Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
miliongeaga hawa jamaa wameshachoka wanatuachia vumbi sasaivi
Tupo wengi kumbe au ni mtandao tuNa mimi wameondoa mikeka yote inakuja mikeka ambayo ishachana
Wameivuluga system kbsa mbwa awa mikeka niliocheza leo haipoDalili ya mvua ni mawingu!....jionggeze
mech ya az zilizo kuwa settled zimerudi openTupo wengi kumbe au ni mtandao tu
ina cashout nje nje ama ndo cashout ya mchongoKuna kampuni inaitwa betwinner, ina masoko kama 1xbet. But betwinner unaweka hela na kutoa mwenyewe bila kutumia mawakala
Cash-out ipoina cashout nje nje ama ndo cashout ya mchongo
code wapi mkuu??Hivi cheisii Bado mnaiamini?
Mbona jana nimelipwa mkeka nilishinda 47,000. Ila kama kuna kuweli tujueBetpawa wamefilisika
Kuna mikeka ya jumamosi inanipa mashaka sana kama nililost