Sie wa Newcastle au the magpies tukalale tu hamna maajabu hapa
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Kuna watu humu wanaona mbali mpaka siyo poa, na jamaa alisistiza kweli kweli kuwa atletic lazima ale umemeKuna mtu alisema atletico atakula umeme
I wish timu zote zingekua kama city. Uyo unamuwekea figo halafu unatulia zako comfortably kabisa kusubiri dakika 90 ziisheMkuu Natafuta Ajira umemcheki pep anavyokunyanyasia makima huko.
Mbeba maono hafiKuna watu humu wanaona mbali mpaka siyo poa, na jamaa alisistiza kweli kweli kuwa atletic lazima ale umeme
Wamekutana wote wabovuHili grp la psg atakayepita ni mwanaume kweli kweli
I wish timu zote zingekua kama city. Uyo unamuwekea figo halafu unatulia zako comfortably kabisa kusubiri dakika 90 ziishe
Kwani bet pawa ndiyo wanazuia mgoli au matendo uliyoyaweka?!leo nikichaniwa tena na timu moja napumzika kutumia betpawa, hapana unakua mkeka wa 21 ndani ya mwezi
Mpaka kizungu noma Sana mzeePlease atletico madrid fc and you man city fc win your games pleaseee
Ni balaa aisee.I wish timu zote zingekua kama city. Uyo unamuwekea figo halafu unatulia zako comfortably kabisa kusubiri dakika 90 ziishe
🤣🤣🤣 Nacheka utadhani mazuri.Asante Newcastle na basha lako wanaume 22 mna shindwa kutoa card 3