blackice2100
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,038
- 2,718
yah huwenda na akili zikawa tofauti piaRangi
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
yah huwenda na akili zikawa tofauti piaRangi
Croatia???CROATIA WIN
BRAZIL WIN
WEKA LAKI HATA KIWANJA WEKA
Japan wanajua washatokaga mda sana level zakina senegal alafu watu japan wanamchukulia pw ngoja waone atakavyofika hadi fainal
Japan halisi ni ile iliyocheza na costa ricaJapan wanajua washatokaga mda sana level zakina senegal alafu watu japan wanamchukulia pw ngoja waone atakavyofika hadi fainal
Hao wape under 0.5 dakika 15.Japan wanajua washatokaga mda sana level zakina senegal alafu watu japan wanamchukulia pw ngoja waone atakavyofika hadi fainal
alafu ukihamia Sportybet huku nyuma betpawa mikeka anayopost inaanza kutoa! (jokes)Kwa codes za Bigboi itanilazimu sasa nisajili laini ya voda kwa ajili ya miamala huko Sportybet maana ndo big anapapenda. Na Sportybet wanafanya kazi na mitandao mitatu tu, Voda,tigo na Airtel.
Betpawa ndo wanafanya na mitandao yote so huwa nachukua codes za Betpawa tu. Ikitokea ya betpawa imechana halafu humu mmekula mliochukua codes za Sportybet naumia kusema la ukweli kwa nini nimekosa ya supu aisee. Ngoja,vilio sasa basi.
Bigboi Mungu akutunze
Mzeealafu ukihamia Sportybet huku nyuma betpawa mikeka anayopost inaanza kutoa! (jokes)
Hizi mechi za kibongo huwa utata sana ukizingatia Polisi amepoteza mechi 2 mfululizo na wana ujio wa Mwinyi Zahera, huenda game ikawa ngumu pamoja na kwamba AZAM anafanya vizuri. Naona kama Double chance, AZAM win/draw vinginevyo ni kujilipua kwa kigezo cha AZAM yupo kwenye form na kutaka kufuta uteja kwa PolisiMzee
Game ya Azam unaiangalia vipi leo.. anaweza kutoboa kweli
Binafsi kwa kuangalia mchezo dhidi ya Simba kwenye uwanja wa ushirika,, police wanacheza sasa na uwanja unaruhusu wachezaji kujimwaga bonge moja la pitch kibongobongo,,,,Hizi mechi za kibongo huwa utata sana ukizingatia Polisi amepoteza mechi 2 mfululizo na wana ujio wa Mwinyi Zahera, huenda game ikawa ngumu pamoja na kwamba AZAM anafanya vizuri. Naona kama Double chance, AZAM win/draw vinginevyo ni kujilipua kwa kigezo cha AZAM yupo kwenye form na kutaka kufuta uteja kwa Polisi
Haswaaa, naunga mkonoHizi mechi za kibongo huwa utata sana ukizingatia Polisi amepoteza mechi 2 mfululizo na wana ujio wa Mwinyi Zahera, huenda game ikawa ngumu pamoja na kwamba AZAM anafanya vizuri. Naona kama Double chance, AZAM win/draw vinginevyo ni kujilipua kwa kigezo cha AZAM yupo kwenye form na kutaka kufuta uteja kwa Polisi
Chief Void ab initio upo Mkuu? Kitambo sana
Yaani mtu unastake kwenye odds 3 au mbili na unajilipua ila unaangukia pua, fulu kuchubuka,,, alafu unakutana na odds mlima mlima mtu kastake 100,, 200,, 500 au buku dah!!
Hii ishu basi tu
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app