Sportybet ndiyo kampuni ya mabingwaKampuni gani mkuu
KAMPUNI YA KIJINGA SANA HIYO.Nimejiunga Parimatch bet naona masharti mlima mpaka kudhibitisha akaunt nipige picha kitambulisho mbele na nyuma alafu nipige na selfie huku nimeweka kitambulisho kionekane pamoja na uso.
Nimetokomea kusikojulikana na nimeacha kuendelea na procedure zingine zinazoendelea
Naukila Hela mpaka upige picha Tena eti wathibitishe kama ni wewe mafala sana hao kenge kaa mbali kabisaNimejiunga Parimatch bet naona masharti mlima mpaka kudhibitisha akaunt nipige picha kitambulisho mbele na nyuma alafu nipige na selfie huku nimeweka kitambulisho kionekane pamoja na uso.
Nimetokomea kusikojulikana na nimeacha kuendelea na procedure zingine zinazoendelea
Wapumbavu hao.Naukila Hela mpaka upige picha Tena eti wathibitishe kama ni wewe mafala sana hao kenge kaa mbali kabisa
Hii kama pesa vile
Hapo kwa bodoe hapoHii kama pesa vile
Hata mie nimeona, na ndio maana Ina promo code kibaoKAMPUNI YA KIJINGA SANA HIYO.
Wanatakiwa wajiamini watoe mkwanja endapo mtu atakula nyingi ndo verification ya jina na ID yako ifanyike, lakini hizi ndogo ndogo sijui laki au laki 2 kikubwa hazizidi million 5 wenzao hawahangaiki na kampuni zingine hata zaidi ya hiyo wanakuacha unazipunguza mwenyewe Kwa mtandao wako wa simuNaukila Hela mpaka upige picha Tena eti wathibitishe kama ni wewe mafala sana hao kenge kaa mbali kabisa
Verification ya nini kwa mchezaji ? Wao wanatakiwa kufanya Verification kwenye mikeka tu kama ni ushindi halali basi ....Wanatakiwa wajiamini watoe mkwanja endapo mtu atakula nyingi ndo verification ya jina na ID yako ifanyike, lakini hizi ndogo ndogo sijui laki au laki 2 kikubwa hazizidi million 5 wenzao hawahangaiki na kampuni zingine hata zaidi ya hiyo wanakuacha unazipunguza mwenyewe Kwa mtandao wako wa simu
Hapo pana hatari lakini salamaHapo kwa bodoe hapo