MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,587
- 6,171
8A2719 | SportyBet
🏀🏀
🏀🏀
Minimum stake ya parimatch ni sh ngapi? Maana naona sportybet mpaka sh 10Mie mpaka leo pesa haijafika.
Utashangaa ukiweka nyingine inaingia ile ya mwanzo wanazunguushia.
Mie wakichelewa huwa nahama kabisaaa naenda BETPAWA au PARIMATCH,wakirejesha pesa Yangu ndio narudi.
PARIMATCH wapo bora zaidi shida ni webpage yao tu ipo hivyoo,Mechi za kufuata unachukia mudaaa kusuka mkeka.
Sportbety kinachoniweka ni page yao inaruhusu na simple mnoo kuweka mkeka hata wa mwezi mzima.Only that.
PARIMATCH is the best,yaani Mechi Moja unaweza kuweka options mpaka 3,aisee RAHA mnoo.So,ubora wao ni match za leo leo tu but matrain sio wazuri
Ludi njia kuu kiongozi acha kujitesaKindege Kilaaniwe 🥲
k.umalamamaako.Vijana mnapenda sana pesa za mteremko
mimi nakazia hapak.umalamamaako.
pesa za kubet hatupati bure, tunaweka mtaji halafu ndiyo tunabahatisha. uhakika wa kula hakuna.
unaongea kirahisi tu kwasababu hubet, waulize wanaobet wakwambie hela ya betting ilivyo ngumu. pesa ya betting ni ngumu. ukituona tunaobet unaweza fikiri tunacheza. tunasota mkuu, tena tunasota kwelikweli. ni heri ya biashara ya maandazi utapata faida kuliko betting. betting matokeo yanakuja ndivyo sivyo.
ingia kwenye betting uone shughuli yake, siyo unaropoka kiboyaboya,
.
Hao wengine ni kuwaklia kimya tu waache waseme Kisha waonee huluma maana wanayo yafikilia si yaliko katika uhalisia tunaopitia.k.umalamamaako.
pesa za kubet hatupati bure, tunaweka mtaji halafu ndiyo tunabahatisha. uhakika wa kula hakuna.
unaongea kirahisi tu kwasababu hubet, waulize wanaobet wakwambie hela ya betting ilivyo ngumu. pesa ya betting ni ngumu. ukituona tunaobet unaweza fikiri tunacheza. tunasota mkuu, tena tunasota kwelikweli. ni heri ya biashara ya maandazi utapata faida kuliko betting. betting matokeo yanakuja ndivyo sivyo.
ingia kwenye betting uone shughuli yake, siyo unaropoka kiboyaboya,
.
Umemkosea. Usingemtukana. Maelezo yako mbona yangemtosha na angeelewa!!!!k.umalamamaako.
pesa za kubet hatupati bure, tunaweka mtaji halafu ndiyo tunabahatisha. uhakika wa kula hakuna.
unaongea kirahisi tu kwasababu hubet, waulize wanaobet wakwambie hela ya betting ilivyo ngumu. pesa ya betting ni ngumu. ukituona tunaobet unaweza fikiri tunacheza. tunasota mkuu, tena tunasota kwelikweli. ni heri ya biashara ya maandazi utapata faida kuliko betting. betting matokeo yanakuja ndivyo sivyo.
ingia kwenye betting uone shughuli yake, siyo unaropoka kiboyaboya,
.
Jitubandia nalo linakazia hapa!! 🔨🔨 Hiyo kenge imetumwa!!? ...k.umalamamaako.
pesa za kubet hatupati bure, tunaweka mtaji halafu ndiyo tunabahatisha. uhakika wa kula hakuna.
unaongea kirahisi tu kwasababu hubet, waulize wanaobet wakwambie hela ya betting ilivyo ngumu. pesa ya betting ni ngumu. ukituona tunaobet unaweza fikiri tunacheza. tunasota mkuu, tena tunasota kwelikweli. ni heri ya biashara ya maandazi utapata faida kuliko betting. betting matokeo yanakuja ndivyo sivyo.
ingia kwenye betting uone shughuli yake, siyo unaropoka kiboyaboya,
.
Tena mtu kapasuka mpaka mtaji halafu unamwambia anapenda mseleleko lazima akutane nayoWakubwa msameheni hajui anachozungumza, halafu next time chama nenda hata majukwaa ya siasa huko, huku watu tushachafukwa
Umejibu kwa sauti balaa,,,,, naamini hata yeye hajategemea hili😂😂😂k.umalamamaako.
pesa za kubet hatupati bure, tunaweka mtaji halafu ndiyo tunabahatisha. uhakika wa kula hakuna.
unaongea kirahisi tu kwasababu hubet, waulize wanaobet wakwambie hela ya betting ilivyo ngumu. pesa ya betting ni ngumu. ukituona tunaobet unaweza fikiri tunacheza. tunasota mkuu, tena tunasota kwelikweli. ni heri ya biashara ya maandazi utapata faida kuliko betting. betting matokeo yanakuja ndivyo sivyo.
ingia kwenye betting uone shughuli yake, siyo unaropoka kiboyaboya,
.
Huyu kachanganyikiwa msimsikilize humuKuna mkeka wa ligi kuu nausuka hapa, mechi za Novemba 25 na 26. Huu mkeka nimeucodename "Get Rich or Die Trying". Stake iwe laki mbili, winning iwe angalau bilioni 5 (USD 2 million). Ugomvi wangu na kanjibai haujaisha, bado tunajambo letu. Suala la kumrusisha Asia akalime pilipili lipo palepale.
#GeyRichorDieTrying#