One day yes!! 😬😬😬
Screenshot_20240303_231531_Chrome.jpg
 
Kuna jamaa yupo X ,watu wanamuona fala kwa odds anazosukia mikeka ila zinamlipa vibaya... masoko yake ni yale ya odds zinazodharauliwa... no red card first half, no team will score three or more goals in a row, favourite team anaipa handicap ya +2 au +3, over 0.5 n.k akizikusanya zikifika odds 1.4-1.5 anaweka mzigo 200k-400k na zinatoa...faida kwa siku anaokota 50-100k
Ni vyema kumtaja tukazidi kujifunza pia kupitia kwake mkuu
 
Leo nimejichanganya wakuu,nilijiunga na 1xbet leo,nikadeposit hela nikapewa bonus nikaibetia ikaliwa yote,nikaweka mkeka mwingine kwa hela yangu niliyodeposit nikapata,Mtiti ni kwamba inagoma kutoka kwa wataalam wa hii natakiwa kufanyaje ili nitoe hela yangu
 
Leo nimejichanganya wakuu,nilijiunga na 1xbet leo,nikadeposit hela nikapewa bonus nikaibetia ikaliwa yote,nikaweka mkeka mwingine kwa hela yangu niliyodeposit nikapata,Mtiti ni kwamba inagoma kutoka kwa wataalam wa hii natakiwa kufanyaje ili nitoe hela yangu
Ulideposit kwa njia gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom