
Ukristo. Mimi nilikutana naye
kwa mara ya kwanza wakati wa ziara yangu ya baharini ya kwanza. NINA
alikuja kwa ajili ya kazi ya Malkia wa
Pwani.
Tuliondoka mara moja na nilipofika pale chini
niligundua kuwa tutafanya
kikao na Lucifer/Shetani. Shetani, katika mkutano huu, alitupa maelekezo
yafuatayo: Kupambana na waamini na
sio wasioamini, kwa sababu
wasioamini hao tayari ni wake. Baada ya
kusema hayo, mmoja wetu akauliza
swali: "Kwa nini?" Akasema sababu ni kwamba Mungu alimfukuza nje ya 'mahali"
pale (alikataa kuita neno'
Mbinguni 'na katika muda wote katika
mikutano yetu tuliyofanya pamoja naye
hakuwahi kutaja neno 'Mbinguni'.
Badala yake alitumia neno 'mahali pale') kwa sababu ya kiburi, na kwa hiyo *yeye
hataki Mkristo yeyote afike
huko (Mbinguni).*
Pia alituambia kwamba hatupaswi kupambana
na wanafiki. "Wao ni kama mimi,"
alisema. Aliendelea na hotuba yake na akasema: "Tunapaswa tu kupambana
na Wakristo halisi" Kwamba wakati
wake umekaribia, kwa hiyo
tunapaswa kupambana kama vile haijawahi
kutokea na kuhakikisha kwamba
hakuna anayeingia mahali pale:" Sasa mmoja wetu akasema tumesikia
kwamba Mungu alimtuma mtu kuwaokoa watu
warudi kwa Mungu" Shetani
kisha akauliza: "nani huyo?" mjumbe mmoja
akajibu "Yesu" na kwa mshangao
mkubwa, Lucifer akaanguka katika kiti chake. Akapiga kelele kwa mtu huyo
na akamuonya kamwe asilitaje
jina hilo kwenye mikutano yetu
------------------------------
Page 12
12 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
kama anapenda maisha yake. Ni kweli
kwamba kwa jina la Yesu kila goti
litapigwa (Flp. 2: 10), ikiwa ni pamoja
na Shetani. Baada ya tukio hilo akatupa sisi moyo na
alituambia kwamba tusiwajali "hawa
wakristo", kwamba yeye Lucifer
atakuja hivi karibuni kutawala dunia na
atatupa,sisi mawakala wake, mahali
bora ili tusihadhirike/tusitaabike sawa na wengine duniani na yeye atatufanya
sisi watawala. *Aliendelea
kusema kwa kuwa mwanadamu*
*anapenda mambo ya kushangaza na ya
ajabu, ataendelea kutengeneza mambo
hayo na kuhakikisha* *kwamba mwanadamu hana muda kwa ajili ya
Mungu wake na kwamba atatumia
yafuatayo kuharibu*
kanisa:
1.fedha,
2.mali, 3.Wanawake.
Mwishoni mwa hotuba hii akafunga Mkutano.
Mkutano huo ndio uliokuwa wa
kwanza kwangu mimi kukutana
na Shetani. Mingine kadhaa ilifuata baada ya
mkutano huu. Tulipokuwa tukiondoka, Malkia wa Pwani, ambae
sasa alionekana katika maumbo mbalimbali,
alinialika mimi na nyumbani
mwake. Aliingiza majivu ya binadamu
pamoja na vitu vingine ndani ya mifupa yangu
ya miguu yote, jiwe (si jiwe la kawaida) katika kidole changu na
kitu kingine ndani ya mfupa wa mkono wangu
wa kulia.
Kila moja ya vitu hivi ilikuwa na kazi yake. Jiwe
katika kidole changu
ilikuwa ni kwa ajili ya kujua mawazo ya mtu yeyote dhidi yangu. Moja katika mkono
wangu wa kulia ilikuwa
kuniwezesha mimi kuharibu na yale yalio
katika miguu ni kwa ajili ya kufanya miguu
yangu kuwa migumu zaidi na
kuifanya kuwa hatari zaidi na pia kuniwezesha mimi kubadilika na kuwa
mwanamke, mnyama, ndege, paka, nk
Alinichukua mpaka kwenye moja
ya maabara na akanipa darubini, TV na video.
Hivi havikuwa vitu vya kawaida
lakini vilikuwa vinatumika katika kuchunguza Wakristo waliozaliwa mara ya pili
na waendaji tu wa kanisani
ndani ya kanisa.
Mwishowe alinipa wasichana kumi na sita wa
kufanya nao kazi. NINA alikuwa
ni mmoja wao. Nilikuja tena Lagos nikiwa na zawadi hizo nilizozitaja hapo
juu.
Kugeuzwa kuwa wakala wa shetani
Sikuwa na hisia za kibinadamu wala huruma
katika moyo wangu tena.
Nilikwenda katika utekelezaji mara moja na niliharibu majengo matano kwa mpigo. Zote
zilizama ndani ya ardhi na
wenyeji wao. Hii ilitokea Lagos mwaka
Agosti 1982. Mkandarasi aliwajibika kwa
kutoweka msingi mzuri na alilipa
haswa kwa hili. Uharibifu mwingi unaotokea hivi leo katika dunia si kwamba
wote umesababishwa na mwanadamu.
Wajibu wa shetani ni kuiba,
kuua na kuharibu. Nasema tena, "Shetani hana
zawadi ya bure".
Nilikwenda kusababisha ajali katika barabara n.k. Kisa ninachopenda
kusimulia ni kuhusu kijana mmoja
aliyekuwa ndio ameokoka tu ambae alikwenda
akishuhudia wokovu wake na
ukombozi alioupata. Alikuwa
anasababisha madhara mengi katika ulimwengu wa roho kwa ajili ya kufanya
hivi, hivyo nilipanga kufanya ajali
kwa ajili yake. Siku moja alikuwa kwenye basi
zuri sana akienda Lagos.
Alikuwa ameitwa ili aje kutoa ushuhuda
wake. Basi lilipokuwa katika mwendo wa kasi, mimi nikalizungusha tairi nje
ya barabara hivyo likaenda na
kugonga kwenye mti. Abiria wote walikufa
isipokuwa huyu kijana.
Kupona kwake ilikuwa ni kimuujiza kwa
sababu alitoka nje ya gari kupitia buti ya basi na kupiga kelele: "niko
salama! niko salama! "Tulijaribu kumzuia
asishuhudie lakini tulishindwa.
Kwa njia ya TV, tunaweza kujua mtu
aliyetubu, mpya na tunamfuatilia kwa
ukaribu kuona kama tunaweza kumfanya akarudi nyuma. Kama baada ya
miezi sita hatuwezi kufanikiwa,
tunakwenda katika biashara yake na
------------------------------
Page 13
13 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
kuifanya iwe mufilisi. Kama yeye ni mtumishi
wa umma tutamnyanyasa kupitia
kwa bosi, na kama inawezekana
tunafanya bosi kusitisha mkataba au uteuzi wake. Kama baada ya haya yote
hawezi kurudi nyuma basi tunaachana
nae. Lakini kama atarudi nyuma anauawa
kuhakikisha kwamba hapati nafasi ya
pili kutubu.
Niliharibu maisha kwa kiasi kwamba Lucifer akafurahishwa na kunifanya niwe
mwenyekiti wa wachawi.
Mwezi mmoja baada ya Uenyekiti wangu,
mkutano uliitishwa. Tulihudhuria
mkutano huo kama ndege, paka na
nyoka. Viumbe hawa hutumiwa kwa ajili ya sababu zifuatazo:
1. Kuwa ndege kunafanya wachawi wawe
hatari zaidi.
2. Kuwa paka kunafanya wachawi wawe na
uwezo wa kuwa katika roho na
binadamu. 3. Kuwa panya kunawawezesha wachawi
kuingia katika nyumba kwa urahisi,
kisha wakati wa usiku wanakuwa
kivuli, na kisha binadamu na kunyonya damu
za watu.
Katika mkutano huo tulikuwa na agenda moja tu: *"Wakristo" *Tukapanga
kuitisha mkutano wa Afrika wa
wachawi mjini Benin mwaka 1983.
Tulichapisha katika magazeti yote ya kila
siku na vyombo vyote vya habari
vya umma. Nguvu zote za giza walijipanga na walikuwa na uhakika sana kwamba
hakuna kitu chochote
kitakachoingilia kwa kupinga mkutano huu.
Kwa kweli kila kitu kilipangwa
vizuri na kulikuwa hakuna mwanya.
Ghafla, Wakristo Nigeria wakaingia kwenye maombi na sifa kwa Mungu wao na
mipango yetu yote ilizimwa. Si
tu kwamba mipango yetu ilizimwa peke yake
lakini pia kulikuwa na mtafaruku
haswaa katika ufalme wa giza.
Matokeo yake, mkutano wa wachawi 'na mapepo haukuweza kufanyika Nigeria.
Wakristo wanapaswa kutambua
kwamba wakati wao wanaingia ndani katika
sifa halisi kwa Mwenyezi Mungu,
kunakuwa na shida na mvurugano
kote ndani ya bahari na angani,na mawakala wa shetani wanakuwa hawana
nafasi ya kupumzika/kutulia. Maombi
ni kama kutupa bomu la kushitukiza katikati
yetu na kila mtu anatoroka
kuokoa maisha yake.
Kama Wakristo wakitambua na kutumia nguvu na mamlaka ya Mungu aliyowapa,
wataweza kudhibiti mambo
ya taifa lao! Wakristo tu ndio wanaonaweza
kuokoa taifa letu.
Baada ya mkutano huu kushindikana, ambao
baadae ulifanyika nchini Afrika Kusini, niliitwa tena baharini.
Nilipofika, niliambiwa kutokea wakati huo
nilitakiwa kufanya bahari kama
nyumbani kwangu na kutembelea
dunia kwa shughuli ngumu tu. Nilipewa kazi
mpya: kubuni hirizi za waganga, nikiwa mhusika mkuu wa chumba
na mtumaji wa zawadi, yaani ufunguzi wa
makanisa (nyumba za maombezi),
ufunguzi wa nyumba za kujifungua,
kufungua maduka na kufanya yafanikiwe,
kuwapa 'watoto na fedha. Haya yataelezwa moja baada ya jingine:
1. Ufunguzi wa "Makanisa ya nguo nyeupe":
Wakati mtu anakuja kwetu kwa msaada wa
kujenga nyumba ya maombi na
kumsaidia kufanya uponyaji nk,
basi atapewa baadhi ya sheria: a) Atakubali kuchangia kwetu nafsi moja au
mbili kila mwaka.
b) Katika ngazi fulani ya ofisi katika kanisa mtu
atakuwa anaunganishwa na
jamii yetu.
c) Hakuna mwanachama angeruhusiwa kuja katika nyumba ya maombi na viatu
mguuni.
Akisha kubali matakwa hayo,*atapewa kitu
changarawe nyeupe, mifupa ya
binadamu, damu na hirizi, vyote*
katika chungu. Atapewa maelekezo ya *kuzika chungu hiki na vitu vyake
vyote mbele ya kanisa na atazika*
msalaba juu yake. *Baada ya maziko
msalaba tu ndio unapaswa kuonekana.
*Atashauriwa
kujenga Bwawa *au kuweka basini ambapo roho chafu
zinaendelea kuweka maji maalum. Maji
haya ndiyo unasikia huyaita*
"maji matakatifu."
Watu wengi wakisumbuliwa na roho mbaya
wanakwenda kwa hawa "manabii" kwa ajili ya kuwafukuza. Ukweli
ni kwamba, wao huongeza mapepo zaidi kwao.
*Shetani hawezi kumuondoa nje
shetani. *(Luka 11:17-19) Kile
------------------------------
Page 14 14
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
nabii atakifanya ni, atamuombea mshirika na
kisha atampa mshirika kitambaa
chekundu ili kuweka katika nyumba yake, na kisha atamshauri awe
anaomba akiwa na mishumaa na uvumba.
Kwa kitendo hiki mtu anatualika
sisi kwenye nyumba yake. Wakati mwingine
mshirika anashauriwa kuleta mbuzi
n.k, kwa ajili ya sadaka. Sadaka hizi ni kwa ajili yetu kuja na kusaidia kumtibu
mtu huyu. Nabii hana uwezo
wa kutibu au kuponya
*2. Ufunguzi wa Maternities (sehemu za
kujifungulia):*
Kama mwanamke anakuja kwetu kwa ajili ya kupata msaada wa kufungua kituo
cha uzazi na kukifanya
kifanikiwe, atapewa sheria zifuatazo:
"Mwezi utachaguliwa ambao watoto wote
wanaozaliwa katika mwezi huo kwenye
kituo hicho watakufa, na miezi mingine watoto wataishi."
Kama atakubali basi atapewa, dawa ambayo
itawavutia watu kuingia katika
kituo hicho cha uzazi. Kuna
maternities kama hizi Onitsha, Lagos, nk viatu
haviruhusiwi katika vituo hivyo.
3. Ufunguzi wa Maduka ya dhana:
Mtu anapotufuata sisi kwa ajili ya msaada
katika suala hili, anapewa pete
na mashariti kwamba hakuna
mwanamke atakayeruhusiwa kugusa pete yake. Ni lazima pia akubali kuwa
mwanachama wetu. Kama atakubali
kupokea kutimiza masharti hayo, duka lake
litakuwa linajaa vifaa vya ubora
na vya kisasa.
4. Kutoa Watoto Kama mwanamke tasa atakwenda kwa
mganga, baada ya kuweka malalamiko yake,
ataulizwa kuleta yafuatayo:
jogoo mweupe, mbuzi, chaki ya asili na baby
care. Ataambiwa arudi na
atakapokuwa ameondoka,mganga atakuja kwetu kuleta vitu hivi. Kisha
tutachanganya vitu fulani ambavyo ni
vigumu kuelezea kwa maandishi, na
tutaweka majivu ya mwanadamu. Atatumia
dawa hii kumpikia chakula mwanamke
nk. Atapata mimba na kuzaa, lakini siyo binadamu wa kawaida. Kama
mtoto ni wa kike ataweza
kuishi na hata kuolewa lakini
atakuwa bado tasa maisha yake yote. Kama
mtoto ni wa kiume ataishi lakini
atakufa kifo cha ghafla. Huwa awaishi kuzika wazazi wao.
Napenda kukueleza hapa kwamba utasa mara
nyingi unasababishwa na mapepo.
Unaweza kuona mwanamke
tasa hapa duniani, lakini anaweza kuwa na
watoto wengi tu baharini. Kwa hiyo nashauri watoto wa Mungu
kumsubiri Mungu pekee kwa sababu Mungu tu
ndio huwapa watu watoto halisi.
5. Kutoa fedha:
Kama mtu anakuja kwetu kwa ajili ya kupata
fedha, atapewa masharti yafuatayo kuyatimiza: Ataambiwa kutoa
sehemu ya mwili wake au kama ana familia
ataambiwa kuleta mtoto wake wa
kiume. Kama yuko mwenyewe
basi ataombwa kumtoa kafara kaka yake au
mdogo wake. Yeyote atakayeamua kumleta ni lazima atoke
katika tumbo moja. Kitu muhimu
cha kutaja: siku ya kufanya
mauaji ya mhusika, mtu ambaye amempeleka
atapewa mkuki,au mshale. Uhusiano
wake utawekwa katika file kwenye kioo. Mara baada ya mtu yule
anayetakiwa kumtoa kupita, ataambiwa
apige ile sehemu ya faili iliyo
kwenye kioo,basi akifanya tu hivi yule mtu
anakufa pale mahali alipo.
Kuna njia nyingine lakini jambo moja Shetani hufanya ni kwamba:
anahakikisha kwamba katika njia hio
tofauti, mtoaji anakuwa mwajibikaji kwa ajili ya
kifo cha mwathirika, kwa
kufanya mtoaji ampige mlengwa,
kumbuka Shetani hana zawadi ya bure! ------------------------------
Page 15
15
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura 4: Jinsi shetani anavyopigana na Wakristo
*«Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama; bali ni juu ya
falme na mamlaka, juu ya wakuu *
*wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya
katika ulimwengu wa roho. »* *Waefeso. 6: 10-12 *
Kupigana na Wakristo
Baada ya amri ya Lucifer kupambana na
Wakristo, sisi tuliketi na kuchora
ramani ya kupambana nao kama
ifuatavyo: 1. Kusababisha magonjwa.
2. Kusababisha utasa.
3. Kusababisha usingizi katika kanisa.
4. Kusababisha machafuko katika kanisa.
5. Kusababisha uvuguvugu katika kanisa.
6. Kuwafanya wawe wajinga wa neno la Mungu.
7. kwa mitindo na uigaji.
8. Kupambana nao kimwili.
Miongoni mwa hayo juu napenda kuwaeleza
mawili:
1. Kupambana kimwili: Kwa TV niliyopewa, niliwaona Wakristo
waliozaliwa mara ya pili. Hatupigani
na wanafiki kwa sababu wao ni
mali yetu tayari. Tuliweza kuwatuma
wasichana wetu kwanza katika makanisa
makubwa. Ndani ya kanisa walikuwa wanatafuna jojo au kumfanya mtoto
alie au kufanya chochote ambacho
kilivuruga watu kusikiliza neno
la Mungu. Wanaweza kuamua kuja kiroho na
kusababisha watu kulala wakati
mahubiri yanaendelea. Wakikuona uko makini kwa sababu ya mahubiri,
wanaweza kukusubiri nje ya kanisa na
unapokuwa ukitoka kuja nje ya
kanisa, mmoja wao anakusalimu na hata
kukupa zawadi ( na mara nyingi ni
zawadi ya kitu kile upendacho ) na wataonekana ni marafiki sana. Atafanya
kila kitu na kabla haujajua
kinatokea unakuwa umesahau kila kitu
ulichojifunza kanisani . Lakini kwa Mkristo
halisi,mmoja ya wasichana hawa
,baada ya ibada, ataruka nje kukusalimu na atapenda kujua nyumba yako
kwa kisingizio kwamba yeye ni
mgeni katika mji na hawajui
Wakristo wengi wanaomzunguka. Ukimpeleka
nyumbani kwako, kwa haraka
atanunua ndizi na Mkristo atachukulia hii kama ishara ya upendo.
Ataendeleza ziara zake mpaka
hatimaye anaweka mbali mwanga wa
Kristo ndani yako na kisha anaacha kuja.
Shughuli kuu katika makanisa
yaliyo hai na shirika zilizo hai ni : kuwasumbua Wakristo wasisome na kujifunza
neno la Mungu, na hivyo kuwafanya
wajinga wa mamlaka na
ahadi za Mungu. Katika mikutano ya injili
wasichana hawa wanatumwa
kusababisha kutoelewana na ugomvi. Jinsi wakirsto wanavyojulikana?
Wakristo waliozaliwa mara ya pili hawajulikani
kwa Biblia wanayobeba kila
siku au ibada nyingi
wanazohudhuria. Wanajulikana katika
ulimwengu wa roho kwa mwanga ambao huendelea kuangaza wakati wote
kama mshumaa mkali sana katika moyo au
mduara wa mwanga unaozunguka kichwa
au ukuta wa moto
unaowazunguka. Mkristo anapokuwa
akitembea, tunaona malaika wakitembea pamoja naye mmoja mkono wa
kuume, mmoja kushoto, na mmoja nyuma. Hii
inafanya kuwa vigumu kwa sisi
kuja karibu yake.
Njia pekee ya sisi kufanikiwa ni kwa kumfanya
Mkristo atende dhambi, na hivyo anatoa mwanya wasisi kuja na
kuingia ndani. Mkristo akiwa anaendesha gari
na tunapotaka kumdhuru,
tunaona kwamba siku zote hayuko peke
------------------------------
Page 16 16
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
yake katika gari. Siku zote kuna malaika
pembeni mwake. *Oh kama Mkristo
akijua tu yote ambayo Mungu* *anafanya kwa ajili yake, hawezi kutenda
dhambi au kuishi ovyo ovyo !*
2. The Making of Backslidden Christians
Kama mwenyekiti aliyeteuliwa na Lucifer,
niliwatuma wasichana hawa
makanisani na sharika zinazoishi/hai . Wasichana hawa wanakuwa wamevalia vizuri
na baada ya mahubiri wanakuja
kwenye madhabahu kama
wameitwa, na watajifanya kuwa wamempokea
Kristo na wataombewa. Mwishoni mwa
ushirika au ibada watazungukazunguka nje na kumsubiri
mhubiri ambaye kiukweli atakuwa na
furaha sana na waongofu hawa
wapya.
Waongofu hawa wapya wanaweza hata
kumfuata mhubiri nyumbani kwake. Kama mhubiri hana roho ya
kupambanua watamvutia aingie katika dhambi
ya uzinzi au uasherati . Hii
inafanyika wakati pale mhubiri
anapokuwa amemtamani. Atahakikisha
amendelea katika dhambi hii mpaka pale atakapoona amemzimisha Roho
wa Mungu ndani yake na kisha anaondoka,
huku mkakati wake umetimia.
Mahali hapa ningependa kutoa ushuhuda wa
Mhubiri. Katika ulimwengu wa
roho/kipepo yeye anajulikana kama mtu wa Mungu(man of God). Anapokwenda
kwenye magoti yake kunakuwa na
mvurugano kati yetu. Kwa hiyo
tunatuma wasichana hawa kwake. Mtu huyu
anaweza hata kuwalisha lakini
atakataa kunaswa na mitego yao. Walijaribu kila walivyoweza lakini kamwe
hawakuwahifanikiwa. Matokeo
yake, wasichana hawa waliuawa
kwa kushindwa kwao.
Mimi nilijigeuza na kuwa mwanamke kisha
nikamwendea, kwa maneno na vitendo nilijaribu kumshawishi, lakini
alikuwa mgumu. Hii ilikuwa ni kazi kubwa mno
kwangu, hivyo nilidhamiria
kumuua kabisa kimwili. Siku moja,
Mhubiri huyu alikwenda soko la barabara ya
Oduekpe. Nilimwangalia na alipoinama chini kununua baadhi ya
bidhaa nilijizungusha kwenye tairi za trailer
iliyokuwa imebeba mafuta ya
mafuta kuelekea sokoni alipokuwa
mhubiri. Trailer/gari likapiga nguzo kubwa sana
ya NEPA na ikangukia katikati ya soko, na kuacha watu wengi
wamekufa, lakini Mhubiri alitoka mzima. Jinsi
gani alipona ulikuwa ni
muujiza. Siku nyingine, nilimuona
akisafiri kwenda Nkpor kwa miguu.
Nililizungusha gari la jeshi lililokuwa limebeba viazi vikuu vya kumuua.
Lori lilikwenda moja kwa moja ndani ya
barabara mpya ya makaburini, na
kuwaua watu wengi mno, lakini
muhubiri huyu bado alikuwa mzima. Baada ya
jaribio hili la pili tulikata tamaa.Yeye bado yuko hai hata leo hivi!
Kwa sababu ya mkristo mmoja, shetani
anaweza kuamua kuharibu roho nyingi,
akifikiri anaweza kumuua, lakini
siku zote anashindwa. Matukio haya
yameyotokea kwa Wakristo wengi bila ya wao kujua, lakini Mungu wao
huwaokoa mikononi mwa adui zao siku zote.
Shida ni kwamba, Shetani hachoki.
Mawazo yake yako palepale:
"Ninaweza kufanikiwa." Lakini kamwe
hafanyikiwi. kama tu Mkristo atatembea na *Upendo wa Mungu na *
*kubakia ndani yake na ajichanganyi na
mambo mengine ya maisha haya,
shetani hawezi kumpata,*
*vyovyote vile shetani anaweza kujaribu.
Wasioamini tu ndio wako chini yake.*
Ukandamizaji wa Wakristo
Hii hutokea hasahasa katika ndoto. Mkristo
anaweza kuona katika ndoto yake
yafuatayo:
1. Mtu mfu anamtembelea 2. Kinyago kinamfuata.
3. Marafiki wanaogelea katika mto
4. Marafiki wanaleta chakula na wanamsihi ale.
5. Msichana wa kike anafanya ngono au
msichana aliyeolewa anafanya mapenzi
na mwanaume. Hii, kama si haitashughulikiwa, wakati mwingine
husababisha utasa.
Au mwanamke mjamzito anajiona anajamiiana
na mtu. Hii, kama
haikushughulikiwa, inaweza kusababisha
kuharibika kwa mimba. ------------------------------
Page 17
17
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Kama Mkristo akikutana na hayo huu katika ndoto yake, hatakiwi kuweka kando
mambo haya kwa kupuuzia
bali akitoka kwenye ndoto tu inampasa
ajichunguze mwenyewe na atubu dhambi
yeyote ile inayojulikana na
kufunga pepo wote na kumsihi Mungu arejeshe kila kitu alichokutana nacho
ndotoni. Hii ni muhimu sana. Mtu
ni lazima pia kutafuta msaada na ushauri kwa
mkristo aliyejazwa na Roho
Mtakatifu, wakongwe katika imani.
Shetani na mkakati wa kuvuna roho Yesu Kristo alipokuwa akiondoka duniani,
aliwapa wanafunzi wake amri:
"Akawaambia enendeni ulimwenguni
kote mkafanye wanafunzi kwa kila taifa"
Wakati Wakristo bado wanasubiri
mazingira mazuri na wakati mzuri kwa ajili ya kutii amri hii, Tofauti ni kwamba,
*mawakala wa shetani wako
na bidii kubwa zaidi katika kuvuna*
roho za Wakristo !
Moja ya maeneo ya shetani katika kuvuna
roho ni shule za sekondari, hasa za wasichana. Baadhi ya wasichana
wetu wanatumwa katika shule kama
wanafunzi. Tunawapa kila chupi ya kisasa
na nzuri na zenye gharama kubwa.
Hii ndio kipaumbele cha kwanza, kwa sababu
katika hosteli za wasichana wao hupendelea kutumia chupi tu .
Mawakala wetu kamwe hawakosi kitu
chochote, vipodozi, nguo , chupi ,
vitabu, fedha na mahitaji. Sabuni
maalumu za kuoga atapewa ili kutoa kwa
mwanafunzi yeyote ambaye atahitaji sabuni kutoka kwake. Msichana
anayetaka kuwa kama yeye atavutiwa na
kufanya urafiki nae. Hatua kwa hatua
wakala wetu atatutambulisha
kwake. Nasi tutamtembelea kimwili na kuanza
kumpa zawadi na kumtimizia mahitaji yake. Kwa hili, atajiunga
nasi kwa hiari . Yeye naye atawavuta wengine
na itaendelea hivyo. Hii
inachukuliwa kama mkakati wenye
dhamira ya kufanikiwa.
Jambo moja la kuzingatia: shetani hamlazimishi mtu yeyote. Anachokifanya ni
kuwavutia watu na kuwafanya
waje kwake kwa hiari. Ndiyo maana Biblia
inasema: "mpingeni shetani naye
atawakimbia" (James 4:7). Eneo
jingine la kuvuna roho la shetani ni kutoa lifti. Tunawapeleka wasichana
wetu kusimama barabarani, na kwa
kawaida huwa ni warembo sana na wamevaa
mavazi ya kuvutia. Unaweza pia
kuwapata kwenye hoteli na kupitia
maeneo haya tunawapata wanaume na wanawake. *Watu wengi tunaowaona
wanatangazwa katika magazeti*
*kama wamepotea, ni baada ya kutoa lifti kwa
wasichana, wasiowajua.*
Unapaswa kuwa makini ni nani ambaye
unampa lifti. ------------------------------
Page 18
18
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura 5: Nilipokutana na Yesu Katika mwezi Februari 1985, tulikuwa na
mkutano wetu wa kawaida katika
bahari, baada ya hapo niliamua
kusafiri kwenda Port Harcourt katika jimbo la
Rivers, kutembelea mke wa
marehemu mjomba wangu. Nilikutana na mtu mmoja aitwaye Anthony. Yeye ana
karakana pale kwenye makutano ya
Nwaja, sambamba na barabara ya
Trans-Amadi, Port Harcourt, Rivers State.
Alimtuma mtu huyu kwa ajili yangu
na kwa sababu katika jamii yetu tuna sheria kwamba hatupaswi kukataa muito,
niliamua kujibu muito wake.
Nilikwenda kwake mchana siku ya
Alhamisi ya wiki hiyo. Alianza kwa kusema
Mungu amempa ujumbe kwa ajili
yangu. Akatoa Biblia yake na kuanza kuhubiri. Kulikuwa na Wakristo
wengine watatu wameketi (mwanaume na
wanawake wawili). Aliendelea
na mahubiri yake kwa muda mrefu na sikuwa
na uhakika kama nilisikia yote
aliyosema. Alinisihi nipige magoti kwa ajili ya maombi. Nilimtii na taratibu nikapiga
magoti.
*Mara ghafla akaanza maombi yake.
Naliangushwa chini na roho wa Mungu na
nikaanguka*
nikajinyoosha. Nilijitahidi kuinuka na nikasimama kama chuma.
Nikavunjavunja viti vya chuma ndani ya
karakana. Niliangalia nje na kuona
wanachama watatu wa jamii yetu ya siri,
mwanaume na wasichana wawili.
*Walikuja katika umbo la binadamu na kusogea mpaka mlangoni lakini kwa
sababu ya nguvu ya Mungu*
hawakuweza kuingia.
Nina hakika kengele ndani ya bahari
iliwataarifu shida ilipokuwa na kwa TV
walijua wapi ambapo tatizo lilikuwa na walituma waokoaji wasio na nguvu. Hii
mara zote hufanyika wakati
mwanachama yeyote ameingia katika
matatizo. Wakati wale wakristo wawili
wakinivuta chini kwenye magoti yangu,
wasichana wawili waliendelea kuomba na kufunga mapepo, lakini hawakuwa
wanalenga hasa nini wanachofunga.
Wakaniuliza kama
ninamuamini Yesu Kristo, sikusema chochote.
Wakaniuliza niite jina la Yesu,
nami nilikataa. Wakaniuliza jina langu niliwaambia. Wakajitahidi kwa masaa na
wakaniachia niende. Hakuna
roho iliyoondolewa ndani mwangu,
hivyo nilitoka hivyohivyo sawa na nilivyoingia.
Maatukio ya Kanisani
Siku iliyofuata ilikuwa ni Ijumaa, nilialikwa na Anthony huyo huyo
kuhudhuria usiku wa mkesha wao katika
kanisa la Assemblies of God, Silver Valley,
Port Harcourt. Nilikubali
mwaliko huu kwa sababu kuhudhuria ibada
ya makanisa na kusababisha usingizi na machafuko ilikuwa ni sehemu ya kazi
yetu. Ibada ilianza na pambio.
Tuliimba mpaka mmoja wa wajumbe
wenzangu akaanzisha kiitikio maarufu cha
bendi moja ya kikristo,
kinachozomea uwezo na mamlaka ya nguvu zingine isipokuwa nguvu za Yesu.
Kisha nikaanza kucheka. Nilicheka kwa
sababu katika roho niliwaona maisha
yao karibu robo tatu ya watu
waliokuwa wanaimba kiitikio kile walikuwa
wanaishi katika dhambi. Nilijua kuwa kwa sababu ya dhambi
*katika maisha yao, ni wazi kuwa
wangeharibiwa vibaya na nguvu hizi. Ni
muhimu kwa wakristo kutii neno*
*la Mungu na si kuruhusu dhambi kubaki katika
maisha yao. *Katika ibada hiyo tulikuwa wanne kutoka
baharini na tulikuwa tukiimba na kupiga makofi
pamoja nao. Tena nataka
kusisitiza hapa kwamba wakati ibada
inaanza, waumini ni vyema na wanashauriwa
kwanza kukiri dhambi zao na kutubu, kisha kwenda katika kipindi
cha sifa halisi kwa Mungu. Hii itafanya wakala
wa Shetani awe na wasiwasi
sana na ataondoka ili kuyaokoa
maisha yake.
Katika ibada hii tulikuwa tunaujasiri sana hata tukaingia katika utendaji.
Wengi walianza kulala, pambio zilikuwa
zikiimbwa kwa udhaifu na mambo yakaenda
zig-zag. Ndugu Anthony alikuwa
tayari amewaambia kuhusu mimi
kwa hiyo saa 02:00 waliniita nitoke mbele na waanze kuniombea. Mara
nilipotoka mbele walianza kuita damu ya
Yesu. Nikawasimamisha na kusema: "Si
kuomba kwa damu ya Yesu ndio ufumbuzi.
Mimi ni mwanachama
mkubwa sana katika jamii za watu wa chini ya bahari. Kama mnakubali kwamba
mnaweza kunikomboa, basi
nipige magoti. "Maneno haya niliyasema
sikuwa nimeyapanga. *Damu ya Yesu
inaogopesha mapepo na *
------------------------------ Page 19
19
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
*kumlinda muamini, lakini haifungi mapepo.
Kufunga mapepo na kuyatoa inafanyika tu pale Mkristo*
anapotumia mamlaka yake na kutoa amri.
Walikubaliana na mimi nikapiga magoti. Katika
hatua hiyo dada mmoja
aliiongozwa na Roho wa Mungu na
kuongea kwa sauti akasema: "Kama hauko vizuri, usijaribu kusogea karibu!"
Nina uhakika wengi hawakuwa
wameelewa nini maana yake. *Ni hatari kwa
Mkristo anayeishi katika dhambi
kutoa pepo. *Wengi waliondoka
na wachache wakatoka kuja kuomba kwa ajili yangu. Walipoanza kusema "Katika
jina la Yesu," Nikasikia
(mpasuko mkubwa) big bang kubwa ndani
yangu na nikaanguka juu ya sakafu.
Mara pepo wanaokuruka ndani
yangu wakanza kufanya kazi. Nikaanza kukimbia kwa kifua changu. Mtu yeyote
mwenye hili pepo la kuruka ni
muovu na hatari sana. Ndugu/Waamini
hawakuona nini kinatokea kiroho.
Nilikuwa nakimbia mbio kwa sababu
ya nguvu kubwa iliyokuwepo katika chumba. Nguvu mbili za upinzani zikaanza kufanya kazi
pia na anga likabadilika.
Ghafla nikasimama na nikawa na vurugu
sana nk. Pepo, likatoka ndani yangu na
kumkamata mvulana aliyekuwa kati yao
na likaanza kupambana nao, likijaribu kuniokoa mimi. Ndugu hawakupoteza
muda nae badala yake
wakamkamata yeye pamoja na wengine
waliokuwa wanaogopa na kumfungia katika
vestry ya kanisa. Hii iliendelea
mpaka 7:00 Nilikuwa nimechoka sana kimwili na nikawa nimetulia, hivyo ndugu
wakakusanyika karibu yangu
tena na kuanza kuniambia: Wataje
ni akina nani hao nk Nilikaa kimya tu. Baada ya
kusubiri kwa muda mrefu na
kuona sikuwa nimesema kitu, walidanganyika na kuamini kwamba nilikuwa
nimekombolewa. Wakaomba na
tukatawanyika. Nilikuwa kimwili
dhaifu kiasi kwamba ilikuwa ni vigumu
kutembea kwenda hata nje ya kanisa.
Lakini kitu fulani kilitokea, mara baada ya kwenda nje ya kanisa na kuvuka
barabara, nikawa na nguvu nyingi za
kimwili. Labda inawezekana baadhi ya mapepo
yaliyotoka yakarudi tena ndani
yangu. Nilikasirika sana na
kuamua kulipiza kisasi juu ya kanisa. "Hawa watu wamenidhalilisha"
Nikajisemea mwenyewe, na kwa jinsi
walivyonifanyia nitarejea Lagos na kupata
nguvu zaidi pamoja na wengine
waovu kama mimi, na kisha narudi
Port Harcourt kulipiza kisasi kwa kanisa zima la Assembly of God, Silver
Valley.
Safari yangu ya Lagos
Nilipofika kwenye nyumba ya mke wa mjomba
wangu, Niliwaambia nitaondoka
kurudi Lagos mara moja. Nilikataa wasinisihi kubaki na nikachukua teksi
mpaka kituo cha magari cha
Mile 3. Ambapo nilichukua teksi
ya kwenda Onitsha. Nia yangu ilikuwa
kusimama Onitsha, kumuona rafiki na
kisha kuendelea mpaka Lagos. Pale Mile 3 tukaondoka na tulipokuwa tumefika njia
panda ya kwenda Omagwe,
katika makutano ya uwanja wa ndege
wa Kimataifa, nikasikia sauti ikiniita kwa jina
langu la asili "NKEM."
Nikageuka nyuma kuona kama kuna sura yeyote ninayoijua kwenye teksi, lakini
hakukuwa na mmojawapo anayenijua.
Huyu anaweza kuwa nani? Ni
marehemu mama yangu tu ndiyo alikuwa
akiniita kwa jina hilo, wengine wote
pamoja na ulimwengu wa kipepo walinijua mimi kama Emmanuel.
Nilipokuwa bado nashangaa, sauti ikasikika
tena : *" NKEM , unakwenda
kunisaliti kwa mara nyingine tena *
*?" *Sikuweza kuitambua sauti lakini sauti
iliendelea kuniuliza : " Je, unakwenda kunisaliti kwa mara nyingine
tena" Ghafla nikawa na homa kali. Joto
lililotoka mwilini mwangu lilikuwa
liko juu mno kiasi kwamba abiria
wengine walilisikia. Mmoja wao akaniuliza:
"Mheshimiwa, ulikuwa vizuri kabla ya kusafiri?"Niliwaambia
nilikuwa vizuri na sikuwa naumwa hata na
kichwa kabla ya kuondoka Port
Harcourt.
Tulipofika Umuakpa Owerri, nilianguka ndani
ya teksi. Kilichofuata ni kwamba watu wawili, warefu na
wakubwa, walikuja kunichukua mmoja upande
wa kushoto na mwingine upande wa
kuume, na hawakuzungumza
neno lolote kwangu. Waliniongoza kwenye
barabara mbaya sana yenye chupa na vipande vya
chuma vilivyokuwa
vinanikatakata nikaanza kulia, lakini hawa watu
hawakusema neno lolote.
Tuliendelea mbele na kufika kwenye
barabara ya kasi. Ilikuwa hapa mmoja
akaniambia *"Wewe unatafutwa sana"*na tukaendelea. Tuliendelea mpaka kwenye jengo kubwa na refu lililofanana na jengo
la mikutano. Tulipokanyaga
ndani ya sakafuni tu sauti kutoka
ndani ikasema: "*Muingizeni ndani"
*Waliniingiza ndani kisha wakatoweka, na
kuniacha peke yangu. Nilichokiona ndani ya ukumbi huu ni vigumu
kueleza, lakini nitajaribu
kuelezea kadiri nitakavyoweza. Ukumbi
ulipambwa vizuri sana na ulikuwa mkubwa
sana na mrefu kiasi kwamba ilikuwa
ni vigumu kuona mwisho wake. Nilitembea mpaka katikati na ndipo niliweza wa
kuona mwisho wake. Mwishoni
kulikuwa na madhabahu. Kisha
nikaona kiti cha enzi na na aliyekuwa ameketi
juu ni mwanaume mzuri sana
mwenye nguo inayong`aa kama jua. Akasema: *"Njoo!" *Lakini kwa sababu ya
mwangaza wake sikuweza kwenda. Kila
nilipojaribu kunyanyua mguu
wangu nilianguka.
Nilisimama, nikajaribu tena na nikaanguka.
Ghafla mtu huyo akatoka kwenye kiti cha enzi alipokuwa
amekaa,akahamia kwa juu kidogo nilipokuwa
nimesimama. Kisha mikono miwili
ikatoka nje ya mtu huyo,
ikanishika kichwa changu na kunitikisa na mwili
wangu wa kibinadamu ukajivua kama unavua nguo.. Na yule
mimi mwenyewe sasa akasimama. Mikono
akaikunja kama mtu anaye kunja nguo na
akaitupa kwenye kona. Mtu
yule akarudi tena kwenye kiti chake cha enzi
na akakaa na kusema tena: " Njoo! "
Kutakaswa Kiroho

Nikatembea mpaka pale naye akasogea
kutoka katika kiti cha enzi, akanyofoa
miguu yangu mmoja baada ya
mwingine na akamwaga kile kilichokuwa ndani yake, na akaiweka tena vizuri.
akafanya hivyo pia kwenye
mikono na akaiweka tena, Yaani ni hivi
sehemu zote ambazo Malkia wa Pwani
aliweka nguvu zake humo.
Nikatafakari sana kwenye fikra zangu, huyu atakuwa nani na amejuaje kuwa
maeneo haya ndiyo yalikuwa
yametunza nguvu zangu. Baada ya haya
alirudi tena kwenye kiti chake na
akaniambia niende. Nilipoanza tu
kutembea, vitu fulani vikaanza kuanguka kutoka kwenye mwili wangu , magamba
yakaanguka kutoka katika
macho yangu, nk, lakini kabla sijafikia
madhabahu tayari vikaacha.
Aliniuliza. " UNAKWENDA WAPI ?"
Nikajibu, nikasema, "Ninaenda Onitsha kumuona rafiki."Akasema: *"Ndiyo,
lakini mimi nitakuonyesha nini*
ulichopanga kwenye akili yako. " Hadi wakati
huu sikujua alikuwa ni nani,
lakini jambo moja nililokuwa na
uhakika nalo ni kwamba alikuwa mwenye nguvu zaidi kuliko nguvu zote
nilizowahi kukutana nazo. Alisema kwa
ishara na mtu ambaye aliamriwa kunionyesha
mimi nini nilichokuwa
nimedhamiria moyoni kukifanya. Mtu huyu
alinipeleka kwenye chumba na akufungua kitu kama ubao. Kwa kweli, kama
kulikuwa na njia ya kutoroka
ningeweza kutoroka, kwani mbele yangu
yaliandikwa yote niliyopanga kufanya
dhidi ya Wakristo na mpango
wangu dhidi ya kania la Assemblies of God, Silver Valley. Mtu huyu
akanileta tena madhabahuni na akaniacha.
Akatoka katika kiti cha enzi na akanishika kwa
mikono yake na akasema kuwa
anakwenda kunionyesha mimi
mambo fulani. Tulipokuwa njiani Akasema: *"Mimi sitaki wewe upotee lakini
nikuokoe na hii ni nafasi yako *
*ya mwisho. Kama hautatubu na kuja
kunitumikia, utakufa. *Nitakuonyesha
makazi ya waliookolewa na
waasi." Alivyosema hivyo, nikajua alikuwa ni Yesu Kristo.
Ufunuo wa Kimbingu

Tukaingia katika chumba fulani na akafungua
kitu kama pazia. Niliona dunia
nzima, watu na shughuli zote za
kinachoendelea. Nikaona Wakristo na wasio wakristo wote wanafanya jambo
moja au jingine. Tulikwenda
kwenye chumba cha pili . Akafungua pazia
tena na nilichokiona ilikuwa ni
kitu mbaya kuonekana. Watu
wamefungwa minyororo ! Aliwaita watu hawa " *wanafiki. *"Watu hawa
walionekana ni watu wenye huzuni
kubwa, Akasema: ". *Watabakia hivi mpaka
siku ya hukumu "*
Tulienda katika chumba cha tatu. Akafungua
pazia na nikaona watu wengi wanafuraha na wakiwa wamevaa
mavazi meupe. Wakati huu nikamuuliza : " Ni
kina nani hao " Akasema: *"Hawa
ni wale waliokombolewa *
*wanasubiri ujira wao. " *Tulikwenda katika
chumba cha nne na nilichokiona kilikuwa cha kutisha mno.
------------------------------
Page 21
21
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu* Ndugu msomaji, ni vigumu kuelezea.
Ilionekana kana kwamba mji mzima unawaka
katika moto. Kuzimu ni halisi
na niyakutisha. Kama ulikuwa umefanywa
kuamini kwamba Mbinguni na Kuzimu ni
hapa duniani na kwamba hakuna maisha mengine mara baada ya kifo
bali ni kuoza na kupotea kabisa,
ni bora ukashauriwa vizuri hapa na
sasa kwamba kuzimu halisi ni halisi na kuna ni
kweli mbingu ipo!
Usistaajabu Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani Aliwaonya watu kuhusu kuzimu.
Nasema tena , kuzimu ni halisi.
Niliiona na ni mahali pa kutisha.
Nikamwuliza : " Ni nini ?" Jibu lake lilikuwa :
*"Hii imetayarishwa kwa
ajili ya shetani na malaika wake na* *kwa walioasi" *Akataja kwa majina yao kama
ilivyoandikwa katika Ufunuo
21:8: "Bali waoga na wasioamini na
haramu, na wauaji, na wazinzi na wachawi,
waabudu sanamu na waongo wote,
sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti ambayo ni mauti ya pili
" .
Tulipoenda katika chumba tano na Alipofungua
pazia, nilichoona kinaweza tu
kuelezewa kama UTUKUFU.
Ilikuwa ni kama tunangalia kutokea kwa juu. Niliona mji mpya. Mji ulikuwa
ni mkubwa na mzuri! Mitaa ni ya
dhahabu. Majengo hayawezi kulinganishwa na
kitu chochote katika dunia hii.
Alisema: " hili ni tumaini la watu
*wa Mungu. *Je, utakuwepo mahali pale "Haraka nikajibu" Ndiyo " Baada ya
hayo tulirudi katika kiti cha enzi na
Akasema: "!*Nenda kashuhudie nini
nilichokufanyia "*
Tena, alinichukua mpaka katika chumba
kingine na alipofungua pazia nikaona mambo yote ambayo nilikuwa
naenda kukutana nayo kwenye safari yangu
ya kwenda Onitsha na Lagos na
jinsi gani hatimaye atanikomboa.
Baada ya hayo Akaniambia : *"Usiogope,
nenda, nami nitakuwa pamoja nawe." *Aliniongoza,
nje ya ukumbi
na akatoweka kabisa, na mara nikaamka
kwenye kitanda katika nyumba ya
mwanaume mwingine. Nikapiga
kelele, mtu na mke wake wakakimbia kutoka katika chumba chao. Wakachungulia
na kisha wakaingia "Kwa nini
niko hapa? " Niliuliza. Mwanaume yule ndio
alielezea jinsi nilivyoanguka
katika teksi na jinsi walivyonipeleka
kwenye kanisa la Katoliki pale Owerri. Jinsi walivyomleta Daktari, ambaye
alikuja na baada ya kunichunguza
afya yangu alisema mapigo yangu yalikuwa ya
kawaida na kwamba wanapaswa
kusubiri na kuona nini
kitatokea. Daktari akawapa uhakika kwamba nitapata nguvu tena. Ndipo
alinichukua kwenye gari lake mpaka
nyumbani kwake na alikuwa akisubiri. Pia alikiri
kwamba hakujua kwa nini
alimuamini Daktari na kwa nini
alichukua jukumu la kunichukua mpaka nyumbani kwake.
Waliniuliza jina langu na anwani ambayo
niliwapa na baada ya hapo niliamua
kukaa kimya na sikuwaambia
uzoefu wangu huo. Nilikaaa kwa utulivu na
familia hii yenye wema kwa siku mbili na kisha mtu huyu na mkewe
walinipeleka mpaka kituo cha magari cha
Owerri, ambapo nilichukua teksi na
kwenda Onitsha. Yote yale Bwana
alinionyesha kuhusu safari yangu yalitokea
moja baada ya jingine. Nilichukua teksi nyingine ya kwenda Lagos.
Jambo la kwanza asubuhi iliyofuata. Nilitii na
kuondoka Lagos kuelekea Port
Harcourt. Huwa najiuliza mara
nyingi, kwa nini Bwana aliamua kuniokoa mtu
kama mimi. Mtu muovu na muharibifu, wakala wa Shetani !
Nilipata jibu katika maneno haya matatu:
Mungu ni upendo. Hakika, Mungu
ni Upendo! (1 Yohana 4:8 , 4:16)
------------------------------
Page 22 22
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura6: Vishawishi na Ushindi
*« Kondoo wangu huisikia sauti yangu; mimi
nawajua, nao hunifuata. Mimi nawapa uzima wa milele; nao*
*hawatapotea milele, wala hakuna mtu
atakayeweza kuwatoa mkononi mwangu.»
Yohana10: 27-28*
Baada ya kubadilika na kwenda kwa Kristo,
jambo la kwanza lililotokea ni kwamba zawadi zote kutoka baharini,
darubini, TV, mashati, picha nilizopiga nikiwa
ndani ya maabara za baharini
na picha ya Malkia wa Pwani ambazo
zilionekana katika gorofa yangu zilitoweka.
Niliporudi Port Harcourt, nilikuwa na hamu ya kushuhudia kile Bwana
alichonifanyia kwa ajili yangu lakini
sikuruhusiwa ndani ya kanisa . Mke wa
marehemu mjomba wangu, ambaye pia ni
Mkristo, alinichukua mpaka
kwa mchungaji mmoja, lakini swali alilouliza lilikuwa ni: "Je,ameleta
karatasi?" Ilikuwa ni baadaye sana
nilielewa kwamba karatasi ilikuwa ni 'barua ya
uanachama. Barua ya
uanachama inahusika vipi na ushuhuda
wangu wa nguvu ya Kristo na kile amefanya kwa ajili yangu- Mungu,
amenikomboa kutoka katika nguvu za giza
na kuniingiza katika ufalme wa Mwana wake
mpendwa, ambaye nimepata ukombozi
kupitia damu yake, yaani,
na hata msamaha wa dhambi zangu ? Nilihuzunika, baada ya kujua kwamba Shetani
haruhusu waumini wachanga
kwenda na kushuhudia, hasa wale
ambao hapo awali walikuwa washiriki wakubwa
katika shughuli zake , na
anafanya kila kitu kuzuia shuhuda hizo. Tena nikakumbuka, ni dhahiri Bwana aliniagiza
"*kwenda na kushuhudia kile
amenifanyia *" na hapa nilikutana
na kipingamizi. Labda ilikuwa bado si wakati
wake. Hivyo niliamua kuachana
na kutoa ushuhuda wangu kwa mtu yeyote. Nilisafiri na wafanyabiashara
watatu kutoka Aba kwenda Togo kwa
safari ya kibiashara. Pale
nilinunua bidhaa yenye thamani ya N160,000
(Mia moja na sitini elfu za
Naira). Kati ya pesa hizi pesa yangu binafsi ilikuwa ni shs N70,000 na nyingine yote
iliyobakia N90 ,000
nilikopa kwa wafanyabiashara wa Aba.
Miongoni mwa mambo niliyonunua ilikuwa ni
furushi la kamba, madawa
mbalimbali ( hasa antibiotics ) , sindano, vipimajoto, nk
Nilipofika mpakani mwa Nigeria, Tulishikiliwa
kwa ajili ya ushuru wa
Forodha na baadaye tulitakiwa kutoa
rushwa. Tulikataa na bidhaa zilikamatwa ikiwa
ni pamoja na zile za wenzangu. Miezi michache baadaye, Ile
mizigo ya wenzangu ilitolewa, ila yangu
haikuruhusiwa. nilirudi baadaye na
nikaambiwa kulipa N40,000, lakini
nilipoangalia mali yangu ile niligundua kwamba
bidhaa zote muhimu, kama furushi la kamba, sindano, madawa,
nk, tayari vilikuwa vimeibiwa. Nilitathmini bidhaa
iliyobaki na nikajua
kwamba kulipa N40,000 kwa ushuru
itakuwa tu ni kuongeza hasara, hivyo niliamua
kuachilia bidhaa iliyobaki. Wafanyabiashara ambao niliwakopa fedha
walianza kunifukuzia. Baadhi
waliwaita polisi, wengine walichukua
sheria mkononi mwao na wakapanga
kunifanyia kitu kwa maisha yangu.
Suluhisho pekee lilikuwa ni kufunga akaunti yangu Bank na kutumia fedha zote
nilizokuwa nazo kulipa madeni
yote. Kwa neema ya Mungu, nililipa
yote isipokuwa N1,000 ambayo ilikuwa ni kwa
ajili ya mwenye nyumba wangu
Lagos. Nilikuwa mufilisi kabisa na nilikopa hata 20k kwa ajili ya nauli ya teksi.
Nilikwenda kwa wakristo wachache niliowajua,
ili kutafuta msaada wa
kuniwezesha kuanza upya. Hakuna
aliyesema ndiyo au hapana, badala yake
walinisihi niende siku inayofuata kila mara nikachoka kwa habari ya
kutafuta msaada. Sikujua neno la Mungu
pamoja na kuchanganyikiwa katika
moyo wangu nilisoma Biblia bila
kuelewa. Wakati bado natafakari nini cha
kufanya, nilipokea simu ya haraka kutoka kijijini mwangu. Nilikimbia
nyumbani na kukuta kwamba jengo dogo
nililokuwa nimeanza kujenga lilikuwa
limevunjwa na mjomba wangu
ambaye pia alikuwa ametishia kuniua. Asili
yangu ya kale ndani yangu ilishtuliwa. Nikakumbuka wakati nikiwa
na jamii ile ya baharini (secret society), jinsi
alivyokuwa akiniogopa na
alikuja kwa magoti mbele yangu. Lakini
sasa alijua nimebadilika (jinsi alivyojua sikujua
kwani sikuwa nimesafiri kwenda nyumbani tangu nilipobadilika)
------------------------------
Page 23
23
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu* na sasa alinitishia. Nilimuita Bwana na
nikasema: "Basi, wewe umeniokoa
mimi na kuniacha nimevurugika na
kuruhusu adui zangu kufurahia juu yangu! "
Nililia kwa sauti nikadhamiria
kurudi kwenye ile jamii ya kichawi. Angalau wanaweza kuniokoa kutoka katika
kuchanganyikiwa kote huku na pia
watafundisha mjomba wangu
somo ambalo hatasahau maisha yake yote.
Ingawa nilifanya uamuzi huu,
nilikuwa na hofu mbili ndani yangu 1. Wakati nilipokuwa nabadilika, Bwana
aliniweka wazi akaniambia: " *Hii ni
nafasi yako ya *
*mwisho. *" Ukirejea tena kwenye jamii ile ina
maana ni kifo, sio tu kifo
cha kimwili lakini pia cha kiroho.
2. Kama nikibakia katika Bwana, mjomba
wangu alikuwa anatishia kuniua.
Nilichanganyikiwa na nilihitaji msaada. Nilikuwa
mjinga wa neno la Mungu na
kamwe sikujua kile ambacho Neno linasema kwa habari ya hayo juu. Ndugu
msomaji , utagundua hapa kwamba
nilikuwa na mchanganyo
huu wote kwa sababu ya ukosefu wa
mfuatiliaji nikiwa bado mchanga.
Kuwafuatilia waongofu wachanga ni muhimu sana na Wakristo wanapaswa
kuchukulia hili kwa umakini. Kama unajua
huwezi kufuatilia muumini
mchanga, tafadhali usiende kushuhudia. Yesu
Kristo alisisitiza hili mara
tatu Alipomuuliza Peter: " Simoni, mwana wa Yona, wanipenda mimi zaidi kuliko
hawa? ... Lisha kondoo wangu.
"Wengi wa waongofu wapya
wanarudi nyuma kwa sababu ya kukosa
ufuatiliaji mzuri. Kama unampenda Yesu,
jali kondoo wake! Vita na shetani
Katika kipindi hiki mawakala wa Malkia wa
Pwani walianza kunitafuta sana.
Niliteseka sana katika mikono yao.
Nilikuwa na ndoto mbaya. 1 Mei 1985, mwezi
mmoja baada ya kuokoka saa 02:00 usiku, wengine katika nyumba
walikuwa wamelala. Niliamshwa na mawakala
hawa. Wakaniamuru kutoka nje ya
nyumba. Nilitii, nikatoka nje
na walinifuata nyuma. Ilikuwa kama yote
yanayotokea ni ndoto, lakini hii ilikuwa katika uhalisia. Tulitembea
mpaka juu ya ardhi ya maziko kanisa la
Mtakatifu Paulo Anglican , off Aba
Road, Port Harcourt.
Tulipofika pale walisema: "Ni lazima urudi.
Kama ukikataa tutakuua au kukufanya fukara. "Baada ya maelekezo
haya waliondoka. Nikapata ufahamu wangu na
kujishangaa nimefika vipi pale
makaburini. Nikarudi kitandani na
kulala. Waliamua kuwa wananishambulia
mchana. Mara kwa mara, wakati natembea kandokando ya barabara
walijaribu kupambana na mimi. Wengine karibu
yangu waliniona napambana na
hewa au kuniona nakimbia kama
mtu anayefukuzwa.
Mimi peke yangu ndiye niliewaona. Basi, walifanya hivyo kwa mara nne na
wakaacha. Kisha kiongozi wao ,
Malkia wa Pwani, achukua jukumu. Siku ya
kwanza alikuja katika gari ambalo
aliliegesha kando ya nyumba yetu.
Alikuwa amevaa vizuri na kama kawaida yeye ni mzuri sana. Watu
walionizunguka walimchukulia kuwa ni
mpenzi wangu. Mara akaingia ndani nilijua
alikuwa ni nani. Alikuja saa
12.00 mchana wakati eneo lote lilikuwa
busy kidogo. Akakaa chini na miongoni mwa mambo mengine aliyoyasema ni:"
Unaweza kwenda kanisani
kwako, amini chochote unachotaka kuamini,
lakini kama tu hautanitangaza,
nami nitakupa chochote kile katika
maisha haya " Sikuwa nimejua maandiko hivyo nilimsikiliza na kumuangalia
anatembea tembea pale. Aliomba
na alijaribu kunishawishi nirudi kwake.
Sikusema ndiyo au hapana kwake.
Alisimama, akaenda ndani ya gari
yake na akaondoka. Kama mara mbili hivi mke wa mjomba wangu
alimkaribisha nyumbani kwake bila
kujua alikuwa ni nani nami
kamwe sikuwahi kumwambia mke wa mjomba
wangu alikuwa ni nani. Ziara yake ya
mwisho alibadili namna yake ya kunisihi. Wakati huu alinipa onyo kali
akisema kwamba amejaribu
sana kunibembeleza nirudi kwake na
kwamba nimekuwa mkaidi sana, na kwamba
hii ilikuwa ni ziara yake ya mwisho.
Kama bado nakataa kurudi, atakuja mwezi Agosti ama kuniua , au
kunilemaza au kunifanya maskini. Kisha
akaondoka.
Nilikuwa na hofu, hivyo siku moja nilikwenda
kanisani na kumuita ndugu
mpendwa. Nilimwambia matatizo yangu na mtazamo wangu juu ya baadhi ya
washirika wa kanisa , nk Huyu ndugu
alinipa anuani ya ofisi ya umoja
------------------------------
Page 24
24 *Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
wa maandiko (Scripture Unions ) na
akaniambia: " Pale watanipatia msaada"
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya
mwisho kumuona huyu " ndugu." Sijawahi kumuona popote Port Harcourt mpaka
leo. Nilichukua anwani na siku
iliyofuata, nilichukua teksi mpaka No 108
Bonny Street, ambapo zilikuwa
ofisi hizo ni na kukutana na mchapaji
ambaye alinipa robo ya mpangilio wa shughuli za Umoja wa Maandiko (SU)
Kundi la Rumuomasi Pilgrims,
wakiwa ndio karibu na mimi. Akasema: " Njoo
siku ya Jumapili! " Nilikuwa
pale katika Fellowship Centre -
Shule ya St Michael's State , Rumuomasi - saa 8:00 mchana, bila kujua
kwamba ibada inaanza saa 9:00 mchana,
lakini nilikutana na kikundi cha maombi, hivyo
nikajiunga nao .
Baada ya ibada siku hiyo nilijua kwamba
mahali pale palikuwa sahihi kwangu.Mungu akanipa msichana ambaye
alikuwa kama mama kwangu, yeye alijitoa
kikamilifu katika kunielezea Neno
la Mungu na kunishauri pia. Ndugu
wakaonyesha utayari na kunijali. Niliona
Upendo wa kweli. Roho Mtakatifu alianza kunipa ufahamu wa Neno la
Mungu na imani yangu ilikua. Lakini Malkia wa
Pwani hakujionyesha kwa
sababu aliwekwa wazi. Zaburi 91,
Ulinzi wa Mungu, ulitimia katika maisha yangu.
Isaya 54:17: "*Silaha yoyote itakayofanywa juu yako *
*haitafanikiwa, na ulimi wowote utakaoinuka
juu yako katika hukumu wewe
utauhukumu. Hilo ndilo fungu la urithi *
*la watumishi wa Yehova, na uadilifu wao ni
kutoka kwangu," asema Yehova.. *"Hii pia ilitimia.
Septemba 1985, Nilipokea ujumbe kuwa jina
langu limeonekana kama msambazaji
wa Silver Brand Cement,
Lagos na kwamba nilitakiwa kufika ofisini
tarehe 27/9/85.Niliondoka Port Harcourt tarehe 26/9/85 na kufika
Lagos usiku. Asubuhi iliyofuata 27/9/85,
nilikwenda ofisini nikaambiwa na
Meneja Utumishi kuwa sehemu
yangu ilijazwa na mtu mwingine. Akanieleza
nifike siku iliyofuata tarehe 28/9/85 kumuona Mkurugenzi
Mtendaji. Nilipokuwa njiani kuelekea nyumbani
kwangu, nikipita njiani, mtu
akaja kutoka nyuma na kunikaba
na akajaribu kubana pumzi yangu na mdomo
wangu kwa pamoja. Nilijitahidi kuokoa maisha yangu, na ingawa
watu walikuwa wanapita, hakuna aliyekuja
kuniokoa, lakini Bwana aliingilia
kati. Wakati mimi bado najitahidi
kwa mikono nikasikia akilia kwa sauti na
kunisukuma mbali akisema : "Ni nani huyo aliyeko nyuma yako? "
Alirudia mara ya pili na kutoweka. Kutoka kwa
sauti nilijua alikuwa ni
mwanamke lakini kamwe sikumuona ni
nani. Nilichanganyikiwa na kupigwa na
bumbuwazi. Hapa tena mwenye nyumba wangu alikuwa na
hasira sana na akasema: " Kwa nini
umekimbia na fedha ya kodi
yangu?" Nilimsihi na nikajaribu kumuelezea
kwamba kwa sasa mimi si kazi na
nitamlipa fedha zake zote kwa haraka mara nipatapo fedha.
Kwa jinsi alivyoonyesha nilifikiri suala hili
limeisha. Siku iliyofuata
28/9/85, nilikwenda na kukutana na
Mkurugenzi mtendaji ambaye aliomba
msamaha kwa kumpa nafasi yangu mtu mwingine. Alipokuwa bado
anaongea kijana mmoja akaingia na kuniuliza:
" Je, wewe sie Emmanuel?
"Nikasema ndiyo ni mimi: "Ndiyo ,
mimi niko. " Akasema: "Ndiyo, hatimaye
tumekupata sasa! Je, umemaliza kukimbia? Tumetembelea mara kwa
mara Port Harcourt na kugundua kwamba
daima huwa unatembea na mama yako wa
kiroho. Amekuwa kikwazo
sana kwetu na sasa kwa sababu umekuja
Lagos tumekukamata! Hautarudi tena Port Harcourt. Mimi ndiye
nimechukua nafasi yako " Nikampa
changamoto na kumwambia : " Huwezi
kunifanya kitu chochote "
Mkurugenzi Mtendaji alishangazwa na kile
kilichotokea katika ofisi yake ! Nikaomba radhi mwenyewe na
nikarudi nyumbani.
Dakika chache baadaye nikasikia mlango
unabishwa na NINA akaingia.
Akaniuliza kama nilikuwa narejea Port
Harcourt. Nikajibu ndiyo. Aliniomba nirudi kwao akanieleza kuwa kazi
nilizokuwa nimefundishwa zilikuwa
hazipatikana mtu wa kuzirithi: KOTIPARI
( katika lugha ya Kiyoruba ).
Nilikuwa nimepatiwa mafunzo :
  • Kuwa juu ya mawakala wa nguvu za mapepo.
  • Kuwa juu ya " chumba cha bahari cha
maelekezo, " kufuatilia matukio
katika dunia, kutuma na kupokea
ishara, na kuhamasisha majeshi, nk
- Kuwa karibu na Malkia wa Pwani. Hii inahusisha si tu sherehe, sadaka ,
utekelezaji wa kazi maalum
------------------------------
Page 25
25
Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema aliojaliwa na Mungu
alizonituma, lakini pia mambo mengine
magumu kuelezea.
- Kwa msaada wa nguvu za giza , kuanzisha
jamii mpya za siri(jamii ya
kichawi) ambazo zitaonekana hazina madhara ili kuwavutia vijana na zaidi waendaji
tu wa kanisani .
Alisema, kama ataongozana naye, kilichokuwa
kinanisubiri ni mara mbili ya
baraka za kwanza. Alikiri kwamba
walihusika kwa mali yangu kukamatwa na kuibiwa, pia kwamba wao ndio
waliomchochea mjomba wangu
kuharibu jengo langu na kutishia maisha
yangu. Kwamba kama nikikataa
kumfuata, wangefanya zaidi na
kuhakikisha kwamba sitafanikiwa. Kwamba walikuwa wameamua kupambana mama
yangu wa kiroho: "Kama
tutampata yeye, tumekupata wewe" alisema.
Wakati huo, Nilianza kumhubiria.
akasimama na kusema:
"Wanakudanganya, " Akaondoka. Hii ilifanyika jioni ya tarehe 28/9/85 .
Mara dakika tano zikapita nikasikia mwingine
anabisha. Wakati huu walikuwa
watu wanne. Wakanionyesha
ishara nitoke nje na nikajiona mwenyewe
naanza kuwafuata. Tulitembea hadi katika nguzo 2 na mmoja wao
akaniuliza: "Je, unatujua sisi? " nikasema
hapana. Aliendelea kusema: "
Tumeajiriwa na mwenye nyumba wako
tukuue." Wakati anaendelea kuzungumza
mmoja wao akatoa bunduki na mmoja akatoa sime. Sikujua cha
kufanya, nilijua kuwa wataniua, lakini Mungu
katika Njia zake za ajabu
akafanya ishara ambayo ilinishangaza
mimi na wenyewe.
Mtu aliyekuwa na bunduki akanifyatulia risasi lakini hakukuwa na sauti. Mtu
mwenye kisu akakitumia nyuma ya
mgongo wangu lakini hakikuingia ila tu kililia
kama mtu anamchapa fimbo
mtu. Walikuwa na hofu kama mimi.
Roho wa Mungu alikuja juu yangu na nikaanza kuhubiri. Watatu wao
wakakimbia, lakini mtu wa nne akaanguka
na akaanza kulia na kuniomba nimuombee.
Sikuweza hata kujua nini cha kuomba
wakati huo lakini nilisema tu:
" Bwana, tafadhali msamehe, Msamehe bwana. Amina! " Aliyalitoa maisha yake
kwa Kristo, Nilimpeleka kwenye
kanisa la Pentekoste na alielezea kile
kilichotokea kwa Mchungaji.
Nilimkabidhi kwa Mchungaji na nikaondoka.
Nilipoingia tu ndani ya nyumba mwenye nyumba akaja anakimbia na akapiga
magoti akinisihi: " Tafadhali
nisamehe. Nilidhani uliamua kukimbia kwenda
Port Harcourt kwa sababu ya
fedha yangu (N1,000).
"Nilimsamehe na hatimaye tulikubaliana kwamba fedha ilipwe kwa awamu .
Usiku huo, mida ya saa 08:00 usiku Bwana
aliniamsha. Sikuweza kujua kwa
nini niliaamka nikaenda sebuleni na
nilichokiona ilikuwa ni kobe mkubwa
ananifuata. Mara nikakumbuka shule ya kujifunza Biblia tulipokuwa Port
Harcourt, juu ya nguvu katika neno. Ndipo
nikasema maneno haya: " Kobe ,
tangu nilipozaliwa , nyumba ya kobe
ni ama kichakani au baharini, lakini kwa kuja
ndani ya nyumba wakati madirisha na milango ni imefungwa
umefanya dhambi, na kwa sababu hii ni lazima
ufe. "Mara baada ya kusema
hivi akatoweka kabisa. Nilikwenda
chumbani na kulala. Mara ya pili tena, niliamka
na kusikia kelele sebuleni. Nilikwenda na tazama mbele yangu
ilikuwa ni kitu cha kutisha. Nikarudia maneno
yaleyale na mara baada ya
kusema: "Kwa kutenda dhambi hii
lazima kufa, " kikatoweka pia. *Wakati wa
safari hii ya Lagos niliona wema, ukuu wa Mungu na uaminifu*
wake.
Asubuhi iliyofuata tarehe 29/9/85, nilichukua
basi zuri sana mpaka Port
Harcourt. Nilipofika Ore ,basi likagonga
mti. Liliharibika kidogo lakini hakuna mtu aliyejeruhiwa. Dereva akalivuta
kwenye barabara na akaendelea
kuendesha, basi likaanza kuyumba kutoka
upande mmoja wa barabara hadi
mwingine. Nikakumbuka vitisho vya
NINA, hivyo nikasimama katika basi, na kuhubiri nilihitimisha kwa kusema :
"Ni kwa sababu yangu mimi haya
yanayotokea. Lakini tangu sasa , hakutakuwa
na ajali mpaka tufike Port
Harcourt, katika jina la Yesu ! "Na mimi
nikakaa. Kwa kweli, wakati nimeketi nilishangaa, kitu gani nimekisema. Na
hivyo ndivyo ilivyokuwa. Gari
lilitembea
vizuri
mpaka
Port Harcourt.
Hakukuwa
na
ajali
zaidi
au kuharibika.
Biblia inasema sawa kuwa*;"Mtu yeyote
akishambulia, haitakuwa kwa maagizo
yangu.Yeyote atakayekushambul*
*ia ataanguka kwa sababu yako."(Isaya 54:
15). *Wao ( Malkia wa Pwani na mawakala wake ) walijaribu, lakini
kwa sababu mkutano wao haukuwa katika
Bwana bali kinyume na mtoto wake
,wote wakajikwaa na kuanguka.
"Pindi adui atakapokuja kama mafuriko ya
mto, Roho wa Mungu atainua kiwango dhidi yake" (Isaya 59: 19).
Nampa Mungu utukufu wote kwa ajili ya
kujionyesha mwenye nguvu kwa niaba
yangu.
------------------------------
Page 26 26
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Sura7: Shughuli za mawakala wa shetani
« *Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu *
*wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya
katika ulimwengu wa roho. Kwa
sababu hiyo twaeni silaha zote za *
*Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya
uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.»*
Waefeso. 6: 11-12
Kitabu hiki hakitakuwa kamili kama mbinu
mbalimbali za uendeshaji wa
mamlaka hizi hazitawekwa wazi. Pia
ni muhimu kwamba aina mbalimbali ya namna na jinsi zinavyojitokeza ziwekwe
wazi.
Jambo moja li wazi nalo ni kwamba ni shetani
atakuchochea uamini kwamba
yeye ni hadithi tu za kufikirika au
mawazo ya uovu ambayo ni rahisi, au atakufanya uone zaidi sana kwa habari
ya nguvu zake na mamlaka ya
Mungu iwepo chini. Biblia inasema: " *Kwa
maana kushindana kwetu sisi si
juu ya damu na nyama; bali ni juu*
*ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo
wabaya katika ulimwengu wa roho.*
Biblia inasema kwamba silaha za Wakristo
dhidi ya shetani na mawakala wake
" si za mwili, bali zina uwezo
*katika Mungu hata kuangusha ngome, tukiangusha mawazo na kila kitu
kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya*
*Mungu , na tukiteka nyara kila fikira ipate
kumtii Kristo" *(*2 Wakorintho
10: 4-5). *Tena maandiko yanasema:
wazi *" Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa ili azivunje kazi za
Ibilisi" (1 Yohana 3: 8). *Yesu baada
ya kuzivua enzi na mamlaka, alifanya onyesho
la waziwazi, alishinda dhidi
yao .
*"Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa
chako," (Mithali 6:2)*.
Hivyo mtoto wa Mungu ni lazima kuwa makini
kukiri neno la Mungu, ambalo
Mungu ameahidi ataharakisha
kulifanya. Kuna ukiri mara tatu umesemwa katika neno la Mungu
1. Ungamo la Uongozi wa Kristo.
2. Ungamo la imani katika Neno, katika Kristo
na katika Mungu Baba.
3. Kukiri dhambi.
Tunaposikia neno "kukiri ," sisi kwa urahisi tunafikiria kwa habari ya
dhambi. Kamusi inafafanua kukiri ni :
1. Kuanzisha kile kitu tunaamini.
2. Kushuhudia kwa kitu ambacho tunakijua.
3. Kushuhudia ukweli ambao tumeridhia .
Kwa hiyo inapaswa kusikitikiwa kuwa tunapotumia neno kukiri (confession)
kwenye fikra zetu tunafikiria
dhambi. Mwandishi yuko hapa kukutia moyo
mtoto wa Mungu kuanza leo kukiri
kile Mungu amesema. hata
wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na
Kristo; yaani, tumeokolewa kwa
neema na akatufanya tukae katika mbingu
(juu sana zaidi ya enzi na mamlaka)
katika Yesu kristo. Kwa hiyo
Wakristo wanapaswa kutambua ambapo wamekaa. Wanapaswa kujua kwamba
wanatembea katika urefu huo, juu
ya Shetani na mawakala wake. Bwana Yesu
Kristo amewapa ninyi nguvu zote na
mamlaka ili kwa hizo tupate
kuwa washirika wa uzima na utauwa (2 Petro 1 : 3).
Mungu hakuwa na kusudi la kwamba
mazingira yawatawale watoto wake, badala
yake neno la Mungu katika
kinywa cha Mkristo ni lazima kidhibiti hali/
mazingira yake. Mungu alisema katikaYer. 23:29 akisema: "Je*, si*
*neno langu kama moto? asema Bwana, na
kama nyundo ivunjayo mawe vipande
vipande?" *Wakristo,
Namaanisha waliozaliwa mara ya pili,
wanapaswa kutambua kuwa wakati jina la Yesu linatamkwa, kile
kinachotoka nje ya vinywa vyao ni moto.
Mkristo anaposimama juu ya mamlaka
aliyopewa na Kristo na anatoa
amri kwa jina la Yesu, moto hutoka katika
kinywa chake na pepo lolote kudhibiti hali husika ni lazima kutii. Yesu
yu hai leo ili kuangalia kwamba kila neno lake
linakuja kupita. Tena,
nataka kuonyesha ukweli muhimu kuwa
------------------------------
Page 27 27
*Imefasiriwa na Peter Kahale kwa Neema
aliojaliwa na Mungu*
Wakristo wengi wanatazama kijuu juu , na hiki
ndicho ambacho Shetani
anatumia. Yesu, baada ya Peter kumsema kwake kwa habari ya ule mtini uliokauka baada
ya kulaaniwa na Bwana ,
alisema:
(Matthew's account) *"Amin, nawaambia
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom