moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,208
Uchawi ndiyo mila pekee tunayoweza kujivunia.Ni Afrika tu ambako bado watu wanajivunia uchawi. Sisi yaani bado sana tena mno!![]()
Ni vema tuiendeleze, tuiboreshe na tuiweke vitabuni hatimaye tuanzishe vyuo ili watu wa mataifa waje wajifunze.
Jivunie chako.
Sayansi ya NASA ni yao mzee











