Jamani twendeni taratibu tuwe tunajikosesha kweny "iplay8casino" asije akafunga kampuni.. kila mtu anampiga sio mpango
sasa mkuu hizi ele utazitoaje///??
Jamani twendeni taratibu tuwe tunajikosesha kweny "iplay8casino" asije akafunga kampuni.. kila mtu anampiga sio mpango
nashangaa hata mimi bado nlmpga kama 11 hivi. Ila analipaga sa sita hivi
sasa mkuu hizi ele utazitoaje///??
Wala hainaga shida ukituma request ya kudroo hela wanakutumia wenyewe kwa tigo/mpesa!!
Za leo unampa nani C.E.O?
Kama hujanipata niulize nikuelekeze ulipokwama
sasa wakuu sisis wa mbeYA TUTAWEZAJE KUCHEZA KUPITIA MERIDIAN
Full kujiripua km mbwaimbwai tu!
Nimempa
sunderland
barcelona
napoli
fiolentina
wolfsburg
lyon
spurs
ktk nomo!
Alf mkeka wa pili nimempa man city kwa ajil ya mtaji
Alf mkeka wa pili
okey hapo sasa nmekuelewa mkuu