Mkuu kwa hiyo wewe unadhani Elon Musk alipoanzisha hiyo kampuni yake hataleta ushindani kwenye kampuni nyingine zinazo toa huduma hiyo? Hata kama yeye hajaanzisha kwa lengo la kushindana na makampuni mengine, ila italeta ushindani mkubwa.Issue ni nyie frustration zenu za Mitandao ya simu munatafuta imaginary saviour, Elon mwenyewe hajatengeneza starlink kupambana na mitandao ya simu ama fiber. Hio imetengenezwa kwa ajili ya watu ambao hawajafikiwa na internet.
Hebu nishawishi mimi why niache voda 5G, ama 4G supakasi (zote unlimited) kuanzia 120,000 ama niache TTCl fiber kuanzia 55000 then nitoe zaidi ya milioni kuvuta Starlink? Nitapata nini zaidi?
Muongo mkubwa wewwSatellite internet ina spidi ndogo ukilinganisha na internet ya fiber.
Uko USA kwenyewe T-Mobile, At&T nk bado zimetawala stanlink inatumika zaidi vijijini maeneo ambayo fiber haijasambazwa
Pia starlink ina gharama kubwa kuliko hata rates za sasa za Vodacom superkasi ambayo ndio home internet yenye gharama zaidi ukilinganisha na zuku na ttcl
PayPalTutalipia kupitia nini?
1. Usd kwa bank?
2. Anaweza kuingia ubia na mitandao ya simu?
3. Au cryptocurrency?
Usitegemee tutapewa bure bali itakuwa nafuu lkn itakuwa fursa ndani ya fursa
Sisi tunanunua mtumba, ten million is enoughKwa uelewa wangu mdogo hio satellite Internet ita hitaji very high quality devices sio hiyo tecno F1 yako ya laki na nusu. Imagine tu television leo zinatumia satellite lakn niambie uendeshaji wake ulivo.
Hata hivyo ile ni biashara hiyo Internet lazima tu itauzwa ili jamaa aendelee kupiga mpunga.
chukulia mfano pia alivoanzisha magari ya umeme, wengi tulisema "sasa ewaaaa.. kamserereko" lakini uhalisia wake ni kwamba hazishikiki, cheap tesla car inaanzia around dollar 45,000 sawa na milion 105 za tz, bado garama za uendeshaji.
Anyway msikate tamaa
Zamani nokia jeneza ilikuwa inauzwa laki na nusu... Philips ya mkonga elfu 90 na ukiwanayo we ni 'freemason'
Endeleeni kujidanganya Tu! Miaka 100 ijayo kuna kizazi kikisoma hili andiko lako watajua alieandika alikuwa kichaa!Tarajien magonjwa mengi ya saratani na vifo vya ghafla, bila kusahau kuongezeka kwa vizaz vya watoto walemavu.
Satellite inapofanya mawasiliano kutoka ilipo mpka kukufikia ulipo, kuna nishati ya electromagnetic waves inayosafiri kwa kasi ambayo ili upate signal zake inabidi na device yako iwe na strong radio/ waves receiver ili kupata mawasiliano yasiyo na mikwamo kwamo.
Pia itahitajika nguvu kubwa ya nishati ktk device yako ili iweze kudumu na chaji kwa muda mrefu ikipambania kukamata hayo mawimbi.
Radiation hizo huwa na waves length tofaut tofaut kulingana na uhitaji wa matumiz, mfano ili mtandao uwe strong bila kukwama itahitajika energy kubwa ya uzalishaji wa mawimbi hayo kwa kasi na frequency kubwa ili kukufikia mhitaji, kama mujuavyo, mawimbi hayo huwa na athari kwa mwili wa binadamu, kuanzia akili, genetic effect kiujumla uhai wako uko hatarin.
Tuombe wabuni njia ambazo ni salama, hata hizi simu tunapotumia zina athari kutokana na upokeaji wa mawimbi hayo kutoka ktk minara/mitambo, na mujue kuwa jinsi unavyoongeza kasi ya mtandao 3g/4g/5g ndivyo kasi na nguvu huwa attracted kwa device yako na wew mtumiaji tegemea athari japo hazitokuwa za ghafla, mfano kupungua nguvu za kiumbe kama device yako huifadhiwa mifuko ya suluali ambapo , mawimbi hayo huweza kukupiga na kuathiri uzazi wako, pia ugumba utegemee
Jinsi × ray inavyofanya kazi, nuclear radiation zinavyofanya kazi ndivyo hivyo Radio waves za mawasiliano hufanya kazi, ni vile hizi hazina nguvu sana, lkn madhara yapo makubwa.
Serikal zinapokubali technologies ziwe zinatoa na side effects za hizo technologies bila kusahau ways za kujikinga maana hizi nchi zetu masikin raia ni wabishi wa kujali afya zao.
Chief latency na speed ya Starlink sio ya kipuuzi. You know better. Watu wanapata observed 50ms na 100+Mbps, better than observed LTE za bongo.hili la starlink tushalizungumzia sana starlink sasa hivi ipo kwenye majaribio nchi kadhaa za Africa kama Nigeria na Msumbiji
ada ya mwezi ni $99 (around 240,000) kwa kifurushi cha kawaida na premium ni dola 500 ambayo roughly ni 1.2m
hio ni satelite internet ambayo ina speed mbovu tu hasa latency, inauzwa laki 2 na 40 kwa mwezi, huwezi cheza games vizuri na vitu vingi ambavyo una live stream havitakua vizuri
fiber, 4g na 5g zote zina speed nzuri kuliko starlink, TTCL kuanzia 55,000, voda 5G kuanzia 120,000, zuku kuanzia 69,000 etc ni much better.
starlink waachie watu wa vijijini mkuu wenye pesa, haitaondoa mtandao wowote ule wa Tanzania.
Tarajien magonjwa mengi ya saratani na vifo vya ghafla, bila kusahau kuongezeka kwa vizaz vya watoto walemavu.
Satellite inapofanya mawasiliano kutoka ilipo mpka kukufikia ulipo, kuna nishati ya electromagnetic waves inayosafiri kwa kasi ambayo ili upate signal zake inabidi na device yako iwe na strong radio/ waves receiver ili kupata mawasiliano yasiyo na mikwamo kwamo.
Pia itahitajika nguvu kubwa ya nishati ktk device yako ili iweze kudumu na chaji kwa muda mrefu ikipambania kukamata hayo mawimbi.
Radiation hizo huwa na waves length tofaut tofaut kulingana na uhitaji wa matumiz, mfano ili mtandao uwe strong bila kukwama itahitajika energy kubwa ya uzalishaji wa mawimbi hayo kwa kasi na frequency kubwa ili kukufikia mhitaji, kama mujuavyo, mawimbi hayo huwa na athari kwa mwili wa binadamu, kuanzia akili, genetic effect kiujumla uhai wako uko hatarin.
Tuombe wabuni njia ambazo ni salama, hata hizi simu tunapotumia zina athari kutokana na upokeaji wa mawimbi hayo kutoka ktk minara/mitambo, na mujue kuwa jinsi unavyoongeza kasi ya mtandao 3g/4g/5g ndivyo kasi na nguvu huwa attracted kwa device yako na wew mtumiaji tegemea athari japo hazitokuwa za ghafla, mfano kupungua nguvu za kiumbe kama device yako huifadhiwa mifuko ya suluali ambapo , mawimbi hayo huweza kukupiga na kuathiri uzazi wako, pia ugumba utegemee
Jinsi × ray inavyofanya kazi, nuclear radiation zinavyofanya kazi ndivyo hivyo Radio waves za mawasiliano hufanya kazi, ni vile hizi hazina nguvu sana, lkn madhara yapo makubwa.
Serikal zinapokubali technologies ziwe zinatoa na side effects za hizo technologies bila kusahau ways za kujikinga maana hizi nchi zetu masikin raia ni wabishi wa kujali afya zao.
Pengine kaka utusaidie kidogo,Issue ni nyie frustration zenu za Mitandao ya simu munatafuta imaginary saviour, Elon mwenyewe hajatengeneza starlink kupambana na mitandao ya simu ama fiber. Hio imetengenezwa kwa ajili ya watu ambao hawajafikiwa na internet.
Hebu nishawishi mimi why niache voda 5G, ama 4G supakasi (zote unlimited) kuanzia 120,000 ama niache TTCl fiber kuanzia 55000 then nitoe zaidi ya milioni kuvuta Starlink? Nitapata nini zaidi?
Kwa TTCl probably 400,000, na voda 5G pia laki 4.Pengine kaka utusaidie kidogo,
200Mbps kwa Tanzania ina cost how much?
Hakuna mtu anaye miliki internet na kila mtu anamiliki internet.Hivi nani ndo mmiliki wa Internet.
50ms inapitwa na 3G thats the point, 3G ya kisasa kama halotel na Voda nimeona mpaka 24ms.Chief latency na speed ya Starlink sio ya kipuuzi. You know better. Watu wanapata observed 50ms na 100+Mbps, better than observed LTE za bongo.
Hivyo vifurushi vya 55k na 120k ni 20Mbps mpaka 50Mbps japo latency yake is much better kwa Radio na Fiber.
Ishu inabaki price yake tu. $99 kwa huku kwetu parefu.