Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Kuna treni la tinu 60 zimefika 20 najua tu halitoboi
Heshima Yako Mkuu!Vijana wa Lampard wamenipa kazi ya namna ya kumuingia shemeji yenu kwamba safari ya Birthday Zanzibar haipo tena
Won za kipindi cha Pasaka zimenipumbaza nikatoka nje ya utaratibu wangu wa kukwepa direct win kwa gharama yoyote ile.......,
Nakwenda mapumziko hadi mwezi ujao
shusha codes tupite nazo saivi ni usiku majini ya kanji hayaoniHumu ndani leo kuna aliyetoboa direct win?
Mkuu baadhi ya picha hazifunguki humu JF.Hope kuna tatizo au mabadilikoItoshe kwa leo...... Naishia namna hiiView attachment 2588856
Joanah umepotea sana mkuuHumu ndani leo kuna aliyetoboa direct win? 😂
Napoli napiga pass tu kufunga ataki daahMnaoangalia game ya napoli
Vipi huko kuna uhakika wa goli
Vipi Kona 9 zitafika?Napoli napiga pass tu kufunga ataki daah
Mnaoangalia game ya napoli
Vipi huko kuna uhakika wa goli
Hajapiga hata on target hata mojaNapoli napiga pass tu kufunga ataki daah
Hata kwangu piah mwanzo nilidhani labda mtandao wangu unashida kumbe app ndo tatizo tumia browser tuuWakuu nyie mnatumia app gani ya jf hii yangu hai preview piuctures
DahHata kwangu piah mwanzo nilidhani labda mtandao wangu unashida kumbe app ndo tatizo tumia browser tuu