Chelsea ni dhaifu kwa man cityMan City atatoka kweli kwa Chelsea?
betting haina formula mkuu,..hii n michezo ya kubahatisha tu siku bahati ikiwa kwetu haya maneno hutasema,Unaweza jiuliza inakuwaje mikeka ya hela kubwa humu ndani daily inachanika na ikitokea imepatikana mkeka wa odds 100 kwenda juu umewin Basi Ni nadra Sana. Cha kushangaza makosa yanaonekana kujirudia yaleyale, mf usiiamini timu yoyote kwa kuipa direct win, ikitokea hivyo uwe umejiiridhisha kwa % zote. Yes kwa mtazamo wangu nikuwa bado utaalam wa kusuka mikeka ya "must win ''kwa wengi bado Ni changamoto.
Wataalam bado wanahitajika.
Usicashout ,niliifata hii Toka naija,Kwa hiyo hapaa hii afu 2 nichukuee wananguuuView attachment 2811134
Hii game itakua na corner za kutosha
Jamaa fundi sanaa ngoja tusonge nalo mwanangu...!!Usicashout ,niliifata hii Toka naija,
nimetia tsh. 20 imeleta 1M+ ikawe heri kwetu!8BE563A betpawa
EDIT/CUT
Hao wote sijaenda nao kavu... Nimewavalia condom!.... Over 1.5...Atletico
Quarabang
Liverpool
AEK
RB pleizing.
Nasemaje hawaa leoo kuwa nao makini sanaaaa...!!!
Sasa wasafi nani anayo jamanOption × Corner
Compny × wasafi bet
Odds × 41
Team × 12
Code × 2CKI5J4
…
hufahamu nini kutoka kwenye hayo maelezo yangu?, hufahamu kupiga hela kupitia mwanya wa network ya bookie kuzingua?, au hufahamu jinsi ya kucheza rollover?.Hiyo kitu siifahamu, unaweza kunipa maarifa kidogo mkuu?
RB Leipzig siyo wa kumuamini sanaAtletico
Quarabang
Liverpool
AEK
RB pleizing.
Nasemaje hawaa leoo kuwa nao makini sanaaaa...!!!