Vumilika

JF-Expert Member
Mar 5, 2017
1,558
1,873
Habari zenu ndugu zangu tunaomba tuchukue tahadhari ikiwa habari hii ni ya kweli, kwani Tsunami maafa yake ni makubwa.

WhatsApp Image 2023-10-18 at 16.48.43.jpeg
 
Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Menejimenti ya Maafa imewataka watumiaji wa bahari na wananchi wanaoishi karibu na bahari kuchukua tahadhari kutokana na uwezekano wa kutokea Tsunami katika Bahari ya Hindi leo jioni.



1697642763411.png
 
Hivi huko TMA mna uhakika kuna meteorologist wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..

Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!

Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..

Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao.

Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna.

WhatsApp Image 2023-10-18 at 16.48.43.jpeg


Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM 😀😀(kdn)

_______________________
UPDATE...
------------------------------
Nimepata Update ya tovuti Ya Hali ya Hewa Ya Shirika la Kimataifa Na East African Weather forecasting kutoka East Africa Hazards Watch (EAHW)
Inaonyesha hali ya mvua kubwa katika nchi za Somalia,Ethiopia ,Kenya kidogo na Sudan ya kusini na Uganda
Ila hilo swala la volcano wala elnino halipo kwa miezi yote miwili wa kumi na kumi na moja hakuna mvua ya elnino...

Screenshot_20231018-183305.png
 
Watu wahame waende wapi?
Serikali haitusaidii kuhama?
Halafu mbona wamechelewa kutoa taarifa? Na kama ni yale mazoezi yao this is not good.

Zanzibar tsunami haifiki? Kuna kipenzi changu kule nimwambie aondoke haraka
 
View attachment 2785590
Mamlaka leo imetangaza kuwepo kwa Hali ya hatari ya Volcano Katika bahari ya Hindi.
Maeneo:- Mkoa wa Pwani, Dar es Salaam, Tanga, Lindi, Na Mtwara.
ndio maana huwa nawashangaa wanzanzibar kutuona wabara chogo,, uwepo wenu hapa bongo tunawasaidia tu, ndio maana tunawapa na ardhi na mnaishi hata kama sisi kule kwenu ni vyogo. kisiwa chenu kila siku huwa kinapungua, itafika mahali mtakuwa samaki na ninyi, wengine watabadilika kuwa nyangumi wengine papa wengine changu wengine kibua kwasababu miaka ya mbeleni kitamezwa na maji. mtakimbilia wapi kama sio bara? kuna kakisiwa fulani bahari ya hidi hapo kamepukutika karibia kanaisha. haya na hizo volcano, zikilipuka, mtakimbilia wapi? mnataka muishi kwenye mashua? mshukuruni Mungu mpo kwenye muungano na mtuheshimu acheni zarau.
 
Back
Top Bottom