JaidenG
JF-Expert Member
- Oct 4, 2021
- 696
- 908
Kaz njemaNtajaribu fuatilia hilii. Stake single hela mlima then napga picha mkeka wotee alafu matokeo yakija nauptia nalinganisha
Kaz njemaNtajaribu fuatilia hilii. Stake single hela mlima then napga picha mkeka wotee alafu matokeo yakija nauptia nalinganisha
Jamaa analipukaCC Twitter kwa Romano
Unawekaga stake million ngap mpk betpawa wakubadilishie mkeka ???
Mzee sipo kweny mabishano ila nimeongea kitu ambacho kimenitokea na nimeongea kutokana na mtu ambae ameongea umundani kua mkeka wake umebadilikaUnawekaga stake million ngap mpk betpawa wakubadilishie mkeka ???
Mimi ni mkamaria kama wewe ila kwenye hili nakataaMzee sipo kweny mabishano ila nimeongea kitu ambacho kimenitokea na nimeongea kutokana na mtu ambae ameongea umundani kua mkeka wake umebadilika
Karbu mkuuDuh bado mpo watu wangu wa nguvu? Nimerudi tena mapambanoni
Unawekaga stake million ngap mpk betpawa wakubadilishie mkeka ???
Unakata coz hujawai kuona wala haijawai kukutokea kwaiyo unahaki kukataMimi ni mkamaria kama wewe ila kwenye hili nakataa
Mtu anayeweka stake kuanzia 50k kwa timu tatu au 2 akija kulalamika hiyo issue inamtokea ntaanza kuamini lakin wewe unaeweka timu 60 alafu stake 100 siwezi kuamini nakataa maisha , kama kubadilishiwa matokea wangekua wanabadilisha wale wenye mitaji ya maana na wanaowaliza betpawa kila sikuUnakata coz hujawai kuona wala haijawai kukutokea kwaiyo unahaki kukata
hao jamaa wanajichanganya wenyewe tu betpawa hawawezi kufnya kitu ka hiyo madhara yake ni makubwa kuliko wanavodhaniMimi ni mkamaria kama wewe ila kwenye hili nakataa
Watu wa namna hii ni wengi sana , kwann usipige screenshot ukawa na ushahidi? Na kwann wakubadilishie timu ukiachana na betPawa hakuna kampuni yoyote ya betting Kwa Karne hii inaweza kufanya hivyoMtu anayeweka stake kuanzia 50k kwa timu tatu au 2 akija kulalamika hiyo issue inamtokea ntaanza kuamini lakin wewe unaeweka timu 60 alafu stake 100 siwezi kuamini nakataa maisha , kama kubadilishiwa matokea wangekua wanabadilisha wale wenye mitaji ya maana na wanaowaliza betpawa kila siku
Sometimes mtu anakua anabet huku kichwa kinawaza vitu tofauti kabisa badae mkeka ukichanika anasema amebadilishiwa matokeoWatu wa namna hii ni wengi sana , kwann usipige screenshot ukawa na ushahidi? Na kwann wakubadilishie timu ukiachana na betPawa hakuna kampuni yoyote ya betting Kwa Karne hii inaweza kufanya hivyo
Hapo hata ukienda Gaming board wanakupotezea maana hakuna evidence