Rais Samia na Jeshi la Polisi, hawataki Waumini wa Ufufuo na Uzima wamwabudu Mungu, Hata Leo ,Walituma Askari Polisi kwenda Kuzuia Ibada ya Waumini
Huyu ni Gwajima.


Je Polepole ambaye kapigw kombora , atafanywa nn??
 
Huyu Mama sijui anawaza nini kuhusu kesho yake baada ya kutoka madarakani.
 
Mama hajui theolojia

Yeye anaposikia Kuna biashara nzuri kwa kristo haraka anafikiri sadaka na majengo

Kuwe na watu wa kumfumbua macho kuona vitu kwa uhalisia wake
 
Huyu Mama sijui anawaza nini kuhusu kesho yake baada ya kutoka madarakani.
Yaani! Mimi nafikiri sijui anawaza nini sasa hivi anavyoona haya mambo yakitendeka chini ya uongozi wake. Inakuwaje anakuwa so indifferent kwa issues za kitaifa kama hizi zinazopalilia mgawanyiko na chuki za kidini? Mwanamke unakuwa muonezi kiasi hiki halafu unaitwa Mama?
 
Yaani! Mimi nafikiri sijui anawaza nini sasa hivi anavyoona haya mambo yakitendeka chini ya uongozi wake. Inakuwaje anakuwa so indifferent kwa issues za kitaifa kama hizi zinazopalilia mgawanyiko na chuki za kidini? Mwanamke unakuwa muonezi kiasi hiki halafu unaitwa Mama?
Sometimes nahisi huenda kina JK ndio wanampa kiburi na kumpotosha.
 
Back
Top Bottom