Match Fixing is REAL
IMG_6250.jpg
 
Punters wengi tumempa Farul kwasababu alikuwa na kila Sifa ya Kushinda
Na sasa ana red card juu. Naam, uko sahihi kabisa. Prediction sites nyingi zilimpatia nafasi kubwa ya ushindi maana standing na form yake ni nzuri mno, anasumbua hadi vigogo kwenye league yao, kina FCSB na CLUJ. Alikuwa na 61 winning percente kubwa kuliko hata FC PORTO leo, plus home advantage na pia hana majeruhi. Nikampa double chance nayo imegoma.
IMG_20240212_144906.jpg


Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom