ufufuo na uzima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. masopakyindi

    Hivi Kanisa la Askofu Gwajima ni Kanisa kweli?

    Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu. Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka. Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa? Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano...
  2. N

    Kanisa la Ufufuo na Uzima lifutwe, kimekuwa ni kichaka cha kupika majungu

    Askofu anajificha kwenye kanisa akijidai anaongea na wanawe, lakini kupitia kanisa amekua akitoa shutuma nzito kwa serikali na watu. Kwa kumbukumbu zangu aliwai kumsema vibaya mkuu wa mkoa wa Arusha na kumuita mtoto wa dawa kisa kapiga marufuku makanisa kupiga kelele usiku. Kupitia kanisa...
  3. mwehu ndama

    Video: Kwa hili sijamuelewa Askofu Gwajima

    Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha. Naomba ufafanuzi.
Back
Top Bottom