Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20211229_063643.jpg
 
Viongozi wote wa Kitaifa hasa Rais hawafati sheria japo wanatuaminisha shaeria zipo na tuzifate Magufuli alikuwa anatvunja sheria na akiona sheria hiyo inakuwa ngumu zaidi kuvunja anatunga sheria mpya au kubadilisha sheria hiyo ili iwe rahisi kuvuruga haki za Watanzania
FB_IMG_1640754876594.jpg
 
Viongozi wote wa Kitaifa hasa Rais hawafati sheria japo wanatuaminisha shaeria zipo na tuzifate Magufuli alikuwa anatvunja sheria na akiona sheria hiyo inakuwa ngumu zaidi kuvunja anatunga sheria mpya au kubadilisha sheria hiyo ili iwe rahisi kuvuruga haki za Watanzania View attachment 2061330
Hawa walipoteza nafasi ya kuwa mashujaa wa kweli kwa uoga na matumbo yao tu. Walikuwa wapi kuyasema haya wakati Jiwe mwenyewe yupo? Sasa kila mtu anataka kuonekana shujaa lengo nadhani ni kuwa relevant kisiasa na hata kukumbukwa na mama. Mashujaa wa kweli ni akina Tundu Lissu, Bagonza, Shangazi, Lema...na wengineo ambao hawakunyamaza...na wengine iliwagharimu kweli kweli. To hell with these political opportunists!
 
" Kutokana na mazoea ya Wagogo kudharaulika ndio kinachosababisha Mimi kushambuliwa mitandaoni. Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha , sio kwa sababu Nina pungufu lolote Ila kwa sababu Mimi ni mgogo." JOB NDUGAI
Screenshot_20211229-094454.jpg
 
Back
Top Bottom