Issakson makanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 676
- 1,028
Leverkusen
Yani huyu Hela zake hata hazikai Wala huwez fanyia kitu Cha maana yani😃😃 mwaka wa kumi huu nabet ila faida siion nimeng’ang’a tu, nikila, laki mbili, tatu, nne, siku zimasonga. Au wenzangu mnajenga kwa hela ya kanji?🤔🤔
Sawaa mkuu, inbox yangu ipo wazi. If your interested. Karibu tuongee.sportyhero ni casino jamii ya aviator. comment yako ya kwanza nilipoona kutrade nikajua ni forex. kumbe unamaanisha aviator!!.
nilijiungaga na magroup whatsapp ya kutoa free signals za aviator. magroup yenyewe yamefungwa comments watu msicomment. tutorials zikawa nyingi mara pink mara purple mara kitu gani sijui, nikaona ujinga huu tutorials nyingi halafu sioni muelekeo, nikaleft magroup yote.
Pita hivi na kama huna la kushauli kaa kimyamtaacha tu kamali kwa lazima huu mwendo nimeupenda
kafirwe hukomtaacha tu kamali kwa lazima huu mwendo nimeupenda
We ain't that. Some of us don't engage in alcoholism, Cigarette smoking, Caffeine or anything but we gamble responsibly with purpose. I
Hatupoi