Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,100
- 16,410
Kila mtu Kwa imani yake . ..tufunge na kusali .... Atapita na kijiji huyu matokeo yakibaki hivyo ...Fiorentina anatusalimia jamaan
Kila mtu Kwa imani yake . ..tufunge na kusali .... Atapita na kijiji huyu matokeo yakibaki hivyo ...Fiorentina anatusalimia jamaan
cashout nayo kuna muda miyeyusho sana,Cashout nilikwambia mapema naona wanaruka ruka tu
kapita 50k yangu shwaaaaBora huyo kuna mjinga anaitwa Cfr cluj
hapa Fiorentina vs. Empoli, kule Palermo vs. SpeziaTimu za Italy walio wengi ni wacheza kamari..Ni hatari sana..Ngoja leo tuone inaishaje hii mechi maana ni hatari sana kwa afya za wakamaria leo hii
kuna kitimu CFJ sijui nini nin kulaleeek kimenichania na kilikuwa na odds ya kisenge tu 50k imeendaKila mtu Kwa imani yake . ..tufunge na kusali .... Atapita na kijiji huyu matokeo yakibaki hivyo ...
kuna kitimu CFJ sijui nini nin kulaleeek kimenichania na kilikuwa na odds ya kisenge tu 50k imeenda
kwisha habari yake....Pray for fiorentina
Tena kwisha kabisa!kwisha habari yake....
Dah fiorentina kaniua na wameninyima cashout DuhWadau hebu zidisheni maombi watu wakanywe bia hapa
View attachment 2790711View attachment 2790710View attachment 2790709
Huu umetulia, zinaanza saangapi kiongozi?ukiedit naomba tusaidiane 862948E betpawa
kesho saa kumi mkuuHuu umetulia, zinaanza saangapi kiongozi?