zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,018
- 3,517
Kanunue gazeti usome,hiyo si kichwa cha habari tuWapi kasema sera za sa100 zimemvutia, mmejaribu kufatilia hoyo starlink?
Kanunue gazeti usome,hiyo si kichwa cha habari tuWapi kasema sera za sa100 zimemvutia, mmejaribu kufatilia hoyo starlink?
Naunga mkono hoja baada ya miaka 60 ya uhuru hatuna maji wala umeme ni bora kumrudishia mzungu nchi yake ishatushinda hii trump was right.Hivi hatuwezi kuomba huyu jamaa ainunue Tanzania awe raisi wa kwa mkataba wa hata miaka 50 hivi?
Yaani awe ana control kila kitu mradi tu atupe maisha bora.
Maana naona tunakoelekea ni bora hata enzi za mkoloni.
Hawa chawa si kila kitu ni sa100?Wapi kasema sera za sa100 zimemvutia, mmejaribu kufatilia hoyo starlink?
Wazo zuri anaweza akasaidia umeme na maji vikapatikana kwa uhakikaAkija tunamzawadia na urais
Kweli aisee!Ni kwa sababu ya uongozi dhaifu anakuja kujichotea
Hicho ni kichwa cha habari na ukinunua gazeti lenyewe habari inakuwa tofauti.Kanunue gazeti usome,hiyo si kichwa cha habari tu
😊Akija tunamzawadia na urais
Sera gani mkuu kwa mfano? Unaweza kuiattach hapa wote tuisome?Kila mwekezaji na mfanyabiashara mkubwa popote pale duniani macho yao wote imekuwa Ni Tanzania Hasa baada ya Sera nzuri na mazingira mazuri ya kiuwekezaji yaliyowekwa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
BtozSera za nchi au za saa Mia?.
Serikali wakimkubalia lazima watamuambia afate utaratibu alioukuta, ambao ndio unakandamiza wananchiWabongo buana, sasa huo ni uwekezaji gani?
Ilichofanya Starlink ni kuomba leseni/kibali cha satellites zake kuwa na footprint TZ kwa mwaka huo 2023 na ilimepewa kibali...
Sasa wenye uwezo nfio watapambana kuwa na kits zao ambazo bei yake ni dola mia 5 na ushee (moderm, dish na vikorokoro vingine) plus monthly charves za 110$
Serikali wakimkubalia lazima watamuambia afate utaratibu alioukuta, ambao ndio unakandamiza wananchi
Internet yake baadhi ya Mikoa bongo itaanza kutumika soon kama mitano ivi niliona sehemu ila gharama za kufunga ndo balaaWabongo kila Jambo mnalifanya ajenda View attachment 2420820View attachment 2420821
wetu mpendwa? Nigga, Are you serious?Kila mwekezaji na mfanyabiashara mkubwa popote pale duniani macho yao wote imekuwa Ni Tanzania Hasa baada ya Sera nzuri na mazingira mazuri ya kiuwekezaji yaliyowekwa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani