moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 127,003
- 695,579
Uchawi ndiyo mila pekee tunayoweza kujivunia.Ni Afrika tu ambako bado watu wanajivunia uchawi. Sisi yaani bado sana tena mno!
Ni vema tuiendeleze, tuiboreshe na tuiweke vitabuni hatimaye tuanzishe vyuo ili watu wa mataifa waje wajifunze.
Jivunie chako.
Sayansi ya NASA ni yao mzee