rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,514
- 41,974
Waturuki malayaa sanaa walee...Hahaha mzee wa kula kimasihara Fenebache ndio kaharibu mkuu 2:2, zingine zote zienda sawa.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Waturuki malayaa sanaa walee...Hahaha mzee wa kula kimasihara Fenebache ndio kaharibu mkuu 2:2, zingine zote zienda sawa.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Crystal palace wana miss key players wao Eze na Olise. Wanaweza poteza mchezo.Mliompa na mtakaompa juventus au chelsea leo mjiandae kisaikolojia, bundi leo anarukaruka hapo! Wale wa fc porto ondoeni presha mambo yataenda poa sana.....msijesema hamkuambiwa!
Yani sijui katika waliomkosa nami nipo just imagine mwana wa mai nimepatia game 11/17😁 tuLile dude lilikuwa jepes wengi wamebutua
Yametimia hongeleni Kwa mliozifuata odd 3 kama mimiLeo singida anakufa vibaya sana
Yaani hao jamaa, team za Ureno, Italia seria B, France League 2, Span - Segunda, Scotland na miteam ya uarabuni aisee sio ya kuniweka kwenye mikeka ya kimkakati hata kidogo.Waturuki malayaa sanaa walee...
Hii timu bhana,,, mapuuza mengi sana,,,, cyo wa kuitolea macho ni wajinga sanaOdds alizokuwanazo kabla ya mechi ndugu yetu baselona na vitu anavyofanya uwanjani unabaki kushangaa.
Mpaka muda huu dak ya 75
Baselona 2:3 Granada
Maajabu yake sasa zote win + athleticMliompa na mtakaompa juventus au chelsea leo mjiandae kisaikolojia, bundi leo anarukaruka hapo! Wale wa fc porto ondoeni presha mambo yataenda poa sana.....msijesema hamkuambiwa!
+ BaselonaYaani hao jamaa, team za Ureno, Italia seria B, France League 2, Span - Segunda, Scotland na miteam ya uarabuni aisee sio ya kuniweka kwenye mikeka ya kimkakati hata kidogo.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Acha uoga weweMliompa na mtakaompa juventus au chelsea leo mjiandae kisaikolojia, bundi leo anarukaruka hapo! Wale wa fc porto ondoeni presha mambo yataenda poa sana.....msijesema hamkuambiwa!
Kuna Romania aisee, huu mchezo ukiwa na presha unaweza kufa aisee, angalia hawa watu.+ Baselona
Kuna Romania aisee, huu mchezo ukiwa na presha unaweza kufa aisee, angalia hawa watu.View attachment 2902092
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Yaani ni patashika game 20 za mwisho walizocheza hivi karibuni wameshinda 2 tu tena last year, leo sasaDaaah
Yaani ni patashika game 20 za mwisho walizocheza hivi karibuni wameshinda 2 tu tena last year, leo sasa
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Na sasa ana red card juu. Naam, uko sahihi kabisa. Prediction sites nyingi zilimpatia nafasi kubwa ya ushindi maana standing na form yake ni nzuri mno, anasumbua hadi vigogo kwenye league yao, kina FCSB na CLUJ. Alikuwa na 61 winning percente kubwa kuliko hata FC PORTO leo, plus home advantage na pia hana majeruhi. Nikampa double chance nayo imegoma.Punters wengi tumempa Farul kwasababu alikuwa na kila Sifa ya Kushinda